Simuelewi huyu ex wangu

Mimi nataka kujua uyo dada ni kabila gani mkuu? then nta-comment
 
Una hamu ya kupigwa tukio....endelea kujisogeza.
Kisasi is loading.....
Una akili sana!
wanaume wengi hawaelewi kuwa wanawake wanauwezo wa kubeba vyote viwili lakini wakifisha siraha kwa nyuma kwakuwa ni wazuri katika mission
 
Mkuu naona unajibebisha bebisha utaliwa za uso.
 
nakushauri umfanye rafiki wa kawaida na si kurejesha mahusiano, rafiki angu aliwahi mkataa dada mmoja aliempenda sana, yule dada aliumia hata akataka kunywa sumu....

masiku yakapita wakaja kutana pahala yule dada akamchangamkia sana mwamba, mwamba akaona si kesi akarudisha majeshi bt kilichomkuta.... wanawake wanatunza sana visasi hivo si wakuwazoea.
 
Huo ni usakala
Na anaejipeleka hivyo muda wowote ataliwa kinyeo, wanawake kwenye visasi waache tu!
Ila haijasmwa kama ana kisasi.

Hatumjui vizuri huyo Dada lakini ni kwa nini pia tusimfikirie pisitively?.
 
Siku ukienda ndio utajua maana halisi ya username yako mayday kama rubani wa ndege anavyoomba msaada akipata tatizo
 
Ah kabisaa sema ndio hivyo sijapata limama lakunipenda niligegede huku lina nihudumia
Oooh ndo upo mawindoni sio?

Au mi ndo muwindwaji?

Bahati mbaya sijawahi kuhonga hata buku tu kwa mwanaume anaenigonga hapa umepotea,

So pita hivi👉
 
Unitende afu tena ujirudishe ayayayayayayaa ntahakikisha umetoweka kwenye ulimwengu wa wanadamu wa kawaida
Usisahau kuna Watu wamejaliwa kusamehe na kusahau.....ni Wachache lakini wapo.
 
Oooh ndo upo mawindoni sio?

Au mi ndo muwindwaji?

Bahati mbaya sijawahi kuhonga hata buku tu kwa mwanaume anaenigonga hapa umepotea,

So pita hivi👉
🤣🤣🤣🤣 Ah wapi wala sikuwindi. Kuwa na amani kabisa
 
Watu kama ww ndio mnadhalilisha kada ya wanaume.. Maana hujielewi na huelewi nini unataka yaani kwa ufupi ni upoupo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…