Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
Hodi humu,mbona pametulia sana humu?
Chubbylady
Chubbylady
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia mkuu, Chubbylady keshasema tutulie kitu itashushwa soon.Hodi humu,mbona pametulia sana humu?
Chubbylady
inawezekana kuna namna hutaki kuendeleza ili tu tuwasiliane na huyo anayejiita mwandishi wakati kaiba kazi ya watu. Nimempigia simu hapokei, messages za kawaida na telegram hajibu. Ni upuuzi.kwan hujampata mwandishi mpaka sasa???
Sidhani Kama Chubbylady hataki kuendeleza ila shida ipo kuwa telegram story imekuwa pinned haiwezekan ku-copy mbona ilivowezekana ku-copy alituma humu.inawezekana kuna namna hutaki kuendeleza ili tu tuwasiliane na huyo anayejiita mwandishi wakati kaiba kazi ya watu. Nimempigia simu hapokei, messages za kawaida na telegram hajibu. Ni upuuzi.
Tuwe wapole tu mkuu, Chuby ataileta tu kule ikifunguliwa.inawezekana kuna namna hutaki kuendeleza ili tu tuwasiliane na huyo anayejiita mwandishi wakati kaiba kazi ya watu. Nimempigia simu hapokei, messages za kawaida na telegram hajibu. Ni upuuzi.
Njemba soro yupo na arosto mingi hadi anawatuhumu isivyo mliotuletea hii story hapa. Nadhani kwa hii post ataelewa vyema kwamba story ipo pinned kule telegram.Sidhani Kama Chubbylady hataki kuendeleza ila shida ipo kuwa telegram story imekuwa pinned haiwezekan ku-copy mbona ilivowezekana ku-copy alituma humu.
inawezekana kuna namna hutaki kuendeleza ili tu tuwasiliane na huyo anayejiita mwandishi wakati kaiba kazi ya watu. Nimempigia simu hapokei, messages za kawaida na telegram hajibu. Ni upuuzi.
Njemba soro yupo na arosto mingi hadi anawatuhumu isivyo mliotuletea hii story hapa. Nadhani kwa hii post ataelewa vyema kwamba story ipo pinned kule telegram.
Umeeleweka mkuu, tutavuta subirakila siku nasema akiachilia huwa natumaa jamani
Ulishaambiwa utulie, we tulia kitu itaendelea kwa wakati muafaka.Huku ndio bilabila
Chubbylady
hapa hakuna mwendelezo. Huyo anayetafsiri naye mwizi tu nimemtumia hela hakuna kitu.Ulishaambiwa utulie, we tulia kitu itaendelea kwa wakati muafaka.
Huenda ulituma kwa namba nyingine, rudisha tu muamara kisha uwasiliane na mhusika mwenyewe umtumie naye atakutumia hiyo storyhapa hakuna mwendelezo. Huyo anayetafsiri naye mwizi tu nimemtumia hela hakuna kitu.
hapokei simu, hajibu messages. Ni mwizi wa hela ndogondogo ambazo hazina maana yoyote. Hapa wapiga debe wake mpo lakini hamumwambii awache uduwanzi. Mwambie aendeleze hata hapa basi.Huenda ulituma kwa namba nyingine, rudisha tu muamara kisha uwasiliane na mhusika mwenyewe umtumie naye atakutumia hiyo story
Kama kakuibia ina maana hujui taratibu za kumkamata mwizi?Ni mwizi wa hela ndogondogo ambazo hazina maana yoyote.
nakuona MSEMAJI WA THREAD umetulia kwenye nafas yako. upo active sanaaaaaKama kakuibia ina maana hujui taratibu za kumkamata mwizi?
Acha hasira mkuu kama ni mwendelezo tumekwisha ahidiwa kuwa utaletwa hapa siku moja kwa nn huna subira?