Simu za mkopo pasua Kichwa

Simu za mkopo pasua Kichwa

Haki ya nani, Leo nimeingia duka la simu za mikopo, nimekuta simu ya 280k kwa miez 12 ni 420k yani nusu kwa nusu duh. Aisee.
Ndo maaaana ya mkopo ukae na simu ya watu ulipe ela ya ile ile dukani wale wenyewe they want profit.... Hata benki lazima wakupe interest. Hawawez kukupa 20k urudishe 20k hata ulaya iko hvyo ukilipa kwa installalment kuna kiasi kinazid kidgo
 
Ndo maaaana ya mkopo ukae na simu ya watu ulipe ela ya ile ile dukani wale wenyewe they want profit.... Hata benki lazima wakupe interest. Hawawez kukupa 20k urudishe 20k hata ulaya iko hvyo ukilipa kwa installalment kuna kiasi kinazid kidgo
Sasa mkuu hiyo sio kidogo ni pasuu kwa pasuu
 
Back
Top Bottom