Simu za Google pixel 4a zimepata ugonjwa wa kufa battery 🔋

Simu za Google pixel 4a zimepata ugonjwa wa kufa battery 🔋

Bora Aquos mara elfu
Google pixel 4a kila mwenye nayo kipindi hiki zinaua betri. Huu ugonjwa ni kama umezilipukia simu za Google pixel 4a
Kuuza ni ngumu
Na wauzaji wa simu ukiwapelekea kufanya top up wanagoma, wanasema google pixel 4a ikishakufa betri habari imekwisha
Ukibadilisha ugonjwa wa kuuwa betri ukitumia betri mwezi inakufa tena

Ukifanya update tu, google pixel 4a inakuwa imekufa kabisa betri

Google pixel 4a ni simu naikubali ila Kwa Sasa nahamia Samsung
 
Google pixel 4a kila mwenye nayo kipindi hiki zinaua betri. Huu ugonjwa ni kama umezilipukia simu za Google pixel 4a
Kuuza ni ngumu
Na wauzaji wa simu ukiwapelekea kufanya top up wanagoma, wanasema google pixel 4a ikishakufa betri habari imekwisha
Ukibadilisha ugonjwa wa kuuwa betri ukitumia betri mwezi inakufa tena

Ukifanya update tu, google pixel 4a inakuwa imekufa kabisa betri

Google pixel 4a ni simu naikubali ila Kwa Sasa nahamia Samsung
Mimi nimepigwa na nipo hapa
 
Google pixel 4a kila mwenye nayo kipindi hiki zinaua betri. Huu ugonjwa ni kama umezilipukia simu za Google pixel 4a
Kuuza ni ngumu
Na wauzaji wa simu ukiwapelekea kufanya top up wanagoma, wanasema google pixel 4a ikishakufa betri habari imekwisha
Ukibadilisha ugonjwa wa kuuwa betri ukitumia betri mwezi inakufa tena

Ukifanya update tu, google pixel 4a inakuwa imekufa kabisa betri

Google pixel 4a ni simu naikubali ila Kwa Sasa nahamia Samsung
Sm n Samsung na iPhone izo zngne n kupeana tu stress
 
Back
Top Bottom