Simu za mkopo ni wizi mtupu

Simu za mkopo ni wizi mtupu

Wabongo tunachek upande mmoja,
Heb tazama upande wa muuzaji,
Kukaa anapokea nusu hela kwa bidhaa kwa mwaka mzima, ni mateso sanaaa
Akili zao sijui zikoje, yaani simu ya laki 2, uilipe mwaka mzima afu utoe hiyohiyo laki 2.

Labda hawajahi kufanya biashara.
 
Chochote kilicho na mkopo si kizuri kwa ustawi wa maisha na maendeleo yako... Mkopo ni jini linalokuletea umaskini!
 
Hapo umeibiwa nini sasa? Simu si unapewa? Maelezo si yapo wazi ya gharama? Uchaguzi si ni wako?

Ndo maana wawekezaji wakubwa hawapendi kuja hapa. Nchi tuna ardhi nzuri, workforce ya kutosha ila hakuna watu wengi wenye pesa walio interested kuja hapa. Kila kitu ni tunaibiwa, tunaibiwa. Halafu sasa sisi wenyewe kwa wizi, mtanzania aachiwe shirika na mgeni miezi sita ni mingi mno yatabaki majengo.
 
Hakuna marejesho ya laki mkuu ni Tsh 17,000 kwa miez 12 na unatanguliza 90k
 
Back
Top Bottom