mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
mkeo ana kazi sana....nimeoa mzee mwaka juzi nilipiga show zaodi ya siku 300 nilitaka niweke record🤣😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkeo ana kazi sana....nimeoa mzee mwaka juzi nilipiga show zaodi ya siku 300 nilitaka niweke record🤣😎
kwa sababu unanichukulia poa. Mke wangu hana kazi yoyote 😎 namtunza sana. .mkeo ana kazi sana....
wanawake hawatabiriki wengi ni gold diggers 😂Shida wadogo zangu mko kundi kataa ndoa
Hao gold diggers ni type ya wanawake unaowatakawanawake hawatabiriki wengi ni gold diggers 😂
Na safarihii nitakuloga kwelihaha 😀
utakuwa umemtuma wewe maana kuna wachawi wengi humu akiongozwa na Mwachiluwi
acha tu bro😅 hapa sina hela nimekunywa maji nalala kifudifudi siku ipite....Mnaweza kuwa mnachati hapa wakati hamjala Binadamu Mtakatifu mshamba_hachekwi
View attachment 2628074
unajua toka Rombo mpaka Dar nimevuka mito mingap?Na safarihii nitakuloga kweli
🤣🤣🤣 alafu unataka mademu wazuriacha tu bro😅 hapa sina hela nimekunywa maji nalala kifudifudi siku ipite....
nyege bro 😅🤣🤣🤣 alafu unataka mademu wazuri
Asante Bangida Tunapishana sana naona. Shukrani nimefika...Bantu Lady kuna ka episode huku
weka number pm nikutumie buku tano upate 3000 ya kula ila usije zoea kuomba helaacha tu bro😅 hapa sina hela nimekunywa maji nalala kifudifudi siku ipite....
Wewe mtoto mdogo sana wewe nakuloga kiulahisi naenda ugweno tuunajua toka Rombo mpaka Dar nimevuka mito mingap?
sitishiki🤣
Baki naye mm nataka tudogodogokwa kuw umeleta dharau sikup number zakeView attachment 2628073
wewe kua na amani bro😂 sitokufa....weka number pm nikutumie buku tano upate 3000 ya kula ila usije zoea kuomba hela
Mwanangu ndoa ubabaishaji kwanza umeona robot za elon musk nataka nioe hizoShida wadogo zangu mko kundi kataa ndoa
unakut mwanamke anakugusa na ziwa la moto kweli kweli. Robot hana ziwa la moto 😎Mwanangu ndoa ubabaishaji kwanza umeona robot za elon musk nataka nioe hizo
mandhari umesem mwenyew hakuna shidawewe kua na amani bro😂 sitokufa....
Mkuu utukaribishe nyumbani sasa sio kwa mbali, vipi huo ni mwandiko wa mkeo?Mnaweza kuwa mnachati hapa wakati hamjala Binadamu Mtakatifu mshamba_hachekwi
View attachment 2628074