Sijasoma mkuu!ilq huna nafasi ya kunihurumia kwa kuwa nawalipa mishahara wasomi kama wewe nyqmbaf!Aisee umeishia darasa la ngapi? Duuu hadi unatia huruma kama hujui kitu bora utulie ili upate kuelewa...
Huawei P20 pro ya mwaka jana 2018 ndio ilikuwa simu yenye CAMERA bora kushinda iphone na Samsung pia kampuni ya Huawei ilipata faida na shares nyingi kuliko kampuni yeyote ya simu na mwaka huu wametoa toleo jipya la Huawei P30 pro inayoshika namba 1 kimauzo hadi sasa
Sio camera tu Huawei haishiki virus kirahisi sio kama Samsung hadi kero.So kwkoo simu ni camera bora tu eh?watu wa selfie kazi mnayo
Hahaha mkaldayoWewe myebusi unafokafoka ili iweje!?
Hujui strategy za mabeberu wewe!
Wanakutanguliza mbele kisha wanakupandia kwa nyuma! Sijui unakiogopa kibamia kile kwa nini!
Ngoja tuwaulize maccm.
Hivi kwanini huwa mnakiogopa kibamia cha beberu?
Mimi ni punda dume!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeshindwa kabisa kuifeel simu aina ya Huaweiii... NIMESHINDWA
Manufacturers wamewateka watumiaji kwenye camera tu ndio maana research zao zinafanywa kwenye camera department tu.So kwkoo simu ni camera bora tu eh?watu wa selfie kazi mnayo
Huzijui huawei ww... Ni simu nzuri sanaHuawei ni simu sasa.???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji15][emoji15]
JF Raha sana, leo iPhone haifui dafu kwa Tecno?! Haya wale wenzangu wa Tecno tumepata pa kujidaiNa ndio maana nimesema ukiondoa ulinzi iphone ni watupu sana hata kwa tecno wanapwaya
Daah mkuu bhasi ntatafuta huawei aisee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ha ha ukitumia zile y300 huwezi kuelewa huawei tafuta P series au mate tanga enzi za P6 huawei anampiga gape sana samsung na iphone za kipindi icho na kwa sasa labda washindane na P20, ila hii P30 pro ni level nyingine hata bei yake haishiki
Mzuqa!
Miaka miwili mitatu iliyopita ilikuwa vigumu Denmark, Norway, Finland, na Sweden kuona watu wanatumia simu za China za Huawei. Samsung ilitawala soko vibaya sana.
Ghafla bin Vuu yani sasa hivi karibu kila mtu Ana Huawei. Ukiwa kwenye vyombo vya usafiri mkusanyiko husikii tena milio ya simu na meseji za Samsung zikilia kama zamani. Sasa hivi ni Huawei kila kona kila rika. Kwenye basi treni hadhira simu ikiita ni milio ya Huawei
Huawei inakuja kasi sana tena ya ajabu yani wanauza na sijui wanawalipa wauza simu kwasababu ukitaka KUNUNUA wanakushauri ununue Huawei.
Samsung is slowly fading. IPhone inajifanyaga shauri zake.
Sasa cha kushangaza sisi wamatumbi eti tunadharau hizi simu za China.
China aiseee sometimes hatareee hii marketing strategy waliitumia kwa Huawei wamefanikiwa sana. Labda ndio maana wamemshikilia yule mama wa Huawei kanada
😱😱😱 unazungumzia hii hii HUAWEI iliyoletewa mada?.acha kuchekesha watu umetoka kwenye dalala ukaona kila mtu anatumia huawei na huawei yako.kuna nchi hata hiyo huawei hawaijui inafananje kama india,usa,canada kwa kuwa mchina kakumata kuanzia dada yako yeshu,mpaka ulivyo navyo nyumbani
Hiyo Galaxy fold inakadiriwa kuuzwa $1,980 lakini Mate X inakadiriwa itauzwa $2,600 cheki gap hilo!!?..Hizi Samsung mpya...folding umeziona add zake?
Pia kwa kuongezea ni kuwa MATE X ndio ya kwanza kutoka kabla ya foldable phone yeyote duniani .Hiyo Galaxy fold inakadiriwa kuuzwa $1,980 lakini Mate X inakadiriwa itauzwa $2,600 cheki gap hilo!!?..
Binafsi natumia Huawei P8.Huawei sim zao zina better value for money kuliko android nyingine.Pia wanatoa simu kali sana na Samsung asipoangalia yatamkuta ya HTC na Nokia ,ulimwengu wa sim hautakiwi kupigwa gap na mpinzani wako. Bahati mbaya kwa Huawei ni hawaruhusiwi kuuza sim marekani kwa sababu za kiusalama ambalo ni siko namba 2 kwa ukubwa duniani Ila namba 1 kwa faida ya mauzo kwa unit.
Huawei zipo juu sana kwa kweliYaani ukiniwekea Huawei na Samsung nichagua kwa kweli Huawei ni simu bora kwangu ina camera nzuri mno.
Duh! Bonge ya gapeHiyo Galaxy fold inakadiriwa kuuzwa $1,980 lakini Mate X inakadiriwa itauzwa $2,600 cheki gap hilo!!?..
Ukiachana na vingine Huawei namfurahia kwenye ile PRIVACY PROTECTION!.. Yani nikiweka hiyo PP napata password 2 za ku unlock simu, nikiweka pass1 simu inafunguka kidefault, nikiunlock kwa pass2 simu inafunguka kama guest hapo contacts, photos, sms kila nilichoamua kuficha hakitaonekana.Duh! Bonge ya gape