Koffi Annan
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 1,771
- 5,087
Chukua uje hapa makumbusho na laki moja utakua hulipii tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ungekuwa ni wewe unatoa hizo simu kwa marejesho madogo madogo, usingetaka 280k mwisho wa mwaka maana ungeona ni biashara kichaaChifu kikubwa ni uchumi mzee
Nakubali mwamba ni sawa sawa kabisaSimu za mkopo ni mfano halisi wa "kausha damu ".
At least faida isiwe nusu kwa nusuungekuwa ni wewe unatoa hizo simu kwa marejesho madogo madogo, usingetaka 280k mwisho wa mwaka maana ungeona ni biashara kichaa
Sasa mkuu nani awajibike kwa uchumi wako kutofikia gharama ya kumudu simu. Nani unataka umtwishe mzigo, anunue simu, alipe kodi, akipe wafanyakazi, umuondolee hela kwenye mzunguko wa biashara alafu aingie risks zote za simu yako kuharibika, kuibiwa, kutengenezwa, wewe kufa, kupotea, kushindwa kulipa?Uchumi mkuu
Shukuru MUNGU uko vema kiuchumiSijui ni mimi tu ila naonaga haya mambo ya kukopa kopa hata sio aisee.
iwe ngapi ?At least faida isiwe nusu kwa nusu
Mzee umepiga mahesabu kadha wa kadha hapa utadhani yote haya yanatokeaSasa mkuu nani awajibike kwa uchumi wako kutofikia gharama ya kumudu simu. Nani unataka umtwishe mzigo, anunue simu, alipe kodi, akipe wafanyakazi, umuondolee hela kwenye mzunguko wa biashara alafu aingie risks zote za simu yako kuharibika, kuibiwa, kutengenezwa, wewe kufa, kupotea, kushindwa kulipa?
Yani hayo yote unadhani yanafanyika kww gharama ndogo? Hapo nunua cash au kopa ukishindwa basi nunua refurbished ya bei nafuu.
280/380 kwa miez 6iwe ngapi ?
Wala siko vyema Mkuu ni vile tu nikiwaza namna ya kurudisha na ikatokea nikakosa basi naona bora kuacha tu.Shukuru MUNGU uko vema kiuchumi
Nimetoka dukani babu napotosha vip?Unapotosha sio kweli
. Mbona kubwa?Kwani ulizuiwa kununua cash siku zote kitu cha mkopo lazima kiwe na riba
Akiba chief sinaSasa si utoe hiyo 280k ununue
HahahaHivi ule wimbo wa "Kamseleleee mseleleko "
Aliimba nani