Umekaa kikao na nani wapi SAA ngapi unasusa susaaa πDaniel tumekaa kikaoo tumeamua kususia story yako
Atupishe sie tutakuja kula mbivu kwa uvumilivu wetuπ,Jack Daniel nae ana mbanga zake tofauti na jf,sio kwamba akiamka basi awaze uzi tuUmekaa kikao na nani wapi SAA ngapi unasusa susaaa π
Eeeh JD ni Muhandisi πAtupishe sie tutakuja kula mbivu kwa uvumilivu wetuπ,Jack Daniel nae ana mbanga zake tofauti na jf,sio kwamba akiamka basi awaze uzi tu
ivi moneytalk upo kweliSEHEMU YA AROBAINI NA TATU
Nilifika katikati ya jiji bado mapema kisha nikatafuta mgahawa ili nile ninachokipenda maana hali ilikuwa si hali, lengo pia nijicheleweshe ili nyumbani nifike mida mibovu.
Nilianza kupiga simu huku
Watu kadhaa jamaa na marafiki wakilaumu kitendo cha Mimi kutokuwa hewani kwa siku mbili huku , Shabani akiwa ndiye aliyelaumu zaidi.
Aisee Dani safari hii umeniweza nikafikia hatua ya kuona labda nina mkosi kutokana na kuwa chombo nilimnyang'anya wife, nikadhani umeamua kunidhulumu japo akili yangu haikuweza kuamini. kwani ulikuwa wapi bro. aliuliza.
Nilisafiri kidogo si unajua tena mishe zetu huwezi Kaa town bila kuambiwa nenda sehemu fulani.
nilijibu.
Dah sawa, na Mimi nimerudi toka mkoani na vipi chombo nikuachie uendelee kusaka wateja au nichukue tu maana wewe na safari zako hizoooo....,...kabla hajamalizia sentensi yake nikamjibu.
Sema uko wapi ili tuende nikakukabidhi chombo chako maana , Nina mambo mengi ni kweli nataka hela lakini Niko bize kama vipi njoo sehemu fulani tuongozane.
Nilimwambia huku akidai yupo mbali na mjini hivyo ni kesho tunaweza kuonana.
Nikakapita pale gereji nilipoacha chombo nikakuta kipo sehemu salama kama kilivyo, yaani kinavutia sana kiasi Cha kujikuta ama niendelee kutafuta wateja hii si hela naiacha hii......
Halafu umasikini nao mbaya ningekuwa na hela ningechukua na kukaa nayo, ni nzuri kwa kuhonga hii , lakini kwasasa Sina hela ya mchezo kununua vitu ambavyo haviko kwenye ratiba, nilijiwazia
Vipi bro naona chombo unaitazama kana kwamba wewe ndiye mteja, na vipi wateja wapo au miyeyusho, Mimi Kuna jamaa yangu alikuja hapa nilimuonesha sema bei yake yupo chini sana au nikupe namba uongee naye mwenyewe? alisema yule dogo huku akiizunguka ile gari.
Halafu pia yule dada aliyekataa siku ile kununua akidai anaifahamu ,alikuja Jana jioni na kakupigia simu hukupatikana, tena kakutafuta kweli yaani. aliongeza yule dogo.
Sasa kaja kufanya nini na wakati alikataa, au ndiyo kaenda kumwambia mwenye gari na kuamua kumleta hapa, yule demu mjinga Nini kwanza ngoja.... Nilichukua simu mfukoni nikampigia.
Aisee samahani kaka nilikutafuta hukupatikana kwani ulikuwa wapi, na kwasasa uko wapi? aliuliza mara tu baada ya kusalimiana.
Wewe sema shida yako unataka Nini?niliongea kwa mikato huku Nikipanga kumchana ikiwa angenipa taarifa ya kimbea, nilimsikiliza kwa makini.
Iko hivi Mimi Kiukweli nilimsimulia shoga yangu kuwa gari Iko na wewe na inauzwa , hivyo kaniruhusu kuwa kama nafika bei ninunue tu hivyo nipo tayari kuchukua kwani uko wapi.
aliuliza
Mimi nipo mahali gari ilipo na nimepata taarifa zako ndiyo maana nikakutafuta , kama unaweza njoo na hela kabisa., niliongea kwa kujiamini.
Huku akidai anakuja na yupo tayari kuchukua.
Lakini dakika zilienda bila mtu kutokea hata simu yake mara nyingi ilikuwa inatumika, nikaona isije kuwa mtego nikaamua kujificha sehemu ili nione atakuja na nani , hawachelewi kuja na maaskari Hawa,
Lakini kizuri zaidi Documentary zote ninazo sidhani kama naweza kutuhumiwa kwa habari za wizi.
Nilijipa moyo.
Saa moja kasoro ndiyo niliona watu wawili wakishuka kwenye bajaj huku bajaji ikiondoka na wao wakaingia mle kwenye gereji .
Nikajisogeza taratibu baada ya kujiridhisha, alikuwa ni yule dada Grace na mke wa Shabani nikashtuka kidogo huku nikijifanya nipo sawa.
Tulisalimiana Kisha mke wa Shabani akanivuta pembeni kidogo tuongee.
Samahani shemu kiukweli nimepata taarifa kuwa gari ipo na wewe na umeambiwa uuze , hivyo nimeamua kuinunua kwa mara nyingine, yeye mume wangu si anataka pesa?
shida yake si pesa tu Niko tayari kununua.aliweka kituo huku nilimsikiliza kwa makini.
Sasa shemu kwani gari zimeisha?
Kama una hela kwanini usinunue kwingine huoni kama utaleta utata zaidi kwenye ndoa yako?
niliuliza.
Kwanza ni hiyo bei ya kutupa anayouza, ni gari ambayo naijua ipo vizuri na wewe niuzie kama alivyokuagiza na Grace kaniambia unauza bei fulani na Mimi sihitaji unipunguzie hata mia, nataka Shabani ajue kuwa naweza kuishi mwenyewe, naweza kuishi maisha sawa na yeyote. aliongea kwa hasira sana.
Dah shemu na kwanini mpo hivyo,ni wazi ndoa yenu haiko vizuri,mkiishi kwa mashindano hivi hamuoni mtaibomoa ndoa yenu?
Kwanini msingeenda kwa wasuluhishi ili mkaongee yaishe ni dhahiri hata chombo kisingeuzwa,ili muishi mlee watoto wenu.
niliuliza kinafiki.
Wewe Shemu,funga mdomo wako umeachiwa gari uuze,basi uza gari mimi ni mteja kama wateja wengine,habari za mimi na Shabani achana nazo,kwani kuzaa ndiyo kufanyaje,watoto ni wakubwa wale wanahaki ya kuishi kote kote kama wataishi na mimi sasa kama wataishi na baba yao inshaallah!aliongea kwa jeuri yule mwanamke huku akikosa heshima hata kwangu ila nilivunga lengo niuze gari nipate changu kesho Shabani nimkabidhi mpunga wake.
Biashara ilifanyika nikapokea ile cash nikatia kwenye begi huku manati yangu nikihamishia kiunoni maana.......
Nikatika huku nikiwaambia wale vijana wa gereji kuwa wao tutazungumza kesho.
Nikiwa kwenye njiani niligundua kuwa ndoa ya Shabani imevunjika rasmi hata kama yeye hajui ila ni dhahiri hakuna ndoa pale,maana mwanamke anaonesha hela ya mboga,ya nguo na saloon haimpigi chenga na haya ni madhara ya kuwaachia hawa kina hawa biashara kubwa.
Binafsi yangu nakua niliapa kutokuoa mwanamke msomi na mwenye kazi yake lakini kuna hii changamoto mpya ya biashara ,yaani mwanamke wa kiswahili akiwa na uwezo wa kuizungusha milioni 30 basi dharau zinaanza labda awe si mshamba wa hela au anakupenda tu.nilijiwazia sana.
Nilifika home nikiwa na mwenye mikwara sana huku nikimkataza wife asinipokee begi langu licha ya kuwa ni kawaida yake kufanya vile,nilipitiliza hadi chumbani nikaiweka mizigo yangu huku kile cha juu nilichopata nikijiona kidume kwelikweli kwani ilikuwa rahisi mno,huku nikijiwazia au ile safari ya kwa mtaalamu imezaa matunda?
Yaani majibu yamekuja mapema mno kama ni yeye kweli.
Nikarudi sebuleni huku nikipokea taarifa ya kushtua toka kwa mke wangu kuwa usiku wa jana yake ambapo mimi sikuwepo kuna Jastini alikuja nyumbani na kuniulizia nyakati za usiku mnene.
Nilishtuka sana kwani najua ni siku chache katoka kuhukumiwa iweje aonekane kwangu.huku nikimwambia mke wangu kuwa au kamfananisha?
Sasa mume wangu mimi nimfananishe Jastini?
Ni yeye nakuambia.alifafanua mke wangu.
Jastini ni rafiki yangu ambaye nilipanga nitamtembelea huko jela aliko kwa lengo la kumpa msaada na kumfariji,iweje leo awe mtaani?
Jifunze,
Elimika,
Burudika
Itaendelea....................
Tumehailisha kususia Uzi huu tunaendelea kuusoma ila tupe namba mgangaSEHEMU YA AROBAINI NA TATU
Nilifika katikati ya jiji bado mapema kisha nikatafuta mgahawa ili nile ninachokipenda maana hali ilikuwa si hali, lengo pia nijicheleweshe ili nyumbani nifike mida mibovu.
Nilianza kupiga simu huku
Watu kadhaa jamaa na marafiki wakilaumu kitendo cha Mimi kutokuwa hewani kwa siku mbili huku , Shabani akiwa ndiye aliyelaumu zaidi.
Aisee Dani safari hii umeniweza nikafikia hatua ya kuona labda nina mkosi kutokana na kuwa chombo nilimnyang'anya wife, nikadhani umeamua kunidhulumu japo akili yangu haikuweza kuamini. kwani ulikuwa wapi bro. aliuliza.
Nilisafiri kidogo si unajua tena mishe zetu huwezi Kaa town bila kuambiwa nenda sehemu fulani.
nilijibu.
Dah sawa, na Mimi nimerudi toka mkoani na vipi chombo nikuachie uendelee kusaka wateja au nichukue tu maana wewe na safari zako hizoooo....,...kabla hajamalizia sentensi yake nikamjibu.
Sema uko wapi ili tuende nikakukabidhi chombo chako maana , Nina mambo mengi ni kweli nataka hela lakini Niko bize kama vipi njoo sehemu fulani tuongozane.
Nilimwambia huku akidai yupo mbali na mjini hivyo ni kesho tunaweza kuonana.
Nikapita pale gereji nilipoacha chombo nikakuta kipo sehemu salama kama kilivyo, yaani kinavutia sana kiasi Cha kujikuta ama niendelee kutafuta wateja hii si hela naiacha hii......
Halafu umasikini nao mbaya ningekuwa na hela ningechukua na kukaa nayo, ni nzuri kwa kuhonga hii , lakini kwasasa Sina hela ya mchezo kununua vitu ambavyo haviko kwenye ratiba, nilijiwazia
Vipi bro naona chombo unaitazama kana kwamba wewe ndiye mteja, na vipi wateja wapo au miyeyusho, Mimi Kuna jamaa yangu alikuja hapa nilimuonesha sema bei yake yupo chini sana au nikupe namba uongee naye mwenyewe? alisema yule dogo huku akiizunguka ile gari.
Halafu pia yule dada aliyekataa siku ile kununua akidai anaifahamu ,alikuja Jana jioni na kakupigia simu hukupatikana, tena kakutafuta kweli yaani. aliongeza yule dogo.
Sasa kaja kufanya nini na wakati alikataa, au ndiyo kaenda kumwambia mwenye gari na kuamua kumleta hapa, yule demu mjinga Nini kwanza ngoja.... Nilichukua simu mfukoni nikampigia.
Aisee samahani kaka nilikutafuta hukupatikana kwani ulikuwa wapi, na kwasasa uko wapi? aliuliza mara tu baada ya kusalimiana.
Wewe sema shida yako unataka Nini?niliongea kwa mikato huku Nikipanga kumchana ikiwa angenipa taarifa ya kimbea, nilimsikiliza kwa makini.
Iko hivi Mimi Kiukweli nilimsimulia shoga yangu kuwa gari Iko na wewe na inauzwa , hivyo kaniruhusu kuwa kama nafika bei ninunue tu hivyo nipo tayari kuchukua kwani uko wapi.
aliuliza
Mimi nipo mahali gari ilipo na nimepata taarifa zako ndiyo maana nikakutafuta , kama unaweza njoo na hela kabisa., niliongea kwa kujiamini.
Huku akidai anakuja na yupo tayari kuchukua.
Lakini dakika zilienda bila mtu kutokea hata simu yake mara nyingi ilikuwa inatumika, nikaona isije kuwa mtego nikaamua kujificha sehemu ili nione atakuja na nani , hawachelewi kuja na maaskari Hawa,
Lakini kizuri zaidi Documents zote ninazo sidhani kama naweza kutuhumiwa kwa habari za wizi.
Nilijipa moyo.
Saa moja kasoro ndiyo niliona watu wawili wakishuka kwenye bajaj huku bajaji ikiondoka na wao wakaingia mle kwenye gereji .
Nikajisogeza taratibu baada ya kujiridhisha, alikuwa ni yule dada Grace na mke wa Shabani nikashtuka kidogo huku nikijifanya nipo sawa.
Tulisalimiana Kisha mke wa Shabani akanivuta pembeni kidogo tuongee.
Samahani shemu kiukweli nimepata taarifa kuwa gari ipo na wewe na umeambiwa uuze , hivyo nimeamua kuinunua kwa mara nyingine, yeye mume wangu si anataka pesa?
shida yake si pesa tu Niko tayari kununua.aliweka kituo huku nilimsikiliza kwa makini.
Sasa shemu kwani gari zimeisha?
Kama una hela kwanini usinunue kwingine huoni kama utaleta utata zaidi kwenye ndoa yako?
niliuliza.
Kwanza ni hiyo bei ya kutupa anayouza, ni gari ambayo naijua ipo vizuri na wewe niuzie kama alivyokuagiza na Grace kaniambia unauza bei fulani na Mimi sihitaji unipunguzie hata mia, nataka Shabani ajue kuwa naweza kuishi mwenyewe, naweza kuishi maisha sawa na yeyote. aliongea kwa hasira sana.
Dah shemu na kwanini mpo hivyo,ni wazi ndoa yenu haiko vizuri,mkiishi kwa mashindano hivi hamuoni mtaibomoa ndoa yenu?
Kwanini msingeenda kwa wasuluhishi ili mkaongee yaishe ni dhahiri hata chombo kisingeuzwa,ili muishi mlee watoto wenu.
niliuliza kinafiki.
Wewe Shemu,funga mdomo wako umeachiwa gari uuze,basi uza gari mimi ni mteja kama wateja wengine,habari za mimi na Shabani achana nazo,kwani kuzaa ndiyo kufanyaje,watoto ni wakubwa wale wanahaki ya kuishi kote kote kama wataishi na mimi sasa kama wataishi na baba yao inshaallah!aliongea kwa jeuri yule mwanamke huku akikosa heshima hata kwangu ila nilivunga lengo niuze gari nipate changu kesho Shabani nimkabidhi mpunga wake.
Biashara ilifanyika nikapokea ile cash nikatia kwenye begi huku manati yangu nikihamishia kiunoni maana.......
Nikatoka huku nikiwaambia wale vijana wa gereji kuwa wao tutazungumza kesho
Nikiwa njiani naelekea nyumbani niligundua kuwa ndoa ya Shabani imevunjika rasmi hata kama yeye hajui ila ni dhahiri hakuna ndoa pale,maana mwanamke anaonesha hela ya mboga,ya nguo na saloon haimpigi chenga na haya ni madhara ya kuwaachia hawa kina Hawa biashara kubwa.
Binafsi tangu nakua enzi hizo niliapa kutokuoa mwanamke msomi na mwenye kazi yake lakini kuna hii changamoto mpya ya biashara ,yaani mwanamke wa kiswahili akiwa na uwezo wa kuizungusha milioni 30 basi dharau zinaanza labda awe si mshamba wa hela au anakupenda tu.nilijiwazia sana.
Nilifika home nikiwa na mwenye mikwara sana huku nikimkataza wife asinipokee begi langu licha ya kuwa ni kawaida yake kufanya vile,nilipitiliza hadi chumbani nikaiweka mizigo yangu huku kile cha juu nilichopata nikijiona kidume kwelikweli kwani ilikuwa rahisi mno,huku nikijiwazia au ile safari ya kwa mtaalamu imezaa matunda?
Yaani majibu yamekuja mapema mno kama ni yeye kweli.
Nikarudi sebuleni huku nikipokea taarifa ya kushtua toka kwa mke wangu kuwa usiku wa jana yake ambapo mimi sikuwepo kuna Jastini alikuja nyumbani na kuniulizia nyakati za usiku mnene.
Nilishtuka sana kwani najua ni siku chache katoka kuhukumiwa iweje aonekane kwangu.huku nikimwambia mke wangu kuwa au kamfananisha?
Sasa mume wangu mimi nimfananishe Jastini?
Ni yeye nakuambia.alifafanua mke wangu.
Jastini ni rafiki yangu ambaye nilipanga nitamtembelea huko jela aliko kwa lengo la kumpa msaada na kumfariji,iweje leo awe mtaani?
Jifunze,
Elimika,
Burudika
Itaendelea....................
Ili ukalimishwe sio?[emoji23][emoji23][emoji23]Tumehailisha kususia Uzi huu tunaendelea kuusoma ila tupe namba mganga
Umeonaeee.....Eeeh JD ni Muhandisi π
ha ha haaa sanaaaaakumbe unanipenda eeeh
Tehe teheh[emoji851]kumbe unanipenda eeeh
[emoji8]ha ha haaa sanaaaaa
umefurahii mwenyeweTehe teheh[emoji851]
JD unajua kumuacha mtu na hamu zake yaani unapiga viwili unaacha wakati watu tunataka hata 4SEHEMU YA AROBAINI NA TATU
Nilifika katikati ya jiji bado mapema kisha nikatafuta mgahawa ili nile ninachokipenda maana hali ilikuwa si hali, lengo pia nijicheleweshe ili nyumbani nifike mida mibovu.
Nilianza kupiga simu huku
Watu kadhaa jamaa na marafiki wakilaumu kitendo cha Mimi kutokuwa hewani kwa siku mbili huku , Shabani akiwa ndiye aliyelaumu zaidi.
Aisee Dani safari hii umeniweza nikafikia hatua ya kuona labda nina mkosi kutokana na kuwa chombo nilimnyang'anya wife, nikadhani umeamua kunidhulumu japo akili yangu haikuweza kuamini. kwani ulikuwa wapi bro. aliuliza.
Nilisafiri kidogo si unajua tena mishe zetu huwezi Kaa town bila kuambiwa nenda sehemu fulani.
nilijibu.
Dah sawa, na Mimi nimerudi toka mkoani na vipi chombo nikuachie uendelee kusaka wateja au nichukue tu maana wewe na safari zako hizoooo....,...kabla hajamalizia sentensi yake nikamjibu.
Sema uko wapi ili tuende nikakukabidhi chombo chako maana , Nina mambo mengi ni kweli nataka hela lakini Niko bize kama vipi njoo sehemu fulani tuongozane.
Nilimwambia huku akidai yupo mbali na mjini hivyo ni kesho tunaweza kuonana.
Nikapita pale gereji nilipoacha chombo nikakuta kipo sehemu salama kama kilivyo, yaani kinavutia sana kiasi Cha kujikuta ama niendelee kutafuta wateja hii si hela naiacha hii......
Halafu umasikini nao mbaya ningekuwa na hela ningechukua na kukaa nayo, ni nzuri kwa kuhonga hii , lakini kwasasa Sina hela ya mchezo kununua vitu ambavyo haviko kwenye ratiba, nilijiwazia
Vipi bro naona chombo unaitazama kana kwamba wewe ndiye mteja, na vipi wateja wapo au miyeyusho, Mimi Kuna jamaa yangu alikuja hapa nilimuonesha sema bei yake yupo chini sana au nikupe namba uongee naye mwenyewe? alisema yule dogo huku akiizunguka ile gari.
Halafu pia yule dada aliyekataa siku ile kununua akidai anaifahamu ,alikuja Jana jioni na kakupigia simu hukupatikana, tena kakutafuta kweli yaani. aliongeza yule dogo.
Sasa kaja kufanya nini na wakati alikataa, au ndiyo kaenda kumwambia mwenye gari na kuamua kumleta hapa, yule demu mjinga Nini kwanza ngoja.... Nilichukua simu mfukoni nikampigia.
Aisee samahani kaka nilikutafuta hukupatikana kwani ulikuwa wapi, na kwasasa uko wapi? aliuliza mara tu baada ya kusalimiana.
Wewe sema shida yako unataka Nini?niliongea kwa mikato huku Nikipanga kumchana ikiwa angenipa taarifa ya kimbea, nilimsikiliza kwa makini.
Iko hivi Mimi Kiukweli nilimsimulia shoga yangu kuwa gari Iko na wewe na inauzwa , hivyo kaniruhusu kuwa kama nafika bei ninunue tu hivyo nipo tayari kuchukua kwani uko wapi.
aliuliza
Mimi nipo mahali gari ilipo na nimepata taarifa zako ndiyo maana nikakutafuta , kama unaweza njoo na hela kabisa., niliongea kwa kujiamini.
Huku akidai anakuja na yupo tayari kuchukua.
Lakini dakika zilienda bila mtu kutokea hata simu yake mara nyingi ilikuwa inatumika, nikaona isije kuwa mtego nikaamua kujificha sehemu ili nione atakuja na nani , hawachelewi kuja na maaskari Hawa,
Lakini kizuri zaidi Documents zote ninazo sidhani kama naweza kutuhumiwa kwa habari za wizi.
Nilijipa moyo.
Saa moja kasoro ndiyo niliona watu wawili wakishuka kwenye bajaj huku bajaji ikiondoka na wao wakaingia mle kwenye gereji .
Nikajisogeza taratibu baada ya kujiridhisha, alikuwa ni yule dada Grace na mke wa Shabani nikashtuka kidogo huku nikijifanya nipo sawa.
Tulisalimiana Kisha mke wa Shabani akanivuta pembeni kidogo tuongee.
Samahani shemu kiukweli nimepata taarifa kuwa gari ipo na wewe na umeambiwa uuze , hivyo nimeamua kuinunua kwa mara nyingine, yeye mume wangu si anataka pesa?
shida yake si pesa tu Niko tayari kununua.aliweka kituo huku nilimsikiliza kwa makini.
Sasa shemu kwani gari zimeisha?
Kama una hela kwanini usinunue kwingine huoni kama utaleta utata zaidi kwenye ndoa yako?
niliuliza.
Kwanza ni hiyo bei ya kutupa anayouza, ni gari ambayo naijua ipo vizuri na wewe niuzie kama alivyokuagiza na Grace kaniambia unauza bei fulani na Mimi sihitaji unipunguzie hata mia, nataka Shabani ajue kuwa naweza kuishi mwenyewe, naweza kuishi maisha sawa na yeyote. aliongea kwa hasira sana.
Dah shemu na kwanini mpo hivyo,ni wazi ndoa yenu haiko vizuri,mkiishi kwa mashindano hivi hamuoni mtaibomoa ndoa yenu?
Kwanini msingeenda kwa wasuluhishi ili mkaongee yaishe ni dhahiri hata chombo kisingeuzwa,ili muishi mlee watoto wenu.
niliuliza kinafiki.
Wewe Shemu,funga mdomo wako umeachiwa gari uuze,basi uza gari mimi ni mteja kama wateja wengine,habari za mimi na Shabani achana nazo,kwani kuzaa ndiyo kufanyaje,watoto ni wakubwa wale wanahaki ya kuishi kote kote kama wataishi na mimi sasa kama wataishi na baba yao inshaallah!aliongea kwa jeuri yule mwanamke huku akikosa heshima hata kwangu ila nilivunga lengo niuze gari nipate changu kesho Shabani nimkabidhi mpunga wake.
Biashara ilifanyika nikapokea ile cash nikatia kwenye begi huku manati yangu nikihamishia kiunoni maana.......
Nikatoka huku nikiwaambia wale vijana wa gereji kuwa wao tutazungumza kesho
Nikiwa njiani naelekea nyumbani niligundua kuwa ndoa ya Shabani imevunjika rasmi hata kama yeye hajui ila ni dhahiri hakuna ndoa pale,maana mwanamke anaonesha hela ya mboga,ya nguo na saloon haimpigi chenga na haya ni madhara ya kuwaachia hawa kina Hawa biashara kubwa.
Binafsi tangu nakua enzi hizo niliapa kutokuoa mwanamke msomi na mwenye kazi yake lakini kuna hii changamoto mpya ya biashara ,yaani mwanamke wa kiswahili akiwa na uwezo wa kuizungusha milioni 30 basi dharau zinaanza labda awe si mshamba wa hela au anakupenda tu.nilijiwazia sana.
Nilifika home nikiwa na mwenye mikwara sana huku nikimkataza wife asinipokee begi langu licha ya kuwa ni kawaida yake kufanya vile,nilipitiliza hadi chumbani nikaiweka mizigo yangu huku kile cha juu nilichopata nikijiona kidume kwelikweli kwani ilikuwa rahisi mno,huku nikijiwazia au ile safari ya kwa mtaalamu imezaa matunda?
Yaani majibu yamekuja mapema mno kama ni yeye kweli.
Nikarudi sebuleni huku nikipokea taarifa ya kushtua toka kwa mke wangu kuwa usiku wa jana yake ambapo mimi sikuwepo kuna Jastini alikuja nyumbani na kuniulizia nyakati za usiku mnene.
Nilishtuka sana kwani najua ni siku chache katoka kuhukumiwa iweje aonekane kwangu.huku nikimwambia mke wangu kuwa au kamfananisha?
Sasa mume wangu mimi nimfananishe Jastini?
Ni yeye nakuambia.alifafanua mke wangu.
Jastini ni rafiki yangu ambaye nilipanga nitamtembelea huko jela aliko kwa lengo la kumpa msaada na kumfariji,iweje leo awe mtaani?
Jifunze,
Elimika,
Burudika
Itaendelea....................
πππHapo kwenye kutimua mbio uchi ππNilioga maeneo fulani ya pori huku nikiwa nageuka mara kwa mara, kwani kuvua nguo huku uko porini,
ambako usalama ni mdogo, linaweza kutokea la kutokea ukajikuta unatimua mbio ukiwa uchi.