Imefika sehemu ya kutambulishwa ukweni kwa lazima ila shadya ametoa shombo sana inafany watu wengi wasiende ukweni😁😁MIMI NA MIMI 2
A Story by Elton Tonny
Familia, Urafiki, Mapenzi, Kazi, Tamaa, Hila, Usaliti, Siri, Mambo Yasiyotazamiwa
R-rated 18+
Enjoy!
★★★★★★★★★★★★★★★★★★★
SEHEMU YA THELATHINI NA TISA
★★★★★★★★★★★★★★★★★★★
Salumu alinisindikiza mpaka barabarani nilipopanda daladala kuelekea stendi ya Makumbusho, na baada tu ya kuingia humo na kukaa, nikachukua simu na kumpigia Adelina upesi. Nilikuwa nimeweka mambo haya pembeni kidogo kwa ajili ya kutumia muda zaidi na Miryam kutokea jana, lakini siyo kwamba nilisahau kabisa ile ishu niliyokuwa nimemwomba Adelina anisaidie kufatilia. Na yeye inawezekana alikuwa na mambo mengi ya kikazi ndiyo sababu hakunitafuta, hivyo sasa ukawa ndiyo muda mzuri wa kuhakikisha baada ya taarifa ya kifo cha Bertha kunifikia.
Mwanamke huyo akapokea simu yangu hatimaye, na baada ya salamu, nikaenda moja kwa moja kwenye pointi ili nisimkengeushe kutoka kwenye kazi zake. Nilimuuliza ikiwa aliangalia safari ya ndege ya jamaa mwenye jina Festus Yakubu, naye ndiyo akasema 'oooh kweli,' alisahau kunitumia jibu ingawa alilifanyia suala hilo utafiti. Akaniambia ni uhakika, mwanaume mwenye jina hilo alisafiri kwa ndege kuelekea Nairobi hiyo wiki iliyopita, jina lake lilikuwepo kwenye orodha ya abiria waliopanda kuelekea huko Kenya. Ahaa? Nikamwambia sawa, nikamshukuru kwa jitihada na kumwomba samahani kumsumbua kwa wakati huu, naye akasema haikuwa na shida kabisa, ndiyo tukaagana kwa ahadi za kuja kuwasiliana baadaye.
Nikawa nimehakikisha sasa kwamba kweli Festo alikuwa ameondoka nchini, na labda hata safari yake haingeishia Nairobi tu, huenda angekwenda sehemu zingine. Hivyo, kwa kiwango kikubwa sidhani kama na yeye angekuwa na mkono ndani ya ishu ya ajali iliyompata Bertha, ikiwa kama kweli hiyo ilikuwa ajali ya kupangwa. Umakini wangu wote sasa hivi kuelekea hilo suala ungepaswa kuwa kwa huyo Beatha, yaani ningehakikisha Ramadhani anamchimba kokote alikokuwa na kumchunguza vyema ili kumdaka na lolote lile haramu, na hivyo amweke pembeni haraka sana.
Kila hisi ndani yangu iliniambia kwamba hiyo haikuwa ajali, na ni baada ya muda mfupi tu ingefahamika zaidi. Ikiwa ingegundulika hako kadada ndiyo kaleta shida kapya kwa kipindi hiki, ningetakiwa kuhakikisha usalama wa familia yangu yote kwa ujumla, na familia ya Miryam pia, halafu nihakikishe hakaji kutusumbua tena hata kama kasingetaka kufanya hivyo. Tahadhari kabla ya hatari. Nikaendelea tu na safari mpaka Makumbusho stendi hapo, kisha ndiyo nikapanda gari ili nielekee Mbagala na Mzinga.
★★
Nimekuja kufika Mzinga kwenye mida ya saa moja usiku, shauri ya msongamano wa magari ulionikawiza kweli tulipofikia barabara iliyoelekea maeneo hayo. Nilifika kwa Ankia na kumkuta mwanamke huyo akiwa anapika, na alinipokea vizuri sana kama mgeni vile, akifurahi kuniona nimerejea. Alikuwa ananiambia eti alijihisi upweke kuwa hapo mwenyewe, nami nikamwambia acha zako wewe, yaani uko na Bobo unakuwaje mpweke? Akacheka sana na kusema ni kweli, Bobo ndiye aliyekuwa akimwondolea upweke na alijitahidi kweli kumpa raha zote alizohitaji. Eti akawa ananidolishia!
Alipomaliza kunidolishia Bobo wake ndiyo akaanza kuuliza mambo yangu na Miryam yalikuwaje huko tulikoenda huku akiangalia mizigo yangu na nini, nami nikampatia zawadi yake ya nguo niliyokuwa nimemnunulia bila kuongelea mengi sana ambayo nilifanya na Miryam. Sikuwa wa aina ya kudolishia mimi. Ila si akawa anataka kujua kama nilimtembezea bibie kichapo? Nikamwambia hiyo ni siri yetu, na kwa hapo tu akawa ameelewa kuwa ndiyo, Miryam nilikuwa nimeshammiliki rasmi kimwili baada ya kumteka kihisia.
Akanipa hongera ya bata niliyokula na kuniambia alikuwa anatayarisha msosi wa nguvu ili tule pamoja wakati huu, na Bobo mume wake angekuja ili atulishe sisi pamoja. Eti mume wake! Alikuwa ameshaanza kumwita hivyo nakwambia, nami nikasema sawa, wacha niende kuwasalimu wapendwa wangu hapo jirani na kuwapatia zawadi zao, kisha ndiyo ningerejea ili kupumzika.
Nikavua tu viatu na kubeba mfuko mmoja, na wakati nikiwa naelekea hapo kwake Miryam ndiyo nikatambua kwamba bibie hakuwa amerejea bado baada ya kumtumia ujumbe kuuliza ikiwa alikuwepo ndani, na yeye akajibu kusema hakuwa ameondoka Kijichi. Hivyo, nikaenda mpaka getini, na kama kawaida kimlango kidogo cha geti kingehitaji kuvutwa kwa kamba huku kwa nje ili kufunguka lakini nikakuta hicho kikamba kimetoka. Sijui nani alikitoa kwa huku nje, ila ikanibidi nigonge tu geti sasa maana kimlango kilifungwa kwa ndani. Nikasikia sauti za hatua zikija kutokea hapo ndani ya geti, nami nikatulia na kusubiri.
Hicho kimlango kilipofunguka, ikawa ni Mariam ndiye aliyekuwa amesimama hapo mbele yangu, na sasa hivi nisingemwita "binti Mariam" tena, alikuwa Mariam kamili sasa. Alinitazama kwa njia ya kawaida tu, akiwa ndani ya blauzi nyeupe yenye tiki ya Nike kifuani, pamoja na skinny jeans laini, na mtindo wa nywele zake ulikuwa vile vile wa rasta nene isipokuwa sasa alifunga ule urefu wa mapembe-rasta kwa pande za kichwa chake kama mabutu mawili makubwa. Hakuniamkia, wala kutabasamu, akaachia tu uwazi zaidi kwenye hicho kimlango na kuanza kurudi huko ndani.
Nikaingia na kumwita, "Mamu..."
Akasimama na kunigeukia.
Nikamsogelea, nami nikamwambia, "Haujambo?"
Akatikisa kichwa mara moja kukubali.
Nikarudishia mlango wa geti na kumuuliza, "Nani yuko ndani?"
"Wakina mama. Na Tesha," akasema hivyo.
Nikatoa mfuko mdogo kutoka kwenye mfuko mkubwa niliobeba, nami nikampa huku nikisema, "Nimekuletea zawadi."
Akaupokea na kuukunjia tu usawa wa kifua chake, naye akasema, "Asante JC."
Nikatabasamu kiasi na kusema, "Mamu... nataka kujua ikiwa me na we' tuko poa. Yaani, sitaki kuwe na hali ya utengano baina yangu me na wewe... baada ya kilichotokea juzi. Nataka sana tuendelee kuwa marafiki."
Akabana midomo yake kiasi huku akiangalia pembeni, lakini hakutoa jibu.
Nikamuuliza, "Ama ndiyo umenichukia?"
Akaniangalia usoni upesi na kuweka macho yenye kujali, naye akasema, "A-ah. Siwezi kufanya hivyo JC..."
"Kweli?"
"Ndiyo. Sikuchukii... siwezi," akaniambia hivyo.
"Mbona unakuwa serious sasa kama vile...."
"Hapana, haimaanishi nakuchukia. Bado tu ninazoea hii hali... siyo rahisi ku... kubadilisha tu hisia. Bado ninakupenda," akaniambia hivyo.
Nikaendelea kumtazama usoni kwa kujali.
"Lakini kama tutaendelea kuwa marafiki tu, napaswa ku.... itachukua muda kuzoea, maana bado nikikuona...." akaishia hapo na kuangalia pembeni tena.
Nikatikisa kichwa kuonyesha uelewa, nami nikamwambia, "Sawa. Nisamehe tu lakini Mamu. Siyo nia yangu kukuumiza kama hivyo."
Akaniangalia na kusema, "Usijali. Ni muda tu, ninahitaji muda tu. Nitazoea."
Nikatabasamu kiasi na kusema, "Nitakusaidia ili uzoee haraka. Si unajua me Superman ikija kwenye suala la kukusaidia na nini?"
Akajitahidi kutabasamu kiasi na kuniambia, "Superman wapi? Huwezi hata kunyanyua hili gari."
Nikacheka kidogo na kusema, "Asa' hilo tu! Hii nyumba yote nabeba kwa haka kakidole!"
"Haa! Umdanganye mtoto," akasema hivyo na kutabasamu zaidi.
"Aahhahah... Nitakuja kukuonyesha..."
"Na ukishindwa?" akauliza.
"Basi nitakununulia kitu chochote unachotaka yaani," nikamwambia hivyo.
"Sawa. Tupinge," akasema hivyo na kuniwekea kidole chake kidogo kwenye kiganja changu.
Nikamwekea changu pia, naye akakivuta kwa nguvu kama kutia muhuri.
"Tena siyo nyumba, haka kagari tu. Ukishindwa kunyanyua, unaninunulia chochote kile nachotaka. Sawa?" akaongea hivyo kwa shauku kiasi.
Nikajikuta nimebaki kumtazama tu kwa hisia.
"Sawa?" akasisitiza swali.
Nikaondoa mzubao na kusema, "Poa. Si tumeshapinga? Kesho tu. Utaona."
"Haya," akasema hivyo.
Nikiwa natabasamu, nikamwekea kiganja changu kimoja karibu naye, na yeye akaniangalia na kutabasamu kiasi, kisha akaweka cha kwake hapo na kwa pamoja tukasema, "Brooop!"
Tukacheka kidogo tukiwa tumeanza kujenga kale kahali ka amani kazuri angalau, na ilinifariji, kisha baada ya hapo ndiyo tukaelekea huko ndani pamoja.
Warembo wangu, Bi Jamila na Bi Zawadi walinipokea kwa furaha sana, wakisema walikuwa wamenikosa kweli jana. Yaani tena Bi Zawadi akasema ikiwa sikumletea zawadi basi angeninunia, na ni kama nilikuwa nimeotea tu kumletea. Nikawapatia na wenyewe zawadi zao, nguo nzuri za wamama yaani, zenye vilemba na vitenge spesho vya kuweka begani, na ilikuwa imeniponyoka pesa nyingi kwa ajili ya hizo ila furaha yao ilipita gharama yote iliyotumika. Tesha akaja, eti na yeye akitaka zawadi, nami nikamwambia tungeenda kutafuta udongo mfinyanzi ili nimtengenezee gari zuri sana la kumpatia.
Ikawa ni pindi yenye kufurahisha sana, Mariam akaenda chumbani kujaribishia nguo yake niliyomletea na kuja kutuonyesha, na alikuwa amependeza kweli yaani. Ndiyo mama zake wakubwa wakasema wangevaa nguo hizi ikifika kesho, wakati wa kwenda kwake Doris. Sikujua kama walikuwa na huu mpango, nami nilipouliza, ndiyo wakanifahamisha kwamba Doris aliwaalika wote kwenda kumtembelea kwake mapema ya kesho, yaani familia yote iende kupaona huko kwake na mume wake maeneo ya Chanika. Kwa hiyo bila shaka Miryam angewapeleka, na walikuwa na hamu ya kuvaa vizuri tena kwenda kwenye hayo matembezi, kwa hiyo hapa nikawa nimewaletea ukombozi.
Basi, nimekaa-kaa hapo mpaka kwenye mida ya saa mbili usiku ndiyo nikawaambia ningeondoka sasa na kwenda huko gym, maana nilitakiwa kuendeleza ratiba ya kupiga mazoezi yangu ya mwili. Hawakuwa na shida kwa hilo na kuniambia kama nikipata nafasi basi nije tena hapa kwao, nami nikakubaliana nao. Tesha akaamua tuondoke pamoja ili akajiunge nami huko gym, na bibie Miryam hakuwa amerejea bado, kwa hiyo tukawaacha wanafamilia wake, nikaenda kwa Ankia kuvaa nguo nyepesi, halafu ndiyo tukaelekea gym.
Ilikuwa ni kwa uratibu wa kawaida tu kutokea hapo, yaani tukaelekea gym na Tesha kupiga tizi mpaka saa nne kasoro, kisha tukarudi nyumbani. Miryam tayari alikuwa amefika, na sikwenda kwake tena, ila tukawasiliana na mambo kuonekana kuwa poa hapo kwao. Akanijulisha kuhusiana na matembezi ya familia yake kwenda kwa Doris kesho na kusema labda tungekuja kukutana jioni ya kesho, na hilo halikuwa na neno. Tukaagana vizuri sana baada ya kuchat kwa video call hadi kwenye mida ya saa saba bibie alipoomba alale. Nikaanza kutafuta usingizi pia muda huo huo, kwa kuwa nilipanga kuamkia kwenye safari fupi siku ya kesho pia.
Jumatano ikapita.
★★★
Alhamisi asubuhi ilipofika, nikajikuta naamka ikiwa imeshaingia mida ya saa nne. Yaani nililala! Nafikiri shauri ya hiyo jana kuamka mapema mno na kugoma kurudi kulala tena, mechi zote tamu tulizocheza na Miryam wangu pia zikiwa zimeuleta huo uchovu nadhani. Ila kwa sasa nikaamka nikiwa najihisi vizuri sana mwilini, na kwa kuwa masaa yalikuwa yameenda, cha kwanza ikawa kuangalia nani ambaye angekuwa amenitafuta kwa asubuhi hii. Nikakuta ujumbe kutoka kwa Tesha akiniambia kwamba aliwaendesha ndugu zake kwenda kwa Doris hii leo asubuhi, na nikiwa huru nimcheki ili aniambie jambo fulani.
Ilikuwa ni Tesha pekee ndiye aliyenitumia ujumbe, huku Miryam, Soraya, askari Ramadhan, pamoja na yule Kevin bwana wake na Jasmine wakiwa wamenipigia. Cha kwanza ikawa ni kumpigia Miryam upesi, lakini hakupokea mara zote tatu nilizojaribu. Bila shaka wangekuwa wameshafika huko kwa Doris labda alikuwa na mambo ya kufanya, kwa hiyo nikamtumia ujumbe nikisema akiwa huru anicheki pia. Nikamjibu na Tesha, halafu nikaamua kumpigia na askari Ramadhan. Soraya nikampiga chini kabisa kwanza.
Jamaa alipopokea ndiyo akaniambia sasa yaani huko alikokuwa ameenda kuangalia miili ya wale wafungwa, mpaka alichoka. Ilikuwa imeungua vibaya kinoma, wote wakiwa kama wamekaangwa yaani mpaka sehemu za mafuvu kuonekana, isingekuwa rahisi kutambua nani ni nani. Lakini waliipima yote kuchunguza DNA, na kweli kabisa mmoja wao ulikuwa ni mwili wa Bertha. Dah! Ndiyo ikawa imeenda hiyo, Bertha hakuwepo tena. Ramadhan akaniambia alikuwa amenipigia ili tuongee kuhusu ishu niliyosema ningemwambia, ila kwa sasa alikuwa akishughulika na mambo fulani, hivyo angenitafuta akiwa na uhuru. Yaani kila mtu alihitaji uhuru kwa hii siku!
Tukawa tumeachiana hapo, nikiwa nahisi huzuni kiasi kwa kilichompata "madam," nami nikaamua kwenda kupiga usafi wa mwili kisha ndiyo niondoke kuelekea kwenye ishu niliyotaka kufanya leo. Na ilikuwa kwa ajili ya bibie wangu. Ankia alikuwa ameshaenda kazini kwake, akiacha chai na mkate alionunua asubuhi zaidi nadhani, nami nikaoga na kuvaa vizuri kabla ya kunywa chai upesi, kisha nikatoka hapo kwake ikiwa imeshaingia mida ya saa sita. Moja kwa moja mpaka Mzinga, na nikapita eneo la dukani kwake Ankia na kumpungia mkono wa 'tutaonana baadaye,' kisha nikaenda kuchukua usafiri.
Wakati nimekaa tayari ndani ya daladala na yenyewe kuanzisha mwendo, Miryam akanipigia, nami nikapokea kumsikiliza. Akaniambia kitu ambacho sikuwa nimetarajia. Yaani kumbe alikuwepo pale kwake, hakuondoka pamoja na wengine shauri ya kujisikia vibaya sehemu ya tumbo lake kwa chini alipoamka mapema leo. Ih! Nikamwambia yaani ndiyo nimeondoka sasa hivi kwa Ankia, kama angekuwa amenitafuta dakika moja nyuma mapema zaidi ningegeuka kurudi kwake, lakini akaniambia haina tatizo; niende nilipokuwa naenda na tungekuja kuonana baadaye.
Nikamuuliza shida ya tumbo ilikuwa nini, naye akaniambia hiyo asubuhi alijitahidi kwenda maabara kupima akidhani ana tatizo kubwa, ila akaambiwa haikuwa shida, bali ni mwili wake tu uliitikia jambo jipya ulilojihusisha nalo hivi karibuni ambalo hakuwa amelifanya kwa muda mrefu. Nikawa nimeelewa. Alipokea dawa za kutuliza maumivu kiasi, na akashauriwa awe na kawaida ya kushiriki tendo la kimahaba na mwenzi wake ili hiyo hali isimpate tena, maana kuna sehemu humo ndani-ndani zilikuwa zimedhoofika ila sasa ndiyo zingekuwa imara zaidi. Ndiyo mwili wake tu ulivyokuwa.
Ahaa? Nikamwambia anisubiri sasa niwahi kurudi, ningekuja na dawa nzuri zaidi. Akasema acha ujinga, niende nilipokuwa naenda na niishie huko huko. Tukaachana nikiwa nahisi furaha kweli, licha ya kwamba bado kuna mengi yenye utata yaliyokuwa yananizunguka, nami nikatulia tu kusubiri safari inifikishe nilipodhamiria kwenda na nirudi haraka kwa mpenzi wangu.
★★
Nimekuja kumaliza mipango yangu yote iliyokuwa imenipeleka maeneo ya huko Morocco kwenye mida ya saa nane, na nikaamua kurudi Mbagala upesi sana kwa kuchukua bodaboda kutokea huko moja kwa moja. Nilitaka kuwahi kwa Miryam kabla familia yake haijarejea, maana nilikuwa nimeshawasiliana na Tesha pia na yeye kuniambia angewaleta wote jioni. Kwa hiyo haikuchukua muda mrefu sana, yaani saa tisa tu nikawa nimeshafika Mbagala. Huyu boda angenila hela nyingi sana kama ningesema anishushe mpaka Mzinga, kwa hiyo nikampa chake hapo Rangi Tatu, kisha nikaamua kupanda bajaji ya jero.
Wakati bajaji ikiwa mwendoni, nikampigia Miryam kumjulisha kwamba nilikuwa njiani, kimasihara nikimwambia "jiandaee." Kama kawaida yake akaweka pingamizi, lakini akawa ameniomba nipite kwenye duka wanalouza samaki wale wabichi ili nimchukulie sato wakubwa kilo mbili, halafu eti angenilipa hela yangu nikimfikishia mboga hiyo aliyotaka kuandaa kwa ajili ya familia yake, ili kufikia muda ambao wangerudi wapate mlo mzuri. Na alitia ndani viungo na mboga za majani, nami kiutani nikamwambia haina shida, chochote kwa ajili yake ningefanya. Akanishukuru kwa utayari wangu kumtimizia ombi lake.
Basi, baada ya kushuka hapo Mzinga, nikaingia sokoni kulitafuta duka wanalouza hao samaki, lakini kwanza ikanibidi nitafute mifuko miwili ili nibebee vitu ambavyo ningechukua. Nikiwa kwenye duka moja kuchukua mifuko hiyo, nikaona kwamba palikuwa na bidhaa za ice cream, zile nzuri za kwenye makopo ambazo ni tamu sana na huwa na tuvijiko twa kutumia. Nikawaza ingekuwa poa sana kama ningemchukulia Miryam kopo moja, baridi la ice cream lingeenda kumsaidia kupoza-poza na hilo tumbo lake, hivyo nikanunua ya shilingi elfu saba, vanilla flavor, kisha ndiyo nikaelekea kufata samaki na viungo kwa ajili ya mapishi ya mpenzi wangu.
Mwendo mdogo mdogo mpaka nikawa nimefika kwake Miryam, na wakati huu sikupita kwa Ankia, nami nilipofika getini kwao nikapita moja kwa moja hadi ndani na kuingia sebuleni. Kile kikamba getini kilikuwa kimesharudishwa. Hapo sebuleni palikuwa na hali ya utupu shauri ya wanafamilia wake kuondoka, nami nikavipeleka jikoni vitu alivyoniagiza bibie huku nikimwita kumjulisha kwamba nilikuwa nimefika. Akaitikia kutokea chumbani, lakini sauti yake ilisikika kwa umbali kiasi utadhani ilizibwa, nami nikaona nizipeleke samaki kwenye friji ili ziendelee kupigwa na ubaridi.
Nikiwa usawa huo ndiyo nikaanza kusikia sasa sauti ya maji kumwagika kutokea huko chumbani kwake Miryam, nami nikakisia kwamba alikuwa akioga. Nikatabasamu kiasi kwa kuwaza ni namna gani angefanana akiwa anadondokewa na maji sehemu za mwili wake, nami nikaitoa ice cream niliyokuwa nimemletea na kusogea sehemu ya korido lililoelekea chumbani kwake.
"Mimi... nimekuletea zawadi," nikamwambia hivyo kwa sauti.
"Zawadi wapi? Sema tu umetumia shilingi ngapi, nitoke nikulipe kabisa. Usiniongezee madeni..." akaongea kimasihara.
"Ahahah... hivi we' unanionaje?"
"Kama ulivyo. Na hao samaki inabidi nije kuwakagua ndiyo ulipwe sasa."
"Ahaa? Kwa hiyo itategemea na matokeo ya ukaguzi wako ndiyo utaamua nalipwa vizuri ama vibaya?"
"Sijasema hivyo. Ila nikikuta umeleta wabaya, na malipo yanashuka..."
"Thubutu! Yaani hapa unarudisha mkopo na riba," nikamtania namna hiyo.
Nikasikia maji yakiwa yameacha kumwagika, na hakutoa itikio lolote baada ya mimi kusema hivyo.
"La sivyo we' ndo' nitakushukia. Unataka nikushukie?" nikamuuliza kiutani tena.
Hakujibu, badala yake nikasikia tu sauti kama ya mlango ukiwa unafungwa, nami nikahisi ndiyo alikuwa akitoka bafuni mule mule chumbani kwake. Nikawa nataka nimsemeshe tena, ila kukaingia mawazo mengine ndani ya kichwa changu yaliyofanya nisisimke kiasi. Hapa, tulikuwa tumebaki wawili tu mimi na mwanamke aliyekuwa mpenzi wangu, halafu ndiyo alitoka kuoga. Nini kingine kingekuwa bora zaidi kama siyo kujionea jinsi ambavyo alifanana kwa wakati huu? Na tena isingekuwa kuona tu, nilitaka nicheze naye kabisa ikiwezekana, maana hata maabara ilihalalisha mimi kuwa dawa ya tatizo lake la tumbo. Ningempa dawa!
Kwa hiyo nikaamua kuelekea upande wa chumba chake taratibu tu, huku kopo la ice cream niliyomletea likiwa kiganjani. Nilipofikia hapo mlangoni nilikuwa nachekelea kichini-chini kama mtu mwenye hila fulani hivi, kisha taratibu nikakizungusha kimkono cha kitasa na kuusukuma mlango uingie ndani. Mlango haukutoa sauti mwanzoni mpaka nikawa nimeweza kumwona Miryam sasa. Aisee! Yaani ilikuwa kama vile nazidi kuona kitu kipya tu kutoka kwake kila mara.
Alikuwa usawa wa kitanda chake, mwilini akijifunga kwa taulo nyeupe kutokea kifuani mpaka usawa wa mapaja yake, huku akitumia nyingine kukausha maji kutoka kwenye nywele zake laini. Alikuwa amenipa mgongo, hivyo niliweza kutalii vyema namna ambavyo kalio lake lenye kutamanisha kwelikweli lilivyotikisika alipokanyaga hapa na hapo kadiri alivyoendelea kujikausha maji, na jinsi ngozi yake nyeupe na nyororo sana ilivyopendeza kuanzia juu mpaka chini, ikiwa haina doa hata chembe yaani utadhani alivaalisha yote ngozi ya plastiki. Bado nilikuwa naendelea kuusukuma mlango taratibu, ndipo ukatoa sauti ndogo ya kukwaruza.
Miryam akageuka na kuniona sasa hatimaye, nami nikawa namtazama kwa hisia sana machoni.
Akakunja sura kimaswali kiasi na kusema, "Jayden..."
Nikatabasamu kiasi na kuuachia mlango sasa.
"Ah, umenishtua. Nakuja, subiria nivae," akasema hivyo na kasauti kake.
Nikaendelea kumwangalia usoni kwa upendo.
Akaendelea kujifuta-futa nywele na kusema, "Jayden nenda bana, nataka kuja kupika. Acha kuniangalia hivyo... nenda huko. Pisha nivae."
Nikaanza kupiga hatua kumwelekea.
Akaacha kujifuta nywele na kusema, "Sijakwambia uingie, rudi huko. Nimesema rudi huko nivae."
Alikuwa anatabasamu kiasi, nami nikamuuliza, "Kwani kuna shida yoyote ukivaa na mimi niko humu?"
"Ahah... ee ipo. Hiyo hapo imeshasimama," akasema hivyo na kunionyesha kwa ishara ya macho kuelekea suruali yangu.
Nikajiangalia na kucheka kidogo kwa pumzi, kisha nikamwambia, "Hapo mbona haijasimama? Inajaribu tu kuchungulia. Wala siyo shida. Tena ni dawa yako hii."
"Jayden hebu acha mambo yako. Rudi bwana sebuleni nivae," akaongea kwa kumaanisha.
"Mbona unaekti kama vile itakuwa mara ya kwanza kukuona?"
"Haijalishi. We' nakujua, ukibaki humu itanichukua zaidi ya masaa mawili kuvaa," akasema hivyo.
Kauli yake ikanifanya nicheke kidogo, kisha nikamwambia, "Kweli, unanijua vizuri."
"Nenda bwanaa..." akasema hivyo huku akinisukuma kiasi.
"Sawaa. Nilikuwa tu nimekuletea zawadi hii hapa, e?" nikamwonyeshea kopo la ice cream.
Akaliangalia na kutabasamu kwa kukunja midomo yake, kisha akalipokea na kuliweka kwenye dressing table yake karibu na ukuta uliojengewa makabati ya nguo.
"Asante. Haya nenda sasa," akasema hivyo huku amenishikia kiuno.
Nikatabasamu na kumtazama mwilini kimchezo. Akakaza macho yake kuonyesha hatanii. Nikamwonyeshea ishara kwa kidole kwamba anibusu mdomoni kisha ndiyo niondoke, naye akaonekana kuudhika sasa.
"Jayden lakini, mbona unakuwa hauko... nenda bwana, muda una... ah..." akaongea kwa njia ya kulalamika.
"We' ni-kiss, kwani saa ngapi?" nikamwambia hivyo.
"Jayden!" akatumia sauti yake kuonyesha mkazo.
"We' ndo' unajichelewesha. Ungekuwa umeshavaa tayari, kiss moja tu ingemwondoa JC hapa," nikamwambia hivyo.
Akashusha pumzi eti kwa njia ya kukerwa, kisha akanifata mdomoni na kugusisha wake mara moja, kisha akasogea nyuma tena. Khh!
Nikamuuliza, "Ndiyo nini sasa?"
"Busu yako hiyo moja..."
"Ahaa... ndo' busu hiyo?"
"Eeeh..."
"Haka kaujeuri unakatoa-toa wapi?"
"Bafuni, kwa sababu nahitaji kupaka mafuta yangu, nilainishe ngozi, lakini wewe na bichwa lako umekuja na kusababisha nimekauka kabisa sasa!"
"Me na bichwa langu? Sss... ni kweli ila, hili bichwa huku chini limekaza balaa... sina tiba ya kuilainisha ngozi yako zaidi ya ilivyo laini, lakini bichwa langu linaweza kukulainishia zaidi sehemu fulani nzuri zaidi ya ngozi yako tu, maana leo umetoka kuambiwa ni dawa. Ungependa ikulainishie?" nikaongea haraka-haraka kimchezo.
Akazuia kicheko na kusema, "Sitaki lolote, me nataka kuvaa. Nenda bwana me ni...."
Nikakishika kiuno chake ghafla na kumvuta kwangu mpaka miili yetu ilipogandana, naye akaonyesha sura ya taharuki akiwa karibu zaidi na uso wangu.
"Jayden, ni nini lakini?" akauliza hivyo huku akijaribu kujinasua.
"Busu moja tu..." nikamwambia hivyo kwa sauti ya chini.
"Si meshakupa? Ah..." eti akawa anadengua.
Nikapandisha mkono wangu mmoja mpaka nyuma ya kichwa chake, nikiishika shingo yake taratibu, naye akaniangalia usoni kwa njia tulivu zaidi. Nilikuwa namtazama kwa hisia sana.
"Jayden... tunaweza kukutwa..." akaendelea tu kulalamika.
"Na nani? Wote wameondoka," nikamwambia hivyo.
"A-ah, hata kama. Hii siyo sehe...."
Nikanyamazisha maneno yake kwa kufata mdomo wake na kuanza kumbusu kwa mahaba ya hali ya juu sana. Na hakuwa amekosea, nilisimama dede kwa nguvu zote hasa baada ya kuanza kumdendesha namna hiyo, naye akawa anazipokea busu zangu kwa hamu pia. Nilikuwa nimeshajua namna ya kumlegeza huyu mwanamke, yaani kumbusu tu tayari akawa kama anataka kuanguka. Ni jana tu asubuhi tulipiga hii mambo, lakini nikawa nimeshamhamu vibaya mno. Piga denda moja ya ajabu, na hivi alikuwa na midomo laini!
Nikaendelea kunyonya midomo yake na ulimi wake mtamu kwa njonjo kama zote, huku mkono wangu uliomkamata kiunoni nikiutumia kupandisha taulo yake taratibu kutokea pajani, naye akaushika na kuutoa. Akawa anajaribu kuikwepa busu yetu kwa kuupeleka mwili wake huku na huku, lakini nikaukamata huo mkono wake na kuubana mgongoni kwake huku nikijikandamiza zaidi mwilini mwake, kisha nikaushusha mkono mwingine na kuupitisha katikati ya miili yetu kwa chini mpaka kufikia katikati ya mapaja yake manono.
"Jayden..."
Akaita hivyo katikati ya busu yetu, nami nikakiweka kiganja changu usawa wa kibofu chake na kuanza kusugua sehemu hiyo ya juu kwa vidole. Yaani palikuwa panateleza kama vile pamemwagiwa mafuta lainii, naye akaanza kutoa miguno yake myembamba ndani ya mdomo wangu. Nilikuwa nimeanza kumpeleka mbali, na sikutaka safari ikome. Nikiwa nakisugua kitoweo chake kwa juu, akapitisha mkono wake mmoja mpaka juu ya kichwa changu na kunikamata nywele kwa nguvu, kama kawaida yake, naye hatimaye akawa anaiendeleza denda yetu kwa kupenda.
Nikaona ameanza kunogewa, hivyo nikauachia mkono wake nilioubana mgongoni kwake, naye akauleta mpaka kichwani kwangu kuuunganisha na mwingine kukishika kichwa changu, denda ikiwa pale pale. Nikayakamata makalio yake kwa pamoja na kuanza kuyafinya kwa nguvu kiasi ndani ya taulo yake, naye akajitoa mdomoni mwangu na kuanza kuhemea juu-juu. Nikaanza kuibusu shingo yake, huku nikitembeza mikono yangu kwenye mwili wake na kuonyesha kutaka kumtolea taulo, lakini akaikaza usawa wa kifua chake kwa mkono mmoja. Dah, yaani Miryam!
Nikaona isiwe shida. Nikaanza kumsukuma polepole kukielekea kitanda, na kwa sababu ya kutotarajia kukifikia haraka akawa amekaa kwa kishindo kama vile kajitupia. Uso wake ukawa usawa wa sehemu yangu ya suruali iliyotuna haswa, naye akaniangalia usoni kwa macho legevu. Nafikiri alidhani nataka anifanyie usafi wa eneo, lakini hapana. Mimi ndiyo nikapiga magoti chini karibu kabisa na mapaja yake, kisha nikayaachanisha na kujiweka katikati huku nikiufuata mdomo wake tena, kwa kuwa nyuso zetu zililingana.
"Jayden, we shouldn't be doing this here...."
Nikanyamazisha kimombo chake cha kulalamika tena kwa kuanza kumbusu mdomoni, na alikuwa hajambo katika kuupokea vyema sana ulimi wangu. Busu zetu zilitoa sauti tamu sana za mifyonzo kama tuko kwenye movie ya kizungu yaani, kisha ndiyo nikaanza kushuka taratibu kuelekea mapaja yake. Eti bado akawa ameikazia taulo kifuani, nami nikatabasamu kiasi na kufikisha uso wangu karibu na uanamke wake. Ah!
Maelezo ya hii kitu nilishayatoa kwa hiyo unaweza tu kuelewa kwamba niliikubali kinoma yaani. Halafu sasa kwangu mimi haikuchelewaga kujilowanisha, yaani mimi hapa ndiyo nilikuwa furaha yake. Safi, lainii... mzee nikazamisha ulimi! Nyonya, nyonya, nyonya, nyo-nya, nami nikawa namwangalia Miryam na kuona jinsi alivyopumua kwa kulegea na kupeleka kichwa chake huku na huko taratibu. Nikaendelea kumnyonya tu na kucheza na titi lake moja baada ya kuingiza kiganja changu ndani ya taulo yake, naye akaweka kiganja chake kwenye nywele zangu na kuanza kuzivuta.
Nadhani wote tuliweza kusikia pale simu yake ilipoanza kuita, lakini kwa pamoja tukaipuuzia kama vile haikusikika. Utamu ndiyo ulikuwa umeanza kumkolea bibie. Nikaendelea kumnyonya kitoweo kwa ufundi, mara nyingine akishtuka na kukisukuma kichwa changu, lakini ningeendelea tu kumpa ladha ya ulimi mpaka akaanza kuzungusha kiuno chake taratibu usoni kwangu.
Nikaacha kunyonya kwa ufupi na kumsemesha kidogo, "You like it baby?"
Akatikisa kichwa kukubali, kisha akasema, "Yes... sss... I like it..."
Nikaendelea kumnyonya kitoweo chake taratibu.
"Mmmhh... Jayden...."
"Naam..."
"Hapo hapohh..."
"Yes baby..."
"Ahhh... usiniite baby..."
"Ahahah... yes ma'am. Hapo vipi?"
"Hhh... hapo sawa..."
Alikuwa na masharti kweli, yaani dah! Ila ndiyo aliifanya hii kitu inoge sana, basi tu hakujua.
Nikakatisha unyonyaji hatimaye baada ya dakika kama kumi kabisa kuonekana kupita, na kweli nilipenda kuinyonya hii kitu aisee. Akalegea zaidi na kulalia mgongo wake huku akipumua kichovu fulani hivi, nami nikaona nitoe nguo zangu zote fasta wakati alipokuwa hanitazami.
"Basi, inatosha Jayd...."
Alipofumbua macho na kukuta sina nguo hata moja, akakodoa macho yake na kuegemia kiwiko huku akinitazama kwa kushangaa.
"Ja.... mbona ume...."
"Achana na maswali ambayo unajua majibu yake Mimi..." nikamwambia hivyo.
"Lakini Jayden...."
Nikajirusha kitandani na kuanza kumvuta, naye akawa anaweka mgomo.
"No, ach.... Jayden hapa siyo..."
Nikaendelea kulazimisha kumvuta, nikijiweka katika hali ya kulala chali ili niuvute mwili wake uje juu yangu. Na pamoja na usumbufu wake lakini nikafanikiwa kumburuza mpaka tukawa tumepandana katikati ya kitanda. Akawa anagoma kuiachia taulo yake, huku akinikalia usawa wa kiuno changu, kalio lake likiisukuma mashine yangu kwa nyuma. Nikaendelea kuishikilia mikono yake pande za viwiko.
Akiwa amekunja sura, akasema, "Jayden, no please... jaman.... nimetoka kuoga..."
Akanifanya nicheke kidogo, kisha nikamwambia, "Acha nikupe dawa kidogo tu... bafu si lipo?"
"Mm-mm..." akatikisa na kichwa kukataa.
Nikaukamata mgongo wake ili kuulazimisha mwili wake unilalile zaidi na kumwambia, "Hauoni nilivyowamba? Inabidi unitulize. Ukiniacha tu hivi hivi nikaenda kuiweka kwa mwingine?"
"Ah, we' nenda tu..." akaongea kwa kudeka.
Nywele zake laini zilikuwa karibu na uso wangu kwa hiyo zilinitekenya kiasi, nami nikalipiga kalio lake kofi kidogo na kulitikisa kwa kiganja.
"Jayden mbona husikii? Niachie..." akaongea kwa kudeka.
"Haya," nikamwambia hivyo.
Kweli nikamwachia, na ile ameanza kujinyanyua kwa kuutoa mguu wake mmoja, mimi nikaishika mashine yangu kwa mbele na kisha kuukandamiza mwili wake tena ili asiutoe upesi, na nafasi ndogo iliyoachia ikaniruhusu nikiweke kichwa cha msuli wangu usawa wa kitoweo chake. Akaweka mkono wake mmoja kifuani kwangu na kunikandamiza huku akiachama na kujikaza kimwili, nami nikatumia nafasi hiyo ya kuganda kwake kuanza kuuingiza mtalimbo ndani. Ai, hilo joto! Yaani kama alikuwa ananipasha mwili mzima.
Nikaendelea kuiingiza mashine, yeye bado akiwa ameuinua mguu wake mmoja kiasi, kisha akaurudisha katika mtindo wa kupiga magoti akiwa ananikalia sasa. Taratibu. Akainyoosha shingo yake kuelekea juu kidogo na kuweka mikono yake yote kifuani kwangu, kisha akanitazama kwa macho yenye uzito. Ah, nilijihisi vizuri sana! Joto lake lilikuwa tamu balaa!
Taulo yake ikataka kuachia, lakini akaweka mkono wake mmoja hapo kuziba, sijui huu mtindo ulikuwa wa makusudi tu ama labda kuna kitu alikuwa anaficha? Ila sikujali hapo sana, nikawa tu nasikilizia raha yenyewe kule mbele-kati baada ya yeye mwenyewe kuanza kupeleka kiuno chake mbele-nyuma taratibu.
"Ohh yes... sss... Jesus... Jaydenhh..." akaongea kwa hisia.
"Ahah... ushaanza kuniita hadi Jesus?" nikamwambia hivyo kiutani.
Akatoa tabasamu lililojaa hisia za kimahaba, naye akaelekeza uso wake juu tena na kuendelea kujisugua taratibu. Nikawa nayapapasa mapaja yake mpaka kalioni, kisha nikaikanyagisha miguu kitandani ili sasa niile bata vizuri baada ya yeye kuzoea mazingira. Nafikiri hakuwa ametarajia hili, kwa sababu nilipopandisha tu kiuno juu ghafla, akashtuka kiasi na kuniangalia usoni kama anashangaa, nami nikaanza kukuna.
Panda, shuka, panda, shuka, akawa ananesa tu huku akiguna, akijing'ata mdomo wake, na kurembua macho yake. Bado mkono wake mmoja aliuweka kifuani kwangu na mwingine kushikilia taulo yake kuficha sijui nini, nami nikaendelea kuchezesha kiuno juu-chini ili ni-enjoy zaidi utamu wake. Na utamu wake wote ulisikika vyema kwa jinsi alivyoguna kwa mideko na kuzidi kulegea tu.
Nikaanza kuongeza spidi kiasi, naye akakunja sura zaidi na kuiachia taulo yake. Akainamisha kifua chake kunielekea akiwa anasikilizia raha aliyopata bila kuacha kutoa miguno, na hapo akawa amenisogezea matiti yake mazuri sana usoni. Baraka! Nikayashika mashavu ya kalio lake na kuendelea kumkuna tu huku nikinyonya titi hili na lile kwa hamu kubwa, na kiuno chake kikawa kinatetemeka kadiri nilivyoendelea.
Dakika chache za kumpa raha namna hiyo zikanifanya nitulie kwanza ili kupumua kidogo, naye akaweka tena mikono yake kifuani kwangu na kuanza kukatikia hapo katikati. Jinsi kitoweo chake kilivyokuwa na utelezi na kuibana mashine yangu ndani kwa ndani, kujumuisha na mauno yake, yaani alinipeleka mbali sana huko juu kwenye hisia. Usipime! Kiuno chake kilikuwa laini, angekizungusha na kuanza kushuka na kupanda yeye mwenyewe, kisha nami ningeendelea kupampu ili kukutana na mapigo yake. Nilimpenda sana huyu mwanamke!
Dakika kadhaa zikawa zimepita tukipeana raha kwa mtindo huu huu, kwa sababu Miryam hakutaka nimgeuze. Yaani, alionekana kusikia raha sana iliyokuja kutokana na yeye kutetemeka miguu mara kwa mara, na nadhani mtindo huu ndiyo ulifanya hiyo itokee sana. Ndipo ikafika hatua akajikaza zaidi na kuanza kutetema huku sauti yake ikifuata huo mtetemo wake, naye akajitoa kutoka kwenye mashine yangu.
Akaniangukia mwilini, kichwa chake kikiwa kimekipita cha kwangu kwa hiyo uso wangu ulikuwa kifuani kwake, nasi tukawa tunapumua kwa uzito kiasi huku tukipapasana taratibu. Nikawa nambusu kifuani na shingoni, huku yeye akionekana kuisikilizia raha aliyokuwa ameipata kwa wakati huu. Nikatabasamu kiasi kwa kiburi maana nilikubali sana hii ishu ya kumtetemesha kama hivyo, nilijiona ngangali la hatari!
"You good?" nikamuuliza kwa sauti ya chini.
Akanyanyua uso wake na kunitazama machoni, kisha akasema, "Yes."
"Hamna maumivu?" nikamuuliza.
"Hamna. That was amazing," akajibu kwa hisia.
"Tamu eh? Haujuti sikurudi sebuleni?" nikamuuliza kimchezo.
Akatabasamu kwa hisia na kunilalia kifuani.
"Hhh... hadi raha. Sometimes hadi nakuwa naona ni kama ndoto kuwa nawe hivi," nikamwambia hivyo huku nikizichezea nywele zake.
"Na ndiyo nataka nikuje kukuwasha kofi ili uamke kutoka kwenye hiyo ndoto," akasema hivyo.
"Ahahah... kwa kosa gani tena?"
"Kunilazimu nihitaji kuoga mara ya pili."
"Oooh, lakini si ni baada ya ku-enjoy? Hilo kofi halitakuwa fair. Na kwanza sitaki hata kuamka..."
"Mhm... kwa nini?"
"Sijawahi kuwa kwenye ndoto nzuri kama hii. Sitaki kuamka kwa sababu nitakuwa na wewe muda wote wa kuiota..."
"Mmm?"
"Mm-hmm. Maisha halisi yamejaa maumivu tu, na hatuna jinsi ila kuyaishi. Ila kama ningeweza, ningechagua kuwa ndani ya ndoto hii kwa maisha yangu yote, kwa sababu wewe ndiyo ungekuwa kitu pekee ndani yake ambacho kingeifanya ndoto isiwe ndoto tena... bali uhalisia," nikamwambia hivyo kwa hisia.
"Unayatoaga wapi hayo maneno?" akauliza.
"Moyoni, Miryam. Moyoni," nikamwambia hivyo.
Akanyanyua uso wake taratibu na kuutazamisha karibu zaidi na wangu, naye akazirudisha nywele zake nyuma ya sikio na kuanza kunibusu mdomoni taratibu sana, akiuvuta mdomo wangu wa chini huku ananiangalia kwa upendo machoni, halafu akachezesha pande za mdomo wake wa juu kunielekea kwa njia fulani kama vile mnyama mkali anayeng'ata afanyavyo, akitishia kuning'ata kiutundu yaani, nami nikatabasamu na yeye akacheka kidogo na kulaza kichwa chake kifuani kwangu tena.
"Ushageuka kuwa mtundu hivi?" nikamuuliza hivyo huku nikilaza nywele zake taratibu.
Akacheka kwa pumzi na kusema, "Naona raha, Jayden. Unanipa furaha kubwa sana yaani, hata kwa wakati ambao sitarajii..."
"I'm glad," nikamwambia hivyo kwa kuridhika.
"Halafu Jayden, nakuomba... punguza kuwa unanunua-nunua au kuleta vitu vingi sana hapa," akasema hivyo.
"Nini tena? Hauitaki ice cream?"
"A-ah, namaanisha si kama hivyo jana nimekuta umewanunulia wakina mama nguo, na Mariam... usipende kufanya hivyo..."
"Kwa nini? Ni vibaya?"
"Siyo vibaya, ila... sitaki uwazoeshe hayo mambo. Sioni kama italeta picha nzuri mbeleni," akasema hivyo.
"Sawa Mimi. Nimekuelewa. Moja ya njia ambazo kwetu huwa tunaonyesha kuwajali wengine ni kuwanunulia vitu na nini... nilifikiri si mbaya nikifanya hivyo na kwa familia yako," nikamwambia kwa upole.
Akashusha pumzi kiasi na kusema, "Naelewa pia. Sema... kwa sasa bado, sisemi ni vibaya, ila uwe na limit tu baba. Utawanunulia chochote unachotaka ukishaniweka ndani."
Nikacheka kidogo na kumpiga kofi laini kwenye kalio lake.
Akasema, "Inabidi ninyanyuke. Sijui hata tumekaa hapa kwa muda gani..."
"Masaa mawili kabisa..."
"Ahahah... sikukosea eh? Busu moja uliyotaka imezaa masaa mawili."
"Hahah... huwezi kunilaumu. Mpenzi wangu we' wa moto sana..." nikamwambia hivyo huku nikisugua mkono wake taratibu.
"Mhm... eti wa moto! Unanifanya nalegea mno we' kaka, yaani sijui itakuwa sahihi zaidi tukisema unatumia dawa kuni...."
Kabla Miryam hajamaliza maneno yake, sote tukashtushwa na sauti ya mlango kufunguliwa kutokea pale sebueni, nasi tukaangalia upande wa mlango wa chumba hiki. Ih! Kumbe sikuwa nimeufunga mlango wa chumbani kwake Miryam wakati nimeingia muda ule mpaka tumemaliza mambo yetu? Si ndiyo kuuangalia sasa tukakuta bado uko wazi!
Lakini ishu ikawa juu ya ni nani aliyekuwa ameingia kule sebuleni, maana kama ni familia yake Miryam, wote walikuwa wameenda kule kwa Doris. Miryam akajinyanyua kutoka juu yangu na kuivuta taulo yake, huku mimi pia nikikaa.
"Ni nani huyo?" nikamuuliza kwa sauti ya kunong'oneza.
"Sijui. Eh, ngoja nifunge mlango kwanza..." Miryam akasema hivyo upesi.
Akaifunga taulo yake mwilini ili aende kurudishia mlango wa hapa chumbani kwanza, nami nikavuta boksa yangu na kuanza kuivaa. Sijui ni nani alikuwa ameingia huko, ila... alikuwa ametuchanganyia habari kabisa. Miryam akauelekea mlango wake na kuanza kuuvuta ili aufunge, pale ghafla tu kutokea nje ya chumba alipotokezea Shadya!
Nilishtuka. Miryam akaishia kuushikilia tu mlango akiwa ameusitiri mwili wake kwa taulo fupi, bila shaka akimwangalia mwanamke huyo kwa mshangao, huku mimi hapo kitandani nikiwa ndani ya boksa tu! Nilipomtazama Shadya kwa umakini, niliona namna ambavyo alimtazama Miryam pamoja na mimi kwa kutoamini, naye Miryam akanigeukia na kunitazama kwa wasiwasi.
"Mungu wangu! Mimi!" Shadya akasema hivyo.
Ikanibidi nianze kuvaa nguo zangu shuta, nikiwa najilaani moyoni kwa kutokuwa makini mpaka kusababisha hali hii mbaya sana itokee. Kwa jinsi Shadya alivyokuwa, yaani najua mambo yangeharibika upesi.
"Mimi... nini hiki unafanya?" Shadya akauliza.
"Shangazi... ona... njoo, ingia nikuelezee..." Miryam akasema hivyo.
Nikawa nimemaliza kuvaa suruali na T-shirt langu, nami nikaona Shadya aliposogea ndani zaidi na kusimama karibu yake Miryam, huku akitutazama kwa mshangao bado.
Miryam akasema, "Shangazi, usifikirie vibaya. Usi... haiko kama inavyoonekana, yaani...."
"Ila ikoje?" Shadya akamkatisha.
Nikawa nimetulia tu nikiwaangalia kwa umakini, naye Shadya akanitazama.
"JC... mambo gani haya? Yaani, unaacha kwenda kufanya mambo yako unakuja kumvua nguo huyu mwanamke mtu... kwa nini umekuja kumfedhehesha namna hii?" Shadya akanisemesha namna hiyo.
"Shangazi..." Miryam akaita kwa huzuni.
"Na wewe Miryam! Kweli, yaani wewe?! Nilikuwa nakupigia simu kukwambia mambo ya muhimu, hupokei, kumbe uko unafanya haya maujinga? Tumekutafutia wachumba wangapi mama? Wachumba wa maana, wote umewakataa... unadai hauko tayari kuwa na mwanaume yeyote lakini kumbe unataka kutoka na watoto wadogo? Ai jamani, sikutegemea Miryam. Kweli ni wewe?" Shadya akasema hivyo.
"Shadya... usifikirie hivyo. Miryam na mim...."
"Kaa kimya, JC. Kaa kimya. Huoni aibu? Me nilikuona kuwa kijana mstaarabu lakini kumbe... umekuja tu kumharibia maisha huyu dada, si ndiyo? Kwa hiyo kumbe umefanya kila kitu kumsaidia Mamu, Tesha, sijui nani, na sasa hivi Miryam ndiyo anakulipa kwa kukuvulia nguo, eh?" akanisemesha namna hiyo.
Nikaingiwa na hasira kiasi, nami nikasema, "Maneno unayoongea siyo ya kweli. Kwa nini usimsikilize... kwa nini usitulie uelezewe vizuri badala ya kusema maneno makali namna hiyo?"
"Maneno makali?! Unayajua maneno makali wewe? Unajua hiki chumba walikuwa wanalala wakina nani? Yaani... umekichafua chumba ambacho marehemu wazazi wa Miryam walikuwaga wanakitumia, na Miryam anakitumia ili kuwaenzi...."
"Shangazi..." Miryam akaita kwa hisia.
"... halafu unakuja kuingia na kumrubuni afanye upuuzi pamoja nawe? We' Miryam... unafikiri mama zako wakija wakajua unafanya haya mambo na huyu mtoto watakuonaje? Eh? Amekufanyaje huyu kijana mpaka akili yako imehama? Unawaachia wengine waende kwa Doris ubaki peke yako kisa eti unasema unaumwa, kumbe ni ili ubaki kufanya huu ujinga? Kweli kabisa?" Shadya akaendelea kulalama.
Miryam alikuwa amebaki kimya tu huku akiangalia pembeni kwa huzuni, nami nilikuwa nataka hata kumwambia aache kuwa mnyonge namna hiyo na kuongea ukweli wa hisia zake kwangu ili ifahamike kwamba jambo letu lilikuwa na maana zaidi ya ujinga.
Shadya akapiga viganja vyake na kusema, "Heee... haki ya Mungu! Hii ya leo kali. Umemkataa mpaka na Festo, mkaka mzuri sana, ana vitu vingi vya...."
"Shangazi, basi!" Miryam akasema hivyo kwa uthabiti.
Shadya akatulia na kuendelea kumwangalia.
"Ninakuheshimu, lakini usinisemeshe kama vile me ni mtoto. Mimi ni mtu mzima, nina maamuzi yangu juu ya maisha nayotaka kuishi. Naomba unionyeshe heshima, maana sasa naona ni kama unataka kunipanda. Unataka kuniamulia mwanaume ambaye nitampenda? Ni maisha yangu au yako?" Miryam akamwambia hivyo.
Nikatabasamu kiasi kwa mbali kwa kuridhishwa na maoni hayo. Hivyo ndivyo ilivyotakiwa!
Shadya akasema, "Ahaa? Kumbe ndiyo iko hivyo? Sawa. Haya mama, endelea. Endelea tu, uone kama hii itakufikisha popote."
Miryan akaangalia pembeni na kutikisa kichwa kwa kusikitika.
Shadya akamwambia, "Kila mtu anakuheshimu Miryam, kila mtu anakupenda, lakini wakijua hii ndiyo tabia yako unadhani kuna hata mmoja atataka kuwa na urafiki na wewe? Utasemwa sana mtaani na sifa zako nzuri zitaharibika. Tena sifa ya familia nzima. Mimi nimeona mengi, na sawa sina undugu wa damu na nyie, lakini ninajua mengi sana na ninakupenda kama mwanangu. Maimuna, mama yako, kama angekuwepo sasa hivi, asingekubaliana na hivi vitendo vya kimalaya na watoto wadogo unavyofanya... maana vinaharibu taswira nzuri ya familia yake aliyoiacha... na nakwambia Mimi, umeshaanza kuiharibu. Ngoja tuje kusikia mama zako watasema nini kuhusu haya. Endeleeni na mambo yenu..."
Baada ya mwanamke huyo kusema hayo, akaelekea sebuleni tena, akituacha tukiwa tumesimama hapo kwa kuvurugiwa amani yote tuliyokuwa nayo. Nikawa namtazama Miryam na kuona jinsi ambavyo aliumia sana, yaani aliangalia pembeni tu kwa huzuni kuu, nami nikamsogelea mpaka karibu na kumshika mkononi. Akaniangalia usoni.
"I'm sorry," nikamwambia hivyo kwa hisia.
Akaweka kiganja chake mdomoni kiasi na kutikisa kichwa kukubali pole yangu huku akitazama chini.
"Tunahitaji kumwamb...."
"No Jayden, we'.... nenda tu. Tutaongea baadaye," akaniambia hivyo kwa upole.
"Lakini vipi kuhusu...."
Kabla sijamaliza kuongea, akaniangalia usoni kwa njia yenye msisitizo kuwa nimwache tu kwanza, nami nikatikisa kichwa kuonyesha uelewa.
Nikakinyanyua kiganja chake na kukibusu mara mbili, kisha nikamshika shingoni kwa wororo, lakini hakuniangalia kabisa na kubaki ametazama pembeni kwa kufadhaika. Nikaona nimpite tu na kuondoka. Dah, yaani jamani! Wakati wetu mzuri ukawa umevurugwa vibaya sana, sijui hata ni kwa nini huyo Shadya alikuwa ameamua kuja wakati huu! Na alivyokuwa mbea sasa, hapo kama angeondoka yaani ndiyo angesambaza maneno hata kwa watu ambao hawakutufahamu.
Lakini sikujali. Najua kwa njia moja ama nyingine wenye kuongea wangeongea tu kuhusu uhusiano wangu na Miryam, hasa ukitegemea na aina yao tu ya maisha. Ila hakukuwa na chochote cha ajabu, ni basi tu ndiyo tungepaswa kuonyesha kwamba mahusiano yetu hayakuwa ya mtindo wa kuridhishana tu, bali yalikuwa ya malengo. Na nilikuwa tayari kwa lolote ambalo lingefuata baada ya hapo ili nithibitishe upendo wangu kwa mwanamke huyo kwa kila mtu ambaye angejifanya anajua sana kujaji. Hiyo ingetia ndani na mama wakubwa endapo kama na wao wangeleta dukuduku kama la Shadya.
Nilipofika sebuleni, nikamkuta Shadya akiwa amekaa sofani huku akichat, nafikiri kusambaza ubuyu sasa, yaani hakuchelewesha, nami nikampita tu na kuuelekea mlango huku nikiona alivyokuwa ananiangalia kwa macho yenye kisirani. Mzee nikatoka zangu tu hapo na kuelekea kwa Ankia, mpaka chumbani, nami nikajilaza kitandani kwa kutazama juu, nikiwa namtafakari sana Miryam wangu.
★★★★★★★★★
ITAENDELEA
★★★★★★★★★
Pata Full Story WhatsApp au inbox
Whatsapp +255 678 017 280
Karibuni sana
Dah hii story itanifanya niwe mpiga nyeto sasa 😛😛MIMI NA MIMI 2
A Story by Elton Tonny
Familia, Urafiki, Mapenzi, Kazi, Tamaa, Hila, Usaliti, Siri, Mambo Yasiyotazamiwa
R-rated 18+
Enjoy!
★★★★★★★★★★★★★★★★★★★
SEHEMU YA THELATHINI NA TISA
★★★★★★★★★★★★★★★★★★★
Salumu alinisindikiza mpaka barabarani nilipopanda daladala kuelekea stendi ya Makumbusho, na baada tu ya kuingia humo na kukaa, nikachukua simu na kumpigia Adelina upesi. Nilikuwa nimeweka mambo haya pembeni kidogo kwa ajili ya kutumia muda zaidi na Miryam kutokea jana, lakini siyo kwamba nilisahau kabisa ile ishu niliyokuwa nimemwomba Adelina anisaidie kufatilia. Na yeye inawezekana alikuwa na mambo mengi ya kikazi ndiyo sababu hakunitafuta, hivyo sasa ukawa ndiyo muda mzuri wa kuhakikisha baada ya taarifa ya kifo cha Bertha kunifikia.
Mwanamke huyo akapokea simu yangu hatimaye, na baada ya salamu, nikaenda moja kwa moja kwenye pointi ili nisimkengeushe kutoka kwenye kazi zake. Nilimuuliza ikiwa aliangalia safari ya ndege ya jamaa mwenye jina Festus Yakubu, naye ndiyo akasema 'oooh kweli,' alisahau kunitumia jibu ingawa alilifanyia suala hilo utafiti. Akaniambia ni uhakika, mwanaume mwenye jina hilo alisafiri kwa ndege kuelekea Nairobi hiyo wiki iliyopita, jina lake lilikuwepo kwenye orodha ya abiria waliopanda kuelekea huko Kenya. Ahaa? Nikamwambia sawa, nikamshukuru kwa jitihada na kumwomba samahani kumsumbua kwa wakati huu, naye akasema haikuwa na shida kabisa, ndiyo tukaagana kwa ahadi za kuja kuwasiliana baadaye.
Nikawa nimehakikisha sasa kwamba kweli Festo alikuwa ameondoka nchini, na labda hata safari yake haingeishia Nairobi tu, huenda angekwenda sehemu zingine. Hivyo, kwa kiwango kikubwa sidhani kama na yeye angekuwa na mkono ndani ya ishu ya ajali iliyompata Bertha, ikiwa kama kweli hiyo ilikuwa ajali ya kupangwa. Umakini wangu wote sasa hivi kuelekea hilo suala ungepaswa kuwa kwa huyo Beatha, yaani ningehakikisha Ramadhani anamchimba kokote alikokuwa na kumchunguza vyema ili kumdaka na lolote lile haramu, na hivyo amweke pembeni haraka sana.
Kila hisi ndani yangu iliniambia kwamba hiyo haikuwa ajali, na ni baada ya muda mfupi tu ingefahamika zaidi. Ikiwa ingegundulika hako kadada ndiyo kaleta shida kapya kwa kipindi hiki, ningetakiwa kuhakikisha usalama wa familia yangu yote kwa ujumla, na familia ya Miryam pia, halafu nihakikishe hakaji kutusumbua tena hata kama kasingetaka kufanya hivyo. Tahadhari kabla ya hatari. Nikaendelea tu na safari mpaka Makumbusho stendi hapo, kisha ndiyo nikapanda gari ili nielekee Mbagala na Mzinga.
★★
Nimekuja kufika Mzinga kwenye mida ya saa moja usiku, shauri ya msongamano wa magari ulionikawiza kweli tulipofikia barabara iliyoelekea maeneo hayo. Nilifika kwa Ankia na kumkuta mwanamke huyo akiwa anapika, na alinipokea vizuri sana kama mgeni vile, akifurahi kuniona nimerejea. Alikuwa ananiambia eti alijihisi upweke kuwa hapo mwenyewe, nami nikamwambia acha zako wewe, yaani uko na Bobo unakuwaje mpweke? Akacheka sana na kusema ni kweli, Bobo ndiye aliyekuwa akimwondolea upweke na alijitahidi kweli kumpa raha zote alizohitaji. Eti akawa ananidolishia!
Alipomaliza kunidolishia Bobo wake ndiyo akaanza kuuliza mambo yangu na Miryam yalikuwaje huko tulikoenda huku akiangalia mizigo yangu na nini, nami nikampatia zawadi yake ya nguo niliyokuwa nimemnunulia bila kuongelea mengi sana ambayo nilifanya na Miryam. Sikuwa wa aina ya kudolishia mimi. Ila si akawa anataka kujua kama nilimtembezea bibie kichapo? Nikamwambia hiyo ni siri yetu, na kwa hapo tu akawa ameelewa kuwa ndiyo, Miryam nilikuwa nimeshammiliki rasmi kimwili baada ya kumteka kihisia.
Akanipa hongera ya bata niliyokula na kuniambia alikuwa anatayarisha msosi wa nguvu ili tule pamoja wakati huu, na Bobo mume wake angekuja ili atulishe sisi pamoja. Eti mume wake! Alikuwa ameshaanza kumwita hivyo nakwambia, nami nikasema sawa, wacha niende kuwasalimu wapendwa wangu hapo jirani na kuwapatia zawadi zao, kisha ndiyo ningerejea ili kupumzika.
Nikavua tu viatu na kubeba mfuko mmoja, na wakati nikiwa naelekea hapo kwake Miryam ndiyo nikatambua kwamba bibie hakuwa amerejea bado baada ya kumtumia ujumbe kuuliza ikiwa alikuwepo ndani, na yeye akajibu kusema hakuwa ameondoka Kijichi. Hivyo, nikaenda mpaka getini, na kama kawaida kimlango kidogo cha geti kingehitaji kuvutwa kwa kamba huku kwa nje ili kufunguka lakini nikakuta hicho kikamba kimetoka. Sijui nani alikitoa kwa huku nje, ila ikanibidi nigonge tu geti sasa maana kimlango kilifungwa kwa ndani. Nikasikia sauti za hatua zikija kutokea hapo ndani ya geti, nami nikatulia na kusubiri.
Hicho kimlango kilipofunguka, ikawa ni Mariam ndiye aliyekuwa amesimama hapo mbele yangu, na sasa hivi nisingemwita "binti Mariam" tena, alikuwa Mariam kamili sasa. Alinitazama kwa njia ya kawaida tu, akiwa ndani ya blauzi nyeupe yenye tiki ya Nike kifuani, pamoja na skinny jeans laini, na mtindo wa nywele zake ulikuwa vile vile wa rasta nene isipokuwa sasa alifunga ule urefu wa mapembe-rasta kwa pande za kichwa chake kama mabutu mawili makubwa. Hakuniamkia, wala kutabasamu, akaachia tu uwazi zaidi kwenye hicho kimlango na kuanza kurudi huko ndani.
Nikaingia na kumwita, "Mamu..."
Akasimama na kunigeukia.
Nikamsogelea, nami nikamwambia, "Haujambo?"
Akatikisa kichwa mara moja kukubali.
Nikarudishia mlango wa geti na kumuuliza, "Nani yuko ndani?"
"Wakina mama. Na Tesha," akasema hivyo.
Nikatoa mfuko mdogo kutoka kwenye mfuko mkubwa niliobeba, nami nikampa huku nikisema, "Nimekuletea zawadi."
Akaupokea na kuukunjia tu usawa wa kifua chake, naye akasema, "Asante JC."
Nikatabasamu kiasi na kusema, "Mamu... nataka kujua ikiwa me na we' tuko poa. Yaani, sitaki kuwe na hali ya utengano baina yangu me na wewe... baada ya kilichotokea juzi. Nataka sana tuendelee kuwa marafiki."
Akabana midomo yake kiasi huku akiangalia pembeni, lakini hakutoa jibu.
Nikamuuliza, "Ama ndiyo umenichukia?"
Akaniangalia usoni upesi na kuweka macho yenye kujali, naye akasema, "A-ah. Siwezi kufanya hivyo JC..."
"Kweli?"
"Ndiyo. Sikuchukii... siwezi," akaniambia hivyo.
"Mbona unakuwa serious sasa kama vile...."
"Hapana, haimaanishi nakuchukia. Bado tu ninazoea hii hali... siyo rahisi ku... kubadilisha tu hisia. Bado ninakupenda," akaniambia hivyo.
Nikaendelea kumtazama usoni kwa kujali.
"Lakini kama tutaendelea kuwa marafiki tu, napaswa ku.... itachukua muda kuzoea, maana bado nikikuona...." akaishia hapo na kuangalia pembeni tena.
Nikatikisa kichwa kuonyesha uelewa, nami nikamwambia, "Sawa. Nisamehe tu lakini Mamu. Siyo nia yangu kukuumiza kama hivyo."
Akaniangalia na kusema, "Usijali. Ni muda tu, ninahitaji muda tu. Nitazoea."
Nikatabasamu kiasi na kusema, "Nitakusaidia ili uzoee haraka. Si unajua me Superman ikija kwenye suala la kukusaidia na nini?"
Akajitahidi kutabasamu kiasi na kuniambia, "Superman wapi? Huwezi hata kunyanyua hili gari."
Nikacheka kidogo na kusema, "Asa' hilo tu! Hii nyumba yote nabeba kwa haka kakidole!"
"Haa! Umdanganye mtoto," akasema hivyo na kutabasamu zaidi.
"Aahhahah... Nitakuja kukuonyesha..."
"Na ukishindwa?" akauliza.
"Basi nitakununulia kitu chochote unachotaka yaani," nikamwambia hivyo.
"Sawa. Tupinge," akasema hivyo na kuniwekea kidole chake kidogo kwenye kiganja changu.
Nikamwekea changu pia, naye akakivuta kwa nguvu kama kutia muhuri.
"Tena siyo nyumba, haka kagari tu. Ukishindwa kunyanyua, unaninunulia chochote kile nachotaka. Sawa?" akaongea hivyo kwa shauku kiasi.
Nikajikuta nimebaki kumtazama tu kwa hisia.
"Sawa?" akasisitiza swali.
Nikaondoa mzubao na kusema, "Poa. Si tumeshapinga? Kesho tu. Utaona."
"Haya," akasema hivyo.
Nikiwa natabasamu, nikamwekea kiganja changu kimoja karibu naye, na yeye akaniangalia na kutabasamu kiasi, kisha akaweka cha kwake hapo na kwa pamoja tukasema, "Brooop!"
Tukacheka kidogo tukiwa tumeanza kujenga kale kahali ka amani kazuri angalau, na ilinifariji, kisha baada ya hapo ndiyo tukaelekea huko ndani pamoja.
Warembo wangu, Bi Jamila na Bi Zawadi walinipokea kwa furaha sana, wakisema walikuwa wamenikosa kweli jana. Yaani tena Bi Zawadi akasema ikiwa sikumletea zawadi basi angeninunia, na ni kama nilikuwa nimeotea tu kumletea. Nikawapatia na wenyewe zawadi zao, nguo nzuri za wamama yaani, zenye vilemba na vitenge spesho vya kuweka begani, na ilikuwa imeniponyoka pesa nyingi kwa ajili ya hizo ila furaha yao ilipita gharama yote iliyotumika. Tesha akaja, eti na yeye akitaka zawadi, nami nikamwambia tungeenda kutafuta udongo mfinyanzi ili nimtengenezee gari zuri sana la kumpatia.
Ikawa ni pindi yenye kufurahisha sana, Mariam akaenda chumbani kujaribishia nguo yake niliyomletea na kuja kutuonyesha, na alikuwa amependeza kweli yaani. Ndiyo mama zake wakubwa wakasema wangevaa nguo hizi ikifika kesho, wakati wa kwenda kwake Doris. Sikujua kama walikuwa na huu mpango, nami nilipouliza, ndiyo wakanifahamisha kwamba Doris aliwaalika wote kwenda kumtembelea kwake mapema ya kesho, yaani familia yote iende kupaona huko kwake na mume wake maeneo ya Chanika. Kwa hiyo bila shaka Miryam angewapeleka, na walikuwa na hamu ya kuvaa vizuri tena kwenda kwenye hayo matembezi, kwa hiyo hapa nikawa nimewaletea ukombozi.
Basi, nimekaa-kaa hapo mpaka kwenye mida ya saa mbili usiku ndiyo nikawaambia ningeondoka sasa na kwenda huko gym, maana nilitakiwa kuendeleza ratiba ya kupiga mazoezi yangu ya mwili. Hawakuwa na shida kwa hilo na kuniambia kama nikipata nafasi basi nije tena hapa kwao, nami nikakubaliana nao. Tesha akaamua tuondoke pamoja ili akajiunge nami huko gym, na bibie Miryam hakuwa amerejea bado, kwa hiyo tukawaacha wanafamilia wake, nikaenda kwa Ankia kuvaa nguo nyepesi, halafu ndiyo tukaelekea gym.
Ilikuwa ni kwa uratibu wa kawaida tu kutokea hapo, yaani tukaelekea gym na Tesha kupiga tizi mpaka saa nne kasoro, kisha tukarudi nyumbani. Miryam tayari alikuwa amefika, na sikwenda kwake tena, ila tukawasiliana na mambo kuonekana kuwa poa hapo kwao. Akanijulisha kuhusiana na matembezi ya familia yake kwenda kwa Doris kesho na kusema labda tungekuja kukutana jioni ya kesho, na hilo halikuwa na neno. Tukaagana vizuri sana baada ya kuchat kwa video call hadi kwenye mida ya saa saba bibie alipoomba alale. Nikaanza kutafuta usingizi pia muda huo huo, kwa kuwa nilipanga kuamkia kwenye safari fupi siku ya kesho pia.
Jumatano ikapita.
★★★
Alhamisi asubuhi ilipofika, nikajikuta naamka ikiwa imeshaingia mida ya saa nne. Yaani nililala! Nafikiri shauri ya hiyo jana kuamka mapema mno na kugoma kurudi kulala tena, mechi zote tamu tulizocheza na Miryam wangu pia zikiwa zimeuleta huo uchovu nadhani. Ila kwa sasa nikaamka nikiwa najihisi vizuri sana mwilini, na kwa kuwa masaa yalikuwa yameenda, cha kwanza ikawa kuangalia nani ambaye angekuwa amenitafuta kwa asubuhi hii. Nikakuta ujumbe kutoka kwa Tesha akiniambia kwamba aliwaendesha ndugu zake kwenda kwa Doris hii leo asubuhi, na nikiwa huru nimcheki ili aniambie jambo fulani.
Ilikuwa ni Tesha pekee ndiye aliyenitumia ujumbe, huku Miryam, Soraya, askari Ramadhan, pamoja na yule Kevin bwana wake na Jasmine wakiwa wamenipigia. Cha kwanza ikawa ni kumpigia Miryam upesi, lakini hakupokea mara zote tatu nilizojaribu. Bila shaka wangekuwa wameshafika huko kwa Doris labda alikuwa na mambo ya kufanya, kwa hiyo nikamtumia ujumbe nikisema akiwa huru anicheki pia. Nikamjibu na Tesha, halafu nikaamua kumpigia na askari Ramadhan. Soraya nikampiga chini kabisa kwanza.
Jamaa alipopokea ndiyo akaniambia sasa yaani huko alikokuwa ameenda kuangalia miili ya wale wafungwa, mpaka alichoka. Ilikuwa imeungua vibaya kinoma, wote wakiwa kama wamekaangwa yaani mpaka sehemu za mafuvu kuonekana, isingekuwa rahisi kutambua nani ni nani. Lakini waliipima yote kuchunguza DNA, na kweli kabisa mmoja wao ulikuwa ni mwili wa Bertha. Dah! Ndiyo ikawa imeenda hiyo, Bertha hakuwepo tena. Ramadhan akaniambia alikuwa amenipigia ili tuongee kuhusu ishu niliyosema ningemwambia, ila kwa sasa alikuwa akishughulika na mambo fulani, hivyo angenitafuta akiwa na uhuru. Yaani kila mtu alihitaji uhuru kwa hii siku!
Tukawa tumeachiana hapo, nikiwa nahisi huzuni kiasi kwa kilichompata "madam," nami nikaamua kwenda kupiga usafi wa mwili kisha ndiyo niondoke kuelekea kwenye ishu niliyotaka kufanya leo. Na ilikuwa kwa ajili ya bibie wangu. Ankia alikuwa ameshaenda kazini kwake, akiacha chai na mkate alionunua asubuhi zaidi nadhani, nami nikaoga na kuvaa vizuri kabla ya kunywa chai upesi, kisha nikatoka hapo kwake ikiwa imeshaingia mida ya saa sita. Moja kwa moja mpaka Mzinga, na nikapita eneo la dukani kwake Ankia na kumpungia mkono wa 'tutaonana baadaye,' kisha nikaenda kuchukua usafiri.
Wakati nimekaa tayari ndani ya daladala na yenyewe kuanzisha mwendo, Miryam akanipigia, nami nikapokea kumsikiliza. Akaniambia kitu ambacho sikuwa nimetarajia. Yaani kumbe alikuwepo pale kwake, hakuondoka pamoja na wengine shauri ya kujisikia vibaya sehemu ya tumbo lake kwa chini alipoamka mapema leo. Ih! Nikamwambia yaani ndiyo nimeondoka sasa hivi kwa Ankia, kama angekuwa amenitafuta dakika moja nyuma mapema zaidi ningegeuka kurudi kwake, lakini akaniambia haina tatizo; niende nilipokuwa naenda na tungekuja kuonana baadaye.
Nikamuuliza shida ya tumbo ilikuwa nini, naye akaniambia hiyo asubuhi alijitahidi kwenda maabara kupima akidhani ana tatizo kubwa, ila akaambiwa haikuwa shida, bali ni mwili wake tu uliitikia jambo jipya ulilojihusisha nalo hivi karibuni ambalo hakuwa amelifanya kwa muda mrefu. Nikawa nimeelewa. Alipokea dawa za kutuliza maumivu kiasi, na akashauriwa awe na kawaida ya kushiriki tendo la kimahaba na mwenzi wake ili hiyo hali isimpate tena, maana kuna sehemu humo ndani-ndani zilikuwa zimedhoofika ila sasa ndiyo zingekuwa imara zaidi. Ndiyo mwili wake tu ulivyokuwa.
Ahaa? Nikamwambia anisubiri sasa niwahi kurudi, ningekuja na dawa nzuri zaidi. Akasema acha ujinga, niende nilipokuwa naenda na niishie huko huko. Tukaachana nikiwa nahisi furaha kweli, licha ya kwamba bado kuna mengi yenye utata yaliyokuwa yananizunguka, nami nikatulia tu kusubiri safari inifikishe nilipodhamiria kwenda na nirudi haraka kwa mpenzi wangu.
★★
Nimekuja kumaliza mipango yangu yote iliyokuwa imenipeleka maeneo ya huko Morocco kwenye mida ya saa nane, na nikaamua kurudi Mbagala upesi sana kwa kuchukua bodaboda kutokea huko moja kwa moja. Nilitaka kuwahi kwa Miryam kabla familia yake haijarejea, maana nilikuwa nimeshawasiliana na Tesha pia na yeye kuniambia angewaleta wote jioni. Kwa hiyo haikuchukua muda mrefu sana, yaani saa tisa tu nikawa nimeshafika Mbagala. Huyu boda angenila hela nyingi sana kama ningesema anishushe mpaka Mzinga, kwa hiyo nikampa chake hapo Rangi Tatu, kisha nikaamua kupanda bajaji ya jero.
Wakati bajaji ikiwa mwendoni, nikampigia Miryam kumjulisha kwamba nilikuwa njiani, kimasihara nikimwambia "jiandaee." Kama kawaida yake akaweka pingamizi, lakini akawa ameniomba nipite kwenye duka wanalouza samaki wale wabichi ili nimchukulie sato wakubwa kilo mbili, halafu eti angenilipa hela yangu nikimfikishia mboga hiyo aliyotaka kuandaa kwa ajili ya familia yake, ili kufikia muda ambao wangerudi wapate mlo mzuri. Na alitia ndani viungo na mboga za majani, nami kiutani nikamwambia haina shida, chochote kwa ajili yake ningefanya. Akanishukuru kwa utayari wangu kumtimizia ombi lake.
Basi, baada ya kushuka hapo Mzinga, nikaingia sokoni kulitafuta duka wanalouza hao samaki, lakini kwanza ikanibidi nitafute mifuko miwili ili nibebee vitu ambavyo ningechukua. Nikiwa kwenye duka moja kuchukua mifuko hiyo, nikaona kwamba palikuwa na bidhaa za ice cream, zile nzuri za kwenye makopo ambazo ni tamu sana na huwa na tuvijiko twa kutumia. Nikawaza ingekuwa poa sana kama ningemchukulia Miryam kopo moja, baridi la ice cream lingeenda kumsaidia kupoza-poza na hilo tumbo lake, hivyo nikanunua ya shilingi elfu saba, vanilla flavor, kisha ndiyo nikaelekea kufata samaki na viungo kwa ajili ya mapishi ya mpenzi wangu.
Mwendo mdogo mdogo mpaka nikawa nimefika kwake Miryam, na wakati huu sikupita kwa Ankia, nami nilipofika getini kwao nikapita moja kwa moja hadi ndani na kuingia sebuleni. Kile kikamba getini kilikuwa kimesharudishwa. Hapo sebuleni palikuwa na hali ya utupu shauri ya wanafamilia wake kuondoka, nami nikavipeleka jikoni vitu alivyoniagiza bibie huku nikimwita kumjulisha kwamba nilikuwa nimefika. Akaitikia kutokea chumbani, lakini sauti yake ilisikika kwa umbali kiasi utadhani ilizibwa, nami nikaona nizipeleke samaki kwenye friji ili ziendelee kupigwa na ubaridi.
Nikiwa usawa huo ndiyo nikaanza kusikia sasa sauti ya maji kumwagika kutokea huko chumbani kwake Miryam, nami nikakisia kwamba alikuwa akioga. Nikatabasamu kiasi kwa kuwaza ni namna gani angefanana akiwa anadondokewa na maji sehemu za mwili wake, nami nikaitoa ice cream niliyokuwa nimemletea na kusogea sehemu ya korido lililoelekea chumbani kwake.
"Mimi... nimekuletea zawadi," nikamwambia hivyo kwa sauti.
"Zawadi wapi? Sema tu umetumia shilingi ngapi, nitoke nikulipe kabisa. Usiniongezee madeni..." akaongea kimasihara.
"Ahahah... hivi we' unanionaje?"
"Kama ulivyo. Na hao samaki inabidi nije kuwakagua ndiyo ulipwe sasa."
"Ahaa? Kwa hiyo itategemea na matokeo ya ukaguzi wako ndiyo utaamua nalipwa vizuri ama vibaya?"
"Sijasema hivyo. Ila nikikuta umeleta wabaya, na malipo yanashuka..."
"Thubutu! Yaani hapa unarudisha mkopo na riba," nikamtania namna hiyo.
Nikasikia maji yakiwa yameacha kumwagika, na hakutoa itikio lolote baada ya mimi kusema hivyo.
"La sivyo we' ndo' nitakushukia. Unataka nikushukie?" nikamuuliza kiutani tena.
Hakujibu, badala yake nikasikia tu sauti kama ya mlango ukiwa unafungwa, nami nikahisi ndiyo alikuwa akitoka bafuni mule mule chumbani kwake. Nikawa nataka nimsemeshe tena, ila kukaingia mawazo mengine ndani ya kichwa changu yaliyofanya nisisimke kiasi. Hapa, tulikuwa tumebaki wawili tu mimi na mwanamke aliyekuwa mpenzi wangu, halafu ndiyo alitoka kuoga. Nini kingine kingekuwa bora zaidi kama siyo kujionea jinsi ambavyo alifanana kwa wakati huu? Na tena isingekuwa kuona tu, nilitaka nicheze naye kabisa ikiwezekana, maana hata maabara ilihalalisha mimi kuwa dawa ya tatizo lake la tumbo. Ningempa dawa!
Kwa hiyo nikaamua kuelekea upande wa chumba chake taratibu tu, huku kopo la ice cream niliyomletea likiwa kiganjani. Nilipofikia hapo mlangoni nilikuwa nachekelea kichini-chini kama mtu mwenye hila fulani hivi, kisha taratibu nikakizungusha kimkono cha kitasa na kuusukuma mlango uingie ndani. Mlango haukutoa sauti mwanzoni mpaka nikawa nimeweza kumwona Miryam sasa. Aisee! Yaani ilikuwa kama vile nazidi kuona kitu kipya tu kutoka kwake kila mara.
Alikuwa usawa wa kitanda chake, mwilini akijifunga kwa taulo nyeupe kutokea kifuani mpaka usawa wa mapaja yake, huku akitumia nyingine kukausha maji kutoka kwenye nywele zake laini. Alikuwa amenipa mgongo, hivyo niliweza kutalii vyema namna ambavyo kalio lake lenye kutamanisha kwelikweli lilivyotikisika alipokanyaga hapa na hapo kadiri alivyoendelea kujikausha maji, na jinsi ngozi yake nyeupe na nyororo sana ilivyopendeza kuanzia juu mpaka chini, ikiwa haina doa hata chembe yaani utadhani alivaalisha yote ngozi ya plastiki. Bado nilikuwa naendelea kuusukuma mlango taratibu, ndipo ukatoa sauti ndogo ya kukwaruza.
Miryam akageuka na kuniona sasa hatimaye, nami nikawa namtazama kwa hisia sana machoni.
Akakunja sura kimaswali kiasi na kusema, "Jayden..."
Nikatabasamu kiasi na kuuachia mlango sasa.
"Ah, umenishtua. Nakuja, subiria nivae," akasema hivyo na kasauti kake.
Nikaendelea kumwangalia usoni kwa upendo.
Akaendelea kujifuta-futa nywele na kusema, "Jayden nenda bana, nataka kuja kupika. Acha kuniangalia hivyo... nenda huko. Pisha nivae."
Nikaanza kupiga hatua kumwelekea.
Akaacha kujifuta nywele na kusema, "Sijakwambia uingie, rudi huko. Nimesema rudi huko nivae."
Alikuwa anatabasamu kiasi, nami nikamuuliza, "Kwani kuna shida yoyote ukivaa na mimi niko humu?"
"Ahah... ee ipo. Hiyo hapo imeshasimama," akasema hivyo na kunionyesha kwa ishara ya macho kuelekea suruali yangu.
Nikajiangalia na kucheka kidogo kwa pumzi, kisha nikamwambia, "Hapo mbona haijasimama? Inajaribu tu kuchungulia. Wala siyo shida. Tena ni dawa yako hii."
"Jayden hebu acha mambo yako. Rudi bwana sebuleni nivae," akaongea kwa kumaanisha.
"Mbona unaekti kama vile itakuwa mara ya kwanza kukuona?"
"Haijalishi. We' nakujua, ukibaki humu itanichukua zaidi ya masaa mawili kuvaa," akasema hivyo.
Kauli yake ikanifanya nicheke kidogo, kisha nikamwambia, "Kweli, unanijua vizuri."
"Nenda bwanaa..." akasema hivyo huku akinisukuma kiasi.
"Sawaa. Nilikuwa tu nimekuletea zawadi hii hapa, e?" nikamwonyeshea kopo la ice cream.
Akaliangalia na kutabasamu kwa kukunja midomo yake, kisha akalipokea na kuliweka kwenye dressing table yake karibu na ukuta uliojengewa makabati ya nguo.
"Asante. Haya nenda sasa," akasema hivyo huku amenishikia kiuno.
Nikatabasamu na kumtazama mwilini kimchezo. Akakaza macho yake kuonyesha hatanii. Nikamwonyeshea ishara kwa kidole kwamba anibusu mdomoni kisha ndiyo niondoke, naye akaonekana kuudhika sasa.
"Jayden lakini, mbona unakuwa hauko... nenda bwana, muda una... ah..." akaongea kwa njia ya kulalamika.
"We' ni-kiss, kwani saa ngapi?" nikamwambia hivyo.
"Jayden!" akatumia sauti yake kuonyesha mkazo.
"We' ndo' unajichelewesha. Ungekuwa umeshavaa tayari, kiss moja tu ingemwondoa JC hapa," nikamwambia hivyo.
Akashusha pumzi eti kwa njia ya kukerwa, kisha akanifata mdomoni na kugusisha wake mara moja, kisha akasogea nyuma tena. Khh!
Nikamuuliza, "Ndiyo nini sasa?"
"Busu yako hiyo moja..."
"Ahaa... ndo' busu hiyo?"
"Eeeh..."
"Haka kaujeuri unakatoa-toa wapi?"
"Bafuni, kwa sababu nahitaji kupaka mafuta yangu, nilainishe ngozi, lakini wewe na bichwa lako umekuja na kusababisha nimekauka kabisa sasa!"
"Me na bichwa langu? Sss... ni kweli ila, hili bichwa huku chini limekaza balaa... sina tiba ya kuilainisha ngozi yako zaidi ya ilivyo laini, lakini bichwa langu linaweza kukulainishia zaidi sehemu fulani nzuri zaidi ya ngozi yako tu, maana leo umetoka kuambiwa ni dawa. Ungependa ikulainishie?" nikaongea haraka-haraka kimchezo.
Akazuia kicheko na kusema, "Sitaki lolote, me nataka kuvaa. Nenda bwana me ni...."
Nikakishika kiuno chake ghafla na kumvuta kwangu mpaka miili yetu ilipogandana, naye akaonyesha sura ya taharuki akiwa karibu zaidi na uso wangu.
"Jayden, ni nini lakini?" akauliza hivyo huku akijaribu kujinasua.
"Busu moja tu..." nikamwambia hivyo kwa sauti ya chini.
"Si meshakupa? Ah..." eti akawa anadengua.
Nikapandisha mkono wangu mmoja mpaka nyuma ya kichwa chake, nikiishika shingo yake taratibu, naye akaniangalia usoni kwa njia tulivu zaidi. Nilikuwa namtazama kwa hisia sana.
"Jayden... tunaweza kukutwa..." akaendelea tu kulalamika.
"Na nani? Wote wameondoka," nikamwambia hivyo.
"A-ah, hata kama. Hii siyo sehe...."
Nikanyamazisha maneno yake kwa kufata mdomo wake na kuanza kumbusu kwa mahaba ya hali ya juu sana. Na hakuwa amekosea, nilisimama dede kwa nguvu zote hasa baada ya kuanza kumdendesha namna hiyo, naye akawa anazipokea busu zangu kwa hamu pia. Nilikuwa nimeshajua namna ya kumlegeza huyu mwanamke, yaani kumbusu tu tayari akawa kama anataka kuanguka. Ni jana tu asubuhi tulipiga hii mambo, lakini nikawa nimeshamhamu vibaya mno. Piga denda moja ya ajabu, na hivi alikuwa na midomo laini!
Nikaendelea kunyonya midomo yake na ulimi wake mtamu kwa njonjo kama zote, huku mkono wangu uliomkamata kiunoni nikiutumia kupandisha taulo yake taratibu kutokea pajani, naye akaushika na kuutoa. Akawa anajaribu kuikwepa busu yetu kwa kuupeleka mwili wake huku na huku, lakini nikaukamata huo mkono wake na kuubana mgongoni kwake huku nikijikandamiza zaidi mwilini mwake, kisha nikaushusha mkono mwingine na kuupitisha katikati ya miili yetu kwa chini mpaka kufikia katikati ya mapaja yake manono.
"Jayden..."
Akaita hivyo katikati ya busu yetu, nami nikakiweka kiganja changu usawa wa kibofu chake na kuanza kusugua sehemu hiyo ya juu kwa vidole. Yaani palikuwa panateleza kama vile pamemwagiwa mafuta lainii, naye akaanza kutoa miguno yake myembamba ndani ya mdomo wangu. Nilikuwa nimeanza kumpeleka mbali, na sikutaka safari ikome. Nikiwa nakisugua kitoweo chake kwa juu, akapitisha mkono wake mmoja mpaka juu ya kichwa changu na kunikamata nywele kwa nguvu, kama kawaida yake, naye hatimaye akawa anaiendeleza denda yetu kwa kupenda.
Nikaona ameanza kunogewa, hivyo nikauachia mkono wake nilioubana mgongoni kwake, naye akauleta mpaka kichwani kwangu kuuunganisha na mwingine kukishika kichwa changu, denda ikiwa pale pale. Nikayakamata makalio yake kwa pamoja na kuanza kuyafinya kwa nguvu kiasi ndani ya taulo yake, naye akajitoa mdomoni mwangu na kuanza kuhemea juu-juu. Nikaanza kuibusu shingo yake, huku nikitembeza mikono yangu kwenye mwili wake na kuonyesha kutaka kumtolea taulo, lakini akaikaza usawa wa kifua chake kwa mkono mmoja. Dah, yaani Miryam!
Nikaona isiwe shida. Nikaanza kumsukuma polepole kukielekea kitanda, na kwa sababu ya kutotarajia kukifikia haraka akawa amekaa kwa kishindo kama vile kajitupia. Uso wake ukawa usawa wa sehemu yangu ya suruali iliyotuna haswa, naye akaniangalia usoni kwa macho legevu. Nafikiri alidhani nataka anifanyie usafi wa eneo, lakini hapana. Mimi ndiyo nikapiga magoti chini karibu kabisa na mapaja yake, kisha nikayaachanisha na kujiweka katikati huku nikiufuata mdomo wake tena, kwa kuwa nyuso zetu zililingana.
"Jayden, we shouldn't be doing this here...."
Nikanyamazisha kimombo chake cha kulalamika tena kwa kuanza kumbusu mdomoni, na alikuwa hajambo katika kuupokea vyema sana ulimi wangu. Busu zetu zilitoa sauti tamu sana za mifyonzo kama tuko kwenye movie ya kizungu yaani, kisha ndiyo nikaanza kushuka taratibu kuelekea mapaja yake. Eti bado akawa ameikazia taulo kifuani, nami nikatabasamu kiasi na kufikisha uso wangu karibu na uanamke wake. Ah!
Maelezo ya hii kitu nilishayatoa kwa hiyo unaweza tu kuelewa kwamba niliikubali kinoma yaani. Halafu sasa kwangu mimi haikuchelewaga kujilowanisha, yaani mimi hapa ndiyo nilikuwa furaha yake. Safi, lainii... mzee nikazamisha ulimi! Nyonya, nyonya, nyonya, nyo-nya, nami nikawa namwangalia Miryam na kuona jinsi alivyopumua kwa kulegea na kupeleka kichwa chake huku na huko taratibu. Nikaendelea kumnyonya tu na kucheza na titi lake moja baada ya kuingiza kiganja changu ndani ya taulo yake, naye akaweka kiganja chake kwenye nywele zangu na kuanza kuzivuta.
Nadhani wote tuliweza kusikia pale simu yake ilipoanza kuita, lakini kwa pamoja tukaipuuzia kama vile haikusikika. Utamu ndiyo ulikuwa umeanza kumkolea bibie. Nikaendelea kumnyonya kitoweo kwa ufundi, mara nyingine akishtuka na kukisukuma kichwa changu, lakini ningeendelea tu kumpa ladha ya ulimi mpaka akaanza kuzungusha kiuno chake taratibu usoni kwangu.
Nikaacha kunyonya kwa ufupi na kumsemesha kidogo, "You like it baby?"
Akatikisa kichwa kukubali, kisha akasema, "Yes... sss... I like it..."
Nikaendelea kumnyonya kitoweo chake taratibu.
"Mmmhh... Jayden...."
"Naam..."
"Hapo hapohh..."
"Yes baby..."
"Ahhh... usiniite baby..."
"Ahahah... yes ma'am. Hapo vipi?"
"Hhh... hapo sawa..."
Alikuwa na masharti kweli, yaani dah! Ila ndiyo aliifanya hii kitu inoge sana, basi tu hakujua.
Nikakatisha unyonyaji hatimaye baada ya dakika kama kumi kabisa kuonekana kupita, na kweli nilipenda kuinyonya hii kitu aisee. Akalegea zaidi na kulalia mgongo wake huku akipumua kichovu fulani hivi, nami nikaona nitoe nguo zangu zote fasta wakati alipokuwa hanitazami.
"Basi, inatosha Jayd...."
Alipofumbua macho na kukuta sina nguo hata moja, akakodoa macho yake na kuegemia kiwiko huku akinitazama kwa kushangaa.
"Ja.... mbona ume...."
"Achana na maswali ambayo unajua majibu yake Mimi..." nikamwambia hivyo.
"Lakini Jayden...."
Nikajirusha kitandani na kuanza kumvuta, naye akawa anaweka mgomo.
"No, ach.... Jayden hapa siyo..."
Nikaendelea kulazimisha kumvuta, nikijiweka katika hali ya kulala chali ili niuvute mwili wake uje juu yangu. Na pamoja na usumbufu wake lakini nikafanikiwa kumburuza mpaka tukawa tumepandana katikati ya kitanda. Akawa anagoma kuiachia taulo yake, huku akinikalia usawa wa kiuno changu, kalio lake likiisukuma mashine yangu kwa nyuma. Nikaendelea kuishikilia mikono yake pande za viwiko.
Akiwa amekunja sura, akasema, "Jayden, no please... jaman.... nimetoka kuoga..."
Akanifanya nicheke kidogo, kisha nikamwambia, "Acha nikupe dawa kidogo tu... bafu si lipo?"
"Mm-mm..." akatikisa na kichwa kukataa.
Nikaukamata mgongo wake ili kuulazimisha mwili wake unilalile zaidi na kumwambia, "Hauoni nilivyowamba? Inabidi unitulize. Ukiniacha tu hivi hivi nikaenda kuiweka kwa mwingine?"
"Ah, we' nenda tu..." akaongea kwa kudeka.
Nywele zake laini zilikuwa karibu na uso wangu kwa hiyo zilinitekenya kiasi, nami nikalipiga kalio lake kofi kidogo na kulitikisa kwa kiganja.
"Jayden mbona husikii? Niachie..." akaongea kwa kudeka.
"Haya," nikamwambia hivyo.
Kweli nikamwachia, na ile ameanza kujinyanyua kwa kuutoa mguu wake mmoja, mimi nikaishika mashine yangu kwa mbele na kisha kuukandamiza mwili wake tena ili asiutoe upesi, na nafasi ndogo iliyoachia ikaniruhusu nikiweke kichwa cha msuli wangu usawa wa kitoweo chake. Akaweka mkono wake mmoja kifuani kwangu na kunikandamiza huku akiachama na kujikaza kimwili, nami nikatumia nafasi hiyo ya kuganda kwake kuanza kuuingiza mtalimbo ndani. Ai, hilo joto! Yaani kama alikuwa ananipasha mwili mzima.
Nikaendelea kuiingiza mashine, yeye bado akiwa ameuinua mguu wake mmoja kiasi, kisha akaurudisha katika mtindo wa kupiga magoti akiwa ananikalia sasa. Taratibu. Akainyoosha shingo yake kuelekea juu kidogo na kuweka mikono yake yote kifuani kwangu, kisha akanitazama kwa macho yenye uzito. Ah, nilijihisi vizuri sana! Joto lake lilikuwa tamu balaa!
Taulo yake ikataka kuachia, lakini akaweka mkono wake mmoja hapo kuziba, sijui huu mtindo ulikuwa wa makusudi tu ama labda kuna kitu alikuwa anaficha? Ila sikujali hapo sana, nikawa tu nasikilizia raha yenyewe kule mbele-kati baada ya yeye mwenyewe kuanza kupeleka kiuno chake mbele-nyuma taratibu.
"Ohh yes... sss... Jesus... Jaydenhh..." akaongea kwa hisia.
"Ahah... ushaanza kuniita hadi Jesus?" nikamwambia hivyo kiutani.
Akatoa tabasamu lililojaa hisia za kimahaba, naye akaelekeza uso wake juu tena na kuendelea kujisugua taratibu. Nikawa nayapapasa mapaja yake mpaka kalioni, kisha nikaikanyagisha miguu kitandani ili sasa niile bata vizuri baada ya yeye kuzoea mazingira. Nafikiri hakuwa ametarajia hili, kwa sababu nilipopandisha tu kiuno juu ghafla, akashtuka kiasi na kuniangalia usoni kama anashangaa, nami nikaanza kukuna.
Panda, shuka, panda, shuka, akawa ananesa tu huku akiguna, akijing'ata mdomo wake, na kurembua macho yake. Bado mkono wake mmoja aliuweka kifuani kwangu na mwingine kushikilia taulo yake kuficha sijui nini, nami nikaendelea kuchezesha kiuno juu-chini ili ni-enjoy zaidi utamu wake. Na utamu wake wote ulisikika vyema kwa jinsi alivyoguna kwa mideko na kuzidi kulegea tu.
Nikaanza kuongeza spidi kiasi, naye akakunja sura zaidi na kuiachia taulo yake. Akainamisha kifua chake kunielekea akiwa anasikilizia raha aliyopata bila kuacha kutoa miguno, na hapo akawa amenisogezea matiti yake mazuri sana usoni. Baraka! Nikayashika mashavu ya kalio lake na kuendelea kumkuna tu huku nikinyonya titi hili na lile kwa hamu kubwa, na kiuno chake kikawa kinatetemeka kadiri nilivyoendelea.
Dakika chache za kumpa raha namna hiyo zikanifanya nitulie kwanza ili kupumua kidogo, naye akaweka tena mikono yake kifuani kwangu na kuanza kukatikia hapo katikati. Jinsi kitoweo chake kilivyokuwa na utelezi na kuibana mashine yangu ndani kwa ndani, kujumuisha na mauno yake, yaani alinipeleka mbali sana huko juu kwenye hisia. Usipime! Kiuno chake kilikuwa laini, angekizungusha na kuanza kushuka na kupanda yeye mwenyewe, kisha nami ningeendelea kupampu ili kukutana na mapigo yake. Nilimpenda sana huyu mwanamke!
Dakika kadhaa zikawa zimepita tukipeana raha kwa mtindo huu huu, kwa sababu Miryam hakutaka nimgeuze. Yaani, alionekana kusikia raha sana iliyokuja kutokana na yeye kutetemeka miguu mara kwa mara, na nadhani mtindo huu ndiyo ulifanya hiyo itokee sana. Ndipo ikafika hatua akajikaza zaidi na kuanza kutetema huku sauti yake ikifuata huo mtetemo wake, naye akajitoa kutoka kwenye mashine yangu.
Akaniangukia mwilini, kichwa chake kikiwa kimekipita cha kwangu kwa hiyo uso wangu ulikuwa kifuani kwake, nasi tukawa tunapumua kwa uzito kiasi huku tukipapasana taratibu. Nikawa nambusu kifuani na shingoni, huku yeye akionekana kuisikilizia raha aliyokuwa ameipata kwa wakati huu. Nikatabasamu kiasi kwa kiburi maana nilikubali sana hii ishu ya kumtetemesha kama hivyo, nilijiona ngangali la hatari!
"You good?" nikamuuliza kwa sauti ya chini.
Akanyanyua uso wake na kunitazama machoni, kisha akasema, "Yes."
"Hamna maumivu?" nikamuuliza.
"Hamna. That was amazing," akajibu kwa hisia.
"Tamu eh? Haujuti sikurudi sebuleni?" nikamuuliza kimchezo.
Akatabasamu kwa hisia na kunilalia kifuani.
"Hhh... hadi raha. Sometimes hadi nakuwa naona ni kama ndoto kuwa nawe hivi," nikamwambia hivyo huku nikizichezea nywele zake.
"Na ndiyo nataka nikuje kukuwasha kofi ili uamke kutoka kwenye hiyo ndoto," akasema hivyo.
"Ahahah... kwa kosa gani tena?"
"Kunilazimu nihitaji kuoga mara ya pili."
"Oooh, lakini si ni baada ya ku-enjoy? Hilo kofi halitakuwa fair. Na kwanza sitaki hata kuamka..."
"Mhm... kwa nini?"
"Sijawahi kuwa kwenye ndoto nzuri kama hii. Sitaki kuamka kwa sababu nitakuwa na wewe muda wote wa kuiota..."
"Mmm?"
"Mm-hmm. Maisha halisi yamejaa maumivu tu, na hatuna jinsi ila kuyaishi. Ila kama ningeweza, ningechagua kuwa ndani ya ndoto hii kwa maisha yangu yote, kwa sababu wewe ndiyo ungekuwa kitu pekee ndani yake ambacho kingeifanya ndoto isiwe ndoto tena... bali uhalisia," nikamwambia hivyo kwa hisia.
"Unayatoaga wapi hayo maneno?" akauliza.
"Moyoni, Miryam. Moyoni," nikamwambia hivyo.
Akanyanyua uso wake taratibu na kuutazamisha karibu zaidi na wangu, naye akazirudisha nywele zake nyuma ya sikio na kuanza kunibusu mdomoni taratibu sana, akiuvuta mdomo wangu wa chini huku ananiangalia kwa upendo machoni, halafu akachezesha pande za mdomo wake wa juu kunielekea kwa njia fulani kama vile mnyama mkali anayeng'ata afanyavyo, akitishia kuning'ata kiutundu yaani, nami nikatabasamu na yeye akacheka kidogo na kulaza kichwa chake kifuani kwangu tena.
"Ushageuka kuwa mtundu hivi?" nikamuuliza hivyo huku nikilaza nywele zake taratibu.
Akacheka kwa pumzi na kusema, "Naona raha, Jayden. Unanipa furaha kubwa sana yaani, hata kwa wakati ambao sitarajii..."
"I'm glad," nikamwambia hivyo kwa kuridhika.
"Halafu Jayden, nakuomba... punguza kuwa unanunua-nunua au kuleta vitu vingi sana hapa," akasema hivyo.
"Nini tena? Hauitaki ice cream?"
"A-ah, namaanisha si kama hivyo jana nimekuta umewanunulia wakina mama nguo, na Mariam... usipende kufanya hivyo..."
"Kwa nini? Ni vibaya?"
"Siyo vibaya, ila... sitaki uwazoeshe hayo mambo. Sioni kama italeta picha nzuri mbeleni," akasema hivyo.
"Sawa Mimi. Nimekuelewa. Moja ya njia ambazo kwetu huwa tunaonyesha kuwajali wengine ni kuwanunulia vitu na nini... nilifikiri si mbaya nikifanya hivyo na kwa familia yako," nikamwambia kwa upole.
Akashusha pumzi kiasi na kusema, "Naelewa pia. Sema... kwa sasa bado, sisemi ni vibaya, ila uwe na limit tu baba. Utawanunulia chochote unachotaka ukishaniweka ndani."
Nikacheka kidogo na kumpiga kofi laini kwenye kalio lake.
Akasema, "Inabidi ninyanyuke. Sijui hata tumekaa hapa kwa muda gani..."
"Masaa mawili kabisa..."
"Ahahah... sikukosea eh? Busu moja uliyotaka imezaa masaa mawili."
"Hahah... huwezi kunilaumu. Mpenzi wangu we' wa moto sana..." nikamwambia hivyo huku nikisugua mkono wake taratibu.
"Mhm... eti wa moto! Unanifanya nalegea mno we' kaka, yaani sijui itakuwa sahihi zaidi tukisema unatumia dawa kuni...."
Kabla Miryam hajamaliza maneno yake, sote tukashtushwa na sauti ya mlango kufunguliwa kutokea pale sebueni, nasi tukaangalia upande wa mlango wa chumba hiki. Ih! Kumbe sikuwa nimeufunga mlango wa chumbani kwake Miryam wakati nimeingia muda ule mpaka tumemaliza mambo yetu? Si ndiyo kuuangalia sasa tukakuta bado uko wazi!
Lakini ishu ikawa juu ya ni nani aliyekuwa ameingia kule sebuleni, maana kama ni familia yake Miryam, wote walikuwa wameenda kule kwa Doris. Miryam akajinyanyua kutoka juu yangu na kuivuta taulo yake, huku mimi pia nikikaa.
"Ni nani huyo?" nikamuuliza kwa sauti ya kunong'oneza.
"Sijui. Eh, ngoja nifunge mlango kwanza..." Miryam akasema hivyo upesi.
Akaifunga taulo yake mwilini ili aende kurudishia mlango wa hapa chumbani kwanza, nami nikavuta boksa yangu na kuanza kuivaa. Sijui ni nani alikuwa ameingia huko, ila... alikuwa ametuchanganyia habari kabisa. Miryam akauelekea mlango wake na kuanza kuuvuta ili aufunge, pale ghafla tu kutokea nje ya chumba alipotokezea Shadya!
Nilishtuka. Miryam akaishia kuushikilia tu mlango akiwa ameusitiri mwili wake kwa taulo fupi, bila shaka akimwangalia mwanamke huyo kwa mshangao, huku mimi hapo kitandani nikiwa ndani ya boksa tu! Nilipomtazama Shadya kwa umakini, niliona namna ambavyo alimtazama Miryam pamoja na mimi kwa kutoamini, naye Miryam akanigeukia na kunitazama kwa wasiwasi.
"Mungu wangu! Mimi!" Shadya akasema hivyo.
Ikanibidi nianze kuvaa nguo zangu shuta, nikiwa najilaani moyoni kwa kutokuwa makini mpaka kusababisha hali hii mbaya sana itokee. Kwa jinsi Shadya alivyokuwa, yaani najua mambo yangeharibika upesi.
"Mimi... nini hiki unafanya?" Shadya akauliza.
"Shangazi... ona... njoo, ingia nikuelezee..." Miryam akasema hivyo.
Nikawa nimemaliza kuvaa suruali na T-shirt langu, nami nikaona Shadya aliposogea ndani zaidi na kusimama karibu yake Miryam, huku akitutazama kwa mshangao bado.
Miryam akasema, "Shangazi, usifikirie vibaya. Usi... haiko kama inavyoonekana, yaani...."
"Ila ikoje?" Shadya akamkatisha.
Nikawa nimetulia tu nikiwaangalia kwa umakini, naye Shadya akanitazama.
"JC... mambo gani haya? Yaani, unaacha kwenda kufanya mambo yako unakuja kumvua nguo huyu mwanamke mtu... kwa nini umekuja kumfedhehesha namna hii?" Shadya akanisemesha namna hiyo.
"Shangazi..." Miryam akaita kwa huzuni.
"Na wewe Miryam! Kweli, yaani wewe?! Nilikuwa nakupigia simu kukwambia mambo ya muhimu, hupokei, kumbe uko unafanya haya maujinga? Tumekutafutia wachumba wangapi mama? Wachumba wa maana, wote umewakataa... unadai hauko tayari kuwa na mwanaume yeyote lakini kumbe unataka kutoka na watoto wadogo? Ai jamani, sikutegemea Miryam. Kweli ni wewe?" Shadya akasema hivyo.
"Shadya... usifikirie hivyo. Miryam na mim...."
"Kaa kimya, JC. Kaa kimya. Huoni aibu? Me nilikuona kuwa kijana mstaarabu lakini kumbe... umekuja tu kumharibia maisha huyu dada, si ndiyo? Kwa hiyo kumbe umefanya kila kitu kumsaidia Mamu, Tesha, sijui nani, na sasa hivi Miryam ndiyo anakulipa kwa kukuvulia nguo, eh?" akanisemesha namna hiyo.
Nikaingiwa na hasira kiasi, nami nikasema, "Maneno unayoongea siyo ya kweli. Kwa nini usimsikilize... kwa nini usitulie uelezewe vizuri badala ya kusema maneno makali namna hiyo?"
"Maneno makali?! Unayajua maneno makali wewe? Unajua hiki chumba walikuwa wanalala wakina nani? Yaani... umekichafua chumba ambacho marehemu wazazi wa Miryam walikuwaga wanakitumia, na Miryam anakitumia ili kuwaenzi...."
"Shangazi..." Miryam akaita kwa hisia.
"... halafu unakuja kuingia na kumrubuni afanye upuuzi pamoja nawe? We' Miryam... unafikiri mama zako wakija wakajua unafanya haya mambo na huyu mtoto watakuonaje? Eh? Amekufanyaje huyu kijana mpaka akili yako imehama? Unawaachia wengine waende kwa Doris ubaki peke yako kisa eti unasema unaumwa, kumbe ni ili ubaki kufanya huu ujinga? Kweli kabisa?" Shadya akaendelea kulalama.
Miryam alikuwa amebaki kimya tu huku akiangalia pembeni kwa huzuni, nami nilikuwa nataka hata kumwambia aache kuwa mnyonge namna hiyo na kuongea ukweli wa hisia zake kwangu ili ifahamike kwamba jambo letu lilikuwa na maana zaidi ya ujinga.
Shadya akapiga viganja vyake na kusema, "Heee... haki ya Mungu! Hii ya leo kali. Umemkataa mpaka na Festo, mkaka mzuri sana, ana vitu vingi vya...."
"Shangazi, basi!" Miryam akasema hivyo kwa uthabiti.
Shadya akatulia na kuendelea kumwangalia.
"Ninakuheshimu, lakini usinisemeshe kama vile me ni mtoto. Mimi ni mtu mzima, nina maamuzi yangu juu ya maisha nayotaka kuishi. Naomba unionyeshe heshima, maana sasa naona ni kama unataka kunipanda. Unataka kuniamulia mwanaume ambaye nitampenda? Ni maisha yangu au yako?" Miryam akamwambia hivyo.
Nikatabasamu kiasi kwa mbali kwa kuridhishwa na maoni hayo. Hivyo ndivyo ilivyotakiwa!
Shadya akasema, "Ahaa? Kumbe ndiyo iko hivyo? Sawa. Haya mama, endelea. Endelea tu, uone kama hii itakufikisha popote."
Miryan akaangalia pembeni na kutikisa kichwa kwa kusikitika.
Shadya akamwambia, "Kila mtu anakuheshimu Miryam, kila mtu anakupenda, lakini wakijua hii ndiyo tabia yako unadhani kuna hata mmoja atataka kuwa na urafiki na wewe? Utasemwa sana mtaani na sifa zako nzuri zitaharibika. Tena sifa ya familia nzima. Mimi nimeona mengi, na sawa sina undugu wa damu na nyie, lakini ninajua mengi sana na ninakupenda kama mwanangu. Maimuna, mama yako, kama angekuwepo sasa hivi, asingekubaliana na hivi vitendo vya kimalaya na watoto wadogo unavyofanya... maana vinaharibu taswira nzuri ya familia yake aliyoiacha... na nakwambia Mimi, umeshaanza kuiharibu. Ngoja tuje kusikia mama zako watasema nini kuhusu haya. Endeleeni na mambo yenu..."
Baada ya mwanamke huyo kusema hayo, akaelekea sebuleni tena, akituacha tukiwa tumesimama hapo kwa kuvurugiwa amani yote tuliyokuwa nayo. Nikawa namtazama Miryam na kuona jinsi ambavyo aliumia sana, yaani aliangalia pembeni tu kwa huzuni kuu, nami nikamsogelea mpaka karibu na kumshika mkononi. Akaniangalia usoni.
"I'm sorry," nikamwambia hivyo kwa hisia.
Akaweka kiganja chake mdomoni kiasi na kutikisa kichwa kukubali pole yangu huku akitazama chini.
"Tunahitaji kumwamb...."
"No Jayden, we'.... nenda tu. Tutaongea baadaye," akaniambia hivyo kwa upole.
"Lakini vipi kuhusu...."
Kabla sijamaliza kuongea, akaniangalia usoni kwa njia yenye msisitizo kuwa nimwache tu kwanza, nami nikatikisa kichwa kuonyesha uelewa.
Nikakinyanyua kiganja chake na kukibusu mara mbili, kisha nikamshika shingoni kwa wororo, lakini hakuniangalia kabisa na kubaki ametazama pembeni kwa kufadhaika. Nikaona nimpite tu na kuondoka. Dah, yaani jamani! Wakati wetu mzuri ukawa umevurugwa vibaya sana, sijui hata ni kwa nini huyo Shadya alikuwa ameamua kuja wakati huu! Na alivyokuwa mbea sasa, hapo kama angeondoka yaani ndiyo angesambaza maneno hata kwa watu ambao hawakutufahamu.
Lakini sikujali. Najua kwa njia moja ama nyingine wenye kuongea wangeongea tu kuhusu uhusiano wangu na Miryam, hasa ukitegemea na aina yao tu ya maisha. Ila hakukuwa na chochote cha ajabu, ni basi tu ndiyo tungepaswa kuonyesha kwamba mahusiano yetu hayakuwa ya mtindo wa kuridhishana tu, bali yalikuwa ya malengo. Na nilikuwa tayari kwa lolote ambalo lingefuata baada ya hapo ili nithibitishe upendo wangu kwa mwanamke huyo kwa kila mtu ambaye angejifanya anajua sana kujaji. Hiyo ingetia ndani na mama wakubwa endapo kama na wao wangeleta dukuduku kama la Shadya.
Nilipofika sebuleni, nikamkuta Shadya akiwa amekaa sofani huku akichat, nafikiri kusambaza ubuyu sasa, yaani hakuchelewesha, nami nikampita tu na kuuelekea mlango huku nikiona alivyokuwa ananiangalia kwa macho yenye kisirani. Mzee nikatoka zangu tu hapo na kuelekea kwa Ankia, mpaka chumbani, nami nikajilaza kitandani kwa kutazama juu, nikiwa namtafakari sana Miryam wangu.
★★★★★★★★★
ITAENDELEA
★★★★★★★★★
Pata Full Story WhatsApp au inbox
Whatsapp +255 678 017 280
Karibuni sana
kazi kwelikweliJc kwenye mna maisha ya kizungu ndomana wakamuelewa miryam licha ya tofauti yenu ya umri kazi ipo ukweni kwako coz ni familia ya kiswahili
Stella anamtukana Jc kwa ndan 😁😁 kuwa unanikomoaMIMI NA MIMI 2
A Story by Elton Tonny
Familia, Urafiki, Mapenzi, Kazi, Siri, Tamaa, Hila, Usaliti, Ukatili, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa
R-rated 18+
Enjoy!
★★★★★★★★★★★★★★
SEHEMU YA AROBAINI
★★★★★★★★★★★★★★
Niliendelea kukaa tu chumbani kwangu nikiwa nasubiri lolote lile kutoka upande wake Miryam, yaani anipigie au labda anitumie ujumbe, lakini haikuwa hivyo mpaka inaingia mida ya saa mbili usiku. Niliweza kusikia gari lake likitoa mvumo wa kuingia hapo kwake pamoja na geti kufunguliwa, kumaanisha kwamba Tesha ndiyo alikuwa ameirudisha familia yao hapo nyumbani, kwa hiyo naelewa huo ndiyo ungekuwa mwanzo wa mambo kuwa moto zaidi baada ya kilichotokea masaa machache nyuma Shadya aliponikuta chumbani kwa bibie.
Sikuwa nahofia lolote, yaani kama ningeitwa hapo ili kuongea, nilikuwa na utayari wote wa kusema nao kwa ujasiri kuhusu upendo wangu kwa Miryam. Shadya alitukuta kwa njia fulani ambayo ingesomeka vibaya, sikatai, lakini siyo kwamba tulikuwa tumefanya kosa. Mimi na Miryam tulikuwa watu wazima, tukielewa vyema matendo yetu, kwa hiyo hapo kilichokuwepo ilikuwa kueleza tu matendo hayo yalimaanisha nini, na labda kuomba tu samahani kwa upande wangu ikiwa kweli nilifanya taswira ya familia iharibike, ila siyo kwamba nilikuwa na hatia kwa lolote.
Niliamini niko sahihi kabisa, na nilikuwa tayari kutetea penzi langu mbele ya maneno yoyote ambayo mtu kama Shadya angeyasema kupingana nami. Ile ishu ya ndugu zake kumpeleka sana Miryam ilitakiwa ikome, ilikuwa imeshatosha sasa, hata Miryam mwenyewe alielewa walikuwa wanampanda mno kutaka kumuamulia maisha yake utadhani hakuyaona. Muda wa kusimama imara kwenye uchaguzi wake ndiyo ulikuwa huu, na tungeungana mkono kwenye hilo kwa asilimia zote.
Ankia akawa amerejea hatimaye na kuja kunisalimia, kisha akaenda kujimwagia kwanza. Ni wakati huu ndiyo askari Ramadhani akawa amenipigia simu kwa mara nyingine, nadhani akiwa amepata nafasi nzuri ya kuzungumza, hivyo nikapokea na kuanza maongezi naye. Moja kwa moja nikaanza kwa kuongelea ishu ya yule Beatha, nikianza kwa kusimulia jinsi ambavyo mwanamke huyo alitumiwa na Bertha kipindi fulani nyuma kama mfanyakazi wake lakini hapo juzi ndiyo nikaja kutambua kwamba alikuwa ni mdogo wake baada ya yeye kunifatilia kwa mwendo mrefu ili anipe ule ujumbe wa Bertha na onyo lake.
Nikamwambia Ramadhan nilihisi huyo Beatha angekuwa na uhusiano fulani na kilichompata Bertha, kwa sababu nilipoongea naye ile siku alionyesha kuwa na aina fulani ya uchu wa kutaka aongoze mambo, akinitishia tu kwamba uwezo wa kuniumiza anao ila hakufanya hivyo kwa sababu ya mamlaka ya dada yake. Ikiwa Bertha kupoteza maisha kwa wakati huu ilimaanisha sehemu fulani ya hiyo mamlaka kwa mambo yao mengine ingekwenda kwa mdogo wake, basi Beatha angekuwa na nguvu ya kufanya lolote lile.
Nikamwambia pia ilibidi amchunguze huyo mwanamke, yaani wamwangalie kwa ukaribu kwa kuwa nadhani kundi lao lililobaki ambalo halikujulikana kama wengine wa madam Bertha waliokamatwa lingekuwa linaendesha operesheni zingine kisiri zaidi, na labda kwa kipindi hiki walikuwa wametulia tu baada ya ule mchakato wa maaskari kuwakamata wakubwa wao.
Ramadhan akaonekana kuelewa, naye akasema tu atalishughulikia. Si unajua maaskari wana njia zao za kuwatafuta na kuwadaka watu wanaowalenga shabaha? Ndiyo ambacho angefanya, na baada ya hapo ingefahamika zaidi. Akasema pia kwamba inawezekana familia yote ya Bertha ilihusiana na yale mambo aliyokuwa akifanya ndiyo sababu aliwaficha kwa akili, lakini kuanzia sasa angetafuta kuwajua watu wote wa karibu na Bertha ili kuona kama aliwaachia urithi (legacy) wake wa zile biashara katika njia nyingine. Bado yangekuwa ni mapambano, na Ramadhan alipenda sana kupata mtihani mpya ndani ya suala hilo hilo ili autatue vyema.
Tulipoagana sasa baada ya kukata karibu nusu saa tukizungumza, nikaona niende tu sebuleni kukaa na Ankia ili kupoteza muda. Mwenye nyumba wangu leo alikuwa akipika tambi, na alitaka tuzile pamoja na mishikaki, hivyo nikampatia elfu kumi na kusema alete mingi kadiri alivyotaka. Akacheka kidogo na kuanza kunisifu kwa kusema inaonekana bado nilikuwa na mood nzuri mno baada ya safari yangu fupi na Miryam ile juzi, lakini katika kauli zake zote sikutoa itikio lolote lenye uchangamfu kabisa, na hiyo ikampelekea kuniuliza kwa nini ni kama sikuwa sawa.
Nikamwambia tu kuna vitu fulani vilikuwa vinanisumbua akilini lakini nilikuwa sawa, na nikamwomba awahi kufata hizo mboga kabla haijawa usiku mno. Akaafikiana na hilo na kuondoka, akiniacha nimebaki kwa kutulia tu kusubiri lolote. Sikutaka kumtafuta Miryam yaani mpaka yeye ndiyo anitafute, ningengoja tu hadi upande wake ndiyo ulete jambo kwangu.
★★
Dakika zikaendelea kutembea tu na kugeuka masaa, hadi Ankia anarejea, tukala, kisha tukaendelea kukaa sebuleni kuangalia runinga. Ilikuwa imeshaingia mida ya saa tano usiku kwa wakati huu, na bado sikuwa nimepata ujumbe wowote kutoka kwa bibie Miryam, lakini Tesha ndiyo akawa amenitumia ujumbe mfupi hatimaye. Tukaanza kuchat, akiniambia kwamba mama zake walikuwa wamekaa pamoja na Miryam hapo sebuleni na Shadya pia, wakizungumzia jambo fulani muhimu sana, na yeye Tesha alikuwa zake chumbani lakini alitambua hayo maongezi yalihusiana na mimi. Ndiyo akawa ameuliza ikiwa wakubwa walijua kuhusu mahusiano ya mimi na dada yake.
Nikamwambia ndiyo, bila shaka wangekuwa wamejua. Nikamsimulia kwa ufupi kuhusiana na kilichotokea leo hapo kwao, na kwa mwonekano wa mambo inawezekana Shadya alikuwa akinipondea kinoma kwenye hicho kikao chao. Tesha akanipa pole, ila hakuona ikiwa kuna tatizo lolote kubwa pale, akielewa pia kwamba dada yake angeweka wazi zaidi juu ya mahusiano yetu na bila shaka tungesonga mbele. Wakati nikiwa bado nachat naye, simu yangu ikaanza kuita, na mpigaji alikuwa ni Bi Zawadi.
Nikapokea upesi, hapo hapo sebuleni nikiwa na Ankia, naye Bi Zawadi akaanza kwa kunisalimia vizuri tu. Nikamwitikia kwa utulivu na kumsikiliza, akiniomba niende hapo kwao mara moja "kama sitojali," nami nikasema sawa, nakuja. Nilikuwa ndiyo naenda kusimamishwa kwenye kizimba sasa ikiwa bado mambo hayakuwa mazuri. Nilipokata simu na kumwambia Ankia kwamba ninaenda hapo kwa jirani yetu, akawa ametambua kwamba kuna shida, lakini hakuniuliza sana. Akaniambia nimwahidi kuelezea nini kilichokuwa kinaendelea, nami nikakubali.
Sikuona tatizo lolote, yaani nikatoka hapo ndani na moja kwa moja kufika kwake bibie, na wakati huu saa sita ilikuwa karibu kuingia. Nimefika hapo mlangoni nikagonga hodi, na baada ya kukaribishwa na sauti ya Bi Zawadi nikaingia kuwakuta mama wakubwa, Shadya, pamoja na Miryam wakiwa wameketi sebuleni kwa utulivu tu. Bi Jamila na Bi Zawadi walikaa sofani kwao pamoja, Miryam akikaa pale ambapo nilipendelea kukaa mara nyingi, na Shadya akiwa kwenye sofa la pembeni zaidi. Miryam alikuwa amekaa kwa utulivu tu, akiegamia sofa na kunyoosha miguu kwa kuiunganisha huku akiangalia chini, nami nikaketi hapo hapo karibu yake na kuwasalimu mama wakubwa.
"Shikamooni warembo wangu," nikasema hivyo.
Bi Zawadi akatabasamu kiasi na kusema, "Marahaba baba."
Nikamwangalia Bi Jamila, ambaye hakutaka kabisa kutoa jibu kwa salamu yangu na kubaki ameangalia pembeni tu, nami nikatazamana na Miryam machoni kwa njia ya uelewa wa kwamba mama mkubwa wake alikuwa ameudhika. Nikamwangalia Shadya kwa macho makini, yeye pia akinitazama kwa njia fulani yenye kisirani, kisha nikakishika kiganja chake Miryam na kukikaza kwenye changu. Wote wakaniangalia usoni.
"Mama, asante kuniita. Nahisi kila kitu kishawekwa wazi hapa, na mimi nimekuja kuondoa jambo lolote linalowasumbua kifikira. Chochote mnachohitaji kuniambia, niambieni, chochote mnachotaka kuuliza, niulizeni... nitawaelewesha," nikasema hivyo.
Shadya akasema, "Haujaitwa hapa kuelewesha chochote. Umeitwa ili upewe ukweli wa vitendo vyako vya...."
"Shadya!" Bi Zawadi akamkatisha.
Nikatabasamu kiasi na kuangalia chini. Shadya alikuwa ameanza kunipanda na mimi.
Bi Zawadi akasema, "Ngoja kwanza tuongee nao vizuri. JC baba..."
"Naam mama..." nikamwitikia kwa heshima.
"Tumerudi hapa... Shadya ametuambia jambo fulani ambalo limetutatiza kiasi. Najua unaelewa, na... tunajaribu kuongea na Miryam, lakini... amekaa kimya tu. Haongei nasi kwa sababu ana hasira..."
Baada ya Bi Zawadi kusema hivyo, nikamwangalia Miryam usoni, naye akatazama pembeni kabisa. Nilimwelewa sana.
"Sisi siyo kwamba tunataka labda kuendesha chochote kwenye maisha yake, hapana. Tunajua ni mtu... nyie ni watu wazima. Hatutaki kufanya hili liwe suala zito sana, ndiyo maana nimekuita hapa tuongee kijana wangu. Ni kweli kabisa yote ambayo Shadya amesema kaona leo?" Bi Zawadi akaniuliza hivyo.
"Sijajua kasema ameona nini, lakini najua kaelezea vibaya. Ni kwamba...."
"Nimeelezea vibaya nini?" Shadya akanikatisha kwa sauti ya juu.
"Sina maana mbaya, namaanisha kwamba umechukulia hili suala vibaya. Umejaji mambo vibaya, ndiyo maana hadi Miryam amekasirika. Wewe siyo mtu unayepaswa kumhukumu vibaya, wewe ndiyo unatakiwa ukae umsikilize akikueleza sababu zake kufanya maamuzi fulani, lakini unatanguliza ujuaji ukijifanya unaelewa mambo yote vizuri sana. Kwa nini kutoelewana kusitokee?" nikamuuliza hivyo.
Shadya akabaki kimya na kuendelea kunitazama.
Nikamwangalia Bi Zawadi na kusema, "Sehemu kubwa ya mambo aliyowaambia Shadya ni kweli mama. Nilikuwepo hapa leo. Pamoja na Miryam. Na hiyo ni kwa sababu tunapendana. Hakuna kingine kinachojalisha zaidi ya hilo. Nampenda Miryam, na yeye ananipenda."
Bi Jamila akatuangalia kwa uso ulioonyesha kutatizika sana, naye akasema, "JC unajua unachokisema lakini? Unajua Miryam ni kama dada yako?"
"Mama... umri siyo tatizo. Nimempenda mw...."
"Yeye anachukulia easy kwa sababu ni mambo ambayo wanafanya sana huko kwao, anafikiri hata hapa itakuwa sawa tu. Wafanye yale maisha ya kupendana... kihuni tu, halafu aje amwache Mimi aende kwa wanawake wengine akishamchoka kesho tu, hivyo," Shadya akaongea kwa uchochezi.
Nikafumba macho kiasi, kisha nikaendelea kuwaangalia mama wakubwa na kusema, "Kama nilivyowaambia... hakuna kingine kinachojalisha kwa sababu mimi na Miryam tumependana, na ninataka kumwoa. Halafu kwanza yaani...."
"Umwoe? Unaongelea ndoa ya kanisani kabisa? Wewe JC umwoe Miryam?" Shadya akanikatisha tena.
Nikamwangalia usoni kwa macho makini.
"Kwenye familia yetu hiyo haijawahi kutokea, na haitakiwi. Ndugu zetu wote wakija kujua kuhusu hili, hawawezi kukubaliana nalo. Jamii itawachukuliaje mnafikiri? Usiongelee ndoa hapa kujishaua, kijana kama wewe unataka tu kujionyesha unaweza kumsaidia Miryam kwenye kila kitu, lakini kwenye ndoa HAUWEZI," Shadya akasema hivyo.
"Kinachokuuma ni nini Shadya? Yaani... una shida gani?" nikamuuliza hivyo.
Akabaki kunitazama kwa umakini.
Bi Zawadi akasema, "Shadya ana hofu tu, JC. Hataki Miryam aumie, ndiyo sababu. Hata mimi kiukweli nimeshangaa, lakini siyo kwamba tunajaribu ku...."
"Shangazi, usiwe mpole kwa huyu kijana, hata kama amefanya mangapi, la leo halikuwa sawa hata kidogo. Hata kama Miryam ni mtu mzima, bado ni mtoto kwetu, na JC amemrubuni tu... me nawaambia. Miryam... nikasirikie tu mama, lakini ni muhimu utusikilize sisi kwanza," Shadya akamwambia hivyo.
Nikamwangalia Miryam usoni, yeye akiwa ameweka uso makini na macho yake chini, nami nikamuuliza, "Uwasikilize kuhusu nini?"
Miryam akabaki kimya na kuangalia pembeni.
Ni hapo ndipo Tesha akawa ametokezea kwenye kona ya ukuta uliolekea huko jikoni, naye akaegamia hapo na kusema, "Jamani, kwani tatizo liko wapi?"
"Na we' Tesha unafanya nini hapa?" Bi Jamila akamuuliza hivyo.
"Ningeendelea kutulia chumbani, ila Shadya ana kelele mno," Tesha akasema hivyo.
"Shika adabu yako Tesha! Jiheshimu," Shadya akamwambia hivyo.
Tesha akanyanyua mikono juu kiasi, lakini akaendelea kusimama hapo hapo kwa kuegamia ukuta.
Nikaendelea kumwangalia Miryam na kumuuliza, "Ni nini ulichoshauriwa Mimi?"
Miryam hakutaka kabisa kujibu, yaani alikuwa anajizuia kutoa hisia zake, na kiukweli hilo likanifanya nijihisi vibaya.
"Mimi nitakwambia JC," Bi Zawadi akasema hivyo.
Nikamwangalia.
"Kwa kweli, hili suala lako na Miryam tunaona kama vile halifai... na... yaani, haijakaa sawa baba," Bi Zawadi akaniambia hivyo kwa upole.
Nikaangalia chini na kutabasamu kiasi.
"Kwa nini isifae ma' mkubwa?Msisingizie umri bwana, hawa wote ni watu wazima. Kama kupendana wamependana... haijalishi umri. Mtawazuia sasa?" Tesha akamuuliza Bi Zawadi.
"Tesha, ni bora ukae kimya. Haya ni ya watu wazima," Shadya akamwambia hivyo.
"Kwani me ni mtoto Shadya? Huyu ni dada yangu, namjua vizuri. Na tena hadi na nyie mnamjua vizuri. Mshawahi kumwona analeta mwanaume yeyote hapa? Mshawahi kusikia ametoka na mwanaume yeyote toka amekuja kuishi nasi hapa... kututunza? Ma' mkubwa... Shadya... mmemletea da' Mimi wanaume wangapi kumfosi aolewe lakini akawakataa kwa sababu alitaka kutuangalia sisi kwanza? Leo mmegundua kuna mtu anampenda, ndiyo imekuwa dhambi?" Tesha akasema hayo.
Mama wakubwa wakawa wametazama pembeni kwa njia za huzuni, naye Shadya akasema, "Ni rahisi kwako kuongea kwa sababu haujui familia hii imejengwa vipi. Si upogo bize tu kunywa pombe, utajuaje? Haipo, yaani haipo kwenye familia yetu mwanamke aolewe na mtu amemzidia umri. Tena kumkuta chumbani kwake akiwa amesha...."
"Kama kuwaambia angewaambia tu, wala ishu ya kumkuta chumbani na JC isiwe sababu ya kusema uhusiano wao muuone kuwa batili. Mkumbuke hapa ni kwake. Da' Mimi amefanya mangapi kwa ajili yetu jamani? Kweli tushindwe kufurahi kwa ajili yake akiwa amepata mtu wa...."
"Basi Tesha... inatosha. Hebu kaa kimya..." Bi Zawadi akamwambia hivyo kwa huzuni.
Tesha akatulia na kuangalia chini.
"Haya mambo siyo ya kuzungumzia hivi, eh... kwa kweli... Mimi... mwanangu unavyokaa hivi kimya unaniumiza sana. Ongea kitu basi," Bi Zawadi akasema kwa njia ya kubembeleza.
Miryam akaendelea kufunga mdomo tu.
Nikasema, "Tesha yuko sahihi mama. Umri siyo tatizo. Narudia tena... umri siyo tatizo."
Nilipokazia maneno hayo, nilimwangalia Shadya, naye akasema, "Siyo tatizo kwako kwa sababu umeshamdanganya Mimi weee, mpaka kuanza kufanya naye niliyokuta mnafanya leo. Halafu baadaye uje kumwacha, si ndiyo?"
Nikamwangalia usoni kwa njia makini na kumwambia, "Okay, labda uniambie ni nini kipya ambacho umeona tumefanya kilichokukera sana leo."
"Umeona jinsi anavyonisemesha? Yaani ana dharau! Me nilimwona mstaarabu, ila si mmeona?" Shadya akasema hivyo.
Nikamwangalia Bi Zawadi na kuuliza, "Eti cheupe wangu... ni kweli? Me ninawadharau?"
Bi Zawadi akabaki kunitazama kwa huzuni.
"Sijui kwa nini mnachukulia hili suala vibaya mama zangu... lakini nitawaambia kitu kimoja. Sijali nini, wala nani, nachojali ni kwamba ninampenda Miryam, na yeye ananipenda... na nitafanya kila kitu kuendelea kuwa naye," nikasema hivyo kistaarabu.
"Mmesikia hiyo?! Heeee! Hajali tumesema nini wala nini. Yuko tayari kufanya lolote, hata akimfanya Mir...."
"Na wewe Shadya nisikilize," nikamgeukia na kumwambia hivyo kwa uthabiti.
Akanitazama kwa umakini.
Nikamwambia, "Nakuwa mtulivu kwenye maneno kwa sababu nakuheshimu, nawaheshimu nyote, lakini siyo kwamba siwezi kuongea. Mimi na Miryam siyo watoto, na sijaja hapa kuomba ruhusa ya mtu yeyote yule kumpenda huyu mwanamke, kwa sababu nimeshampenda, na yeye ananipenda. Maneno yako hayo, mambo yote ambayo huwa unakaa na kina mama Doris ili kuvunja taswira nzuri ya huyu mwanamke, anayajua..."
"Jayden..." hatimaye Miryam akaongea kwa kusema jina langu.
Nikamwangalia usoni, akiwa ananitazama kwa namna ya kusema nisiongelee hilo suala, nami nikamwambia, "Hapana Miryam... lazima niongee ukweli."
Miryam akabaki kuniangalia kwa njia ya kutatizika, hata Tesha, Bi Zawadi, na Bi Jamila wakanitazama kimkazo.
Nikasema, "Yote mnayokuwa mnakaa kuyasema kuhusu huyu mwanamke, anayajua. Mtu ambaye Miryam anamwona kama mama yake, anakaa kusema kwamba hataolewa kwa sababu amelaaniwa, kwamba wazazi wake waliopoteza maisha ndiyo wamemwachia laana ya kuwatunza nyie. Ikimaanisha nini? Ikiwa wewe Shadya na mama Doris mnaona hiyo kuwa laana, basi ni nyie ndiyo mliomsababishia asiolewe kwa kuwa mzigo wa hiyo laana ni nyie, na ni yeye ndiyo anaubeba...."
"Jayden, acha..." Miryam akaniambia hivyo kwa sauti uthabiti.
"Mi' nimewahi kusema hivyo lini?" Shadya akajitetea kiwasiwasi.
"Tulimsikia mama yake Doris akisema hayo mambo, na alikuwa akiongelea mawazo yenu kwa ujumla. Mama zangu? Watu mnamwonaje huyu mwanamke? Kwa kila kitu ambacho amefanya kuwa pamoja nanyi mpaka sasa, Bi Jamila, umemtaka aipate furaha kwa muda mrefu, umetaka sana kuona anampata mtu ambaye atamwoa... leo kampata, mnataka kumzuia tena?" nikaongea kwa hisia.
"Jayden please..." Miryam akanena hivyo kwa kufadhaika.
"Wewe siyo huyo mtu JC! Haiwezi kuwa wewe," Bi Jamila akaniambia hivyo.
"Kwa nini? Ni kwa sababu ya umri kweli, au kwa sababu tu mmeshaanza kuogopa kwamba nikimwoa Miryam ndiyo itakuwa kama namwondoa kwenu milele? Kwamba atawapiga chini sasa...."
"Jayden...."
"... kwa kuwa ataanza kutumia muda wake mwingi pamoja nami zaidi yenu? Si ndiyo? Point ilikuwa nini sasa kujaribu kumfosi aolewe?" nikaongea kwa hisia.
Miryam akainamishia uso wake kiganjani kwa kufadhaika, na mama zake waliniangalia kwa mkazo mwingi sana wa kihisia.
"Huu unageuka kuwa uonevu, kwa sababu mnashindwa kueleweka ni nini mnataka. Hata kama ningekuwa sijamzidi umri, naelewa kungekuwa na pingamizi tu, ni maneno yasiyokuwa na maana yoyote ambayo yanasemwa kuhusu Miryam ndiyo yanavunja imani yenu katika maamuzi yoyote anayochukua, na kwa kuwa yeye ni mkimya, sikuzote mtataka kumwendesha tu. Well niko hapa sasa kuwathibitishia wote kwamba mnayowaza siyo... na nitamwoa Miryam hata mki...."
"Jayden, enough!" Miryam akanikatisha kwa sauti kali iliyoonyesha hasira.
Nikamwangalia usoni, wote yaani tulimwangalia, na alikuwa akinitazama kwa macho yaliyojaa machozi na hisia nyingi zenye kuvurugika.
Akatoa kiganja chake kwangu na kuniambia, "Naomba uende."
"Mimi, ninajaribu ku...."
"Nimesema ondoka, Jayden!" akanifokea.
Nilibaki nikimtazama kwa hisia za maumivu, kutoelewa yaani, nami nikamwangalia Tesha na kuona akitutazama kwa wasiwasi. Miryam akaegamiza paji lake kwenye kiganja huku akifumba macho kwa huzuni, nami nikainamisha uso wangu kwanza nikiwa nimechomwa sana na kitendo hicho alichofanya mbele ya mama zake, kisha nikanyanyuka na kuondoka sehemu hiyo kama mfukuzwa awaye mimi kweli.
Nilirudi kwa Ankia nikiwa nimeanza kuingiwa na hasira kali sana. Ilikuwa hasira ya moyoni yaani, na aliyeisababisha alikuwa Miryam. Yaani kwa mara ya kwanza akawa amenifanya nihisi hasira kumwelekea. Kitendo chake kiliniumiza, yaani nilikuwa najaribu kutetea mapenzi yetu na kuwafanya watu wake wa familia waone ni namna gani huyu mwanamke amekuwa akivumilia mengi, lakini badala ya Miryam kuniunga mkono, hata ingawa niliruhusu hisia ziniongoze kusema mengi hapo, yeye bado akaamua kusimama imara kwa ajili yao, na siyo kwa ajili yetu. Iliniumiza.
Nikaingia ndani, saa sita hiyo, Ankia akiwepo sebuleni bado, naye akanisemesha lakini nikapitilizia chumbani nikiwa nimeudhika vibaya mno. Nikaenda kujimwagia nikiwa na hasira bado, Ankia akinitazama tu kwa ukimya hadi niliporejea na kuelekea chumbani tena, na huko nikajifungia na kulala upesi nikiwa nimevurugika sana kihisia. Nilihisi hasira mpaka kuchoka yaani, kwa hiyo nikaulazimisha usingizi ili niepuke kuvurugika zaidi.
★★★
Asubuhi ya Ijumaa ikawa imefika. Niliamka kwenye mida ya saa moja hivi, na hiyo ni baada ya kusikia simu yangu ikiita bila kuacha kwa muda mrefu. Ndiyo nikanyanyuka kivivu na kuichukua, kukuta mpigaji ni daktari mwenzangu ambaye nilifanya naye kazi huko Muhimbili. Nikapokea na kumsikiliza alipokuwa akinipa utaratibu fulani mpya aliokuwa amekabidhiwa na mamlaka ya hospitali, na katika kushughulikia masuala mengi yaliyohusiana na huo utaratibu, akawa ameniambia kwamba ningehitajika kuwa tayari kurudi kazini kabla ya muda wa likizo niliyopewa kumalizika. Zilikuwa zimebaki wiki kama tatu, ila sasa hivi ningepaswa kurudi ndani ya wiki mbili.
Nikamwambia nimeelewa, na ndani ya hizi siku chache ningeenda huko hospitali kuangalia mambo yalivyobadilishwa kiutaratibu, halafu mengine yangefuata. Nikamuaga vyema baada ya kumwambia amsalimie daktari Roshan kwa ajili yangu, kisha baada ya hapo nikatoka kwenda kukojoa na kurudi ndani tena. Ankia alikuwa ameshaamka, na hatukuongea mengi zaidi ya salamu tu ila najua alielewa nini kingekuwa kinaendelea. Aliniangalia kwa macho yaliyoonyesha uelewa wa ni kwa nini nilikasirika, labda angekuwa ameshamuuliza Miryam na kuambiwa, ama kama Miryam hakumwambia basi huenda Tesha.
Nikaingia tu chumbani tena na kuanza usafi kwa kupanga vitu vyangu, maana zilikuwa zimepita siku chache sijakisafisha chumba. Nikamwomba Ankia fagio la kudekia, nikajishughulisha hapo wee mpaka chumba kikawa na mwonekano bora zaidi, nami nikaziweka pembeni nguo na mashuka yaliyohitaji kufuliwa kwa ajili ya kesho, Jumamosi, yakarabatiwe vizuri sana. Ankia akawa amemaliza kutengeneza chai na kuniita tunywe pamoja, nami sikupinga. Tukakaa sebuleni pamoja, na ndiyo akaniambia sasa kuwa alijua ni nini kilikuwa kimetokea kutoka kwa Tesha, na akanipa pole kwa jinsi ambavyo mambo yalikwenda mrama huo usiku wa jana.
Sikutoa komenti yoyote, yaani nilikuwa namega na kumegua mihogo-mkaango iliyotiwa pilipili na chai huku nikimsikiliza tu alipoongea, na akaniuliza leo ningefanya mambo yapi hapa nyumbani. Nikamwambia nisingekaa hapa leo, yaani nikimaliza kunywa chai, naoga, navaa, naondoka kwenda kuzurura mbali huko kwa marafiki zangu ambao sikuwa nimeonana nao kitambo, na labda ningerudi usiku kabisa. Aliponiambia nijaribu kumtafuta Miryam ili tunyooshe mambo kabla sijaondoka, nikanyanyuka tu na kwenda chumbani, na baada ya hapo shwaaa... bafuni.
Sikutaka kuanza na stress zozote kwa hii siku, yaani leo nilihitaji tu kufanya kitu wanaita "carefree," nisijali nini wala nini. Jamani, kama kujitahidi nilikuwa nimeshajitahidi mno, Miryam kunielewa alikuwa ameshanielewa mno, ni maneno mengi kadiri gani niliyokuwa nimemwambia kumfanya aone umuhimu wa sisi kupambania mapenzi yetu bila kujali nini wala nani? Hadi kwetu nilikuwa nimeshampeleka. Lakini yeye mbele ya familia yake yaani sijui alikuwaje, mpaka kumwelewa ilianza kuwa ngumu. Na hiyo jana, badala asimame imara na mimi kuniunga mkono, eti yeye tena akachagua kutetea upande wa familia yake uliopinga mapenzi yetu. Nini sasa? Halafu tena nianze "Miryam, sijui nini..." hamna. Na mimi nilikuwa nachoka!
Kwa hiyo leo kweli ningeenda tu kujiachia huko, maana huku niliona kama vile nimeanza kujilazimisha sana kuonyeshea watu umuhimu wangu. Nilikuwa najitahidi mno kutokuwa yule mtu niliyekuwa mwanzoni kwa ajili yake Miryam, ila yeye tena akawa ananivunja moyo. Kwa hiyo nini, kisa Shadya au nani kasema hataki, basi ndiyo tutatetemeka sasa, ama tuachane? Yaani kiukweli Miryam angepaswa kueleweka, mimi sijui msimamo wake ulikuwa wapi, lakini kama angeendelea kujiweka nyuma-nyuma namna hii, basi ingefikia hatua ningepaswa tu kumuuliza anauonaje uhusiano wetu. Kabisa yaani, ikiwa ulijalisha chochote kwake. Maana hiyo tabia ilikuwa inageuka kuwa ugonjwa usiopona sasa.
Bwana eh, nikaoga zangu vizuri kabisa na kuanza kutia viwalo safi mwilini, T-shirt ya Manga nyeusi na suruali ya jeans ya samawati, na hii ikiwa inaelekea kuingia mida ya saa nne sasa. Wakati nikiwa nachana nywele, nikaona kwamba mama alikuwa ametuma ujumbe simuni muda sana tokea nimeanza usafi, na kabla sijachukua simu kuusoma mlango wa chumba changu ukagongwa. Kwa kufikiri ni Ankia nikamwambia aingie tu, asinisumbue na maigizo yake ya kupiga hodi utafikiri yeye mgeni, na mlango ukafunguliwa kwa mimi kuangalia hapo kukuta ni Miryam ndiye aliyekuwa mgeni. Unayempenda akaja, lakini kwa wakati ambao hukuiona haja!
Miryam alikuwa amesimama hapo mlangoni, mwonekano wake ukiwa ule wa kutoka, bila shaka kwenda kazini kwake. Alivalia ile blauzi yake nyepesi iliyokuwa na mtindo kama ngozi ya twiga, pamoja na suruali yake nyeupe ya jeans laini iliyobana umbo lake matata vyema. Nywele zake alizibana nyuma ya kichwa na kuacha mkia uliozidondosha nyingi nyuma ya shingo, na macho yake mazuri kwenye uso wake wenye urembo wa hali ya juu yalinitazama kwa njia yenye subira kutokea hapo alipokuwa amesimama, akitaka nimsemeshe chochote kile.
Lakini nikaacha kumwangalia na kuendelea kuzipiga-piga nywele zangu kimarekebisho zaidi huku nikijiangalia kiooni, nikiwa makini kweli yaani, nami nikawa naona bila kumwangalia alipoanza kupiga hatua zaidi kuingia hapa chumbani na kuufunga mlango, kisha akaja hadi alipofika pembeni yangu na kusimama. Sikumtazama tena. Nikiwa naonyesha wazi kwamba sikujali uwepo wake hapo, nikaweka chanuo pembeni na kuanza kuvaa saa, kisha nikachukua raba nyeupe na kuketi kitandani ili nivae upesi.
"Jayden..." akaniita kwa sauti ya chini.
Nikaendelea kutia kiatu mguuni bila kutoa itikio lolote.
"Jamani Jayden, si nakuita?" akasema hivyo kwa upole.
Nikamaliza kuvaa viatu na kusimama, nami nikachukua simu yangu nikitaka kuusoma ujumbe wa mama.
Miryam akaweka kiganja chake juu ya simu yangu kama kuifunika, naye akasema, "Jayden please... usiwe hivyo. Naomba tuongee."
Nikashusha mkono ulioshika simu na kutazama juu kwa ufupi, kisha nikamwangalia usoni kwa njia makini.
"Mbona unaniangalia hivyo?" akaniuliza.
Nikaacha kumwangalia na kuiweka simu mfukoni.
Akanishika mkononi na kusema, "Jayden nakuomba tuongee vizuri. Jana... yaliyotokea, yaani wote tulikuwa rash, nilikuwa na hasira, na we' ulikuwa na hasira, ndiyo maana nikakwambia uondoke ili mambo yasipindukie kubaya zaidi... inaeleweka. Naomba tuyaweke hayo pembeni ili tuongee."
"Nakusikiliza Miryam. Sema unachotaka kusema, me niondoke," nikamwambia hivyo bila kumtazama.
"Jayden... ina maana... nilikukasirisha kihivi, kusema tu uondoke hiyo jana?" akaniuliza.
Nikamwangalia kwa macho makini na kuuliza, "We' unahisije?"
Akabaki kunitazama kwa huzuni.
Nikataka kumpita, lakini akanishika pande za mikono na kusimama mbele yangu kwa ukaribu ili kunizuia.
"Jayden, nisikilize..."
"Miryam, niachie, kuna sehemu nawahi..."
"Usinisome vibaya... tafadhali mpenzi wangu. Sikuwa na nia mbovu kukwambia uondoke ma...."
"Kuniambia?!" nikamkatisha kwa kumuuliza hivyo kiukali.
Akaniachia na kurudi nyuma huku akinitazama kwa macho yenye hofu.
"Hukuniambia niondoke Miryam... ulinifukuza. Mbele ya mama zako. Niambie ikiwa nimejichanganya kwenye hilo," nikasema hivyo kwa hisia.
"Jayden..." akaniita kwa sauti ya chini.
"Miryam nashindwa kukuelewa! Nifanye nini? Eh? I was there... fighting for us to show our love legit in front of your family, na nilidhani utasimama pamoja nami, lakini wewe tena.... akhh!" nikawa nimepandwa na hisia kali sana.
"Jayden, I'm sorry. Nisamehe... sihhh... sikutaka yawe magomvi ile jana, ndiyo maana nikakwambia uondoke. Nilitaka kuongea...."
"Ulitaka kuongea nini? Muda wote ulikuwa kimya, nikafikiri unanihitaji karibu yako ili tuwaonyeshe ndugu zako msimamo wetu, ila ulipofika muda wako wa kuongea... badala usimame nami... wewe tena ukaamua kunishindilia chini! Ni kwa nini?" nikaongea kwa hisia chungu kiasi.
Miryam akawa ananiangalia kwa macho yaliyojaa huzuni sana.
"Point uliyoonyesha hapo kwako jana ni kwamba maneno na hata masengenyo kutoka kwa watu wa familia yako, yako above all! Kwamba wakisema fanya hivi, utafanya, usifanye vile, hautafanya... hata kama ikikugharimu. Sasa ni kwa faida gani? Eh? Ni faida ipi iliyofanya nije pale, nikushike mkono, nitoe declaration yote kwa wote kuhusu mapenzi yetu, halafu in the end me ndiyo nionekane mbaya? Oh, nisingejali hata kama nani angeniona vipi, lakini we' tena ndiyo ukaushusha msimamo wetu mbele ya fam.... ohh... God!"
Nikashindwa hata kuendelea kuongea kwa kuhisi kuchoka na kuangalia pembeni, huku mapigo ya moyo yakidunda kwa nguvu kweli, maana hasira niliyohisi ilikuwa inalazimisha kutoka kwa kasi sana. Nilipomwangalia Miryam tena, nikakuta amejishika viganja kwa chini huku akidondosha machozi, kwikwi za kilio zikitikisa kifua chake kiasi huku akinitazama kwa huzuni sana.
Nikaingiwa na simanzi, nami nikamwambia, "Una... ah, aisee! Miryam... unanipa wakati mgumu kuelewa unacho.... acha kulia basi... ah... unalia nini sasa? Eh?"
Akainamisha uso wake kiasi na kusema, "Si we' unanifokea..."
"Na... a.. ahh... sikufokei, Miryam najaribu kukufanya uone kwamba...." nikaishia hapo na kumtazama kimaswali kwanza.
Akawa ananiangalia kwa huzuni bado.
"Yaani... unalia kwa sababu nakufokea?" nikamuuliza hivyo.
Akaonyesha kuwa na huzuni bado kwa kuangalia chini tu.
Hapa kulikuwa na hali yenye utata, lakini kauli yake aliyoitoa ikawa imenifanya nihisi kucheka kidogo, maana kiukweli ilichekesha. Lakini nikajizuia na kusema, "Ih! Ahah... haki ya Mungu!"
Nikaziba na mdomo nikiwa siamini kama kweli huyu mwanamke alilizwa na mimi kisa tu nimepandisha sauti, na yeye akawa ananiangalia kwa macho yenye kujihami hivi.
Nikamsogelea karibu na kusema, "Okay, okay, usilie... usilie Mimi, sijisikii vizuri ukilia. Usilie, samahani. Samahani kufoka."
Nilimwambia hivyo kwa upole huku nikimkumbatia, naye akarudisha kumbatio langu kwa wororo.
"I'm sorry. Nimeenda mbali. Nachanganywa tu na mambo mengi, nashindwa... nashindwa kuelewa sometimes," nikamwambia hivyo kwa sauti yenye upole, huku nikisugua mgongo wake kumbembeleza.
Miryam wangu alijua kudeka!
Akiwa bado kanikumbatia, akasema, "Nisamehe pia. Najua nilikufanyia vibaya, ila ilikuwa necessary tu Jayden. Sikutaka wakuone kuwa hauna heshima, maana kiukweli hayo yote hata me yalinikasirisha... lakini nimewaweka wazi juu ya msimamo wangu."
Nikamwachia taratibu na kufuta machozi yake, na miili yetu ikiwa karibu zaidi, nikamuuliza, "Unamaanisha nini?"
"Niliongea nao wote. Niliongea na Shadya kumwambia iwe mwanzo na mwisho ye' kurefusha mdomo wake juu ya mambo yangu yasiyomhusu. Nikaongea na mama hao pia... nikawaweka wazi kwamba ninakupenda, na niko tayari kupitia yote pamoja nawe iwe ni kwa faida au hasara... na nikawaomba wakubaliane tu na hilo kwa sababu sitabadili huo msimamo," akaniambia hivyo.
"Kweli?"
"Ndiyo. Ni kweli."
"Ahh... mbona sasa hukufanya hivyo wakati niko...."
"Wakati upo nilikuwa nataka nikuache uongee, nilijua mama zangu wanakuelewa sana, kwa hiyo hata kwa hili nilidhani wangekuelewa wewe vizuri zaidi pia. Nilidhani maongezi yangeenda vizuri, maana me nilikuwa nimekasirishwa sana na maneno mengi aliyoongea Shadya kabla hata hujafika, ndiyo sababu nilikuwa kimya, na ni kwa sababu tu ya heshima ndiyo maana nilikaa kimya maana ninge... ahh... sikutaka yaani hiyo misunderstanding iwafanye wakujaji vibaya. We were in the heat of the moment, nilitaka tu kukuambia uondoke, lakini kwa sababu ya hasira yangu ikawa kama nimekufukuza, lakini si kwamba nili...."
"Basi, basi Mimi... nimekuelewa," nikamwambia hivyo na kumshika usoni.
Akanishika mkononi pia na kusema, "Najua nilikuchanganya, na kwa hilo nisamehe tu. Ila maana yangu haikuwa kwamba nitakubaliana na pingamizi lolote lile kuhusu sisi. Siwezi kukubali. Hakuna mtu atatutenganisha Jayden."
Nikatabasamu kiasi kwa kufarijika.
"Niliwaambia hivyo jana. Nikanyoosha mambo, lakini... mama mkubwa anaonekana kama hajapenda sana hii ishu hata nikisema nini," akaniambia hivyo.
"Bi Jamila?"
"Ndiyo. Nilipoongea nao, Shadya akawa mpole, na ma' mkubwa Zawadi akasema ameelewa, lakini huyu mwngine ndiyo akaenda tu kulala bila kuniambia anaonaje. Hata leo hajataka kunisemesha," akaniambia hivyo.
Nikamwachia taratibu usoni na kusema, "Labda bado tu anashangaa. Tumpe muda eh? Hata hao wengine si walishangaa mwanzoni, lakini kama wameelewa, ni vizuri. Na yeye atayeyuka tu."
"I hope so. Sitapenda tukisonga mbele huku mama zangu wako conflicted yaani, nataka wote waone hili suala kuwa sawa. Nataka iwe ni amani mpaka mwisho Jayden," akaniambia hivyo kwa hisia.
"Na itakuwa hivyo Mimi. Ona, najua hapa mwanzoni inaweza ikawa ni ngumu, ila nitakuja kuzungumza nao tena, zamu hii vizuri, maana sitaki iwe...."
Maneno yangu yakakatishwa baada ya simu yangu kuanza kuita kutokea mfukoni mwa suruali.
"Ngoja..."
Nikamwambia hivyo na kuitoa simu mfukoni, kukuta mama ndiyo ananipigia. Nikamwonyesha bibie, naye akanitikisia kichwa kuwa nipokee, na nikafanya hivyo. Baada ya salamu fupi, mama akawa ameuliza kama niliuona ujumbe aliokuwa amenitumia mapema, lakini nikamwambia sikuwa nimeusoma bado. Ndiyo akawa amenipa taarifa iliyofanya nitabasamu kiasi, nami nikamwangalia Miryam usoni kwa furaha.
"Jas amejifungua!"
Nikamnong'oneza hivyo Miryam pembeni ya simu, naye akatabasamu kiasi kwa furaha. Nikaendelea kuongea na mama, nikiulizia muda ambao Jasmine alifanikisha kujifungua salama na ni hospitali ipi waliyokuwa wamempeleka ili niende huko upesi kumwona dada yangu na wapwa wangu wageni kwenye hii dunia. Mama akawa ameniambia wako kwenye hospitali fulani ya kibinafsi huko mbele kupita Goba kuelekea Bunju, iliyoitwa Rebinansia, na baada tu ya yeye kuniambia hivyo, tabasamu langu likafifia. Miryam akaniangalia kwa kujali sana, akifikiri kuna tatizo, nami nikaagana na mama nikisema ningeenda huko upesi hivyo tungeonana baadaye.
Niliposhusha simu, nikaangalia pembeni kwa njia makini yaani, na Miryam akaniuliza, "Kuna nini Jayden?"
Nikamwangalia na kusema, "Naam?"
"Mbona hivyo? Kuna tatizo lolote?" akauliza tena.
"Hapana. Hamna tatizo. Ahah... Jas kajifungua mapacha bwana," nikasema hivyo.
Akatabasamu na kuuliza, "Wa kike au wa kiume?"
"Wa kiume. Wote wa kiume. Ma' anasema Jas kawakurupua saa kumi usiku, ndiyo wakamkimbiza hospitali. Alipata-pata shida kwenye usukumaji ila akafanikiwa kujifungua wote salama kufikia saa moja hapo. Dah! Mungu mkubwa!"
"Sana!" Miryam akasema hivyo.
"Kibonge amejitahidi. Ndo'... itabidi niende huko sa,'" nikamwambia.
"Twende pamoja," akaniambia.
Nikabaki kumtazama machoni kama vile sikuwa nimemsikia.
"Vipi? Jayden!" akanishtua kwa kunitikisa kiasi mwilini.
"Aa... yeah, aa... ni sawa. Ila, si unaenda kazini?" nikaongea kwa kubabaika kiasi.
"Mm? Yaani Jasmine kajifungua, halafu nisiende kumwona kisa kazi? Acha mambo yako. Ngoja nikatoe gari nje..." akasema hivyo na kuashiria kutaka kuondoka.
Nikamshika mkono na kusema, "No, sikia... twende tu tuchukue usafiri. Gari liache."
"Kwa nini?"
"Usiende kabisa kazini leo. Tupite kwangu, nitakurudisha," nikamwambia hivyo kwa hisia.
Akatabasamu kiasi na kusema, "Ushaanza kunifanya niwe mtoro wa kazi."
"Nachukulia umekubali then. Au siyo?"
Akaniangalia kiudadisi na kuuliza, "Mbona kama kuna kitu unaficha? Unataka kufanya nini?"
"Mawazo yako tu. Sema kama umekubali," nikamwambia hivyo na kumbinya kiunoni kiasi.
Akacheka kidogo kwa pumzi, naye akasema, "Sawa. Tutapita. Hata hivyo bado tuna mengi ya kuongea. Ni vizuri tukiwa sehemu private."
"Fresh kabisa. Hapa si tuko tayari? Tunaweza tu kwenda?" nikamuuliza.
"Eeh, twende," akakubali.
Kwa hiyo ikawa ni kuondoka kwa Ankia upesi baada ya hapo, na bado mwenye nyumba wangu alikuwepo akijiandaa kwenda dukani kwake. Mwanzoni wakati Miryam ameingia inawezekana Ankia alikuwa amesikia utata wa suala letu pale chumbani, lakini sasa kutuona tunatoka tukiwa tumeshikana mikono ndiyo kukamfanya atambue kuwa ugomvi ulikuwa umesuluhishwa. Nikamwambia kuhusu dada yangu kujifungua, naye akatoa hongera zake na kututakia safari njema huko tulikokuwa tunaenda.
Tukatoka hapo kwake Ankia kwa mtindo huo huo wa kushikana mikono, na Miryam aliona aende kwanza pale kwake ili akaweke mambo fulani sawa na nini, kisha ndiyo akanirudia huku nje na mwendo ukaanza. Tulipendeza sana kutembea pamoja, na kwa sasa hivi hatukushikana mikono, ila wenye macho ya utambuzi hawangeweza kuacha kuona ukweli wa uhusiano uliokuwepo baina yangu mimi na bibie. Kwenye familia yake bado hali ingetakiwa kuwekwa sawa zaidi, na tena kuna ishu ya Mariam ambayo hatukuwa tumeigusia bado, ila kwa wakati huu umakini wetu ungekuwa kwa Jasmine kwanza.
Kuna jambo nililokuwa nikitarajia kukutana nalo huko kwenye hiyo hospitali aliyoisema mama muda mfupi nyuma, jambo ambalo sikuzote lilikuwa lenye uzito kwangu, ila kwa sasa ningekuwa tayari kulipa za uso.
★★
Tukachukua usafiri mpaka Rangi Tatu, kisha tukasubiria pale stendi kupanda daladala za kuelekea Mwenge. Miryam akampigia Soraya kumwambia kwamba asingefika dukani leo, hivyo ikifika tu saa sita na mwanamke huyo akahitaji kwenda msikitini ama wapi, afunge tu sehemu hiyo ya kikazi na wangekuja kuonana kesho; bila kusahau kumwambia ampe taarifa yoyote mpya iliyomhitaji ajue, na Soraya akawa ameafikiana na hayo. Watu kadhaa walikuwa wakitutazama mno kama ilivyokuwa kawaida, na hizo daladala za kuelekea Mwenge zilichelewa kiasi kufika, lakini si muda mrefu kutokea hapo gari likawa limefika, nasi tukapanda na kupata siti za kukaa.
Mwendo wa kuelekea huko Mwenge ulichukua muda mrefu, shauri ya misongamano ya mara kwa mara, mpaka tunafika kwenye kituo fulani kabla ya kumaliza safari nzima ilikuwa imeshaingia saa saba mchana. Kwenye hiki kituo tulichofikia tulisimama kutokana na gari kuharibikia njiani yaani, kwa hiyo tukashuka tu na kusubiri daladala zilizoelekea Bunju ambazo zingepita upande huo. Nilitaka tuchukue usafiri binafsi, lakini Miryam akaonelea kupanda daladala ndiyo ilifaa. Tukafanikiwa kupata moja na kusimama, na sikupenda hii ya kusimama nikiwa pamoja na Miryam lakini yeye mwenyewe ndiye aliyesisitiza hivyo, mpenda mambo simple, kwa hiyo mwendo ukaendelea hadi tulipokifikia kituo cha hospitali ya Rebinansia.
Hiyo hospitali ilikuwa kubwa, ya gharama kweli, halafu ya kibinafsi. Majengo yalikuwa maghorofa yenye umaridadi wa hali ya juu kweli, na kulikuwa na ujenzi wa chuo kikubwa hapo pia. Niliwahi kuja mara kadhaa kipindi cha nyuma kwenye hii hospitali kwa hiyo nilipajua vizuri sana, na wakati huu palikuwa pameboreshwa hata zaidi ya kipindi cha nyuma yaani. Kwa hiyo mimi na bibie tukaelekea huko, watu karibia wote walioingia na kutoka eneo la hospitali wakiwa na mionekano ya "kwenda shule" yaani, karibia kila mtu alijiweka katika hali zile za matawi, na ilikuwa sahihi maana gharama za hapo hazikuwa za mchezo, hivyo wengi wangejitahidi kuonyesha wanaendana nazo.
Nikawa nimempigia mama simu kumjulisha kuwa nimefika na kumuuliza wapo ghorofa gani, naye akaniambia ghorofa la tatu upande wa wodi za wanawake waliotoka kujifungua, ila kwenye chumba binafsi namba nane cha "ma-VIP." Haya bwana, mimi na Mimi wangu tukaelekea hadi kwenye milango ya lifti, nikitembea utafikiri hospitali yote ilikuwa yangu, basi tu eti kujiamini kwa sababu niko na bibie wangu. Tukapanda mpaka huko juu na kukitafuta hicho chumba, na tulipopata usaidizi wa muuguzi mmoja kutuelekeza, tukawa tumekutana na mwanaume mmoja aliyesimama usawa wa kaunta la wauguzi hapo nje ya vyumba, mweusi wa maji ya kunde, ambaye alivalia kwa njia ya kitanashati sana, na aliponiona akatabasamu.
Huyu alikuwa ndiyo Kevin, mume wa dada yangu Jasmine, baba wa hao mapacha. Alikuwa mrefu kunifikia, mwenye mwili mzuri wa mazoezi ingawa tumbo la kitambi cha mbali lilituna kiasi, na sasa alivalia shati jeupe ndani ya kizibao chekundu cha suti, na suruali yake ilikuwa nyekundu ya hiyo hiyo suti. Mwonekano wake ulitosha kutuambia kwamba alikuwa ametokea kwenye sehemu ya kikazi na kuja hospitalini baada ya kupata taarifa za mke wake kujifungua, nasi tukakutana hapo na kuunganisha mikono kisalamu huku mimi pia nikitabasamu.
"Mr... nakuona," nikamwambia hivyo kirafiki.
"Ah, hata me nakuona mdogo, unajikoroga tu. Uso unazidi kuwa wa njano kila kukicha," Kevin akaongea kimasihara.
Mimi na Miryam tukacheka kidogo, nami nikamwambia, "Haujaniona muda mrefu ndiyo maana."
"Ahah... dada habari?" Kevin akamsalimu Miryam.
"Salama. Za kwako?" Miryam akamjibu.
"Nzuri tu," jamaa akajibu.
"Mimi, huyu ni kaka mkubwa Kevin. Mume wake dada yangu. Kev, huyu ni Miryam. Mke wangu," nikamwambia hivyo.
"Ahaa... safi sana. Nimefurahi kukujua shemeji," Kevin akasema hivyo.
"Mimi pia Kevin. Hongera sana we' na Jasmine," Miryam akamwambia hivyo.
"Shukrani sana. Dah! Nina furaha sana leo!" Kevin akasema hivyo na kujishika kiunoni.
Sote tukacheka kidogo kwa pamoja, nami nikamwambia, "Si wapo huko ndani?
"Eeh, wote wapo."
"Wote? Na mabaunsa wako?"
"Ahahah... wapo eeh, utaratibu mzuri hapa, wako wamesinzia," Kevin akajibu.
"Mbona uko hapa sasa? Twende ndani," nikamwambia hivyo.
"Nilikuwepo humo, ndiyo nimetoka sasa hivi kumsubiria mama kwa hapa, yupo anapanda juu sasa hivi... ndiyo amefika hospitali," Kevin akasema.
"Ahaa, sawa," nikaelewa.
"Nyie ingieni tu, tunakuja," akatuambia.
Nikamshika begani na kusema, "Haya poa, ngoja tuwaone hao. Nitaanza kuwafinya mashavu mapema."
Tukacheka kidogo kwa pamoja, na ile ndiyo tunataka kuelekea huko chumbani, sauti nayoifahamu vizuri mno ikaita jina langu kutokea nyuma.
"Jayden!"
Miryam aligeuka, na hata Kevin akatazama nyuma yangu, lakini mimi sikugeuka upesi na kuendelea kutulia kama vile sijasikia kuitwa huko. Kisha nikawa nasikia sauti za hatua kwa viatu vya kuchuchumia ikija upande wangu, na sauti hiyo iliyoniita ilikuwa ya mwanamke.
Nikageuka hatimaye, nikiwa makini zaidi wakati huu, nami nikamwona mwanamke kijana niliyemtarajia. Mrefu kwa urefu uliofaa mwanamke, mweupe, mwenye macho ya kungu na midomo minene iliyopigwa lipstick nyekundu, akiwa amevalia kikoti cheupe kirefu kumtabulisha kuwa daktari, ambacho kilifunika gauni jeusi lililoishia magotini mwake. Miguu yake ilikuwa myeupe kweli, akivalia kiatu cha kuchuchumia chekundu, na alikuja upande wangu akiwa anatabasamu kiasi. Alikuwa na miondoko ya taratibu kwa njia ya mwanamitindo fulani hivi, akiwa ana shepu nzuri na mwili usio mnene ila ulionawiri vizuri tu, na alisukia nywele ndefu na laini za kizungu kichwani alizozibana juu ya kichwa chake.
Akaja mpaka karibu yangu, akiwa na kamtindo fulani hivi ka kuipiga-piga mikono yake pande za mapaja kwa kila hatua aliyopiga, na alikuwa akifuatwa na muuguzi wa kike mfupi-mfupi aliyevalia nguo za blue, akiwa amembebea vifaa fulani vya kihospitali, na huyu mwanamke daktari akafungua mikono yake kunielekea, kisha akanikumbatia kwa wororo kuwaonyesha wengine kuwa tulifahamiana. Sikutoa itikio lolote upesi zaidi ya kumwangalia Miryam usoni tu kutokea kwenye mgongo wa huyu mwanamke, na bibie alitutazama kwa utulivu tu, asiwe na longolongo lolote.
"Jamani wewe! Ahah... hata kama ndiyo kupotea, a-ah..." daktari huyu akasema hivyo.
Alikuwa na sauti laini, na alipenda kuongea taratibu kama vile anavuta kila neno alilotamka kwa makusudi.
"Anajua kweli kujichimbia," Kevin akasema hivyo.
"Yaani!" huyu daktari akamwambia hivyo.
Nikarudisha tu kumbatio lake kistaarabu, naye ndiyo akaniachia na kuniangalia usoni kwa hisia nzuri. Alinukia!
Akiwa ananiangalia kwa upendezi, akasema, "Umekuwa mbaba zaidi. Na unapendeza."
Nikajitahidi kutoa tabasamu kwa kujilazimisha tu.
Akamwangalia Miryam pembeni yake, halafu akamwambia, "Za saa hizi dada?"
"Salama tu. Za kwako?" Miryam akamjibu kwa utulivu.
"Ni nzuri," mwanamke huyu akamjibu Miryam hivyo, kisha akaniangalia kiudadisi na kuuliza, "Dada yako?"
"Mke wangu," nikamwambia hivyo kiuhakika.
Akapandisha nyusi kiasi kwa mtazamo wa kushangaa, naye akasema, "Wooow... okay."
Halafu akamwangalia Miryam usoni tena, ambaye alikuwa ametulia na akimtazama huyu daktari kwa njia makini kiasi.
"Hongera yako dada," akamwambia Miryam hivyo na kumpa mkono ili waitikise kufahamiana.
Miryam akakishika kiganja chake huyu daktari, akiwa ameanza kumwangalia kwa umakini sana.
Mwanamke huyo akamwambia, "Naitwa Stella."
Miryam akanitazama machoni kwa njia yenye utafakari kiasi, akiwa kama ananiomba nimhakikishie, na kwa jinsi ambavyo nilimwangalia, akawa ameupata huo uhakika. Hapo ndiyo alikuwa amekutana kwa mara ya kwanza na mama wa mtoto wangu, Stella!
★★★★★★★★★
ITAENDELEA
★★★★★★★★★
Pata Full Story WhatsApp au inbox
Whatsapp +255 678 017 280
Karibuni sana