Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakuelewa ila kila nikisave majina na save KWENYE Google account yangu majina na no, sasa nashangaa kila nikisave leo kesho linafutikaHiyo aimu ulisajili google play k
Qa email address yako?
la msingi angalia devices Ambazo Google Account yako umezilink na akaunti mama,pia kuwa na telegram huwa inasaidia kusave majina kwa Watu ambayo wapo huko ...Ila scenario ambayo hata mm napita yaani simu yangu nikihamisha hamisha line mara kadhaa kuna baadhi ya Namba zinapotea na nsipowasiliana na Mtu MDA mrefu Namba kama inastack yaani inakuwepo ila WhatsApp status unaweza usione ya huyo Mtu je na ww hili tatizo unaloHabari zenu, nina simu yangu samsung A13 nimeanza michezo wa kufuta majina niliyoyapost jana na miezi 6 iliyopita.
Naombeni msaada wenu tafadhali I kwa anayejua msaada please
Asanteni
Yaani no za zamani zipo ila nilizosave karibuni hazikai kabisa japo nimesave. Google account, nafikiria hii simu ilikuwa ya rafiki yangu sasa naonaga Google account yake sema password sina inabidi niifute hapo ndiyo nachemka inawezakuwa ni sababula msingi angalia devices Ambazo Google Account yako umezilink na akaunti mama,pia kuwa na telegram huwa inasaidia kusave majina kwa Watu ambayo wapo huko ...Ila scenario ambayo hata mm napita yaani simu yangu nikihamisha hamisha line mara kadhaa kuna baadhi ya Namba zinapotea na nsipowasiliana na Mtu MDA mrefu Namba kama inastack yaani inakuwepo ila WhatsApp status unaweza usione ya huyo Mtu je na ww hili tatizo unalo
Sawa mkuuYaani no za zamani zipo ila nilizosave karibuni hazikai kabisa japo nimesave. Google account, nafikiria hii simu ilikuwa ya rafiki yangu sasa naonaga Google account yake sema password sina inabidi niifute hapo ndiyo nachemka inawezakuwa ni sababu