Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Google pixel 4a kila mwenye nayo kipindi hiki zinaua betri. Huu ugonjwa ni kama umezilipukia simu za Google pixel 4a
Kuuza ni ngumu
Na wauzaji wa simu ukiwapelekea kufanya top up wanagoma, wanasema google pixel 4a ikishakufa betri habari imekwisha
Ukibadilisha ugonjwa wa kuuwa betri ukitumia betri mwezi inakufa tena
Ukifanya update tu, google pixel 4a inakuwa imekufa kabisa betri
Google pixel 4a ni simu naikubali ila Kwa Sasa nahamia Samsung
Kwa hiyo hizi simu ni kama hisa za voda? Maana hisa za voda hata wao wenyewe ilikua ukiwapelekea uwauzie wanagoma.Sikushauri ununue pixel
Ikizingua hata wauzaji hawakubali ufanye top up uchukue simu nyingine
Mimi nimepigwa na nipo hapaGoogle pixel 4a kila mwenye nayo kipindi hiki zinaua betri. Huu ugonjwa ni kama umezilipukia simu za Google pixel 4a
Kuuza ni ngumu
Na wauzaji wa simu ukiwapelekea kufanya top up wanagoma, wanasema google pixel 4a ikishakufa betri habari imekwisha
Ukibadilisha ugonjwa wa kuuwa betri ukitumia betri mwezi inakufa tena
Ukifanya update tu, google pixel 4a inakuwa imekufa kabisa betri
Google pixel 4a ni simu naikubali ila Kwa Sasa nahamia Samsung
a itel s21
Doooh, asante mkuu.Sikushauri ununue pixel
Ikizingua hata wauzaji hawakubali ufanye top up uchukue simu nyingine
Ongezea Dodoma barabar ya mwangaza... bila kusahau makumbusho plaza na dodoma barabara ya sita
Mkuu upo serious ? Tecn utatengeneza content uweke tiktok au you tube. Pixel video imetulia acha.Mimi ni bora ninunue tecno mpya.. kuliko kununua google pixel used
Tafuta gopro ya hela ndogo hata GoPro 7 hero bei kwenye 300K hv, utengeneze content zinazojielewa.Mkuu upo serious ? Tecn utatengeneza content uweke tiktok au you tube. Pixel video imetulia acha.
Sm n Samsung na iPhone izo zngne n kupeana tu stressGoogle pixel 4a kila mwenye nayo kipindi hiki zinaua betri. Huu ugonjwa ni kama umezilipukia simu za Google pixel 4a
Kuuza ni ngumu
Na wauzaji wa simu ukiwapelekea kufanya top up wanagoma, wanasema google pixel 4a ikishakufa betri habari imekwisha
Ukibadilisha ugonjwa wa kuuwa betri ukitumia betri mwezi inakufa tena
Ukifanya update tu, google pixel 4a inakuwa imekufa kabisa betri
Google pixel 4a ni simu naikubali ila Kwa Sasa nahamia Samsung
Mkuu upo serious ? Tecn utatengeneza content uweke tiktok au you tube. Pixel video imetulia acha.
toka hapo utauzwa nawewe!Mtu yeyote mwenye akili timamu asinunue simu china plaza.
Nipo hapa ghorofa ya chini
Sura yake ataiweka wapihamia itel s21 hutojutia
itel s21 ni🔥Sura yake ataiweka wapi