Simu nzuri kwa gharama ya laki tatu (300k)

Simu nzuri kwa gharama ya laki tatu (300k)

Muongo wewe[emoji16]muongo sana,A10 kabisa?muongo mkubwa wewe nunua simu mpya acha kununua mitaani ,,ninayo toka zinatok haijawah nisumbua hata chembe nipo na A 50 sasa na bado ninayo A 10 naitumia na bado inamoto ule ule
Sasa unabishana na mimi kuhusu simu niliyonunua kwa kutumia simu yako. Mimi nazungumza simu niliyonunua na ninazoona, wewe unazungumzia uliyonayo.

Nikisema sili dagaa zinaniletea allergy utanibishia kwa vile wewe ukila hupati tatizo
 
Muongo wewe[emoji16]muongo sana,A10 kabisa?muongo mkubwa wewe nunua simu mpya acha kununua mitaani ,,ninayo toka zinatok haijawah nisumbua hata chembe nipo na A 50 sasa na bado ninayo A 10 naitumia na bado inamoto ule ule
Aaah kaka uongo wangu ni nini hapo?

Au umekosea kuniquote.?
 
Back
Top Bottom