Tusome kwa bidiiHadithi yako inatufundisha nini?
Kwa ninavyokufahamu utakua umemaanisha vingine wewe🤣🤣🤣Hadithi yako inatufundisha nini?
Sio kwamba tutafute hela sana tusije tukalipuka na simu used from dubai..!!?Tusome kwa bidii
Serious sijaona moral of the thread😆 usini-note vibayaKwa ninavyokufahamu utakua umemaanisha vingine wewe🤣🤣🤣
Wanasema nj Used Dubai au Refurbished kumbe ni used hapa hapa bongoNimeona watu wengi wanalalamika juu ya simu used from Dubai hususan Google Pixel na Aquos kupata moto
Zimekua na tabia ya kupata moto hovyo sana, yaani inapata moto kidogo tu mpaka inagoma kushoot camera kupiga picha au kurekodi video
Hii imekua common kwa simu za Aquos na Google pixel ambazo ni used
Pia zinakula bando balaa yaani zinabugia haswa, kwahyo ukiwa unanunua simu used zingatia hilo
Hela ngapiSio kwamba tutafute hela sana tusije tukalipuka na simu used from dubai..!!?
"Simu nyingi used from dubai zinapata moto haraka ", nafaham umefikiria nini wewe🤣🤣Serious sijaona moral of the thread😆 usini-note vibaya
Hela ya kununua simu mpyaHela ngapi
Sio kwamba watu hawapati pesa tatizo Mtoto halali na hela .Hela ya kununua simu mpya
Yooo bojooo🤣"Simu nyingi used from dubai zinapata moto haraka ", nafaham umefikiria nini wewe🤣🤣
Hivi mtoto akilala na hela anaitafuna 😅 ama?Sio kwamba watu hawapati pesa tatizo Mtoto halali na hela .
Lazima akanunue pipi tu kabla ya kulalaHivi mtoto akilala na hela anaitafuna 😅 ama?
Pipi ya kijiti ama😆Lazima akanunue pipi tu kabla ya kulala
😆Sio kwamba watu hawapati pesa tatizo Mtoto halali na hela .
Kujua ni mpya unabonyeza niniHela ya kununua simu mpya
Alama ya reliKujua ni mpya unabonyeza nini