Simuelewi mke wangu: Anaweka nywele zake kwenye pochi anayohifadhia pesa

Simuelewi mke wangu: Anaweka nywele zake kwenye pochi anayohifadhia pesa

Mke wangu anachukua nywele zake anaweka kwenye pochi ambayo huwa anahifadhia pesa.

Nikimuuliza, anadai kuwa zile nywele anazonyoa/akichana zikikatika hapendi kutupa kwenye dustbin, ndio maana anazihifadhi kwenye hiyo pochi yake na baadae huzitupa.

Hii ina maana gani kitaalamu, hamna mchezo ninaochezewa hapa kweli!?
Hizi imani haba zinawasumbua watu sana. Sasa na umaskini wote huu unarogwa ili iweje?
 
Ndoq ina muda gani ?
Zamani alikua anafanyaje ?
Haya uliyotueleza ameanza kuyafanya lini ?

Ndoa ina 7yrs.
Zamani sikuwahi notice kitu kama hicho
This is the third or fourth time nakuta nywele kwenye pochi zake na anadai kuwa ni anakosa pa-kudispose
 
Ndoa ina 7yrs.
Zamani sikuwahi notice kitu kama hicho
This is the third or fourth time nakuta nywele kwenye pochi zake na anadai kuwa ni anakosa pa-kudispose
Kwa tukio hilo lako sio kubwa kiivo kama unavyolivutia taswira wewe .

Yaani mtu anahangaika na nywele zake mwenyewe alafu wewe upate hofu, kweli ?

Inshort mkeo ameanza uchafu kama sio uvivu lakini sio huko ulipomkadiria wewe.
 
Kwa tukio hilo lako sio kubwa kiivo kama unavyolivutia taswira wewe .

Yaani mtu anahangaika na nywele zake mwenyewe alafu wewe upate hofu, kweli ?

Inshort mkeo ameanza uchafu kama sio uvivu lakini sio huko ulipomkadiria wewe.

Kuna rafiki yangu mmoja alioa kama miaka mitano ivi imepita. Jamaa baada ya kuoa akaanza kuchapika kuja kushtuka ni mke ndio anamloga.
Hawa viumbe usipokuwa makini dakika mbili unaumia
 
Then you have proved ur immaturity
Ndoa yako ina shida kaka, trust me.

Tena shida yenyewe ni wewe.

Unakaa miaka Saba na mkeo, Leo hii uje uingiwe hofu kwa nywele zake mwenyewe tena ameziacha kwenye mazingira yanayofikika, sio kweli Kaka.

BAKI NJIA KUU, kama umepata mchepuko achana nae.
 
Kuna rafiki yangu mmoja alioa kama miaka mitano ivi imepita. Jamaa baada ya kuoa akaanza kuchapika kuja kushtuka ni mke ndio anamloga.
Hawa viumbe usipokuwa makini dakika mbili unaumia
Alioa mwanga/mchawi tu na inshort hakuanza kumloga muda huo, pengine alianza kurogwa kitambo kama ni kweli.

Ila kwa mkeo, Br. Mpende tu kama ndio umemtongoza Leo. Ni mapema sana kutomuamini.
 
 
Hata mimi situpi nywele zangu hovyo...

Huwa nafanya kama mkeo naweka kwenye pochi nikirudi home natupa...

Kuna wakati nasahau pia, na hicho ndio kinachofanya wewe kuwa na wasiwasi na mkeo...

Mpende mkeo hana kosa...

Nywele zikichukuliwa na wachawi au waganga wanaweza kukufanya uchawi mbaya...
 
Back
Top Bottom