Alessia Demachi
Member
- Feb 23, 2023
- 42
- 45
Ivi kutabasam vibaya ndo aje jamani???π stori ina viswahili hii..Eliza! Unanielewa vizuri sana.β Chester akamsogelea huku akitabasamu vibaya.
wengine bwana hatuwezi kurudia story au movie hata hiwe hot vp. Labda biblia tu!pole mwayaaa ukiona mambo magumu unaanza kuisoma upyaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Ivi kutabasam vibaya ndo aje jamani???[emoji2] stori ina viswahili hii..
Inaniibia muda kichiz
wengine bwana hatuwezi kurudia story au movie hata hiwe hot vp. Labda biblia tu!
Oooh....thanks.yan unalazimisha kutabasamu let say hukujisikia kucheka ila inakubidi tuu ucheke asa inakua ni ya kulazimisha ko haiwez kuwa nzurii
Sawa, acha tuvumilie kisha tule mbivu.vumilieni tuu hata mimi na [mention]mireille [/mention] tunateswa na huyo mwandishi hatarii leo wiki ya 3 hapatikani
[emoji1787]mtafsiri katika ubora wako
Nitag basi na mie nisomeNgoja nikutag sehem usome
Jaman muendelezo bado.??
Jmn Arosto Au mwemye story yake kazngua π€¦ββοΈmkuu kuwa tu mpole[emoji16]
Umeambiwa tulia kwa nini hutaki kutulia?Jmn Arosto Au mwemye story yake kazngua π€¦ββοΈ