Zina uhai bosiHabari za Leo Wana jamvi.
Hivi simu hizo wanazotuambia wanaagiza from Dubai Korea Japan n.k hivi Zina uhai wowote au tunapigwa tu.
Nataka ninunue Samsung note 10 au Aquos R6 hiz wanazosema ni used from Dubai.
Au kama Kuna link ya kununua Moja Kwa Moja kutoka Dubai mnipe hapa
Naombeni mawazo yenu
Nllinunua 2 zote nzima. Google pixel ilikuwa na shida ya kufungiwa mtandao wakanibadlishia ipo vizuri. Sum sang s8+ mwaka sasa haina shida yoyote .Habari za Leo Wana jamvi.
Hivi simu hizo wanazotuambia wanaagiza from Dubai Korea Japan n.k hivi Zina uhai wowote au tunapigwa tu.
Nataka ninunue Samsung note 10 au Aquos R6 hiz wanazosema ni used from Dubai.
Au kama Kuna link ya kununua Moja Kwa Moja kutoka Dubai mnipe hapa
Naombeni mawazo yenu
Nipo mby nahitajiNllinunua 2 zote nzima. Google pixel ilikuwa na shida ya kufungiwa mtandao wakanibadlishia ipo vizuri. Sum sang s8+ mwaka sasa haina shida yoyote .
Sumsang niliipata iliotumika korea sio Dubai ni kama mpya. Ingekuwa Mbeya ningekuelekeza duka. Cha msingi zingatia duka, nunua kwa wale wanaoagiza sio wengine.
Nipe namba zaoNllinunua 2 zote nzima. Google pixel ilikuwa na shida ya kufungiwa mtandao wakanibadlishia ipo vizuri. Sum sang s8+ mwaka sasa haina shida yoyote .
Sumsang niliipata iliotumika korea sio Dubai ni kama mpya. Ingekuwa Mbeya ningekuelekeza duka. Cha msingi zingatia duka, nunua kwa wale wanaoagiza sio wengine.
Nashangaa hivi Dubai kuna Kiwanda cha Simu?Habari za Leo Wana jamvi.
Hivi simu hizo wanazotuambia wanaagiza from Dubai Korea Japan n.k hivi Zina uhai wowote au tunapigwa tu.
Nataka ninunue Samsung note 10 au Aquos R6 hiz wanazosema ni used from Dubai.
Au kama Kuna link ya kununua Moja Kwa Moja kutoka Dubai mnipe hapa
Naombeni mawazo yenu
Sumsang? Hiyo sio ya kampuni ya samsung, umepigwa mkuu 🤣🤣Nllinunua 2 zote nzima. Google pixel ilikuwa na shida ya kufungiwa mtandao wakanibadlishia ipo vizuri. Sum sang s8+ mwaka sasa haina shida yoyote .
Sumsang niliipata iliotumika korea sio Dubai ni kama mpya. Ingekuwa Mbeya ningekuelekeza duka. Cha msingi zingatia duka, nunua kwa wale wanaoagiza sio wengine.
Jambo ninalokumbuka sina hakika lina ukweli kiasi gani.Habari za Leo Wana jamvi.
Hivi simu hizo wanazotuambia wanaagiza from Dubai Korea Japan n.k hivi Zina uhai wowote au tunapigwa tu.
Nataka ninunue Samsung note 10 au Aquos R6 hiz wanazosema ni used from Dubai.
Au kama Kuna link ya kununua Moja Kwa Moja kutoka Dubai mnipe hapa
Naombeni mawazo yenu
Dubai hawana viwanda vingi lakini ni kitovu cha biashara nyingi kutokana na sera ya kodi, custom duty na kodi zingine ni ndogo sana karibu na hakuna..Nashangaa hivi Dubai kuna Kiwanda cha Simu?
Kila muuza simu za bei nafuu anasema used kutoka Dubai.
Utajua wewe.Sumsang? Hiyo sio ya kampuni ya samsung, umepigwa mkuu 🤣🤣
Nipe kazi kaka mimi nipo Dubai kama utaamini hizo simu pia naleta hapo china plaza kkoo .Whatsapp me +97156 6941 622 Sama.Habari za Leo Wana jamvi.
Hivi simu hizo wanazotuambia wanaagiza from Dubai Korea Japan n.k hivi Zina uhai wowote au tunapigwa tu.
Nataka ninunue Samsung note 10 au Aquos R6 hiz wanazosema ni used from Dubai.
Au kama Kuna link ya kununua Moja Kwa Moja kutoka Dubai mnipe hapa
Naombeni mawazo yenu
Aina Gani?Nipe kazi kaka mimi nipo Dubai kama utaamini hizo simu pia naleta hapo china plaza kkoo .Whatsapp me +97156 6941 622 Sama.