Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Wewe tupigame ngumi aseUnipige ngumi au ? ngumi huniwezi😀View attachment 2628132
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe tupigame ngumi aseUnipige ngumi au ? ngumi huniwezi😀View attachment 2628132
kipindi kile nilikusubiri sinza kijiweni hukutokea😀Wewe tupigame ngumi ase
muacheni dada wa watu jamani 😅Ms eyes amka njoo huku
Mkuu mkeo hacheki kwa unachofanya 😂😂😂😂Mwanangu wa kike akikuleta nyumban nakufyeka walahView attachment 2628128View attachment 2628129
Siku ile nilishiba sana birian so nisingependa nipate usumbufu wa rohokipindi kile nilikusubiri sinza kijiweni hukutokea😀
Mkewe kashazoea 😂😂😂 anaona hawa machiziMkuu mkeo hacheki kwa unachofanya 😂😂😂😂
Huku PM usije mtumia muhogo wa jang'ombe kama silaha
hataki nije kuoa kwake 😅umemfanya nini Kwani 🤨
Kwa urojo unaoupiga ndugu hata umgonge nondo mara 100 ni kama kwenzi tuNgumi na nondo
Nyumbani naheshimika sana. Halafu sifanyi ujinga akiwepo. Watu wananichukulia simple baadhi ya watu waliopata kunijua hawaaminigi naandika utumbo humu ndani🤣🤣😀Mkuu mkeo hacheki kwa unachofanya 😂😂😂😂
Huku PM usije mtumia muhogo wa jang'ombe kama silaha
Nakwambia atakuja simulia hapaKwa urojo unaoupiga ndugu hata umgonge nondo mara 100 ni kama kwenzi tu
haha unamanisha ni laini laini mtoto wa mama 🤣 kweli anaweza nipiga na gazebo huyu mshikaji😀Kwa urojo unaoupiga ndugu hata umgonge nondo mara 100 ni kama kwenzi tu
Ukipigwa husimulii mzee unakaushaNakwambia atakuja simulia hapa
alafu unapenda akiniandikia ujinga ngoja akuweke kweny story akili zake ni kama saa mbovu 😀Binadamu Mtakatifu nasubiri episode ya pili apa ujue 😶
Naugwaduuuuu mwenzako na ugwaduuuuuuuuu leo tuchati banaBinadamu Mtakatifu nasubiri episode ya pili apa ujue 😶
Niko sebuleni wife yuko ndani huko😀Mkewe kashazoea 😂😂😂 anaona hawa machizi
Ww utasimulia sasaUkipigwa husimulii mzee unakausha
Au sio paka kaondoka panya unatawalaNyumbani naheshimika sana. Halafu sifanyi ujinga akiwepo. Watu wananichukulia simple baadhi ya watu waliopata kunijua hawaaminigi naandika utumbo humu ndani🤣🤣😀