Wana JF nahitaji msaada wa kimawazo kichwa kimestop kuwaza.
Nina mume wangu wa ndoa ninaye mpenda sana, na huwa naamini kuwa ananipenda zaidi shida inakuja nipo nae mbali kwa sasa ila tuliamua kufungua account itusaidie kwenye mipango yetu na nimekuwa naweka pesa huko kila mwezi cha kushangaza nikimwambia tununue kitu kwa hizo pesa ananizungusha. Pia nikimuuliza sana kuwa simuelewi anakuja juu kuwa simuamini.
Nifanyeje na sipendi malumbano inaniumaje? pesa niitafute na nisifanyie kitu cha maendeleo.