Gaga rhino
Senior Member
- Aug 15, 2023
- 196
- 252
Itaendelea lini??SEHEMU YA SITINI NA TISA
Kutokana na kile nilichokisoma kwenye barua niliyopewa na Scorpion asubuhi,niligundua boss hajui chochote,hivyo nilikaa kimya niliendelea na kazi zingine huku nikiona familia ya Jane ni wapumbavu tu na hata nilichofanya nikijiona nilikuwa sahihi.kifupi ile barua ilishanipa jeuri.
Nilimpiga simu wife kuwa Mida fulani atatakiwa awepo hotel fulani lakini pia ahakikishe kijana anakuwa makini ikiwemo kutomfungulia yeyote asiyefahamika lakini pia abebe kiasi fulani cha pesa kwani nilijua lazima kutakuwa na kutozana pesa.
Naam,ule muda wa kukutana hotelini uliwadia,watu tukakutana huku watu wote wakijibu salamu yangu kasoro Jane ambaye alijifanya yuko busy na simu lakini niligundua haraka.
Alikuwepo mume wa Jane na ndugu zake jane wawili.
Pia mimi na mke wangu ,pia alikuwepo mtu mmoja ambaye alikuwa sambamba na mume wake Jane alijitambulisha kama mwanasheria,jumla tukawa watu nane akiwemo boss wangu.
Kikao kilianza huku mke wangu mguu wake ukiwa umenikanyaga na hatoi lengo nitakapojaribu kupandisha ukali au presha yeyote basi iwe rahisi kunikonyeza.
Bahati nzuri kila kitu kilienda freshi kabisa ,pakuomba msamaha niliomba huku yule mwanasheria akidai mkono mtupu haulambwi hivyo lazima kibinadamu na kiuungwana nimpe takrima fulani Jane .
Ndugu zanguni hii wala siyo faini wala nini bali ni namna ya kumfariji ndugu yetu,dada yetu,ambaye ndiye aliyedhalilishwa,na hii kesi kama ingefika mahakamani huenda Mr Daniel angekuwa kwenye wakati mgumu mno lakini kwakuwa tumeamua kuimaliza kibinadamu basi unapaswa kutoa chochote ili kusafisha moyo wa Jane muhanga wa hili jambo.kwanza itakupa uhuru Daniel na itamfariji na Jane pia.
aliweka kituo yule aliyejiita mwanasheria.
Kwahiyo ni kiasi gani ndugu naweza kutoa, niliuliza.
Hii siyo faini kwamba imepangwa kisheria,na hapa hatupo kwaajili ya kukandamizana au kumuonea mtu bali ni muhusika atataja mwenyewe,iwe elfu moja,elfu kumi n.k.aliweka kituo yule mwanasheria.
Baada ya kusema hayo alipewa nafasi Jane ataje kiasi ambacho anahisi kitamfaa,
Aliinuka huku akijifanya anachechemea lengo watu wamuone aliumia sana.
Kwanza niwashukuru nyote kwa kuweza kunijali na kuonesha mapenzi kwangu,lakini pia nimshukuru huyu ndugu yetu ambaye ni boss wa Daniel kwa kuweza kuwa na utu wa kulimaliza hili suala.
Kiufupi bado nina maumivu kadhaa kwenye ubavu wa kulia lakini pia mguu wa kulia nao haujakuwa sawa.lakini najua mwenyezi Mungu ataniponya.
Pia niseme tu ukweli kwenye kikao hiki hakuna aliyenishawishi moja kwa moja mimi kukubali kuelewana na Daniel,si mume wangu wala nani bali ni mwanamke mwenzangu ambaye amekuwa akipiga simu kwa ndugu zangu lakini pia kwangu akinisihi na kuniomba nisitishe mpango wangu wa kumshitaki .sasa kwa kumalizia tu ni kwamba ninaomba anipe million tano ili angalau nikafanye checkup vizuri maana nina maumivu kila sehemu ya mwili wangu.na hapo ndipo nitakuwa nimemsamehe.aliweka kituo Jane .
Kwanza nilishtuka huku nikigundua mle ndani kila mmoja kashituka si kwamba waliona ile pesa ni nyingi ila ni kwamba Jane alikuwa kama anatoka kwenye mstari wa makubaliano yetu na ni kama alikuwa ananikomoa fulani.
Baada ya hapo mume wa Jane , mwanasheria wao na Jane mwenyewe walitoka wakaenda kujadili pembeni karibu dakika kumi nzima lakini baada ya kurudi walidai wamemsihi ila Kagoma akidai yeye anataka fidia ya pesa husika aliyoitaja.
Wakati huo mimi na mke wangu tulikuwa kimya sana,kisha boss wangu akavunja ukimya....
Ndugu zanguni nadhani tunachofanya kinaweza kisiwe sahihi kwasababu wote tulikubaliana kuwa tumalize kiundugu na kifamilia,ili maisha mengine yaendelee na pia kumbukeni gharama zote za hapa tulipo zote ni juu yangu mimi nadhani hakuna yeyote anayejua bili inalipwa na nani hivyo tunaomba basi tubaki kwenye mstari wa utu ili mradi kila kitu kiende sawa.aliweka kituo boss wangu.
Baada ya hapo mimi nilivunja ukimya na kusema nipo tayari kulipa ile pesa,na sijui ni hasira gani ilinipata ila ndiyo hivyo tena niliropoka.
Kwanza niwashukuru nyote kwa kuweza kukubali kuelewana na hatimaye kumaliza hili suala najua uhuru hupatikana kwa gharama,watu wengi Duniani wanahitaji uhuru,
Wawe huru kufanya mambo yao.
Kuna watu hawaolewi kwasababu wanahitaji kuwa huru na mambo yao
Hawahitaji kubanwabanwa.
Kuna watu hawaoi wala kutengeneza familia kwasababu tu hawataki kubanwabanwa wanahitaji kuwa huru.
Hivyo kwa mifano hii Daniel nahitaji kuwa huru , ni siku chache tu hapa nilikuwa kama mkimbizi asiye na vibali vya kukaa kwenye nchi za wengine yote haya ni kwasababu sikuwa huru. Hivyo niseme tu kuwa nipo tayari kulipa hiyo hela ili tu niwe huru. Niliweka kituo.
Mke wangu alinikanyaga akiwa anaonesha kukerwa kwanini nakubali kulipa pesa yote ile kwani pengine tungeomba tupunguziwe ingewezekana lakini pia Kila mmoja aliniangalia huku ikionekana Nina jeuri ndiyo maana nimekubali kulipa .
Hata boss wangu alinitazama huku uso wake ukiongea jambo.
Baada ya hapo niliomba niende chemba na mke wangu tutete jambo.
Huku tukiwaacha wengine pale.....
Hivi wewee upoje?umewezaje kukubali kulipa pesa yote hiyo?
Yule Jane katamka tu hakukuwa na ulazima wowote wa kukubali kirahisi vile,mmmh tena kila mtu kashakuona
wewe ni mjeuri na kiburi,na mbaya zaidi upo na boss wako huoni hii itakuweka kwenye mazingira magumu?alinilaumu mke wangu.
Usijali kuhusu boss wangu,kwanza huyu ni msimamizi tu siyo ndiyo kila kitu wewe unadhani maboss zangu wangekubali kukaa kwenye vikao hivi,
CEO mwenyewe yupo ughaibuni wiki ya tatu sasa.
Eenhee una kiasi gani hapo cha pesa . niliuliza.
Hapa nina milioni moja tu,sasa wewe mwenyewe umekubali pesa nyiiiingi kiasi hicho ,punguza kujiamini mume wangu kila siku pesa utakuwa unawatafutia watu tu sasa itakuwaje hii si ada ya mtoto ya mwaka mzima cha ajabu unawapa watu tu.
alilalamika sana wife.
Nilirudi kwenye kikao kisha nikawaambia kwa muda ule nina kiasi cha pesa kama asilimia ishirini tu,nyingine nitawapa baada ya siku kadhaa.kisha wote waliangaliana kisha mume wa Jane akachukua kile kiasi na kumkabidhi mkewe.
Baada ya Jane kupokea zile pesa akaziweka kwenye mkoba na kuinuka akaja nilipo na kutamka maneno yafuatayo......
Mimi nilikuwa nakuletea taarifa kutokana na ajali ya gari la mkeo baada ya kuona linatoa moshi kwenye injini hata hivyo tulikubaliana kuwa alinde gari Kisha mimi nikufuate wewe ili ukatoe maamuzi Ukiwa kama mwanaume ,pia nilimdanganya mume wangu nikimwambia nipo nyumbani lengo nisimuache mwanamke mwenzangu kwenye nyakati ngumu angenielewa vipi? Simu tumekupigia zaidi ya mara mia lakini haikupokelewa.
lakini Cha ajabu ukiishia kunipiga na kunisababishia maumivu makubwa.
Ila nimekusamehe na hata hicho kiasi kilichobaki nimesamehe ili nikuombe kitu shemeji yangu, bahati haijirudii mara mbili jaribu kubadili tabia zako. aliweka kituo Jane.
Watu wote walipiga makofi wakimpongeza Jane lakini pia mimi nilimshukuru kwa msamaha sana tena sana tu.
Baada ya hapo Jane na mke wangu walikumbatiana kitambo kidogo wakiwa na hisia fulani , baada ya tukio lile kupita niliwashukuru wote huku Kila mtu akionesha hana kinyongo na mimi.
Baada ya hapo niligusia juu ya usalama wangu haswa baada ya kusikia mpango mbaya wa kuchoma nyumba yangu moto , lakini wote walinihakikishia kuwa haitotokea hilo
huku wakiniasa kuwa niache au nipunguze kuwa na uhasama na watu kwani linaweza kufanywa tukio la ajabu na mtu mwingine Kisha Mimi nikawahisi watu wengine kwakuwa tu Niko na bifu na watu wengi.
Kifupi niliwaelewa sana Kisha boss akaingia kwenye gari lake na kusepa, Kisha Mimi na wife tukaaga. Huku tukiwaacha wale watano wakiagiza vinywaji vya aina mbalimbali, huenda ile pesa walitumia pale pale.
Tukiwa kwenye gari wife alikuwa anashukuru Mungu kama kawaida yake baada ya tukio lile kupita.
Vipi barua inasemaje? sehemu ijayo ina majibu, usikose!!
Jifunze
Elimika
Burudika.
Itaendelea..............
SEHEMU YA SITINI NA TISA
Kutokana na kile nilichokisoma kwenye barua niliyopewa na Scorpion asubuhi,niligundua boss hajui chochote,hivyo nilikaa kimya niliendelea na kazi zingine huku nikiona familia ya Jane ni wapumbavu tu na hata nilichofanya nikijiona nilikuwa sahihi.kifupi ile barua ilishanipa jeuri.
Nilimpiga simu wife kuwa Mida fulani atatakiwa awepo hotel fulani lakini pia ahakikishe kijana anakuwa makini ikiwemo kutomfungulia yeyote asiyefahamika lakini pia abebe kiasi fulani cha pesa kwani nilijua lazima kutakuwa na kutozana pesa.
Naam,ule muda wa kukutana hotelini uliwadia,watu tukakutana huku watu wote wakijibu salamu yangu kasoro Jane ambaye alijifanya yuko busy na simu lakini niligundua haraka.
Alikuwepo mume wa Jane na ndugu zake jane wawili.
Pia mimi na mke wangu ,pia alikuwepo mtu mmoja ambaye alikuwa sambamba na mume wake Jane alijitambulisha kama mwanasheria,jumla tukawa watu nane akiwemo boss wangu.
Kikao kilianza huku mke wangu mguu wake ukiwa umenikanyaga na hatoi lengo nitakapojaribu kupandisha ukali au presha yeyote basi iwe rahisi kunikonyeza.
Bahati nzuri kila kitu kilienda freshi kabisa ,pakuomba msamaha niliomba huku yule mwanasheria akidai mkono mtupu haulambwi hivyo lazima kibinadamu na kiuungwana nimpe takrima fulani Jane .
Ndugu zanguni hii wala siyo faini wala nini bali ni namna ya kumfariji ndugu yetu,dada yetu,ambaye ndiye aliyedhalilishwa,na hii kesi kama ingefika mahakamani huenda Mr Daniel angekuwa kwenye wakati mgumu mno lakini kwakuwa tumeamua kuimaliza kibinadamu basi unapaswa kutoa chochote ili kusafisha moyo wa Jane muhanga wa hili jambo.kwanza itakupa uhuru Daniel na itamfariji na Jane pia.
aliweka kituo yule aliyejiita mwanasheria.
Kwahiyo ni kiasi gani ndugu naweza kutoa, niliuliza.
Hii siyo faini kwamba imepangwa kisheria,na hapa hatupo kwaajili ya kukandamizana au kumuonea mtu bali ni muhusika atataja mwenyewe,iwe elfu moja,elfu kumi n.k.aliweka kituo yule mwanasheria.
Baada ya kusema hayo alipewa nafasi Jane ataje kiasi ambacho anahisi kitamfaa,
Aliinuka huku akijifanya anachechemea lengo watu wamuone aliumia sana.
Kwanza niwashukuru nyote kwa kuweza kunijali na kuonesha mapenzi kwangu,lakini pia nimshukuru huyu ndugu yetu ambaye ni boss wa Daniel kwa kuweza kuwa na utu wa kulimaliza hili suala.
Kiufupi bado nina maumivu kadhaa kwenye ubavu wa kulia lakini pia mguu wa kulia nao haujakuwa sawa.lakini najua mwenyezi Mungu ataniponya.
Pia niseme tu ukweli kwenye kikao hiki hakuna aliyenishawishi moja kwa moja mimi kukubali kuelewana na Daniel,si mume wangu wala nani bali ni mwanamke mwenzangu ambaye amekuwa akipiga simu kwa ndugu zangu lakini pia kwangu akinisihi na kuniomba nisitishe mpango wangu wa kumshitaki .sasa kwa kumalizia tu ni kwamba ninaomba anipe million tano ili angalau nikafanye checkup vizuri maana nina maumivu kila sehemu ya mwili wangu.na hapo ndipo nitakuwa nimemsamehe.aliweka kituo Jane .
Kwanza nilishtuka huku nikigundua mle ndani kila mmoja kashituka si kwamba waliona ile pesa ni nyingi ila ni kwamba Jane alikuwa kama anatoka kwenye mstari wa makubaliano yetu na ni kama alikuwa ananikomoa fulani.
Baada ya hapo mume wa Jane , mwanasheria wao na Jane mwenyewe walitoka wakaenda kujadili pembeni karibu dakika kumi nzima lakini baada ya kurudi walidai wamemsihi ila Kagoma akidai yeye anataka fidia ya pesa husika aliyoitaja.
Wakati huo mimi na mke wangu tulikuwa kimya sana,kisha boss wangu akavunja ukimya....
Ndugu zanguni nadhani tunachofanya kinaweza kisiwe sahihi kwasababu wote tulikubaliana kuwa tumalize kiundugu na kifamilia,ili maisha mengine yaendelee na pia kumbukeni gharama zote za hapa tulipo zote ni juu yangu mimi nadhani hakuna yeyote anayejua bili inalipwa na nani hivyo tunaomba basi tubaki kwenye mstari wa utu ili mradi kila kitu kiende sawa.aliweka kituo boss wangu.
Baada ya hapo mimi nilivunja ukimya na kusema nipo tayari kulipa ile pesa,na sijui ni hasira gani ilinipata ila ndiyo hivyo tena niliropoka.
Kwanza niwashukuru nyote kwa kuweza kukubali kuelewana na hatimaye kumaliza hili suala najua uhuru hupatikana kwa gharama,watu wengi Duniani wanahitaji uhuru,
Wawe huru kufanya mambo yao.
Kuna watu hawaolewi kwasababu wanahitaji kuwa huru na mambo yao
Hawahitaji kubanwabanwa.
Kuna watu hawaoi wala kutengeneza familia kwasababu tu hawataki kubanwabanwa wanahitaji kuwa huru.
Hivyo kwa mifano hii Daniel nahitaji kuwa huru , ni siku chache tu hapa nilikuwa kama mkimbizi asiye na vibali vya kukaa kwenye nchi za wengine yote haya ni kwasababu sikuwa huru. Hivyo niseme tu kuwa nipo tayari kulipa hiyo hela ili tu niwe huru. Niliweka kituo.
Mke wangu alinikanyaga akiwa anaonesha kukerwa kwanini nakubali kulipa pesa yote ile kwani pengine tungeomba tupunguziwe ingewezekana lakini pia Kila mmoja aliniangalia huku ikionekana Nina jeuri ndiyo maana nimekubali kulipa .
Hata boss wangu alinitazama huku uso wake ukiongea jambo.
Baada ya hapo niliomba niende chemba na mke wangu tutete jambo.
Huku tukiwaacha wengine pale.....
Hivi wewee upoje?umewezaje kukubali kulipa pesa yote hiyo?
Yule Jane katamka tu hakukuwa na ulazima wowote wa kukubali kirahisi vile,mmmh tena kila mtu kashakuona
wewe ni mjeuri na kiburi,na mbaya zaidi upo na boss wako huoni hii itakuweka kwenye mazingira magumu?alinilaumu mke wangu.
Usijali kuhusu boss wangu,kwanza huyu ni msimamizi tu siyo ndiyo kila kitu wewe unadhani maboss zangu wangekubali kukaa kwenye vikao hivi,
CEO mwenyewe yupo ughaibuni wiki ya tatu sasa.
Eenhee una kiasi gani hapo cha pesa . niliuliza.
Hapa nina milioni moja tu,sasa wewe mwenyewe umekubali pesa nyiiiingi kiasi hicho ,punguza kujiamini mume wangu kila siku pesa utakuwa unawatafutia watu tu sasa itakuwaje hii si ada ya mtoto ya mwaka mzima cha ajabu unawapa watu tu.
alilalamika sana wife.
Nilirudi kwenye kikao kisha nikawaambia kwa muda ule nina kiasi cha pesa kama asilimia ishirini tu,nyingine nitawapa baada ya siku kadhaa.kisha wote waliangaliana kisha mume wa Jane akachukua kile kiasi na kumkabidhi mkewe.
Baada ya Jane kupokea zile pesa akaziweka kwenye mkoba na kuinuka akaja nilipo na kutamka maneno yafuatayo......
Mimi nilikuwa nakuletea taarifa kutokana na ajali ya gari la mkeo baada ya kuona linatoa moshi kwenye injini hata hivyo tulikubaliana kuwa alinde gari Kisha mimi nikufuate wewe ili ukatoe maamuzi Ukiwa kama mwanaume ,pia nilimdanganya mume wangu nikimwambia nipo nyumbani lengo nisimuache mwanamke mwenzangu kwenye nyakati ngumu angenielewa vipi? Simu tumekupigia zaidi ya mara mia lakini haikupokelewa.
lakini Cha ajabu ukiishia kunipiga na kunisababishia maumivu makubwa.
Ila nimekusamehe na hata hicho kiasi kilichobaki nimesamehe ili nikuombe kitu shemeji yangu, bahati haijirudii mara mbili jaribu kubadili tabia zako. aliweka kituo Jane.
Watu wote walipiga makofi wakimpongeza Jane lakini pia mimi nilimshukuru kwa msamaha sana tena sana tu.
Baada ya hapo Jane na mke wangu walikumbatiana kitambo kidogo wakiwa na hisia fulani , baada ya tukio lile kupita niliwashukuru wote huku Kila mtu akionesha hana kinyongo na mimi.
Baada ya hapo niligusia juu ya usalama wangu haswa baada ya kusikia mpango mbaya wa kuchoma nyumba yangu moto , lakini wote walinihakikishia kuwa haitotokea hilo
huku wakiniasa kuwa niache au nipunguze kuwa na uhasama na watu kwani linaweza kufanywa tukio la ajabu na mtu mwingine Kisha Mimi nikawahisi watu wengine kwakuwa tu Niko na bifu na watu wengi.
Kifupi niliwaelewa sana Kisha boss akaingia kwenye gari lake na kusepa, Kisha Mimi na wife tukaaga. Huku tukiwaacha wale watano wakiagiza vinywaji vya aina mbalimbali, huenda ile pesa walitumia pale pale.
Tukiwa kwenye gari wife alikuwa anashukuru Mungu kama kawaida yake baada ya tukio lile kupita.
Vipi barua inasemaje? sehemu ijayo ina majibu, usikose!!
Jifunze
Elimika
Burudika.
Itaendelea..............
Shukran mzee Kwa muda wakoSEHEMU YA SITINI NA TISA
Kutokana na kile nilichokisoma kwenye barua niliyopewa na Scorpion asubuhi,niligundua boss hajui chochote,hivyo nilikaa kimya niliendelea na kazi zingine huku nikiona familia ya Jane ni wapumbavu tu na hata nilichofanya nikijiona nilikuwa sahihi.kifupi ile barua ilishanipa jeuri.
Nilimpiga simu wife kuwa Mida fulani atatakiwa awepo hotel fulani lakini pia ahakikishe kijana anakuwa makini ikiwemo kutomfungulia yeyote asiyefahamika lakini pia abebe kiasi fulani cha pesa kwani nilijua lazima kutakuwa na kutozana pesa.
Naam,ule muda wa kukutana hotelini uliwadia,watu tukakutana huku watu wote wakijibu salamu yangu kasoro Jane ambaye alijifanya yuko busy na simu lakini niligundua haraka.
Alikuwepo mume wa Jane na ndugu zake jane wawili.
Pia mimi na mke wangu ,pia alikuwepo mtu mmoja ambaye alikuwa sambamba na mume wake Jane alijitambulisha kama mwanasheria,jumla tukawa watu nane akiwemo boss wangu.
Kikao kilianza huku mke wangu mguu wake ukiwa umenikanyaga na hatoi lengo nitakapojaribu kupandisha ukali au presha yeyote basi iwe rahisi kunikonyeza.
Bahati nzuri kila kitu kilienda freshi kabisa ,pakuomba msamaha niliomba huku yule mwanasheria akidai mkono mtupu haulambwi hivyo lazima kibinadamu na kiuungwana nimpe takrima fulani Jane .
Ndugu zanguni hii wala siyo faini wala nini bali ni namna ya kumfariji ndugu yetu,dada yetu,ambaye ndiye aliyedhalilishwa,na hii kesi kama ingefika mahakamani huenda Mr Daniel angekuwa kwenye wakati mgumu mno lakini kwakuwa tumeamua kuimaliza kibinadamu basi unapaswa kutoa chochote ili kusafisha moyo wa Jane muhanga wa hili jambo.kwanza itakupa uhuru Daniel na itamfariji na Jane pia.
aliweka kituo yule aliyejiita mwanasheria.
Kwahiyo ni kiasi gani ndugu naweza kutoa, niliuliza.
Hii siyo faini kwamba imepangwa kisheria,na hapa hatupo kwaajili ya kukandamizana au kumuonea mtu bali ni muhusika atataja mwenyewe,iwe elfu moja,elfu kumi n.k.aliweka kituo yule mwanasheria.
Baada ya kusema hayo alipewa nafasi Jane ataje kiasi ambacho anahisi kitamfaa,
Aliinuka huku akijifanya anachechemea lengo watu wamuone aliumia sana.
Kwanza niwashukuru nyote kwa kuweza kunijali na kuonesha mapenzi kwangu,lakini pia nimshukuru huyu ndugu yetu ambaye ni boss wa Daniel kwa kuweza kuwa na utu wa kulimaliza hili suala.
Kiufupi bado nina maumivu kadhaa kwenye ubavu wa kulia lakini pia mguu wa kulia nao haujakuwa sawa.lakini najua mwenyezi Mungu ataniponya.
Pia niseme tu ukweli kwenye kikao hiki hakuna aliyenishawishi moja kwa moja mimi kukubali kuelewana na Daniel,si mume wangu wala nani bali ni mwanamke mwenzangu ambaye amekuwa akipiga simu kwa ndugu zangu lakini pia kwangu akinisihi na kuniomba nisitishe mpango wangu wa kumshitaki .sasa kwa kumalizia tu ni kwamba ninaomba anipe million tano ili angalau nikafanye checkup vizuri maana nina maumivu kila sehemu ya mwili wangu.na hapo ndipo nitakuwa nimemsamehe.aliweka kituo Jane .
Kwanza nilishtuka huku nikigundua mle ndani kila mmoja kashituka si kwamba waliona ile pesa ni nyingi ila ni kwamba Jane alikuwa kama anatoka kwenye mstari wa makubaliano yetu na ni kama alikuwa ananikomoa fulani.
Baada ya hapo mume wa Jane , mwanasheria wao na Jane mwenyewe walitoka wakaenda kujadili pembeni karibu dakika kumi nzima lakini baada ya kurudi walidai wamemsihi ila Kagoma akidai yeye anataka fidia ya pesa husika aliyoitaja.
Wakati huo mimi na mke wangu tulikuwa kimya sana,kisha boss wangu akavunja ukimya....
Ndugu zanguni nadhani tunachofanya kinaweza kisiwe sahihi kwasababu wote tulikubaliana kuwa tumalize kiundugu na kifamilia,ili maisha mengine yaendelee na pia kumbukeni gharama zote za hapa tulipo zote ni juu yangu mimi nadhani hakuna yeyote anayejua bili inalipwa na nani hivyo tunaomba basi tubaki kwenye mstari wa utu ili mradi kila kitu kiende sawa.aliweka kituo boss wangu.
Baada ya hapo mimi nilivunja ukimya na kusema nipo tayari kulipa ile pesa,na sijui ni hasira gani ilinipata ila ndiyo hivyo tena niliropoka.
Kwanza niwashukuru nyote kwa kuweza kukubali kuelewana na hatimaye kumaliza hili suala najua uhuru hupatikana kwa gharama,watu wengi Duniani wanahitaji uhuru,
Wawe huru kufanya mambo yao.
Kuna watu hawaolewi kwasababu wanahitaji kuwa huru na mambo yao
Hawahitaji kubanwabanwa.
Kuna watu hawaoi wala kutengeneza familia kwasababu tu hawataki kubanwabanwa wanahitaji kuwa huru.
Hivyo kwa mifano hii Daniel nahitaji kuwa huru , ni siku chache tu hapa nilikuwa kama mkimbizi asiye na vibali vya kukaa kwenye nchi za wengine yote haya ni kwasababu sikuwa huru. Hivyo niseme tu kuwa nipo tayari kulipa hiyo hela ili tu niwe huru. Niliweka kituo.
Mke wangu alinikanyaga akiwa anaonesha kukerwa kwanini nakubali kulipa pesa yote ile kwani pengine tungeomba tupunguziwe ingewezekana lakini pia Kila mmoja aliniangalia huku ikionekana Nina jeuri ndiyo maana nimekubali kulipa .
Hata boss wangu alinitazama huku uso wake ukiongea jambo.
Baada ya hapo niliomba niende chemba na mke wangu tutete jambo.
Huku tukiwaacha wengine pale.....
Hivi wewee upoje?umewezaje kukubali kulipa pesa yote hiyo?
Yule Jane katamka tu hakukuwa na ulazima wowote wa kukubali kirahisi vile,mmmh tena kila mtu kashakuona
wewe ni mjeuri na kiburi,na mbaya zaidi upo na boss wako huoni hii itakuweka kwenye mazingira magumu?alinilaumu mke wangu.
Usijali kuhusu boss wangu,kwanza huyu ni msimamizi tu siyo ndiyo kila kitu wewe unadhani maboss zangu wangekubali kukaa kwenye vikao hivi,
CEO mwenyewe yupo ughaibuni wiki ya tatu sasa.
Eenhee una kiasi gani hapo cha pesa . niliuliza.
Hapa nina milioni moja tu,sasa wewe mwenyewe umekubali pesa nyiiiingi kiasi hicho ,punguza kujiamini mume wangu kila siku pesa utakuwa unawatafutia watu tu sasa itakuwaje hii si ada ya mtoto ya mwaka mzima cha ajabu unawapa watu tu.
alilalamika sana wife.
Nilirudi kwenye kikao kisha nikawaambia kwa muda ule nina kiasi cha pesa kama asilimia ishirini tu,nyingine nitawapa baada ya siku kadhaa.kisha wote waliangaliana kisha mume wa Jane akachukua kile kiasi na kumkabidhi mkewe.
Baada ya Jane kupokea zile pesa akaziweka kwenye mkoba na kuinuka akaja nilipo na kutamka maneno yafuatayo......
Mimi nilikuwa nakuletea taarifa kutokana na ajali ya gari la mkeo baada ya kuona linatoa moshi kwenye injini hata hivyo tulikubaliana kuwa alinde gari Kisha mimi nikufuate wewe ili ukatoe maamuzi Ukiwa kama mwanaume ,pia nilimdanganya mume wangu nikimwambia nipo nyumbani lengo nisimuache mwanamke mwenzangu kwenye nyakati ngumu angenielewa vipi? Simu tumekupigia zaidi ya mara mia lakini haikupokelewa.
lakini Cha ajabu ukiishia kunipiga na kunisababishia maumivu makubwa.
Ila nimekusamehe na hata hicho kiasi kilichobaki nimesamehe ili nikuombe kitu shemeji yangu, bahati haijirudii mara mbili jaribu kubadili tabia zako. aliweka kituo Jane.
Watu wote walipiga makofi wakimpongeza Jane lakini pia mimi nilimshukuru kwa msamaha sana tena sana tu.
Baada ya hapo Jane na mke wangu walikumbatiana kitambo kidogo wakiwa na hisia fulani , baada ya tukio lile kupita niliwashukuru wote huku Kila mtu akionesha hana kinyongo na mimi.
Baada ya hapo niligusia juu ya usalama wangu haswa baada ya kusikia mpango mbaya wa kuchoma nyumba yangu moto , lakini wote walinihakikishia kuwa haitotokea hilo
huku wakiniasa kuwa niache au nipunguze kuwa na uhasama na watu kwani linaweza kufanywa tukio la ajabu na mtu mwingine Kisha Mimi nikawahisi watu wengine kwakuwa tu Niko na bifu na watu wengi.
Kifupi niliwaelewa sana Kisha boss akaingia kwenye gari lake na kusepa, Kisha Mimi na wife tukaaga. Huku tukiwaacha wale watano wakiagiza vinywaji vya aina mbalimbali, huenda ile pesa walitumia pale pale.
Tukiwa kwenye gari wife alikuwa anashukuru Mungu kama kawaida yake baada ya tukio lile kupita.
Vipi barua inasemaje? sehemu ijayo ina majibu, usikose!!
Jifunze
Elimika
Burudika.
Itaendelea..............