Simuelewi Baba Mkwe wangu

tafuta hela

umekimbilia kuoa mtoto wa tajiri....haya ndio unayopata,vumilia

anakudharau,uko low zaidi yake yeye....unatakiwa uwe above him

thats your work to do nobody else
 
Dingi nenda naye bar mpigisha mitungi kisha mtafutie malaya, believe me atakuwa mshkaji wako kinoma. Mm nimewahi fanya hiyo kwa mjomba angu lakini [emoji1787]
hahahah We broo ni hatari sana
 
Huyo alikuwa anambandua binti yake sasa anakuonea wivi. Wazee dizaini hiyo noma sana akikutembelea ujue roho juu maana lazima ugongewe tu
 
Ananinyima raha kiongozi yaani tukibaki wawili no story ni mikausho tu
Mkuu unapataje muda wa kukaa na baba mkwe na kupiga nae story ? Hao watu inatakiwa uwe unaonana nao Mara chache mnoo , tena kwa dharura tu
 
Wazee wengine jau washamba wakiona mtoto wao kaolewa na kijana labda yeye kamzidi kauwezo wanaleta jeuri, dawa yao kuwapotezea kabisa ili wakuone huwa shobokei.
 
Pole sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…