Simu za Huawei zinauzika balaa ulaya Samsung akina Samsung hoi

Simu za Huawei zinauzika balaa ulaya Samsung akina Samsung hoi

Aisee umeishia darasa la ngapi? Duuu hadi unatia huruma kama hujui kitu bora utulie ili upate kuelewa...

Huawei P20 pro ya mwaka jana 2018 ndio ilikuwa simu yenye CAMERA bora kushinda iphone na Samsung pia kampuni ya Huawei ilipata faida na shares nyingi kuliko kampuni yeyote ya simu na mwaka huu wametoa toleo jipya la Huawei P30 pro inayoshika namba 1 kimauzo hadi sasa
Sijasoma mkuu!ilq huna nafasi ya kunihurumia kwa kuwa nawalipa mishahara wasomi kama wewe nyqmbaf!
 
Wewe myebusi unafokafoka ili iweje!?

Hujui strategy za mabeberu wewe!
Wanakutanguliza mbele kisha wanakupandia kwa nyuma! Sijui unakiogopa kibamia kile kwa nini!

Ngoja tuwaulize maccm.
Hivi kwanini huwa mnakiogopa kibamia cha beberu?

Mimi ni punda dume!
Hahaha mkaldayo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeshindwa kabisa kuifeel simu aina ya Huaweiii... NIMESHINDWA

Ha ha ukitumia zile y300 huwezi kuelewa huawei tafuta P series au mate tanga enzi za P6 huawei anampiga gape sana samsung na iphone za kipindi icho na kwa sasa labda washindane na P20, ila hii P30 pro ni level nyingine hata bei yake haishiki
 
So kwkoo simu ni camera bora tu eh?watu wa selfie kazi mnayo
Manufacturers wamewateka watumiaji kwenye camera tu ndio maana research zao zinafanywa kwenye camera department tu.
Manufacturers wanaangalia tamaa kubwa watumiaji wa simu ni camera ndio maana wao kwa kuona hivyo wanaboresha camera tu basi.

Angalia Samsung S8,S9 na S10 hazina tofauti yeyote zaid ya CAMERA tu,walianza na single camera wakaja na dual camera na leo hii kuna triple camera hadi 5 penta lenses camera
Nokia-9-PureView-hero-1024x768.jpg
 
Ha ha ukitumia zile y300 huwezi kuelewa huawei tafuta P series au mate tanga enzi za P6 huawei anampiga gape sana samsung na iphone za kipindi icho na kwa sasa labda washindane na P20, ila hii P30 pro ni level nyingine hata bei yake haishiki
Daah mkuu bhasi ntatafuta huawei aisee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mzuqa!

Miaka miwili mitatu iliyopita ilikuwa vigumu Denmark, Norway, Finland, na Sweden kuona watu wanatumia simu za China za Huawei. Samsung ilitawala soko vibaya sana.

Ghafla bin Vuu yani sasa hivi karibu kila mtu Ana Huawei. Ukiwa kwenye vyombo vya usafiri mkusanyiko husikii tena milio ya simu na meseji za Samsung zikilia kama zamani. Sasa hivi ni Huawei kila kona kila rika. Kwenye basi treni hadhira simu ikiita ni milio ya Huawei

Huawei inakuja kasi sana tena ya ajabu yani wanauza na sijui wanawalipa wauza simu kwasababu ukitaka KUNUNUA wanakushauri ununue Huawei.

Samsung is slowly fading. IPhone inajifanyaga shauri zake.

Sasa cha kushangaza sisi wamatumbi eti tunadharau hizi simu za China.

China aiseee sometimes hatareee hii marketing strategy waliitumia kwa Huawei wamefanikiwa sana. Labda ndio maana wamemshikilia yule mama wa Huawei kanada

acha kuchekesha watu umetoka kwenye dalala ukaona kila mtu anatumia huawei na huawei yako.kuna nchi hata hiyo huawei hawaijui inafananje kama india,usa,canada kwa kuwa mchina kakumata kuanzia dada yako yeshu,mpaka ulivyo navyo nyumbani
 
Huawei sim zao zina better value for money kuliko android nyingine.Pia wanatoa simu kali sana na Samsung asipoangalia yatamkuta ya HTC na Nokia ,ulimwengu wa sim hautakiwi kupigwa gap na mpinzani wako. Bahati mbaya kwa Huawei ni hawaruhusiwi kuuza sim marekani kwa sababu za kiusalama ambalo ni siko namba 2 kwa ukubwa duniani Ila namba 1 kwa faida ya mauzo kwa unit.
 
acha kuchekesha watu umetoka kwenye dalala ukaona kila mtu anatumia huawei na huawei yako.kuna nchi hata hiyo huawei hawaijui inafananje kama india,usa,canada kwa kuwa mchina kakumata kuanzia dada yako yeshu,mpaka ulivyo navyo nyumbani
😱😱😱 unazungumzia hii hii HUAWEI iliyoletewa mada?.
cc: pureView Zeiss
 
Huawei sim zao zina better value for money kuliko android nyingine.Pia wanatoa simu kali sana na Samsung asipoangalia yatamkuta ya HTC na Nokia ,ulimwengu wa sim hautakiwi kupigwa gap na mpinzani wako. Bahati mbaya kwa Huawei ni hawaruhusiwi kuuza sim marekani kwa sababu za kiusalama ambalo ni siko namba 2 kwa ukubwa duniani Ila namba 1 kwa faida ya mauzo kwa unit.
Binafsi natumia Huawei P8.
Jamaa wapo vizuri sana Samsung wanasubiri.
 
Duh! Bonge ya gape
Ukiachana na vingine Huawei namfurahia kwenye ile PRIVACY PROTECTION!.. Yani nikiweka hiyo PP napata password 2 za ku unlock simu, nikiweka pass1 simu inafunguka kidefault, nikiunlock kwa pass2 simu inafunguka kama guest hapo contacts, photos, sms kila nilichoamua kuficha hakitaonekana.
1076690

Ni kama ile Guest na Admin login za Computer!..
 
Back
Top Bottom