Simuelewi Baba Mkwe wangu

Simuelewi Baba Mkwe wangu

Nigga What

Senior Member
Joined
May 1, 2021
Posts
164
Reaction score
448
Nimeshangazwa na baba mkwe wangu kuniangalia kwa ukali kila ninapo kutana nae iwe nyumbani kwangu au kwake.

Nimeoa binti yake na mahali nimelipa lakini mpaka leo sijajua kwanini hunionyesha sura ya aina hiyo. Nahisi kama si ukarimu wa mama mkwe wangu ningempiga stop kuja kwangu maana hii ni dalili ya uchawi. Akimuona mwanae anafurahi sana lakini akiniona tu unakua mkinywa mwenye sura ya ukauzu

Hata nilipompa ujauzito binti yake kabla sijamuoa mzee aliwahi kuniambia namtaka mwanae ili nipate ahueni ya kimaisha, lakini sikuwahi kumuomba hata chumvi huyu mzee mwenye mwenye tuhela twa tia maji tia maji.

Mtoto wake na mama mkwe wananipenda sana lakini dingi kauzu dagaa kama mwarabu fighter nipeni ushauri wazee au nimkate kidevu.

By mdau mmoja hapa Dar
 
Kama aliwahi kukwambia unamtaka binti yake ili upate ahueni ya maisha!. Hapo solution ni kutafta hela umzidi kimaisha hata Mara 10 zaidi. Kwasasa Anakuchukia na anakudharau pia coz huna pesa za kutosha.
 
Nimeshangazwa na baba mkwe wangu kuniangalia kwa ukali kila ninapo kutana nae iwe nyumbani kwangu au kwake.

Nimeoa binti yake na mahali nimelipa lakini mpaka leo sijajua kwanini hunionyesha sura ya aina hiyo. Nahisi kama si ukarimu wa mama mkwe wangu ningempiga stop kuja kwangu maana hii ni dalili ya uchaw...
Kata kidevu huyo mzee
 
Huyu mzee ni Mkurya
Nlikua nimeandika mzee ni wa kanda maalumu? halafu nikafuta....kumbe nlikua sawa.

usikute ni sura yake tu ndivyo ilivyo, sura ya kazi.... na kama ni wa huko possibility ya kuwa msabato ni kubwa maana yake hanywi.😂😂😂, jioni uwe unamwambia mzee twende tukanyooshe miguu labda mtaongea ongea
 
Back
Top Bottom