Simu za Tigo zitasalimika? Maana nikicheki IMEI naona hola

Simu za Tigo zitasalimika? Maana nikicheki IMEI naona hola

Uhuru24

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
4,112
Reaction score
4,361
8bfaff71ccb96a63514f2bf311787372.jpg
 
Uza kabla haijakufia huku ukiitazama
 
huawei nying tu zipo vizur hata techno nazo fresh,tatizo lipo kweny galaxy copy na experia za laki 2
 
Hivi tunaangaliaje km ni fake?????
Unaminya *#06# itakuletea IMEI namba utazicopy pembeni
Kisha utazituma hizo namba {IMEI} kwenda namba 15090.
Inatakiwa ikuletee model namba na manufacturer sawa na simu yako mfano:- kama simu yako ni huawei y530,na manufacturer ni huawei company ltd, sms itakayotumwa inatakiwa model namba na manufacturer zifanane
 
Unaminya *#06# itakuletea IMEI namba utazicopy pembeni
Kisha utazituma hizo namba {IMEI} kwenda namba 15090.
Inatakiwa ikuletee model namba na manufacturer sawa na simu yako mfano:- kama simu yako ni huawei y530,na manufacturer ni huawei company ltd, sms itakayotumwa inatakiwa model namba na manufacturer zifanane
Asante! Mimi IMEI # ipo kwenye simu kuna sehemu imeandikwa about phone kwenye settings...!
 
*#06# kwa ajili ya kuchek imei
Imei unatuma kwenda 15090
Mkuu imekubali na zimetokea [HASHTAG]#mbili[/HASHTAG] zinatofautiana digits 2 za mwisho nazituma zote 2 au moja ila imedisplay IMEI NAMBA
 
Unaweza tumia moja kwa uhakika zaid jaribu kucheki zote
 
Naomba mnichekie na mimi kwang nimeshindwa 351620060785862/01
351621060785860/01
 
Back
Top Bottom