Huyo wa kumwangalia sana .....KESHALIKOROGA HUKO BOYFRIEND WAKE............... Labda kama unataka kumtwanga na kumtema...........Habari zenu jf!kuna mdada mmoja hvi nilimpigaga sound kama miezi miwil imeisha pita,akantolea nje then akanipa sababu yake kubwa ambayo na mimi niliiona ni ya muhimu sana kwamba alikua na boyfriend wake wa muda mrefu na wanapendana sana,well mm nkaridhka na majibu yake nkampotezea na kuendelea na maisha yangu,sasa cha kushangaza cku za hvi karbuni amekua na tabia ya kunipigia cm mara kwa mara tena muda wa ucku,ananiambia eti ananimiss sana na huwa anaipenda sauti yangu hvo anapenda mara kwa mara kuickia...me huwa namjbu 2 asante!sasa wakuu huyu kidosho ana maansha nin kunambia hvo na wkt alishaga nchinjia baharin?
its your time, MCHINJIE JANGWANI kama yeye alikuchinjia bahariniHabari zenu jf!kuna mdada mmoja hvi nilimpigaga sound kama miezi miwil imeisha pita,akantolea nje then akanipa sababu yake kubwa ambayo na mimi niliiona ni ya muhimu sana kwamba alikua na boyfriend wake wa muda mrefu na wanapendana sana,well mm nkaridhka na majibu yake nkampotezea na kuendelea na maisha yangu,sasa cha kushangaza cku za hvi karbuni amekua na tabia ya kunipigia cm mara kwa mara tena muda wa ucku,ananiambia eti ananimiss sana na huwa anaipenda sauti yangu hvo anapenda mara kwa mara kuickia...me huwa namjbu 2 asante!sasa wakuu huyu kidosho ana maansha nin kunambia hvo na wkt alishaga nchinjia baharin?
khaaaa!piga start garri then tia full tank brake ya kwanza kwake au kwao kamata mkono peleka guest ya jiran then ingiza bao zako tatu shika mkono tena rudisha home kwisha habari yake. usipige simu tena wala usipokee ya kwake atakizingua huyo.
u wont b seriouz mkuu,kirahc rahc hvo kweli?piga start garri then tia full tank brake ya kwanza kwake au kwao kamata mkono peleka guest ya jiran then ingiza bao zako tatu shika mkono tena rudisha home kwisha habari yake. usipige simu tena wala usipokee ya kwake atakizingua huyo.
Ndo wakati umefika we yeye kukupenda.
wanaume bwana, mkikubaliwa haraka mnatuita malaya, tukiringa ohh nimechinjiwa baharini, hiyo ni sababu moja wapo yakumringia mwanaume.si afadhali yeye amekwambia ana boyfriend, mi huwa nasema nimeathirika au lesbian.kwahiyo huyo dem sio kwamba alikwa na mtu,ila alikuwa anajipa mda wa kukuchunguza na kuona kama unafaa.
wanaume bwana, mkikubaliwa haraka mnatuita malaya, tukiringa ohh nimechinjiwa baharini, hiyo ni sababu moja wapo yakumringia mwanaume.
si afadhali yeye amekwambia ana boyfriend, mi huwa nasema nimeathirika au lesbian.
kwahiyo huyo dem sio kwamba alikwa na mtu,ila alikuwa anajipa mda wa kukuchunguza na kuona kama unafaa.
u wont b seriouz mkuu,kirahc rahc hvo kweli?
kwahiyo huyo dem sio kwamba alikwa na mtu,ila alikuwa anajipa mda wa kukuchunguza na kuona kama unafaa.