Simu yangu aina ya Tecno Pop1 imezima msaada wadau

Simu yangu aina ya Tecno Pop1 imezima msaada wadau

gonamwitu

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
2,187
Reaction score
2,794
Simu yangu aina ya Tecno pop1 imezima kuna fundi kaicheki kasema inatakiwa iflashiwe je kuflash ni sh ngapi?

Je, inaweza kusolve tatizo?
 
Simu yangu aina ya tecno pop1 imezima kuna fundi kaicheki kasema inatakiwa iflashiwe je kuflash ni sh ngapi? Je inaweza kusolve tatizo?
Bei ya kuflash inategemeana uko sehemu gani, kama ni Dar hata 10K unaflash ila huko mikoani kuanzia 20K.

Kuflash inaweza kuwa solution maana siunaweka firmware version mpya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simu yangu aina ya tecno pop1 imezima kuna fundi kaicheki kasema inatakiwa iflashiwe je kuflash ni sh ngapi? Je inaweza kusolve tatizo?
umenistua sana uliposema simu kumbe ni tecno mkuu hiyo ni kawaida


Sent using IPhone X
 
" kuna fundi kaicheki kasema inatakiwa iflashiwe je kuflash ni sh ngapi" Aliyesema hakukuambia na bei ya huduma? Japo Hili swali ulipaswa ulianzie kuuliza kwa aliyesema.

Sent using OPPO Mobile Phone
 
jamaa kasema kila kitu kizima so kwa kariakoo naweza kuflash kwa elfu10? Simu haina muda mrefu sana tangu ninunue
Kwanza imezima mazingira gani ? Usikute saketi ndo ishaaga dunia , nazijua vema tecno karibu Rwagasole plaza wapo watoa huduma. Not for free but u will paid amount [emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kumiliki tecno, baada ya miaka miwili ya matumizi ikafa main circuit. Point yangu kubwa nj Tecno zina shida
 
Pop 1 zina shida aisee Yangu ilizima ghafla tu nikaambiwa inatakiwa 'iflashiwe' na ikagoma.Niliambiwa imeunguza kitu gani sijui hata sikumbuki. Hiyo ndiyo nitolee hawezi pona
 
Kama umefikia uamuzi wa kuflash, kabla ya kufanya hio kazi jaribu kui hard reset mwenyewe na ku clear cache.

Simu ikiwa imezimwa bonyeza cha kuwashia simu na kuongeza sauti pamoja then itawaka kwenye recovery mode, clear cache then format simu uone kama itasaidia.
 
Back
Top Bottom