Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Siwapendi na tabia zao, wameshapita na miamala yangu kadhaa ya vocha, ukiwatafuta wanakuambia wanafuatilia lakini mwshowe ukikaa kimya na wao wanapotezea.Airtel ni wezi balaa, juzi walitaka kutapeli hela kwa mama, ambayo alikua ananitumia mie.
Wee niliwabana had walirudisha, *****.