:focus:
Kuna jamaa,Mwanza alivizia mpaka akapata kusoma sms ktk simu ya mkewe,one sms ilikuwa inatoka kwa bwana wa mkewe ikimsifia mama watoto jinsi anavyojua kulawitiana.jamaa mwenye mke ata uo mchezo aujui,na ajawai ktk miaka 5 ya ndoa yao.ile ilimchanganya jamaa akaachana na mkewe,watoto ndo wanaoteseka.haya yote yasingelitokea kama baba asingesoma sms ktk simu ya wife
Unapoamua kuchunguza unakuwa unatafuta nini, na je, unakuwa umejiandaa kwa concequences utakazokutana nazo?
Nafikiri "Imani yatosha"
Unapoamua kuchunguza unakuwa unatafuta nini, na je, unakuwa umejiandaa kwa concequences utakazokutana nazo?
Nafikiri "Imani yatosha"
unikome.....nyau weeeeeeeeeeeee:target::target:!!!!!!!
He! yamekuwa hayo tena,kumbe siku hizi majina yetu wengine yanaweza kutumika kukomesha watu?
ha ha ha! Ile amesema nyau sio paka.
THUBUTU...nani kaolewa???????????????????? hakuna shika simu yangu, wala kujipunguzia salio!!!nimeweka password kila kona, si unajua mambo ya sumsung!! hakuna ...kumruhusu mtu...awe wife, girlfriend wala demu...no no noooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooweken cm mezan
cm apana pass word
ikiita unaweza mwambia honey pokea sm mwambie naoga...................hahhha hahhaha km xmas haijawatokea pemben...wanaume wanawake wa siku iz simu tatu zikiingia basi moja itakuwa ya NYUMBA MBOVU....hatari!!!!
ukijiamini unakuwa huru na cm yako pia itakuwa huruuuuuuuuuuuuu kinyume na hapo ni cm kuwa kipima joto
asanten.nawasilisha.
Ni vizuri kujua kinachoendelea kwenye maisha ya mwenzi wako (mliofunga ndoa) - siku hizi - tukiachilia mbali kuwa mwenzi wako anaweza kuwa na mpenzi mwingine - lakini kuna issue nyingine za kutisha: Hebu fikiria kama:
1. Mkeo/Mumeo ni jambazi au anapanga deals za ujambazi???
2. Mkeo/Mumeo ni tapeli - yaani anatumia njia za udanganyifu kupata fedha?
3. Mkeo/Mumeo anakopa hela za watu - harudishi???
Tusichukulie kuwa ndani ya simu ni issue za mapenzi tu - ila hata mambo niliyotaja hapo juu - hivyo ni muhimu kujua kilichomo ndani ya simu ya mwenza wako la sivyo unaweza kustukia uko polisi - kumbe unaishi na jambazi/tapeli/mkopaji asiyelipa madeni
Mawasiliano ya simu yameshamiri sana siku hizi - na mengi yanafichwa kwenye simu - ni vyema kuweka SIMU MEZANI - HAKUNA SIRI KATI YA WAWILI WAPENDANAO OTHERWISE MAPENZI YAO YATAKUWA NI USANII MTUPU - nawasilisha
Kuna jamaa,Mwanza alivizia mpaka akapata kusoma sms ktk simu ya mkewe,one sms ilikuwa inatoka kwa bwana wa mkewe ikimsifia mama watoto jinsi anavyojua kulawitiana.jamaa mwenye mke ata uo mchezo aujui,na ajawai ktk miaka 5 ya ndoa yao.ile ilimchanganya jamaa akaachana na mkewe,watoto ndo wanaoteseka.haya yote yasingelitokea kama baba asingesoma sms ktk simu ya wife