Simu yangu ilivyonusurika kuibiwa leo asubuhi

Simu yangu ilivyonusurika kuibiwa leo asubuhi

big soap

Senior Member
Joined
Feb 22, 2020
Posts
197
Reaction score
270
Leo asubuhi majira ya saa kumi na moja na nusu asubuhi, nikiwa na familia safarini kutembelea shamba maeneo ya Kisarawe, muda huo ndugu yangu x akiwa anadrive maeneo ya Malamba Mawili kwa ndodi, baada ya kufika maeneo hayo ndugu yangu dereva aliniambia nishike usukani.

Yeye sio mzoefu sana wa kudrive manual, pia kwa sababu gari ni yangu alihisi mimi nimeizoea zaidi. Jamaa akashuka na kwenda kupata haja ndogo pembeni, hadi hapo mazingira yalikuwa salama kabisa.

Mara nikaona bodaboda inakuja mbelE on windscreen ikapita iyoooo, kupitia mirror nikaona jamaa anageuza (hapo nilipaki pembeni kidogo huku nimekaa kwenye kiti cha dereva gari imekaa mkao wa kuangalia Kinyerezi), jamaa wakasogea karibu kabisa.

Mimi simu ipo mkononi naangaza JF kidogo, kimwoneko kama walikuwa wanakuja kuuliza kitu fulani, yaani dizain kana walikuwa wamepotea. Gafla yule jamaa wa nyuma kanyanyua kono lake adi kwenye simu ngaaaa!

Kang'ang'ania kama mikono ina gundi vile. Mungu vile macho hayakutoka kwenye mirror, nikakaza mikono kwenye simu kwa sababu lisimu ni likubwa sana zaidi ya inch saba jamaa mkono wake uliishia kushika upande wa nyuma na kwenye kioo ivyo mkono wake uliteleza kirahisi na hakufanikiwa kuinyakua.

Tunakumbashana jamani, tahadhari ni muhimu sana.
 
Pumbavu, mtu anapora simu huku umeweka wowowo lako chini tu unashindwa kumpa ambush?

Haya ndio madhara ya kusomesha Watoto English medium school na kupanda school bus.
nimeelewa vibaya au, kwamba unataka kunipa wowowo.... pole kwa maisha ya dhiki naona povuuu kubwa sana. usitake kujua maisha yangu saana. sama kama ulikuwa unataka kunipa ilo wowowo. nakutaarifu tu kuwa nina familia na naipenda sana. pole maana hutopata iyo nafasi
 
Leo asubuhi majira ya saa kumi na moja na nusu asubuhi, nikiwa na familia safarini kutembelea shamba maeneo ya Kisarawe, muda huo ndugu yangu x akiwa anadrive maeneo ya Malamba Mawili kwa ndodi, baada ya kufika maeneo hayo ndugu yangu dereva aliniambia nishike usukani.

Yeye sio mzoefu sana wa kudrive manual, pia kwa sababu gari ni yangu alihisi mimi nimeizoea zaidi. Jamaa akashuka na kwenda kupata haja ndogo pembeni, hadi hapo mazingira yalikuwa salama kabisa.

Mara nikaona bodaboda inakuja mbelE on windscreen ikapita iyoooo, kupitia mirror nikaona jamaa anageuza (hapo nilipaki pembeni kidogo huku nimekaa kwenye kiti cha dereva gari imekaa mkao wa kuangalia Kinyerezi), jamaa wakasogea karibu kabisa.

Mimi simu ipo mkononi naangaza JF kidogo, kimwoneko kama walikuwa wanakuja kuuliza kitu fulani, yaani dizain kana walikuwa wamepotea. Gafla yule jamaa wa nyuma kanyanyua kono lake adi kwenye simu ngaaaa!

Kang'ang'ania kama mikono ina gundi vile. Mungu vile macho hayakutoka kwenye mirror, nikakaza mikono kwenye simu kwa sababu lisimu ni likubwa sana zaidi ya inch saba jamaa mkono wake uliishia kushika upande wa nyuma na kwenye kioo ivyo mkono wake uliteleza kirahisi na hakufanikiwa kuinyakua.

Tunakumbashana jamani, tahadhari ni muhimu sana.
Watu wanajiamini!
 
Story yako imekaa kibrazilbrazil sana....Reo De JENEIRO!!!!.. Sawa kyoma....tumekupata!!!!
 
Uliwakamata tuanzie apo mi walinipiga ivo ivo natembea road nakukuta boda boda kapita nyuma hadi Leo sijawahi iona Nina hasira na hao watu vibaya
Gari ilikuwa imezimwa, ivyo haikuwa rahisi kuwafikia. vinginevyo mda huu wangekuwa marehemu wote.
 
Back
Top Bottom