Smooth Criminal
JF-Expert Member
- May 13, 2024
- 437
- 867
Mpaka sasa natumia Samsung s8 ni mwaka sasa haijawahi sumbua, ni kama mpya tu. Zingatia duka la kununua tu hizi used, usije unganishwa na madalali ukapewa used from bongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali la msingi ni je zinafanya kazi kama zile na camera zinakiwa quality au ni za kubumbabimba tuJambo ninalokumbuka sina hakika lina ukweli kiasi gani.
Wanasema ni Used lakini sio Used ni Simu mpya hizo ambazo ni copy ya matoleo halisi na zinatengenezwa South Korea na China.
Simu hizo huja baada ya mwaka au miaka miwili ikishatoka toleo original. Hivyo zinashushwa bei na ili usishtuke wanaziita ni Used clean au Refurbished.
Niliwahi kuchukua mzigo wa simu za Samsung wa biashara nikiamini Samsung ni simu bora kilichonitokea ni balaaa.