Simuelewi mke wangu: Anaweka nywele zake kwenye pochi anayohifadhia pesa

Simuelewi mke wangu: Anaweka nywele zake kwenye pochi anayohifadhia pesa

Mwasapile

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2020
Posts
214
Reaction score
448
Mke wangu anachukua nywele zake anaweka kwenye pochi ambayo huwa anahifadhia pesa.

Nikimuuliza, anadai kuwa zile nywele anazonyoa/akichana zikikatika hapendi kutupa kwenye dustbin, ndio maana anazihifadhi kwenye hiyo pochi yake na baadae huzitupa.

Hii ina maana gani kitaalamu, hamna mchezo ninaochezewa hapa kweli!?
 
Mke wangu anachukua nywele zake anaweka kwenye pochi ambayo huwa anahifadhia pesa.
Nikimuuliza anadai kuwa zile nywele anazonyoa/akichana zikikatika hapendi kutupa kwenye dustbin ndio maana anazihifadhi kwenye hiyo pochi yake na baadae huzitupa.

Hii ina maana gani kitaalamu! Hamna mchezo ninaochezewa apa kweli!?
Wewe itakuwa una hofu ya kurogwa
 
Ndoq ina muda gani ?
Zamani alikua anafanyaje ?
Haya uliyotueleza ameanza kuyafanya lini ?
 
Nipasie namba za mke wako nami nijaribu kumhoji shida nini hadi anafanya mambo yanayokukosesha Amani ya Mwili,,Nafsi na Akili!!###KamaHutojaliLakini###
 
Mke wangu anachukua nywele zake anaweka kwenye pochi ambayo huwa anahifadhia pesa.

Nikimuuliza, anadai kuwa zile nywele anazonyoa/akichana zikikatika hapendi kutupa kwenye dustbin, ndio maana anazihifadhi kwenye hiyo pochi yake na baadae huzitupa.

Hii ina maana gani kitaalamu, hamna mchezo ninaochezewa hapa kweli!?
Majibu yake atakuwa anayo nabii flani hiv
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]labda ndio zinamuingizia kipato Sasa kama ww huwajibiki afanyaje [emoji3]NDOA zina mengi jmn!!
 
Mke wangu anachukua nywele zake anaweka kwenye pochi ambayo huwa anahifadhia pesa.

Nikimuuliza, anadai kuwa zile nywele anazonyoa/akichana zikikatika hapendi kutupa kwenye dustbin, ndio maana anazihifadhi kwenye hiyo pochi yake na baadae huzitupa.

Hii ina maana gani kitaalamu, hamna mchezo ninaochezewa hapa kweli!?
Kula bia
 
Back
Top Bottom