Simulizi: Mpenzi jini

Simulizi: Mpenzi jini

SIMULIZI:MPENZI JINI.
MTUNZI:LAMECK PETER.

NAMBA:0652547570.

SEHEMU YA 15.
...Tulipoishia...Maimuna Alikuwa Akimwomba Ketaro Zawadi Yake Aliyomwahidi.
KETARO:Maimuna Kiukweli Yaani Mwenzio Sipo Sawa Kabisa Yaani Hapa Akili Zimeniruka.
MAIMUNA:Ketaro Usiseme Ivyo Bwana Kwani Tatizo Ni Nini Jaman.
KETARO:Najma.
MAIMUNA:Najma Amefanyaje Ketaro Jaman.
KETARO:Maimuna Dada Yako Najma Ameyaweka Maisha Yangu Kutokuwa Na Amani Kabisa Jaman.
MAIMUNA:Usiseme Ivyo Ketaro Jaman Kwani Amekufanyaje.
KETARO:Amenipa Masharti Ambayo Yapo Nje Ya Uwezo Wangu Jaman.
MAIMUNA: Poole Nimekwisha Yajua Hayo Ila Ketaro Usimlaumu Sana Najma Kwani Hayo Masharti Yapo Kwenye Jamii Yetu Na Lazima Uyafuate Sio Kama Yeye Kapenda Kukufanyia Ivyo Ketaro.
KETARO:Mimi Siwezi Najma Kwani Mimi Ni Mwanadamu Pia Ninampenzi Wangu Ninaye Mpenda Sana Hakuna Mfano.
MAIMUNA: Duuh Kwahiyo Sasa.
KETARO:Ntajua Chakufanya Maimuna.Ila Tambua Kuwa Nakutegemea Sana Wewe.
MAIMUNA:Mimi.
KETARO:Ndio Wewe.
MAIMUNA:Kweli Ketaro.
KETARO:Ndio Maimuna.
MAIMUNA:Najisikia Vizuri Sana Kusikia Ivyo.Basi Ngoja Mimi Nikuache Najma Asije Akanikuta Bure Hapa Yakawa Mengine Mana Nae Dada Yangu Yule Kwa Wivu Nimemuinulia Mikono.
KETARO:Sawa Naanaweza Akaja Sasa Hivi.Maimuna Alimwaga Ketaro Kwa Kumpa Mkono Na Kuyayuka Kimiujiza.Muda Mchache Tu Baada Ya Maimuna Kuondoka Najma Aliingia Akiwa Anavuja Damu Mdomoni Tena Damu Nzito Kama Ya Binadamu.Ketaro Aliogopa Sana Alimtolea Macho Mkewe Kama Anataka Kufa Huku Akihema Sana.
KETARO:Inamana Mke Wangu Unakula Nyama Za Watu.Najma Hakujibu Kitu Badala Yake Alikuwa Akijilamba Lamba Damu Zile Zilizokuwa Pembezoni Mwamdomo Kwa Kutumia Ulimi Wake Alio Urefusha Kimiujiza.
KETARO:Najma Sininakuuliza Au.Ghafla Najma Alimsogelea Ketaro Nakuanza Kumlamba Lamba Usoni Kama Mbwa .Ketaro Aliogopa Sana Ili Hisi Yaweza Kuwa Huyu Najma Anataka Kumshambulia Labda.
KETARO:Najma Unataka Kunifanya Nini.Unataka Kuniua Sio.
NAJMA:"Hahahaha"Najma Alicheka Sana Kisha Akaanza Kumtazama Ketaro Kwa Macho Makali."Katika Dunia Hii Mtu Ambaye Nipotayari Kumfanyia Chochote Atakacho Amebakia Mmoja Tu Ambaye Ndiye Wewe.Kiukweli Ketaro Nakupenda Sana Tena Sana Mimi Nimeumbwa Lakini Kuishi Kwangu Kunategemea Damu Na Nyama Za Wanadamu Nakula Hizi Sio Kama Napenda Mume Wangu Na Hata Siwezi Nika Kukula Wewe"Hayo Nimaneno Aliyokuwa Akiyatoa Najma.
KETARO:Lakini Unanitisha Sasa Jamani Kama Kula Nyama Zako Na Damu Lia Huko Ukija Kula Kwangu Mimi Naogopa Jaman.
NAJMA:Basi Sawa Nimekuelewa.Ghafla Najma Alijikausha Damu Zile Kimiujiza Nakubaki Mkavu Kabisa.
NAJMA:Mume Wangu Ketaro Leo Nilikuwa Nataka Nanii.
KETARO:Unataka Nini?
NAJMA:Nataka Mapenzi Mume Wangu.
KETARO:Lakini Najma Wewe Ni Jini Ujuwe Tutafanyaje Mapenzi Au Unataka Kuniua.Ghafla Najma Alimshika Ketaro Mkono Huku Wakiongozana Kuelekea Chumbani Kwao.Lakini Kikubwa Na Chakushangaza Nikwamba Tangu Najma Na Ketaro Wawe Na Mahusiano Hawakuwahi Kulala Pamoja Wala Kuoga Pamoja Hii Ya Leo Ndio Ilikuwa Inakwenda Kuwa Mara Ya Kwanza.Najma Aliendelea Kumvuta Ketaro Hadi Wakafika Kitandani .Walipofika Najma Alianza Kumvua Nguo Ketaro Taratibu.Ketaro Hakujuwa Lakufanya Badala Yake Alibaki Kuganda Tuu Akisubili Kitakacho Jiri.Najma Aliendelea Kumvua Nguo Ketaro Hadi Akabakia Na Boxer Ya Ndani Alipobakia Na Boxer .Najma Nae Alianza Kujivua Nguo Mwenyewe Alijivuo Nguo Taratibu Kuanzia Juu Kwenda Chini Lakini Cha Ajabu Na Kikubwa Kingine Kilicho Muogopesha Ketaro Ni Baada Ya Kuona Mwili Wa Najma Ulikuwa Ni Mwili Wenye Asili Ya Nyoka Ni Mwili Uliokuwa Umetapakaa Magamba Ya Nyoka.Ketaro Aliogopa Sana Alitaka Kukimbia Kuelekea Kwenye Mlango Nje.Ghafla Najma Alimtokea Mbele Yake Akiwa Amekasirika Sana Huku Magamba Hayo Ya Nyoka Yakiwaka waka Ipasavyo Huku Macho Yake Yakiwaka Waka Sana Pamoja Na Ulimi Wake Uliokuwa Kama Wanyoka Ukitoka Nje Kwa Hasira.Ketaro Aliogopa Sana Sana Tena Sana.
KETARO:Najma Unataka Kuniua,Umenileta Huku Kuniangamiza Jamani.
NAJMA:Hapana Mume Wangu Ketaro.Ila Ketaro Na Mimi Ninahisia Toka Nizaliwe Miaka 400 Iliyopita Sijawahi Kufanya Mapenzi Na Mtu Yeyote.Tafadhali Mume Wangu Najuwa Ntakuwa Nimekukwaza Ila Nisaidie Na Mimi Usiniogope Jaman Tafadhali.Maneno Yale Yalimgusa Sana Ketaro.
KETARO: Daah Najma Unanipa Wakati Mgumu Sana Jaman.Alafu Madude Yako Hayo Yanitisha Jamani.Najma Alipoa Nakupunguza Makali,Najma Alimshika Mikono Ketaro Nakumtupa Kitandani Kisha Najma Alimlalia Ketaro Juu Yake.Mapigo Ya Moyo Ya Najma Yalianza Kwenda Kwa Kasi Sana Kwani Hakuwahi Kufanya Tendo Hilo.Ketaro Ilimbidi Afanye Tu Japo Kuwa Hakupenda.Ketaro Alianza Kumpapasa Papasa Sehemu Zake Za Siri Najma Na Maungio Yake Yenye Hisia.Najma Alianza Kuhema Kwa Kasi.Ketaro Aligundua Kweli Najma Hajawahi Kushiriki Tendo La Ndoa.Ketaro Alimvua Nguo Zote Najma Nakuanza Kumpapasa Kifuani Kulipokuwepo Na Embe Bolibo Zake Zilizo Simama Vyema Kama Mkuki.Najma Alianza Kuweweseka Huku Akipiga Kelele Za Aina Yake....
ITAENDELEA.
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.

MTUNZI:LAMECK PETER.

SEHEMU YA 15.
...Tulipoishia...Maimuna Alikuwa Akimwomba Ketaro Zawadi Yake Aliyomwahidi.
KETARO:Maimuna Kiukweli Yaani Mwenzio Sipo Sawa Kabisa Yaani Hapa Akili Zimeniruka.
MAIMUNA:Ketaro Usiseme Ivyo Bwana Kwani Tatizo Ni Nini Jaman.
KETARO:Najma.
MAIMUNA:Najma Amefanyaje Ketaro Jaman.
KETARO:Maimuna Dada Yako Najma Ameyaweka Maisha Yangu Kutokuwa Na Amani Kabisa Jaman.
MAIMUNA:Usiseme Ivyo Ketaro Jaman Kwani Amekufanyaje.
KETARO:Amenipa Masharti Ambayo Yapo Nje Ya Uwezo Wangu Jaman.
MAIMUNA: Poole Nimekwisha Yajua Hayo Ila Ketaro Usimlaumu Sana Najma Kwani Hayo Masharti Yapo Kwenye Jamii Yetu Na Lazima Uyafuate Sio Kama Yeye Kapenda Kukufanyia Ivyo Ketaro.
KETARO:Mimi Siwezi Najma Kwani Mimi Ni Mwanadamu Pia Ninampenzi Wangu Ninaye Mpenda Sana Hakuna Mfano.
MAIMUNA: Duuh Kwahiyo Sasa.
KETARO:Ntajua Chakufanya Maimuna.Ila Tambua Kuwa Nakutegemea Sana Wewe.
MAIMUNA:Mimi.
KETARO:Ndio Wewe.
MAIMUNA:Kweli Ketaro.
KETARO:Ndio Maimuna.
MAIMUNA:Najisikia Vizuri Sana Kusikia Ivyo.Basi Ngoja Mimi Nikuache Najma Asije Akanikuta Bure Hapa Yakawa Mengine Mana Nae Dada Yangu Yule Kwa Wivu Nimemuinulia Mikono.
KETARO:Sawa Naanaweza Akaja Sasa Hivi.Maimuna Alimwaga Ketaro Kwa Kumpa Mkono Na Kuyayuka Kimiujiza.Muda Mchache Tu Baada Ya Maimuna Kuondoka Najma Aliingia Akiwa Anavuja Damu Mdomoni Tena Damu Nzito Kama Ya Binadamu.Ketaro Aliogopa Sana Alimtolea Macho Mkewe Kama Anataka Kufa Huku Akihema Sana.
KETARO:Inamana Mke Wangu Unakula Nyama Za Watu.Najma Hakujibu Kitu Badala Yake Alikuwa Akijilamba Lamba Damu Zile Zilizokuwa Pembezoni Mwamdomo Kwa Kutumia Ulimi Wake Alio Urefusha Kimiujiza.
KETARO:Najma Sininakuuliza Au.Ghafla Najma Alimsogelea Ketaro Nakuanza Kumlamba Lamba Usoni Kama Mbwa .Ketaro Aliogopa Sana Ili Hisi Yaweza Kuwa Huyu Najma Anataka Kumshambulia Labda.
KETARO:Najma Unataka Kunifanya Nini.Unataka Kuniua Sio.
NAJMA:"Hahahaha"Najma Alicheka Sana Kisha Akaanza Kumtazama Ketaro Kwa Macho Makali."Katika Dunia Hii Mtu Ambaye Nipotayari Kumfanyia Chochote Atakacho Amebakia Mmoja Tu Ambaye Ndiye Wewe.Kiukweli Ketaro Nakupenda Sana Tena Sana Mimi Nimeumbwa Lakini Kuishi Kwangu Kunategemea Damu Na Nyama Za Wanadamu Nakula Hizi Sio Kama Napenda Mume Wangu Na Hata Siwezi Nika Kukula Wewe"Hayo Nimaneno Aliyokuwa Akiyatoa Najma.
KETARO:Lakini Unanitisha Sasa Jamani Kama Kula Nyama Zako Na Damu Lia Huko Ukija Kula Kwangu Mimi Naogopa Jaman.
NAJMA:Basi Sawa Nimekuelewa.Ghafla Najma Alijikausha Damu Zile Kimiujiza Nakubaki Mkavu Kabisa.
NAJMA:Mume Wangu Ketaro Leo Nilikuwa Nataka Nanii.
KETARO:Unataka Nini?
NAJMA:Nataka Mapenzi Mume Wangu.
KETARO:Lakini Najma Wewe Ni Jini Ujuwe Tutafanyaje Mapenzi Au Unataka Kuniua.Ghafla Najma Alimshika Ketaro Mkono Huku Wakiongozana Kuelekea Chumbani Kwao.Lakini Kikubwa Na Chakushangaza Nikwamba Tangu Najma Na Ketaro Wawe Na Mahusiano Hawakuwahi Kulala Pamoja Wala Kuoga Pamoja Hii Ya Leo Ndio Ilikuwa Inakwenda Kuwa Mara Ya Kwanza.Najma Aliendelea Kumvuta Ketaro Hadi Wakafika Kitandani .Walipofika Najma Alianza Kumvua Nguo Ketaro Taratibu.Ketaro Hakujuwa Lakufanya Badala Yake Alibaki Kuganda Tuu Akisubili Kitakacho Jiri.Najma Aliendelea Kumvua Nguo Ketaro Hadi Akabakia Na Boxer Ya Ndani Alipobakia Na Boxer .Najma Nae Alianza Kujivua Nguo Mwenyewe Alijivuo Nguo Taratibu Kuanzia Juu Kwenda Chini Lakini Cha Ajabu Na Kikubwa Kingine Kilicho Muogopesha Ketaro Ni Baada Ya Kuona Mwili Wa Najma Ulikuwa Ni Mwili Wenye Asili Ya Nyoka Ni Mwili Uliokuwa Umetapakaa Magamba Ya Nyoka.Ketaro Aliogopa Sana Alitaka Kukimbia Kuelekea Kwenye Mlango Nje.Ghafla Najma Alimtokea Mbele Yake Akiwa Amekasirika Sana Huku Magamba Hayo Ya Nyoka Yakiwaka waka Ipasavyo Huku Macho Yake Yakiwaka Waka Sana Pamoja Na Ulimi Wake Uliokuwa Kama Wanyoka Ukitoka Nje Kwa Hasira.Ketaro Aliogopa Sana Sana Tena Sana.
KETARO:Najma Unataka Kuniua,Umenileta Huku Kuniangamiza Jamani.
NAJMA:Hapana Mume Wangu Ketaro.Ila Ketaro Na Mimi Ninahisia Toka Nizaliwe Miaka 400 Iliyopita Sijawahi Kufanya Mapenzi Na Mtu Yeyote.Tafadhali Mume Wangu Najuwa Ntakuwa Nimekukwaza Ila Nisaidie Na Mimi Usiniogope Jaman Tafadhali.Maneno Yale Yalimgusa Sana Ketaro.
KETARO: Daah Najma Unanipa Wakati Mgumu Sana Jaman.Alafu Madude Yako Hayo Yanitisha Jamani.Najma Alipoa Nakupunguza Makali,Najma Alimshika Mikono Ketaro Nakumtupa Kitandani Kisha Najma Alimlalia Ketaro Juu Yake.Mapigo Ya Moyo Ya Najma Yalianza Kwenda Kwa Kasi Sana Kwani Hakuwahi Kufanya Tendo Hilo.Ketaro Ilimbidi Afanye Tu Japo Kuwa Hakupenda.Ketaro Alianza Kumpapasa Papasa Sehemu Zake Za Siri Najma Na Maungio Yake Yenye Hisia.Najma Alianza Kuhema Kwa Kasi.Ketaro Aligundua Kweli Najma Hajawahi Kushiriki Tendo La Ndoa.Ketaro Alimvua Nguo Zote Najma Nakuanza Kumpapasa Kifuani Kulipokuwepo Na Embe Bolibo Zake Zilizo Simama Vyema Kama Mkuki.Najma Alianza Kuweweseka Huku Akipiga Kelele Za Aina Yake....
Itaendelea
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.

MTUNZI:LAMECK PETER.

SEHEMU YA 16.
...Tulipoishia...Ketaro Alizidi Kumpapasa Najma Kimahaba.Kwa Kweli Najma Hakuwahi Kuguswa Na Mwanaume Kabisa.Kitendo Kile Cha Ketaro Kumpapasa Kili Mfanya Hisia Zake Ziende Mbali Sana Hadi Kujikuta Akitoa Sauti Za Mahaba.Ketaro Aliendelea Kumpapasa Najma Huku Akimnyonya Matiti Yake Lakini Kikubwa Cha Kushangaza Ketaro Alipozidi Kuzinyonya Chuchu Za Najma Na Huku Akilegea.Chuchu Za Najma Zilianza Kutoa Damu Za Binadamu.Ketaro Alijikuta Akinyonya Damu Alimsukumiza Najma Kitandani Kwa Hasira Sana.
KETARO:Najma Nini Hiki Unafanya Unataka Kuniua Au.
NAJMA:Mume Wangu Ketaro Utanilaumu Buru Tu Me Sijuwi Kwanini Ninatokwa Na Damu Kama Hivi.Na Sipendi Nitokwe Lakini Ninajikuta Nikitokwa Na Damu Ila Nisamehe Mume Wangu"Najma Alizungumza Maneno Hayo Huku Akilia Kwa Hisia Sana".Daah Ketaro Alimwonea Huruma Sana Najma.
KETARO:Najma Sasa Mimi Nitafanyaje Wakati Unatokwa Na Damu Jaman Nikweli Haupendi Kuwa Ivyo Lakini Na Mimi Sitaweza Kunyonya Damu
NAJMA:Ketaro Mume Wangu Ila Me Nahisi Itakuwa Ni Kwasababu Leo Ni Mara Ya Kwanza.Naomba Basi Unishike Tu Sehemu Nyingine Usininyonye Matiti Yangu Nakuomba Sana Jaman.
KETARO:Najma Sawa Njoo Basi...Ketaro Alimvuta Najma Ili Waendelee Na Kibarua Tena.Najma Alitoa Tabasamu La Ajabu.Ketaro Aliendelea Kumpapasa Najma Taratibu.Najma Alianza Kushikwa Na Hisia Kwa Mara Nyingine Isivyo Kawaida.Baada Ya Muda Mfupi Ketaro Alifungua Ofisi Yake Ili Apate Kuiunganisha Na Ofisi Ya Najma.Mkuu Wa Ofisi Ya Ketaro Alikua Amesimama Ipasavyo.Ketaro Alianza Kuipapasa Ikulu Ya Najma Taratibu.Ketaro Alimchukuwa Mtu Mishi Wake Na Kumwingiza Taratibu Kwenye Ikulu Ya Najma.Taratibu Najma Alianza Kupiga Kelele Isivyo Kawaida.Ketaro Alijikuta Mtu Mishi Wake Akipata Shida Sana Kuingia Kwenye Ikulu Ya Najma.Najma Hakuonyesha Hali Ya Kuhisi Maumivu Hata Kidogo Badala Yake Alikuwa Akifurahi Sana.Ketaro Aliendelea Kumwingiza Bwana Mkubwa Kwenye Ikulu Ya Najma Anamchomoa Ghafla Taratibu Damu Zilianza Kutoka Taratibu.Wakati Huo Huo Ketaro Alikuwa Akipanda Mlima Kilimanjaro Hakujali Kabisa Kutokwa Kwa Damu Kwa Najma.Alijikuta Na Yeye Akipiga Kelele.Mchuzi Wa Moto Ulianza Kumwagika Kutoka Kwa Baba Dula Kwenda Kwa Mama Dula.Mchuzi Ule Wa Moto Ulipokuwa Ukimwagika Kwa Mama Dula.Najma Alikuwa Akipiga Kelele Sana.Mwisho Wa Siku Ketaro Alimaliza Kumwaga Mchuzi Wake Vyema Kwa Mama Dula Kisha Akamchomoa Baba Dula.Wakati Anachomoa Alishangaa Kuona Damu Zilizokuwa Zikitoka Kwenye Ikulu Ya Najma.
KETARO: Pole Mke Wangu Jaman.Najma Alishangaa Sana Kusikia Ketaro Akimwita Mke Wangu Tena Kimahaba Kwani Alikuwa Hamwitagi Mke Mara Kwa Mara.
NAJMA:Nakupenda Sana Mume Wangu Siku Ya Leo Sito Isahau Maishani Mwangu.Najma Akaanza Kujitazama Kwenye Ikulu Yake.
NAJMA:Hata Usijali Mume Wangu.Najma Alijitazama Kwenye Ikulu Yake Na Kupakausha Kwa Macho Damu Zile.Najma Alimpiga Busu Ketaro Nakisha Akamvalisha Nguo Na Yeye Akavaa Na Baada Ya Hapo Alimshika Mkono Wakitoka Nje.Walipotoka Nje Ketaro Alishangaa Kuona Magari Matatu 3 Yakiwa Yapo Nje Hapo Huku Akiwa Hajuwi Yamekuja Muda Gani?.
NAJMA:Mume Wangu Hizo Ni Zawadi Zako Nimekuletea.
KETARO:Kweli?
NAJMA:Kweli.Na Ninataka Leo Tena Muda Huu Tutoke Nataka Nikakuchukulie Pesa.
KETARO:Lakini Mbona Mimi Sijuwi Kuendesha Gari Na Hata Sikuwahi Kuwa Na Ndoto Za Kumiliki Gari.
NAJMA:Usijali Nitaendesha Mimi.Najma Alimfungulia Mlango Ketaro Kwani Ketaro Hakujuwa Hata Kufungua Hata Mlango Wa Gari Kwani Hakuwahi Kupanda Gari Kisha Na Yeye Alipanda Gari Hilo Na Safari Ya Kuelekea Kwenda Kufuata Pesa Ilianza japo Kuwa Ketaro Hakujuwa Pesa Hizo Zinatolewa Wapi?.Walienda Hadi Wakafika Mahali Ambako Kuna Duka Kubwa La Jumla La Chakula.Walipofika Hapo Najma Alitoka Kwenye Gari Na Kumwambia Ketaro Kuwa Anakuja Sasahivi Anakwenda Kununua Vitu.Alikwenda Kwenye Duka Hilo Na Alipofika Alitoa Shilingi Elfu Kumi 10000 Na Kununua Mchele Kilo Tatu 3 Na Sukari Kilo Na Baada Ya Hapo Alivyochukuwa Vitu Vile Hakuhitaji Kuchukuwa Chenchi Ile Aliondoka Kwa Haraka Akielekea Kwenye Gari Lake .Yule Muuza Duka Alijaribu Kumwita Lakini Najma Alijifanya Kama Hakusikia .Aliwasha Gari Na Kuondoka Walipofika Nyumbani.Najma Alikwenda Kwenye Chumba Flani Ambacho Ketaro Aliambiwa Chumba Kile Ndicho Atakacho Kuwa Anachukuwa Pesa Za Mahitaji.Najma Aliingia Na Kutoka Na Maburungutu Ya Pesa Alizochuma Kutoka Katika Duka Lile La Jumla.Zilikuwa Ni Pesa Zisizo Pungua Million Tano.Alichukuwa Na Kumkabidhi Ketaro Kisha Alimwaga Na Mabusu Tele Tele Na Kuondoka.Nyakati Hizo Ilikuwa Ni Jioni Muda Mfupi Tu Maimuna Aliingia Kimiujiza Bila Kupitia Getini Kama Kawaida Yake.Alimkuta Ketaro Akiwa Chumbani.Maimuna Alimwita Ketaro .Ketaro Alikuja Na Wakaketi Kwenye Makochi.
MAIMUNA:Mambo Ketaro.
KETARO: Powa Vipi Mzima Shemeji.
MAIMUNA:Mimi Mzima Sijuwi Wewe.
KETARO:Mimi Mzima.
MAIMUNA:Ketaro Niliwaona Wewe Na Dada Yangu Mkifanya Mapenzi.
KETARO:Uliniona...
ITAENDELEA.
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.

MTUNZI:LAMECK PETER.

SEHEMU YA 17.
...Tulipoishia...Ketaro Alishtushwa Sana Baada Ya Kujuwa Kuwa Maimuna Alikuwa Akiwatazama.
KETARO:Maimuna Kwanini Umenichungulia.
MAIMUNA:Ketaro Mimi Nilishindwa Kujizuia Nilijikuta Nikikuchungulia Kwa Hisia Japo Kuwa Siku Penda.Tendo Lile Lilimkela Sana Ketaro .Ketaro Alinyanyuka Kwa Hasira Akielekea Chumbani Kwake Huku Akimwacha Maimuna Kwenye Kochi.Maimuna Alinyanyuka ,Kipindi Ketaro Amekaribia Kwenye Mlango Wa Chumba Chake Maimuna Alimtokea Ketaro Kwa Mbele.Aliyayuka Na Kumtokea Mlangoni.Ketaro Alimtazama Maimuna Kwa Hasira Sana.
MAIMUNA:Ketaro Mbona Unanikasirikia Jaman Kwani Mimi Kukona Ni Tatizo.Ketaro Hakutaka Kumsikiliza Kabisa Maimuna.Maimuna Alimwomba Ketaro Amtazame Kwenye Macho.
KETARO:Me Sitaki Maimuna Hebu Niache.Maimuna Alizidi Kumwomba Ketaro Amtazame Kwa Sauti Ya Upole.Ketaro Alinyanyua Uso Wake Ilikumtazama Alipomtazama Tu Ghafla Macho Ya Maimuna Yalitoa Miale Ya Mwanga Iliyoelekea Kwenye Macho Ya Ketaro.Baada Ya Kummulika Na Miale Ile Kwa Muda Wa Kama Dakika Mbili 2.Ghafla Ketaro Alibadilika Kabisa Na Akaondokewa Na Hasira Kabisa.
MAIMUNA:Usinifanyie Ivyo Ketaro.
KETARO:Maimuna Nimekuelewa Jaman Usijali.
MAIMUNA:Sikufichi Ketaro Dada Yangu Angechelewa Kuwa Na Wewe .Mimi Ningekubeba Ketaro.
KETARO:Unamaanisha Nini?
MAIMUNA:Ketaro Usiwe Kama Mtoto Mdogo Jaman.
KETARO:Mimi Sijaelewa.
MAIMUNA:Nakupenda Sana Tena Sana Jaman.
KETARO:Mungu Wangu! Maimuna Hauoni Aibu Kuzungumza Maneno Kama Hayo Mbele Yangu Jaman.
MAIMUNA:Ketaro Tafadhali Usifanye Ivyo.
KETARO:Nimesema Sitaki Sitaki Sitaki.Ketaro Alipiga Kelele Kwa Ukali.Wakati Anapiga Kelele Ghafla Maimuna Aliyayuka Muda Huo Huo Najma Alimtokea Ketaro.
NAJMA:Jaman Kulikoni Kuna Nini Nilikuwa Kule Kwa Wazazi Wangu Nimesikia Ukipiga Kelele.Kuna Nini Jaman?
KETARO:Najma Najisikia Vibaya.
NAJMA: Pole Mume Wangu Jaman.Njoo Upumzike.Najma Alimvuta Ketaro Taratibu Akimpeleka Kitandani Na Kumlaza Kitandani Taratibu.Ketaro Alilala Kitandani Hapo Japo Kuwa Ukweli Ni Kwamba Alikuwa Haumwi.Baada Ya Kumlaza Najma Aliyayuka Kimiujiza Na Kupotea.Muda Huo Huo Baada Ya Najma Kuyayuka.Maimuna Alitokea Tena Kwa Mara Nyingine.
MAIMUNA:Ketaro.Ketaro Alipoinua Macho Yake Iliamtazame Anae Mwita Alishangaa Kuikuta Sura Ya Maimuna.
KETARO:Maimuna Kwanini Unanifanyia Ivyo Lakini Mnataka Kunitoa Roho Yangu Sio.
MAIMUNA:Hapana Ketaro Mimi Nakupenda Kwa Dhati Na Nipo Tayari Kwa Lolote Lile Kwa Ajili Yako.
KETARO:Tafadhali Maimuna Naomba Uniache.
MAIMUNA:Ketaro Mimi Najua Dada Yangu Najma Haujampenda Kwa Dhati Ila Kuna Uliyempenda Ambaye Ni Luyange.Najua Unampenda Sana Na Unatamani Kuwa Nae Mimi Ninauwezo Wa Kukupeleka Kule Alipo Nakukurudisha Hapa Kwa Siri Na Hata Kutumia Mgongo Wangu Kwa Dada Yangu Najma Kuwa Tunatoka Kutembea Nakumbe Tunaenda Kwa Luyange Lakini Yote Hayo Nitafanya Endapo Ukinikubalia Na Kukubali Kuwa Mwenza Wangu.Daah Ketaro Alichoka Kabisa Alijuwa Hana Bahati Kabisa .Kiukweli Ketaro Alitamani Sana Kumwona Na Kuwa Na Luyange Lakini Masharti Hayo Aliyoyatoa Maimuna Yalimbana Kwani Ilitakiwa Endapo Akihitaji Ivyo Awe Na Mahusiano Na Maimuna.Ketaro Aliogopa Sana Na Alijuta Sana Kwani Alitambuwa Yakuwa Najma Atakapo Gundua Atamuua.Ketaro Alinyamaza Na Kukaa Kimya Kwa Muda Kidogo Akitafakari.
KETARO:Kutaka Nataka Maimuna Lakini Kwanini Unaniwekea Masharti Hayo Ambayo Ni Magumu.Maimuna Alikaa Kimya Bila Kuzungumza Kwani Alijua Hilo Ni Tanzi Amemwekea Ketaro Na Nilazima Atanasa Tu.
KETARO:Nipe Muda Nifikirie Maimuna Sawa.Maimuna Alimsogelea Ketaro Na Kumbusu Kwenye Shavu.Ketaro Hakuwa Na Lakufanya Badala Yake Aliganda Tu Akimtazama.Baada Ya Hapo Alitoweka Kimiujiza Kama Kawaida Yake.Baada Ya Muda Kesho Yake Asubuhi Ndio Najma Alikuja.Alipokuja Alimkuta Ketaro Bado Amelala.
NAJMA:Ketaro Mume Wangu Amka.Ketaro Aliamka.
KETARO:Yaan Mke Wangu Najma Kwanini Unanifanyia Hivi .Mimi Kulala Na Mito Wewe Unaona Ni Furaha Sio.
NAJMA:Hapana Mume Wangu Ila Kule Kwenye Jamii Yetu Kulikuwa Kuna Kikao.Alafu Kuna Kitu Kipya Nimekuletea Au Niseme Kuna Ujumbe Mpya Nimekuletea Mume Wangu.
KETARO:Ujumbe Gani Huo Mke Wangu.
NAJMA:Mume Wangu Nimegundua Kuwa Ninaujauzito Wako.
KETARO:Unaujauzito Wangu Najma.
NAJMA:Ndio Mume Wangu Na Tena Katika Jamii Zetu Sisi Ujauzito Huwa Unakaa Miezi Sita 6 Alafu Unajifungua Tofauti Na Binadamu.Ketaro Alichoka Kwani Hakuwahi Kuwa Na Ndoto Za Kuja Kuzaa Na Jini.Wakati Ketaro Akiwa Ameinamisha Kichwa Chake Najma Alikuwa Akimtazama Kwenye Shavu Lake Kwa Umakini Sana.
NAJMA:Mume Wangu Ketaro.
KETARO:Naam.
NAJMA:Kwanini Unanisaliti?.Ketaro Alishtuka Sana Tena Sio Kidogo.
KETARO:Nakusaliti?
NAJMA:Ndio Unadiriki Kunisaliti.
KETARO:Kivipi Mke Wangu Najma?.
NAJMA:Ni Nani Aliyekupiga Busu Hapa Kwenye Shavu.Yaan Naomba Usinidanganye Hata Kidogo Tena Nikwambie Mimi Sidanganyiki Na Ukicheza Na Mimi Utalia.Naomba Unieleze Ukweli Mwanzo Mwisho Ni Nani Uliyefanya Nae Upuuzi Huu...
Itaendelea
 
MPENZI JINI

MTUNZI:LAMECK PETER.

SEHEMU YA 18.
...Tulipoishia...Ketaro Alibanwa Na Kuamuriwa Kuzungumza Aliyempiga Busu Shavuni.Ketaro Aliogopa Sana Na Alimwogopa Najma Mke Wake Sana.
KETARO:Mke Wangu Jaman.Ketaro Alijaribu Kumsogelea Najma Na Kumshika Mkono.
NAJMA:Niache.Ghafla Najma Alimsukumiza Ketaro Chini Na Akaanza Taratibu Kuchomoa Ulimi Wake Ulio Kuwa Kama Wanyoka Na Mwili Wake Ulianza Kubadilika Na Kuwa Kama Mwili Wa Nyoka.
KETARO:Mke Wangu Basi Basi Jaman Usifanye Ivyo.Mbona Unakasika Bure Tu Jaman .Ngoja Nikwambie.Muda Huo Wote Najma Hakujibu Chochote Alikaa Kimya Na Huku Akiendelea Kuuchezesha Ulimi Wake Ulio Refuka Kama Wa Nyoka.
KETARO:Mdogo Wako Maimuna Alikuja Hapa Nakunikuta Katika Hali Ambayo Si Nzuri Ndio Akanisaidia Na Kuniaminisha Kuwa Nitakaa Sawa Na Mwishowe Ndio Akaniaga Kama Shemeji Yake Kipenzi Na Busu Kwenye Shavu.
NAJMA:Mmmhh Mbona Maimuna Nae Ivyo Sawa Nilijuwa Umefanya Mambo Ya Kipuuzi Daah Yangekuwa Mengine Sasahivi.Siuna Juwa Ketaro Mimi Ninavyokupenda Lakini.
KETARO:Ndio Mbona Hata Mimi Pia Nakupenda Tu Sana.Ketaro Aliweza Kumfanya Najma Awe Sawa Kwa Maneno Yake Ya Udanganyifu.Mwisho Wake Najma Alimwelewa Na Akashusha Hasira Zake Na Kurejea Katika Hali Yake Ya Kawaida.
NAJMA:Basi Sawa Mume Wangu Kwahiyo Ndio Ivyo Kuanzia Leo Na Sasa Tambua Yakuwa Ninaujauzito Wako Na Ujauzito Katika Jamii Yetu Unakaa Miezi Sita 6 Tu.Ketaro Ilimbidi Awe Mkimya Kwani Hata Angeongea Isinge Saidia Kitu.
KETARO:Nimekuelewa Najma.Baada Ya Maongezi Hayo Najma Alimweleza Ketaro Yakuwa Siku Ya Kesho Anahitaji Kwenda Nae Katika Jamii Yao Kule Baharini Kuna Sherehe Ya Jamii Yao.Ketaro Hakuwa Na Lakusema Zaidi Ya Kukubali,Baada Ya Hapo Najma Alipotea Kimiujiza Na Kumwacha Ketaro Peke Yake.Muda Ulienda Na Kesho Asubuhi Ilitimu Muda Mdogo Tu Baada Ya Ketaro Kuamka Najma Alikuja Na Kumkuta Ketaro Akijiandaa.Kitaro Akiwa Anajitazama Kwenye Kioo Alihisi Mtu Anakuja Nyuma Yake.Alipotazama Kwenye Kioo Aligundua Yakuwa Alikuwa Ni Najma.Najma Alimsogelea Ketaro Na Kumkumbatia Kwa Nyuma.Ketaro Ilimbidi Atulie.
NAJMA:Nakupenda Sana Ketaro Mume Wangu.Siku Utakayokuja Kunisaliti Sijuwi Itakuwaje.
KETARO:Mimi Ni Wako Tu Niamini.Ketaro Alikuwa Akitoa Kauli Za Kumwaminisha Sana Najma.
NAJMA:Basi Jiandae Haraka Kisha Tuondoke.Najma Alimwachilia Ketaro Kwanza Ili Apate Kujiandaa Kisha Wapate Kuondoka.Baada Ya Muda Mfupi Ketaro Alijiandaa Na Safari Ikaanza Kama Kawaida Yao Safari Yao Huwa Ya Dakika.Najma Alimkumbatia Ketaro Na Wakayayuka Kimiujiza.Walikwenda Hadi Kwenye Sherehe Iliokuwepo Katika Jamii Ya Akina Najma Alipo Ishi Zamani Ketaro.Jamii Ya Majini.Ketaro Alipokelewa Na Familia Ya Kifalme ,familia ya kina Najma.Ketaro Alipokelewa Na Moja Kwa Moja Alipelekwa Eneo La Tukio Kunakofanyika Tafrija Hiyo.Kikubwa Kilichomshangaza Ketaro Ni Kwamba Vinywaji Walivyokuwa Wanatumia Majini Hao Ilikuwa Ni Damu Za Watu Tena Damu Mbichi Pamoja Na Miili Ya Watu.Ketaro Aliogopa Sana Na Akajuta Sana Kwanini Alikuja Huku Leo Alitamani Ardhi Ipasuke Immeze.Wakati Akiwa Anatafakari Hayo Alishangaa Kuona Akija Kufuatwa Na Wadada Wawili 2 Waliopendeza Wakimpeleka Mahali Alipokuwa Mfalme Pamoja Na Malkia Wake.Alipofika Pale Mfalme Alisalimiana Nae Na Baada Ya Hapo Alimtangaza Mbele Ya Umati Wa Jamii Yao Ya Kuwa Yule Ndiye Mume Wa Najma Lakini Akiwa Anazungumza Hayo Alishangaa Kumuona Ketaro Akiwa Hana Kinywaji.Hakupendezewa Nalo Hilo Swali Alimwita Muhudumu Mmoja Mwenye Juisi Na Kumuomba Ampatie Ketaro Ili Anywe.Lakini Kwa Upande Wa Ketaro Ilikuwa Ni Mtihani Kwani Juisi Ili Ilikuwa Ni Damu Na Ugumu Mwingine Ulikuwa Unakuja Pale Ambapo Atakataa Kwani Ingeonekana Kama Dharau Kukaribishwa Na Mfalme Mbele Ya Umati Wa Watu Na Kumkatalia.Ketaro Aliganda Akitazama Kile Chombo Walichowekea Damu Ile.Alishindwa Chakufanya Badala Yake Aliganda Akitazama Damu Ile.Lakini Kumbe Muda Huo Huo Najma Alikuwa Amekwisha Fika.Najma Aliweza Kumpa Ishara Ketaro Ya Kuwa Anywe.Ketaro Aliogopa Sana Na Alijipa Moyo Yakuwa Yaweza Kuwa Najma Akafanya Kitu.Alichukuwa Kikombe Kila Na Kuanza Kunya Alipokuwa Akinywa Alishangaa Kuona Damu Ile Imegeuka Na Kuwa Juisi Ya Matunda Yenye Ladha Nzuri.Ketaro Alijikuta Akinywa Damu Ile Bila Ya Kujuwa Na Huku Akijuwa Itakuwa Ni Juisi Ya Matunda.Alipomaliza Kunywa Alishangaa Kuona Juisi Ile Imegeuka Na Kuwa Damu Tena Na Hata Mdomoni Mwake Kulikuwa Na Mabaki Ya Damu.Ketaro Alitamani Hata Kutapika Lakini Aliona Kwa Hapo Itakuwa Vigumu.Aliamuwa Kuomba Ruhusa Mara Moja Aende Chooni Akajisaidie.Walimruhusu Akatoka Zake Huku Akiacha Kule Burudani Zinaendelea.Alikwenda Akatapika Vya Kutosha Na Hata Kukojoa Lakini Haikusaidia Kitu.Wakati Anatoka Tu Alikutana Na Maimuna Ghafl.
KETARO:Vipi Ulikuwa Wapi Wewe Mbona Sijakuona.
MAIMUNA:Nilikuwepo Mbona Sema Sasa Ketaro Nimekufuata Huku Kisiri Siri Hakuna Atakae Jua .Nimekufuata Ili Nikupeleke Kwa Luyange Ukapate Kumuona.
KETARO:Ila Maimuna Najma Akijua Je?
Itaendelea.
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.

MTUNZI:LAMECK PETER.

SEHEMU YA 19.
...Tulipoishia....Ketaro Alishawishika Kuungana Na Maimuna Kwani Hata Yeye Alikuwa Anahitaji Sana Kuonana Na Mwenza Wake.Mwanadada Aliyempenda Kutoka Moyoni Mwake.Maimuna Alimsihi Ketaro Amkumbatie Ili Wapate Kuondoka Mahali Hapo Na Waelekee Eneo Husika.Ketaro Alimkumbatia Maimuna Ipasavyo Mbele Ya Nikimaanisha Mbele Ya Uso Wake.Maimuna Alitamani Hata Ketaro Angekuwa Wake Kwani Kumbatio Lile Lilimsisimua Sana Moyo.Maimuna Kabla Ya Kupotea Kichawi Maeneo Hayo Alijikuta Akimwambia Ketaro Kwa Kinywa Chake.
MAIMUNA:Nakupenda Sana Ketaro Natamani Ungekuwa Wangu.
KETARO:Sawa Nimekuelewa Hebu Tuondoke Mahali Hapa Haraka.Maimuna Hakuwa Na Budi Ilimbidi Amsikilize.Kweli Waliyayuka Kichawi Na Kutokea Nyumbani Na Akina Ketaro.Ketaro Hakuamini Macho Yake Baada Ya Kupaona Nyumbani Kwao.Ketaro Alianza Kuongoza Kuelekea Kwao.Alipoingia Alipata Faraja Ya Ajabu Alipomwona Luyange Akiwa Ameketi Na Bibi Yake.Kwa Muda Huo Luyange Hakuweza Kumuona Vyema Ketaro Kwani Alikuwa Amempa Mgongo Ila Bibi Peke Yake Ndiye Aliyeweza Kumuona.Bibi Alipomwona Mjukuu Wake Kwa Mara Nyingine Tena Alijikuta Akilia Sana.Kwani Bibi Mwanae Alikwishaga Fariki Na Ketaro Ndio Faraja Yake.Luyange Alishindwa Kumuelewa Bibi Yake Alipomwona Analia.Ilimbidi Amwulize.
LUYANGE:Kuna Nini Bibi Jamani Mbona Unalia?
BIBI LIKANDE:Ketaro Amerejea Yupo Nyuma Yako.
LUYANGE:Bibi Bwana Unatatizo Gani Inaonekana Umemiss Sana Mume Wako Ketaro Eenh.
BIBI LIKANDE:Geuka Utazame Nyuma Mjukuu Wangu.Luyange Hakuwa Na Budi Ilimbidi Ageuke Japo Kuwa Hakuamini Kabisa Alichokuwa akizungumzia Bibi .Alipogeuka Aliweza Kumuona Ketaro.Hakuamini Macho Yake ,Luyange Alijikuta Akiinuka Akimkimbilia Mume Wake Ketaro Huku Machozi Yakimtiririka.
LUYANGE:Jaman Mungu Wangu.Siamini Macho Yangu.Luyange Alimkumbatia Kwa Nguvu ,Kwa Uchungu Na Kwa Machozi.
LUYANGE:Kwanini Lakini Ketaro Mume Wangu Uliniacha Lakini Me Staki Bwana.Luyange Alikuwa Akitoa Sauti Ya Mabembelezo Kwa Mume Wake Ketaro.Muda Wote Huo Ketaro Alikuwa Yupo Kimya Kwani Hakuwa Na La Kuzungumza Kabisa Kwani Kwa Muda Huo Alikuwa Akifikiria Kuhusu Najma.
LUYANGE:Mume Wangu Mbona Hauzungumzi Jaman Kwani Kunanini Kimekupata Jaman.Muda Wote Huo Ketaro Alikuwa akitiririkwa Na Machozi Tu.
KETARO:Ni Stori Ndefu Mke Wangu Ila Kwa Ufupi Ni Kwamba Mimi Sasahivi Nipo Kifungoni Na Hata Hapa Nimechomoka Tu Mara Moja Sijuwi Huko Itakuwaje.Ila Mimi Ni Wako Tu Nakupenda Hata Kama Nitakuwa Mbali Na Wewe Lakini Hisia Zetu Ziko Pamoja.
LUYANGE:Unamaanisha Nini Mume Wangu Jaman.
KETARO:Najuwa Unaweza Usinielewe Ila Utakuja Kunielewa Tu.Ila Nitakuja Siku Nyingine Leo Nilikuja Kukujulia Hali Tu.Vipi Kuhusu Mwanangu Aliyetumboni Anaendeleaje.
LUYANGE:Anaendelea Vizuri.Baada Ya Hapo Ketaro Aliweza Kwenda Kumsalimia Bibi Yake,Mama Yake Na Mlezi Wake Kwani Yeye Ndiye Alikuwa Baba Na Ndio Mamaa.Ketaro Alimkumbatia Kwa Huzuni Sana Bibi Yake.Na Baada Ya Hapo Alimwaga Bibi Yake Na Kumwacha Na Kauri Moja Nakupenda Sana Bibi Yangu Kipenzi.Bibi Hakuwa Na Maswali Hata Kidogo Kwani Alikuwa Akiwaza Na Kuwazua Kuhusu Mjukuu Wake Huyu.Baada Ya Hapo Ketaro Alimwaga Mke Wake Luyange.
KETARO:Mke Wangu Mimi Ninakuacha Sijuwi Ni Lini Tutakuja Kuonana Ila Nakupa Faraja Ya Kwamba Tutaonana.Na Endapo Tusipo Onana Naomba Mwanangu Mtunze Na Kumlinda Na Atakapozaliwa Sitaki Umwite Majina Ya Asili Nitataka Umwite Daudi Yaani Mpambanaji.Muda Wote Huo Luyange Alikuwa Akilia Akiwa Hajuwi La Kufanya Baada Ya Hapo Ketaro Alilibusu Tumbo La Luyange Na Kusema "Nakupenda Mwanangu "Muda Wote Huo Maimuna Alikuwa Akimtazama Ketaro Tu.Moyo Ulikuwa Unamchoma Sana Kwani Hata Yeye Alikuwa Anampenda Sana Sana.Ketaro Aliondoka Na Maimuna Umbali Mfupi Kidogo Na Kisha Aliweza Kumkumbatia Nawakaondoka Kimiujiza.Walipoondoka Walirejea Kwenye Sherehe Ile Lakini Kumbe Walipoondoka Najma Alimtafuta Sana Mwenza Wake Hakumuona Na Pia Alimtafuta Mdogo Wake Maimuna Na Baada Ya Kutowaona Wote Aliweza Kwenda Kutoa Taarifa Kwa Wazazi Wake Yakuwa Maimuna Amemchukulia Mume Wake Na Amekwenda Nae Pasipo Julikana.Alimshtaki Vyakutosha Maimuna.Na Mfalme Alitoa Kauli Ya Kwamba Maimuna Na Ketaro Watafutwe Kokote Kule Walipo.Maaskari Waliweza Kuanza Kuwatafuta Maimuna Na Ketaro.Maimuna Na Ketaro Walipofika Mahali Hapo.Walishangaa Kuona Mazingira Yako Tofauti Kabisa.Muda Mfupi Walipofika Kabla Ya Kuondoka Walishangaa Wakizingirwa Na Maaskari.Wote Wawili Walikamatwa Na Kupelekwa Ndani .Mfalme Na Najma Walipata Taarifa Ya Kukamatwa Kwao Maimuna Na Ketaro.Ketaro Aliogopa Sana Tena Sana Kwani Alipoweza Kuondoka Na Kwenda Kwa Mke Wake Luyange Alikuwa Amekwisha Kosea Au Kiuka Sheria Ya Maimuna Iliyokuwa Sheria Ya Jamii Hiyo.Alikuwa Anahofu Sana Kwani Alihisi Hukumu Inaweza Ikaja Mbele Yake Na Huku Mawazo Mengine Yakimrejesha Kule Alipotoka Kwa Mke Wake.Aliumia Sana Tena Sana Tena Zaidi Ya Sana#
ITAENDELEA.
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.

MTUNZI:LAMECK PETER

SEHEMU YA 20.
...Tulipoishia...Ketaro Alikuwa Yupo Kifungoni.Hofu Na Mashaka Vili Mtawala Sana Alikosa Amani Ndani Ya Moyo Wake Kabisa.Muda Huo Najma Alikuwa Akizieleza Hisia Zake Vyema Kwa Baba Yake Juu Ya Kitaro.Yakuwa Anampenda Sana Kama Roho Yake Lakini Mdogo Wake Anataka Kumfanya Asiwe Na Amani Kabisa.Cha Kwanza Ketaro Ilimbidi Ahukumiwe Kifo Kwani Kosa Aliloshtumiwa Nalo Nikumkosea Binti Wa Mfalme Tena Kutembea Na Binti Wa Mfalme Jambo Ambalo Halina Ukweli Ndani Yake Kwani Ketaro Hakumkubalia Maimuna Ila Taswira Iliyoonekana Nikwamba Alitoka Na Binti Wa Mfalme.Lakini Kutokana Na Najma Kumpenda Sana Ketaro Alimwomba Na Kumsihi Sana Baba Yake Mfalme Alisimamie Hilo Na Amwachilie Ketaro Kwani Swala Hilo Halina Uthibitisho Kama Wanaweza Wakafanya Uamuzi Usio Sahihi Na Usio Wa Haki.Kiukweli Mfalme Aliwapenda Sana Wanawe Nakuwasikiliza Kwa Chochote Tena Haswa Najma Kwani Hakukaa Nae Muda Mrefu Sana.Mfalme Alimwelewa Mwanawe Vyema Na Alitoa Amri Ya Kwamba Ketaro Na Maimuna Waachiliwe Huru.Kweli Ketaro Na Maimuna Walitolewa.Maimuna Alikuwa Na Hasira Sana Juu Ya Dada Yake.Alipoachiliwa Tu Alitoka Na Hasira Moja Kwa Moja Hadi Kwa Dada Yake Najma Nakumkwida Shingoni Tena Mbele Ya Baba Yao.Kiukweli Maimuna Alikuwa Ananguvu Nyingi Sana Kuliko Dada Yake Najma .Si Za Kichawi Au Za Kibinadamu Alimmudu Vyema Dada Yake Nakumfanya Akose Nguvu.Dada Yake Najma Alijaribu Kutumia Nguvu Zake Za Kichawi Lakini Ziligonga Mwamba Kwani Maimuna Alikuwa Ananguvu Sana.Mfalme Aliona Maimuna Atamuumiza Dada Yake Najma.Mfalme Alitumia Nguvu Zake Za Kichawi Kuzuia Pambano Hilo.Alifanikiwa Kuwapiga Na Kombola La Kichawi Na Wote Wakadondoka Chini Huku Najma Akibaki Anakohoa.Najma Alikuwa Ameumizwa Kidogo.Mfalme Alikasirika Sana Tena Sio Kidogo Cha Kwanza Alijuta Ketaro Kuja Katika Jamii Yao Kwani Amesababisha Matatizo Makubwa Sana Tena Sana.
MFALME:Hivi Ninyi Mna Nini Inakuwaje Mnapigana Kama Ivyo Na Ni Nini Kinawafanya Mpigane Ivyo.Bila Shaka Atakuwa Ni Huyu Kijana Mdogo Ketaro.Nakuchukia Sana Wewe Kijana Kwani Umekuja Kuifanya Nyumba Yangu Isiwe Na Amani.Ketaro Maneno Yale Yalimchoma Sana Kwani Hata Yeye Hakupenda Kuja Mahali Hapo Bali Alilazimishwa Na Endapo Hata Muda Huo Watakapo Mfukuza Na Kumrejesha Alipotoka Kwake Itakuwa Furaha Sana.Maimuna Akasema.....
MAIMUNA:Mimi Baba Kitu Kilicho Sababisha Mimi Kugombana Na Najama Sio Ketaro Bali Ni Ubaguzi Unaofanyika Kwani Baba Unamsikiliza Na... Kabla Hajamalizia Kutamka Jina Najma Mfalme Alimkatisha Tena Kwa Ukari Sana Sana.
MFALME:Kimya Unazungumza Upuuzi Gani Huo Inamana Kama Umekosea Usiambiwe.Maimuna Ghafla Akadakia.
MAIMUNA:Sio Ivyo Baba Mnanishtumu Kosa Ambalo Sijalitenda.Maimuna Alikuwa Akizungumza Kama Anataka Kulia Huku Kwikwi Kwa Mbali Ikitawala Kwenye Maongezi Yake.Muda Wote Huo Ketaro Alikuwa Akishuhudia Na Najma Alikuwa Akishuhudia Tukio Hilo.Mfalme Alibidi Apoe Kidogo Kwani Wote Hao Ni Wanawe.
MFALME:Sasa Mimi Ninataka Kutoa Hitimisho Juu Yenu Nataka Huyu Kijana Arudishwe Alipotoka Na Sitaki Mumfuate Wala Kujenga Uhusiano Nae Kabisa.Najma Alishindwa Kuvumilia Alijikuta Akizungumza..
NAJMA:Hapana Baba Usiseme Ivyo Siunajuwa Kama Mimi Nampenda Ketaro Na Yeye Ndiye Aliyeyaokoa Maisha Yangu Kwahiyo Mimi Siwezi Kuishi Bila Yeye Ni Bora Kama Unamfukuza Yeye Unifukuze Na Mimi.Muda Huo Maimuna Alikuwa Akitokwa Na Machozi Baada Ya Kusikia Kauli Alizokuwa Akitoa Dada Yake Kwani Hata Yeye Alikuwa Akimpenda Ketaro Tena Sana Na Nadhani Uzani Ungekuwepo Yamkini Maimuna Alikuwa Akimpenda Sana Ketaro Kuliko Najma Lakini Ndio Ivyo.Kiukweli Mfale Hakumtaka Kabisa Ketaro Mahali Hapo Na Si Mahali Hapo Tu Bali Asiwe Na Mahusiano Na Mabinti Zake Tena Jambo Ambalo Ni Gumu Sana Kwa Mabinti Zake.
MFALME:Mimi Ninazungumza Kama Mfalme Sasa Na Sio Baba Nataka Huyu Kijana Arudi Kwao Mkikeuka Nitatumia Mabavu Mana Sihamtaki Kunielewa.Muda Wote Huo Najma Alikuwa Akilia Sana Sana Na Huku Maimuna Nae Machozi Yakimtiririka Pia.Ketaro Yeye Alikuwa Amekwisha Gundua Yakuwa Maimuna Nae Alikuwa Akimpenda Sana...
NAJMA:Baba Ni Sawa Lakini Ni Sikilize Kwanza Mwanao Na Unielewe Mimi Siwezi Kuishi Bila Ketaro Ni Aheli Nife Tu Kwani Bila Yeye Leo Msinge Niona.Maneno Hayo Yalianza Kumgusa Kidogo Mfalme Lakini Kingine Kikubwa ....
MAIMUNA:Ila Baba Na Dada Najma.
MFALME:Unasemaje Na Wewe.
MAIMUNA: Dada Na Baba Na Mimi Nampenda Sana Ketaro Tena Sana Namtegemea Kwa Kila Kitu,Yeye Ndio Upendo Wangu,yeye ndio faraja yangu.Kiufupi Ni Kwamba Ketaro Na Mimi Nampenda Lakini Sukuzini Nae Kwa Mlivyo Ni Kamata.Kabla Hajamaliza Kuongea Maimuna.Najma Alidakia...
NAJMA:Unasemaje Wewe Eti Unampenda Sana Ketaro Hauwezi Kuishi Bila Yeye "Najma Alizungumza Maneno Hayo Kwa Kubana Pua"Muda Huo Huo Maimuna Alimrukia Tena Dada Yake Ili Kumuonesha Ya Kwamba Yeye Ni Mwamba Na Asimwoneshee Dharau.Muda Huo Mfalme Alikuwa Amekasira Sana.
MFALME:Sasa Nasemaje Huyo Kijana Atarudi Kwao Mpende Au Msipende.....
Itaendelea.
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.

MTUNZI:LAMECK PETER.

NAMBA:0652547570

SEHEMU YA 21.
...Tulipoishia...Mfalme Alizidi Kutoa Kauli Kali Kwa Wanawe Juu Ya Ketaro.Mfalme Hakutaka Kabisa Kumwona Ketaro Kwani Alifarakanisha Familia Yake Na Yeye Hakutaka Kuona Wanawe Wakigombana.
MFALME:Wanangu Kwa Kweli Mimi Sio Kama Ketaro Simpendi Ila Nafanya Hivi Ili Kuepusha Ugomvi Huu.Najma Akadakia..
MAIMUNA:Baba Kwa Kweli Mimi Kumuacha Ketaro Siwezi Ndio Nishasema Na Ninampenda Sana Kutoka Ndani Ya Nafsi Yangu Kwa Kumuonea Huruma Dada Yangu Najma Labda Ketaro Atuoe Wote Kwani Hata Mimi Nampenda Sana Ketaro Kuliko Vijana Wote Katika Hii Dunia Na Hii Nadhani Itakuwa Jibu La Tatizo Hili.Muda Huo Wote Najma Alikuwa Akitiririkwa Na Machozi Tu.
MFALME:Ni Kweli Katika Mila Na Desturi Zetu Wanaruhusu Mwanaume Kuwa Na Mwanamke Zaidi Ya Mmoja Lakini Je Ninyi Mmeafikianaje Kuhusu Hili Jambo?,Eti Najma Na Ketaro.Ketaro Aliona Tatizo Hili Litakuja Kuwa Kubwa Sana Aliona Njia Rahisi Na Nyepesi Ya Kutatua Tatizo Hili Nikukubaliana Nao Kwa Kila Jambo Lakini Nia Yake Inabaki Moyoni.
KETARO:Mimi Kwa Kweli Sina La Kusema Na Kama Wote Watanipenda Mimi Sinabudi Kuwasikiliza Kwani Sitopenda Kumuumiza Hata Mmoja Kati Yao.
MFALME:Vipi Na Wewe Najma Mwanangu.
NAJMA:Baba Mimi Nampenda Sana Ketaro Na Nimeanza Kumpenda Ketaro Kabla Ya Maimuna Hilo Linajulikana Na Ndio Mana Hata Nikaoana Nae Ila Maimuna Kama Anataka Kushare Na Dada Yake Mwanaume Hadi Ananipiga Sawa Kwani Hata Mimi Siwezi Kumuacha Ketaro Baba.Cha Msingi Aniheshimu Kama Dada Yake Na Si Mke Mwenza.Basi Baba Ambaye Ndiye Mfalme Baada Ya Kusikiliza Maelezo Yote Ya Pande Mbili Alitambua Tatizo Limekwisha.Aliwapa Baraka Zote Na Kuwaruhusu Waende Kuishi Wanapopataka Wao Ila Wasipasahau Kwao Na Pia Waishi Katika Upendo Na Amani.Najma Amweshimu Maimuna Na Maimuna Amweshimu Najma.Kweli Waliruhusiwa Na Wakamwaga Baba Yao Na Baada Ya Hapo Wote Walipotea Kimiujiza Huku Wakiwa Wamemshika Mkono Ketaro Kila Mmoja Kwa Upande Wake Na Wakatokea Au Wakarejea Katika Nyumba Ya Najma.Maimuna alikwenda Na Kujichagulia Chumba Cha Kukaa Bila Hata Kuchaguliwa Na Muhusika Ambaye Ndiye Dada Yake Najma.Baada Ya Hapo Maimuna Aliweka Zamu Ya Kulala Na Ketaro Kwa Kila Mmoja Na Likawekwa Onyo Kwa Atakae Keuka Sheria Atakiona Cha Moto.Kweli Bwana Ketaro Akawa Analala Wiki Hii Kwa Najma Wiki Iliyofuata Kwa Maimuna.Mara Nyingi Maimuna Alikuwa Akimpa Mahaba Niue Ketaro Na Kumfanyia Vitu Vya Ajabu Ambavyo Najma Hakumfanyia Kama Vile Kutoka Out Na Kwenda Ufukweni Mwa Bahari,Hotelini ,Clubs Nakadharika.Vitu Hivyo Vilimfanya Ketaro Kuzidi Kunogewa Na Mapenzi Na Maimuna Kuliko Najma.Najma Alianza Kuumia Kwani Aliona Wazi Wazi Akichukuliwa Mume Wake.Maimuna Alianza Kumfundisha Ketaro Namna Ya Kuendesha Gari Na Mwisho Wake Ketaro Alijuwa Kuendesha Gari Jambo Lile Lilimfanya Ketaro Kuzidi Kunogewa Na Mapenzi Ya Maimuna Hadi Akawa Anatamani Muda Wote Awe Na Maimuna Tu.Maimuna Alijua Jinsi Gani Ya Kumteka Fikra Ketaro Na Kumuharibia Dada Yake Najma.Najma Alikasirika Sana Tena Sio Kidogo.Wakati Huo Luyange Alikuwa Amekwisha Kujifungua Na Mtoto Wake Alikuwa Amekwisha Kuwa Mkubwa Vile Vile Mtoto Wa Najma Nae Mtoto Aliyezaliwa Kijini Alikuwa Amekwisha Kuwa Mkubwa Kwani Mtoto Wa Najma Alikaa Tumboni Miezi 6 Tu Na Mtoto Wa Luyange Miezi 9.Luyange Na Najma ,Luyange Ndiye Aliyewahi Kupata Ujauzito Akafuata Najma Lakini Kutokana Na Jamii Za Akina Najma ,Jamii Za Kijini Mtoto Anakaa Tumboni Miezi 6 Nakuzaliwa Kwahiyo Mtoto Wa Najma Aliwahi Kuzaliwa Kuliko Wa Luyange Japo Kuwa Luyange Ndiye Aliyekuwa Wakwanza Kupata Ujauzito.Vivyo Hivyo Katika Ukuaji Mtoto Wa Najma Alikuwa Kwa Haraka Kuliko Wa Luyange Mwanamke Wake Na Ketaro Aliyemwacha Kijijini.Mtoto Wa Luyange Alikuwa Amekwisha Anza Kukua Alikuwa Anaumri Wa Miaka 3 Sasa Huku Mtoto Wa Najma Nae Alikuwa Ana Umri Wa Miaka 3 Pia Huku Akiwa Amemzidi Mtoto Wa Luyange Miezi Tu.Mtoto Wa Najma Alikuwa Akionekana Mkubwa Kama Vile Mtoto Mwenye Miaka 7.Mtoto Huyo Ketaro Alimwita Luyange Huku Akiwa Amemwita Kama Ukumbusho Wa Mke Wake Luyange.Tangu Azaliwe Mtoto Huyo Wa Najma Yaan Luyange .Ketaro Alimwona Mara Moja Tena Akiwa Mdogo Sana Mbaka Kipindi Hiki Bado Hakuwa Amemwona Mtoto Wake Au Mtoto Kumuona Baba Yake Ila Mama Alikuwa Akionana Na Mwanae.Jambo Lile La Najma Kuwa Na Mtoto Ndilo Lilokuwa Kwazo Kubwa Sana Kwa Maimuna Kwani Alijuwa Yakuwa Upendo Kati Ya Najma Na Ketaro Upo Kwa Sababu Ya Mtoto Wao.Alijaribu Kutafuta Utatuzi Wa Jambo Hilo Huku Akifikiria "Au Ni Mbebee Mimba Huyo" Lakini Aliona Haina Faida.Najma Alizidi Kuchoshwa Na Mambo Ya Mdogo Wake Maimuna.Siku Moja Wakiwa Sebleni Ketaro,Najma Pamoja Na Maimuna Wakitazama Television.Ilikuwa Ni Zamu Ya Maimuna Kuwa Na Ketaro.Walikuwa Wamelaliana Wakiwa Kwenye Makochi Huku Maimuna Akiongea Kauli Za Mafumbo Za Kumchoma Najma.Kwa Kweli Najma Alishindwa Kujizuia Alimrukia Maimuna Pale Pale Akiwa Na Ketaro Na Wakaanza Kupigana Wote...
ITAENDELEA.
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.

MTUNZI:LAMECK PETER.

NAMBA:0652547570.

SEHEMU YA 22.
...Tulipoishia...Najma Alishindwa Kuvumilia Kabisa Na Akaanza Kupigana Na Maimuna.Kwa Kweli Maimuna Alikuwa Ana Nguvu Sana Kuliko Najma Za Kimwili Na Zakimiujiza Lakini Siku Hiyo Najma Alijikakamua Kupambana Na Mdogo Wake Maimuna Na Kujikakamua Ili Kumpiga.Mashambulizi Yalikuwa Ni Makali Sana Kweli Bwana Mara Hii Najma Alimmiriki Vyema Maimuna Na Hakuweza Hata Kufurukuta.Najma Alimpiga Maimuna Ngumi Na Makofi Katika Uso Wake Na Kumrukia Na Kumdondosha Chini Huku Akhwa Amemkaba Ipasavyo Kwenye Shingo.Najma Hakutaka Kumwachia Hata Upenyo Mdogo Wake Maimuna Hata Wakukohoa Alimkaba Ipasavyo Maimuna Hadi Akawa Anatoa Macho.Ketaro Aliogopeshwa Sana Na Tukio Hilo Alikwenda Na Kujaribu Kumuondoa Najma Juu Ya Maimuna.Najma Alimsukuma Ketaro Kwa Kutumia Mwili Wake Hadi Ketaro Akaangukia Kwenye Kochi Nakumwacha Najma Akiendelea Kumkaba Maimuna.Najma Alimkaba Maimuna Ipasavyo Kwa Nguvu Zake Zote Kwani Moyoni Mwake Alikusudia Amkabe Maimuna Ikiwezekana Hata Afe.Lakini Alisahau Maimuna Alikuwa Mwenye Nguvu Kumzidi.Najma Akiwa Anaendelea Kumkaba Maimuna Huku Macho Ya Maimuna Yakiwa Yanazidi Kuwa Na Rangi Nyekundu Kama Nyama Za Buchani.Wakati Najma Anamkaba Maimuna.Maimuna Akiwa Anakabwa Alianza Kutamka Maneno Yakichawi Taratibu Huku Akikohoa Kama Mtu Aliyetaka Kukata Roho.Maimuna Alianza Kutiririkwa Na Mkojo Taratibu.Maimuna Aliendelea Kutamka Maneno Yake Yakichawi Kwa Shida Sana.Cha Ajabu Na Chakutisha Wakati Najma Anaendelea Kumkaba Maimuna Ghafla Alibadilika Na Kuwa Mbwa Jike.Ketaro Alishtuka Kutoka Kwenye Kochi Na Kukimbia Kwenye Chumba Chake.Mbwa Yule Ambaye Aliyekuwa Ni Najma Alianza Kubweka Huku Ulimi Ukiwa Nje Ukitiririkwa Na Udenda.Maimuna Alinyanyuka Akiwa Hoi.Maimuna Alicheka Sana Tena Sana Baada Ya Kumuona Najma Amebadilika Nakuwa Mbwa.Najma Alimwita Mbwa Yule Nakumpeleka Nje Na Kumfungia Kisha Akarejea Kuelekea Chumbani Alipokuwepo Ketaro.
MAIMUNA:Unakimbia Nini Wewe?
KETARO:Hapana Ila Maimuna Kwanini Umemfanya Vile Najma Amekukosea Nini Haswa Hata Umfanye Vile.
MAIMUNA:Wewe Mpumbavu Eenhh Wewe Alivyokuwa Ananikaba Uliona Raha Wewe Sio.
KETARO:Hapana Lakini Hukutakiwa Kumfanyia Hicho Ulichomfanyia Na Kumbuka Yule Ni Dada Yako.
MAIMUNA:Wewe Ishia Hapo Hapo Tena Ukae Kimya Ufunge Bakuri Lako Hilo.Ketaro Ilimbidi Awe Mpole Kidogo Kwani Alitambuwa Maimuna Alikuwa Katika Hali Ya Hasira Kwa Nyakati Zile Na Endapo Wataendelea Maimuna Anaweza Akamfanya Vibaya Ketaro.Ketaro Aliamuwa Kutoka Zake Nje Na Kuanza Kumtazama Mbwa Yule Aliyekuwa Ameketi Nje Huku Akiwa Anatazama Mawinguni.Ketaro Aliumia Sana Na Alimwonea Huruma Sana Najma Wake Aliyemwokoa Kutoka Katika Kifo Kipindi Kile Alitamani Najma Arejee Katika Hali Yake Ya Awali Lakini Ndio Ivyo Ilikuwa Ni Ngumu.Waliendelea Na Maisha Yao Na Mbwa Yule Waliweza Kumjengea Banda La Kulala.Sasa Maimuna Alikuwa Na Amani Na Furaha Tele Kwani Alijuwa Najma Hawezi Kumsumbua Tena .Maisha Yalianza Kusonga Lakini Ketaro Hakufurahia Tena Maisha Baada Ya Najma Kugeuzwa Kuwa Mbwa Anae Walinda Kitendo Kile Kilimuuma Sana Tena Haswa Kila Alipokuwa Akimwona Mbwa Yule.Miaka Ilizidi Kusogea Na Miaka Mitatu 3 Ikapita Huku Wakiendelea Kuishi Pamoja.Siku Moja Maimuna Na Ketaro Wakiwa Sebleni Wakitazama Runinga Walisikia Hodi Ikigongwa.Maimuna Aliamka Na Kwenda Kufungua Mlango Alipofungua Alishangaa Kukutana Na Sura Ya Mtoto Mdogo Mwenye Umri Wa Miaka Kama Tisa 9 Au Kumi 10.Alishangazwa Sana Na Ujio Wa Mtoto Huyo.Lakini Alipomtazama Vizuri Aligundua Alikuwa Ni Mtoto Wa Ketaro Na Najma.
MAIMUNA:Wewe Ni Mtoto Wa Ketaro.
MTOTO:Ndio Ni Mtoto Wa Ketaro Japokuwa Baba Yangu Ninamuda Sijaonana Nae Na Simkumbuki Vyema.Maimuna Alimwita Mume Wake.
MAIMUNA:Ketaro Ketaro Ketaro Mume Wangu Kuna Mgeni Wako Huku.Ketaro Aliamka Na Kuja Kumtazama Mtoto Huyo.Alipokuja Alishangazwa Kidogo Kwani Mtoto Huyo Alikuwa Amefanana Nae Ipasavyo Aligundua Huyo Alikuwa Ni Mtoto Wake Aliyezaa Nae Na Najma.Roho Ilimuuma Sana Tena Sana Kwani Mtoto Wake Hakupata Malezi Ya Baba Kabisa.
KETARO:Luyange.
LUYANGE:Bee Baba.
KETARO:Siamini Macho Yangu Kabisa Jamani Kama Ni Mwanangu.Luyange Alimkimbilia Baba Yake Ketaro Na Kumkambatia.
LUYANGE:Baba,Mama Yupo Wapi Jamani.Ketaro Alishindwa Kujibu Swali Hilo Alikosa Jibu Kabisa.
KETARO:Mama Yako Amesafiri Kidogo Lakini Usijali Mimi Baba Yako Niko Hapa.Alimkaribisha Hadi Ndani Na Kumwonyesha Chumba Atakacho Lala.Walhmkaribisha Vizuri Japo Kuwa Maimuna Alikuwa Amechukizwa Sana Na Ujio Wa Mtoto Huyo Kwani Angeharibu Ndoa Yake.Mtoto Huyo Bado Hakuweza Kutambulika Vyema Ni Wakijini Au Kibinadamu.Mida Ilisonga Na Asubuhi Ikatimu.Asubuhi Na Mapema Ketaro Alipoamka Aliamuwa Kwenda Kumgongea Mwanae Ilikumuangalia kama Yupo Lakini Hakumkuta Aliamuwa Kutoka Nje Ili Kumuangalha Alipotoka Nje Na Kuzunguka Nyuma Ya Nyumba Alishangazwa Kumkuta Mwanae Akicheza Na Yule Mbwa Ambaye Ndiye Aliyekuwa Ni Mama Yake....
ITAENDELEA.
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.

MTUNZI:LAMECK PETER.

NAMBA:0652547570.

SEHEMU 23 ...Tulipoishia...Ketaro Alipotoka Nje Alishangaa Kumuona Binti Yake Luyange Akimchezea Yule Mbwa Kwa Kumpapasa Papasa.Ketaro Aliogopa Na Kuhofia Sana Alijiuliza Maswali Mengi Sana Au Yule Mtoto Ni Jini Lakini Hakutaka Kuamini Anachokifikiria.Ketaro Alimfuata Binti Yake Pale Alipochuchumaa Akimpapasa Mbwa Yule .Alipofika Alijaribu Kumwinua Binti Yake Asimame Huku Akisema "Vipi Mwanangu Kuna Nini?".Luyange Mtoto Aliyemwita Jina La Mke Wake Kipenzi Aliyemwacha Sumba Wanga Kwa Sababu Ya Najma,Luyange Aligeuza Uso Wake Huku Macho Yake Yakiwa Katika Rangi Nyekundu Sana Pamoja Na Macho Yake Yaliyotoa Miale Ya Moto.Ketaro Aliogopa Sana Alihisi Kama Haja Ndogo Inataka Kumtiririka.
KETARO:Vp Mwanangu Luyange Una Nini Jamani.
LUYANGE:Hivi Baba Mama Yangu Yuko Wapi Nauliza?.Ketaro Aliogopa Sana Tena Sana Alihisi Kwa Hali Ile Aliyomwona Nayo Mwanae Katika Hali Ya Ujini Atakuwa Amekwisha Jua Na Ndio Mana Hata Akawa Anacheza Na Mbwa Huyo.Ketaro Aliogopa Sana Kumdanganya Na Istoshe Hali Ile Aliyoifanya Mbele Yake Ilimwogopesha Sana.
KETARO:Kwani Mwanangu Kuna Nini Jamani? Mbona Umekuwa Mkali Ghafla?.
LUYANGE:Sitaki Maneno Nimekuuliza Mama Yangu Yuko Wapi? Tena Usicheze Na Mimi Kabisa.Ketaro Alitetemeka Na Kuogopa Sana Alihisi Binti Yake Atakuwa Amekwisha Jua Kila Kitu.Wakati Akiwa Anajiuma Uma Akijivuta Vuta Kumwambia Ukweli Mwanae Ghafla Alitoka Mke Mdogo Maimuna.
MAIMUNA:Mume Wangu Vipi Na Wewe Bwana Kukaa Unachezea Chezea Mbwa Kama Mtoto Hebu Njoo Tulale.Luyange Alionekana Mwenye Kukasirika Sana Sana.
LUYANGE:Hivi Wewe Ni Nani?.Luyange Alimuuliza Maimuna Aliyekuwa Mke Mdogo Wa Ketaro Pia Mdogo Wake Na Mama Yake Na Luyange Yaani Najma.
MAIMUNA:Haupaswi Kujuwa Hilo Na Kwanza Unaniuliza Kama Nani?.Mume Wangu Hebu Twende Tukapumzike.Mtoto Alipata Kujuwa Kiukamilifu Yakuwa Mdada Huyo Alikuwa Ni Mke Mwingine Wa Baba Yake.Mtoto Alikwazika Sana Na Kuumia Kwenye Nafsi Yake Kwani Aligundua Mama Yake Na Baba Yake Wamekwisha Achana Na Istoshe Kubwa Zaidi Mwanamke Huyo Ambaye Yuko Na Baba Yake Kumjibu Dharau.
LUYANGE:Baba Ninakuuliza Kwa Mara Nyingine Tena .Mama Yuko Wapi Naomba Unijibu La Sivyo Sitoweza Kuvumilia.Maimuna Alidakia Nakushindwa Kuvumilia..
MAIMUNA:Hee We Mtoto Ukome Na Ukomae Kwenu Haujafunzwa Eenh Tena Ukae Kimya Mpumbavu Wewe Sio Unaongea Na Baba Yako Una Muamrisha.Mtoto Alikerwa Sana Na Kauli Zile Zilizokuwa Zikitolewa Na Mwanamke Huyo Aliyechukuwa Nafasi Ya Mama Yake Ikiwa Mtoto Hajuwi Yakuwa Yule Ni Mama Mdogo Wake Yaani Mdogo Wa Mama Yake.
LUYANGE:Naomba Ukae Kimya Mama Sizungumzi Na Wewe Sawa.Maimuna Alikerwa Sana Na Kauli Ile Aliyoitoa Mtoto Yule Kwani Aliona Kama Kamdharau.Maimuna Alikwenda Kwa Hasira Na Kumpiga Mtoto Yule Kibao.
MAIMUNA:Haunijuwi Wewe Kumbe Ngoja Nikufundishe Adabu.Luyange Ghafla Alimpiga Shoti Mama Huyo Kwa Kutumia Macho Yake Hadi Maimuna Akarushwa Na Kwenda Kudondokea Mbali Kidogo.Maimuna Alishindwa Kunyanyuka Baada Ya Kupigwa Shoti Ile Alibaki Akikoroma Tu.Luyange Alimsogelea Na Kumpiga Shoti Nyingine Tena Hadi Maimuna Akazirai Na Kupoteza Fahamu Kabisa.Ketaro Alishangaa Na Kumwogopa Mwanae Huyo Luyange Aliyekuwa Nusu Jini Nusu Mtu.Luyange Alimuuliza Tena Ketaro.
LUYANGE:Sasa Ninakuuliza Kwa Mara Ya Mwisho.Mama Yangu Yuko Wapi?.Ketaro Aliogopa Sana Haja Ndogo Ilikuwa Ikimtiririka.
KETARO:Kwanza Mwanangu Naomba Unisamehe Sana Kwani Haya Yote Nitakayo Kusimulia Sijayatenda Mimi Bali Huyo Aliye Lala Hapo.Binti Yangu Kiukweli Mama Yako Ni Huyo Mbwa Unaye Mwona Hapo .Kiukweli Mama Yako Na Huyo Mwanamke Aliye Lala Hapo Ni Mtu Na Mdogo Wake.Na Hapo Awali Nilikuwa Na Mahusiano Na Mama Yako Tu Lakini Siku Zilivyozidi Kwenda Mdogo Wake Huyo Alinipenda Na Akataka Nimwoe Na Yeye Pia.Mwanzoni Kulikuwa Na Upinzani Mkubwa Sana Kwani Mama Yako Alikuwa Akinipenda Sana Na Hakutaka Niwe Na Mwanamke Mwingine Zaidi Yake.Mwanzoni Walipishana Na Hata Walipigana Lakini Mwishoni Walikubaliana Na Mfalme Ambaye Ni Babu Yako Nae Alikubali Nakutuachia Baraka Zote.Tukaanza Kuishi Wote Mama Yako Akiwa Ni Mke Mkubwa Na Huyo Mke Mdogo.Mama Yako Mdogo Alikuwa Na Vitimbwi Vingi Sana Alivyo Vifanya Mbele Ya Mama Yako Ili Kumuumiza Moyo.Siku Moja Mama Yako Alifanyiwa Vitimbwi Na Alishindwa Kuvumilia Ndipo Wakaanza Kupigana Katika Mapigano Maimuna Au Mama Yako Mdogo Ndipo Alipomgeuza Mama Yako Kuwa Mbwa.Luyange Alilia Sana Na Kuanza Kupiga Kelele Zisizo Eleweka Kwa Uchungu.Luyange Alimsogelea Maimuna Ili Ammalize Lakini Ketaro Alimzuia Na Kumsihi Amwache Kwani Yeye Ndiye Atakaye Weza Kumrejesha Mama Yake Katika Hali Yake Ya Awali.Luyange Alikumbuka Kweli Atakapomuangamiza Mama Yake Nae Hatopona Kwani Maimuna Ndiye Anaejuwa Jinsi Alivyomfunga.Mawazo Yalimjia Sana Tena Haswa Juu Ya Mama Yake Kwani Pia Aliona Ugumu Kwani Mtoa Msaada Alikuwa Amekwisha Mshambulia Na Bado Alikuwa Amezirai Bado Hajazinduka Kutokana Na Shambulio Kubwa Au Kali Alilopewa Kutoka Kwa Luyange...
ITAENDELEA.
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.

MTUNZI:LAMECK PETER.

SEHEMU YA 24.
...Tulipoishia...Luyange Alikuwa Akingoja Maimuna Azinduke Kwani Shambulio Lile Alilolitoa Luyange Lilikuwa Ni Hatari Sana.Luyange Alihisi Mtu Huyo Angeweza Kuchelewa Kuzinduka Kwani Alikuwa Ndio Kwanza Bado Amezirai Aliamuwa Kumpa Msaada Wa Kumuamsha Kwa Kutumia Uchawi Aliokuwa Nao.Luyange Alimmulika Kwa Kutumia Macho Yake Yaliyokuwa Yanatoa Miale Ya Moto.Kweli Muda Mfupi Tu Aliweza Kuzinduka Na Kuangaza Walio Kuwepo Mbele Yake.Alipotazama Vyema Alishangaa Kumuona Luyange Akiwa Mbele Yake.Maimuna Alikasirika Sana Sana Tena Sana Baada Ya Kumuona Luyange Akiwa Mbele Yake.Maimuna Alitaka Kusimama Ili Amshambulie Lakini Alipojaribu Kusimama Alijikuta Akiishiwa Na Nguvu Aligundua Yakuwa Lilikuwa Ni Kombora Alilopigwa Kutoka Kwa Luyange Hofu Ilimwingia Kidogo Kwani Alitambuwa Yakuwa Mtoto Huyo Si Wakawaida.Lakini Hakutaka Kujali Hilo Hasira Zilimtuma "Mtoto Mdogo Kama Huyo Unakubalije Akupige Kama Hivyo Kama Mtoto Mdogo,Dharau Hizo.".Maimuna Alijikakamua Na Kusimama Alijikakamua Kwa Nguvu Zake Zote Ili Amtupie Kombola Luyange.Muda Wote Huo Luyange Alikuwa Akimtazama Tu.Maimuna Alimtupia Luyange Kombola La Kichawi Lililokuwa Mfano Wa Moto.Kombola Lile Lilipofika Kwa Luyange,Luyange Alilisukuma Kombola Lile Kurejea Kwake Mwenyewe Maimuna.Kombola Lile Lilipomfikia Maimuna Lilimpiga Na Hata Kuunguzwa Pia.Maimuna Alirushwa Kidogo Tofauti Na Mara Ya Kwanza.Luyange Alicheka Sana Kwani Nguvu Za Maimuna Zilikuwa Kama Mchezo Kwa Binti Luyange.Luyange Alimsogelea Maimuna Na Kumkuta Akitokwa Na Mapovu Kama Mtu Anae Taka Kufa.Luyange Alimsihi Baba Yake Ketaro Kuwa Mke Wake Huyo Atakapo Amka Aweze Kukaa Nae Chini Na Kumsihi Amrudishe Mama Yake Katika Hali Ya Awali Lasivyo Atakiona Cha Mtema Kuni.Luyange Alipomaliza Kusema Maneno Hayo Alitoweka Kimiujiza.Ketaro Alimwogopa Sana Mwanae Luyange.Ketaro Alimbeba Mke Wake Mdogo Maimuna Na Kumpeleka Chumbani Kwao Ili Akampatie Huduma Ya Kwanza.Ketaro Alimsafisha Na Kumlaza Kitandani Na Kufungulia Upepo Ili Apate Upepo Vyema.Maimuna Alikuwa Amezirai Tu,Siku Hiyo Ikapita Bila Hata Ya Kuzinduka.Kesho Ikapita Pia Maimuna Hakuweza Kuzinduka.Siku Ya Tatu 3 Ndipo Maimuna Aliweza Kuzinduka Na Kurejea Katika Hali Yake Ya Awali.Kwa Kweli Luyange Alikuwa Sio Mtoto Wa Kuchezea Alikuwa Ni Mtoto Aliyekuwa Na Nguvu Sio Mchezo.Baada Ya Kuzinduka Ketaro Alimwandalia Mke Wake Maji Ya Kuoga Ila Akapate Kuoga.Maimuna Alikwenda Kuoga Na Akabadili Nguo Kisha Akarejea Kuzungumza Na Ketaro.
MAIMUNA:Yule Mtoto Yuko Wapi Mume Wangu?.
KETARO:Hayupo Ametoka Mke Wangu.
MAIMUNA: Pumbavu Zake Ana Bahati Sana Tena Sana Ningemtoa Utumbo.Ketaro Alibaki Akimtazama Tu Maimuna Kwani Kauli Aliyokuwa Akitoa Haiendani Na Tukio Lililotoka Kutendeka.
KETARO:Mke Wangu Yule Mtoto Ni Mwanangu Yaani Ni Mtoto Wa Dada Yako Kwa Maana Hiyo Basi Yule Mtoto Ni Sawa Sawa Na Wako Tu Mke Wangu.
MAIMUNA:Nini Mimi Siwezi Kuwa Na Mtoto Wa Dizaini Kama Ile Ni Bora Nikawa Na Jiwe Tu Nikajengea.Kauli Hiyo Ilimkwaza Sana Ketaro Kwani Yule Alikuwa Ni Mtoto Wake Wa Damu Na Asingepaswa Kutoa Kauli Kama Hizo.
KETARO:Mke Wangu Usiseme Ivyo.Kweli Usilo Lijuwa Ni Sawa Sawa Na Usiku Wa Giza.
MAIMUNA:Maana Yake Ni Nini?.
KETARO:Mtoto Yule Alifanya Vile Kukushambulia Wewe Kwasababu Ya Uchungu Wa Mama Yake Ila Kikubwa Alichokuomba Na Mimi Ninachokuomba Ninakuomba Tafadhali Umrejeshe Najma Katika Hali Yake Ya Awali Na Kisha Ataondoka Na Mwanae Luyange Kuelekea Kwa Mfalme Na Atatuacha Peke Yetu Tukiwa Huru.Kweli Bwana Maneno Yale Yalimgusa Kidogo Maimuna Haswa Baada Ya Kusikia Watabaki Husu Na Peke Yao.
MAIMUNA:Kama Ni Hivyo Sawa Nitafanya Ili Tubaki Peke Yetu Ila Kuna Masharti Ninapaswa Kumpatia Huyo Muhusika Naye Atakapoyafuata Mama Yake Atakuwa Huru Kwahiyo Kama Kuna Uwezekano Umuite.Kweli Bwana Sekunde Kadhaa Tu Luyange Aliweza Kutokea Sebleni Hapo.Wote Walishangaa Kuwa Luyange Amejuwaje Kama Walikuwa Wakimuhitaji Kwa Muda Huo.Basi Hakuna Aliyetaka Kupoteza Muda Wala Kuzungumza Wote Walitoka Nje Hadi Kwa Mbwa Huyo Na Kisha Maimuna Akasema.
MAIMUNA:Wewe Mtoto Sasa Unapaswa Kumchukuwa Mama Yako Huyo Na Kumpeleka Katika Kisima Cha Uzima Kilichopo Katika Jamii Ya Mama Yako Alipotokea Na Umzamishe Humo Naye Atarejea Katika Hali Yake Ya Awali.Basi Luyange Hakutaka Kupoteza Muda Wala Kuzungumza Alimkamata Mbwa Huyo Na Kumnyanyua Kisha Akapotea Nae Kimiujiza.Baada Ya Luyange Kuyayuka Wote Ketaro Na Maimuna Walistajabishwa Na Tendo Lile Kwani Waligundua Mtoto Yule Alikuwa Anguvu Za Ajabu.Ketaro Alimshauri Mke Wake Maimuna Yakuwa Waende Kwao Sumba Wanga Alipo Mke Wake Kidogo Amani Itakuwepo Na Pia Alikuwa Amemmiss Sana Mke Wake.Alimwomba Sana Maimuna Na Kumwahidi Kuwa Asijali Mambo Yatakuwa Vizuri Watakapokwenda Awe Na Amani Watakuwa Mke Na Mume Hata Watakapofika Huko.Anaweza Akawa Mke Mdogo Na Luyange Akawa Mke Mkubwa Au Luyange Akawa Mke Mkubwa Na Yeye Akawa Mke Mdogo#
ITAENDELEA...
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.

MTUNZI:LAMECK PETER.

NAMBA:0652547570.

SEHEMU YA 25.
...Tulipoishia...Maimuna Hakuwa Na Budi Kwani Hata Yeye Alimhofu Mtoto Yule Luyange.Waliafikiana Na Ilipotimu Kesho Yake Asubuhi Hawakutaka Kupoteza Muda Waliweza Kujiandaa Ili Kuondoka.Maimuna Alimwambia Ketaro Amkumbatie Ili Wapate Kuondoka.Ketaro Alipomkumbatia Maimuna Waliweza Kupotea Kimiujiza Na Kutokea Nyumbani Kwao Na Ketaro.Walipofika Walikuta Nyumbani Pakiwa Kama Vile Ukiwa Palikuwa Kimya Sana Hakuna Mfano.Mazingira Yale Yalimpahofu Kidogo Ketaro Kwani Ilikuwa Yapata Miaka Nane 8 Hajaweza Kuonana Na Familia Yake .Mawazo Yalimjia Au Familia Yake Itakuwa Imehama Au Imeteketea.Ketaro Alianza Kuingiwa Na Hofu Aliamuwa Kusogea Karibu Nakuanza Kuita.
KETARO:Luyange Luyange Luyange Mke Wangu.Luyange Huyu Aliyekuwa Akimwita Kwa Nyakati Hizi Alikuwa Ni Mke Wake.Luyange Yule Mtoto Wa Ketaro .Mtoto Mwenye Nguvu Za Kijini.Ketaro Alimpatia Jina Lile kama Ukumbusho Wa Mke Wake Huyu Aliyekuwa Ameachana Nae Muda Mrefu Na Kukosa Matumaini Ya Kuonana Nae.Muda Mchache Tu Ketaro Alishangaa Kumuona Mtoto Mdogo Wa Kiume Mwenye Umri Kama Miaka Saba(7) Akitokea Ndani Ya Nyumba.Mtoto Huyo Alipotoka Alianza Kutazamana Na Ketaro.Ketaro Alipomtazama Vizuri Mtoto Huyo Alikuwa Amefanana Nae Sana.Ketaro Alihisi Au Mtoto Huyo Atakuwa Niwakwake Mana Alikuwa Amefanana Nae sana.
KETARO:"Mtoto Huyu Sio Wa Kwangu Kweli"Ketaro Alikuwa Akizungumza Kimoyo Moyo.Wakati Wakitazamana Na Mtoto Huyo Ghafla Mtoto Yule Alimfuata Na Akahitaji Kubebwa Na Yeye.Daaah Kweli Damu Ni Nzito Kuliko Maji Waswahili Wanasemaga.Ketaro Alipombeba Mtoto Yule Alihisi Msisimko Sana.Muda Mchache Akiwa Amembeba Mtoto Yule Alimwona Kwa Mbali Luyange Akija Na Ndoo Ya Maji.Ketaro Alifurahi Sana Alimngoja Akaribie Ili Apate Kumlaki.Luyange Alipofika Karibu Ketaro Alikwenda Na Kumsaidia Kutua Ndoo Na Kumkumbatia.Luyange Hakuamini Macho Yake Na Wala Ketaro Hakuamini Macho Yake.
KETARO:Mke Wangu Jamani Siamini Kabisa.
LUYANGE:Hata Mimi Mume Wangu Ninaona Kama Ndoto Vile Siamini Kabisa.Nilikuwa Nimemiss Sana Hata Kumbatio Lako.Muda Wote Huo Maimuna Alikuwa Akiwatazama Huku Akiwa Ameukunja Mdomo Wake Kama Mtu Asiyefurahishwa Na Kile Kilichokuwa Kinafanyika.Luyange Alisogeza Mdomo Wake Vyema Na Kumbusu Ketaro Mdomoni.Maimuna Alikuwa Akiwatazama Kama Mtu Aliyekwazika Sana.
LUYANGE:Nakupenda Sana Mume Wangu.
KETARO:Lakini Haunizidi Mimi Mke Wangu.Luyange Alikuwa Akitokwa Na Machozi Ya Hisia Kwani Ni Muda Mrefu Sana alikuwa Hajapata Kukaa Karibu Na Mume Wake Na Kupata Mapenzi Ya Mume Wake Na Kubwa La Kuumiza Kukaa Bila Matumaini Yakuwa Mume Wake Atarudi Au La.
KETARO:Mke Wangu Mtoto Wangu Yuko Wapi?.
LUYANGE:Mume Wangu Mtoto Wako Ndiye Huyo Unayemwona Hapo Mbele Yako.Ketaro Hakuamini Macho Yake Kabisa.
KETARO:Kweli Mke Wangu Jamani.
LUYANGE:Kweli Mume Wangu.Mtoto Wako Alikaa Katika Hali Ya Ukiwa Sana Kwani Alikaa Kama Yatima ,Hakuwahi Kupata Mapenzi Ya Baba Yake Sasa Niwakati Wakukaa Karibu Na Mtoto Wetu Kama Familia Na Kumpa Malezi Bora Mwanetu.
KETARO:Mke Wangu Kweli Ninadamu Kali Yaani Mtoto Kama Mimi Vile Duuh.
LUYANGE:Yaani Wewe Acha Tu.
KETARO:Mke Wangu Nimefika Hapa Muda Sana Lakini Sijamuona Bibi Vipi Ameenda Kuteka Maji Au.Luyange Alikaa Kimya Na Kuanza Kutokwa Na Machozi.
KETARO:Mke Wangu Mbona Unanitisha.Mbona Unalia Kuna Nini Inamaana Bibi Amekufa Au.
LUYANGE:Mume Wangu Sijuwi Hata Niseme Nini Jamani.
KETARO:Sitaki Kuamini Hebu Niambie Haraka Kuna Nini Kilichotokea Mke Wangu.
LUYANGE:Bibi Aliugua Ghafla Nyakati Za Usiku Wa Manane Na Kama Ujuwavyo Mazingira Ya Hapa Kijijini Kwetu.Ugonjwa Ulimzidi Na Baada Ya Masaa Mawili Ikiwa Bado Ni Usiku Sana Alifariki Dunia.
KETARO:Unasemaje?.Mungu Wangu.Ketaro Alidondoka Papo Hapo Nakuzimia.Kwa Kweli Lilikuwa Ni Jambo La Huzuni Sana Kwani Ketaro Wazazi Wake Walipataka Ajari Na Kumwacha Ketaro Peke Yake Akiwa Mdogo Ndipo Bibi Huyo Alipomchukuwa Ketaro Akiwa Na Umri Wa Miaka 4 Na Kumlea Ketaro Hadi Kuwa Mtu Mzima.Kwa Maana Hiyo Basi Kwa Ujumla Bibi Huyo Alikuwa Kama Mama Kwa Ketaro.Alikuwa Kila Kitu Kwake Na Ndio Furaha Ya Ketaro.Walipendana Sana Sana Tena Sana.Muda Ulizidi Kwenda Walikuwa Wakimpepea Wote Wawili Maimuna Na Luyange.Wakati Wakiendelea Na Huduma Ya Kumpepea Ketaro.Luyange Alimuuliza Mgeni Aliyekuja Na Ketaro.
LUYANGE:Samahani Dada Yangu Wewe Ni Nani Et.Luyange Alimuuliza Swali Hilo Maimuna Kwa Sauti Ya Upole.
MAIMUNA:Mimi Ni Dada Yake Na Ketaro Wa Undugu.Maimuna alimdanganya Luyange.
LUYANGE:Aaahh Karibu Sana Sana Japokuwa Umefika Wakati Wa Matatizo Jamani.
MAIMUNA:Usijali.Baada Ya Muda Kidogo Wakiwa Wanampepea Ketaro.Ketaro Alifumbua Macho Ndipo Walipomuinua Na Kumketisha Kidogo Ili Akili Yake Ikae Sawa.Baada Ya Muda Kidogo Luyange Alisema.
LUYANGE:Mume Wangu Kabla Ya Bibi Kufariki Kuna Karatasi Aliyoandika Katika Lugha Ya Asili Ya Kwenu .Alisema Ni Ihifadhi Mpaka Utakapokuja Hatakama Ni Miaka Kumi Ukija Nikupatie Uisome.Nimeihifadhi Mpaka Leo Nikikungojea#
ITAENDELEA .....
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.

MTUNZI:LAMECK PETER.

SEHEMU YA 26.
Tulipoishia...Ketaro Alikuwa Akiwa Na Uhitaji Sana Wa Kusoma Barua Hiyo Aliyoandika Bibi Yake Aliyekuwa Kama Mama Yake.Luyange Aliileta Na Kumkabidhi Ketaro Aisome.Ketaro Alipoisoma Ilikuwa Inasema Hivi Lakini Katika Lugha Yao Ya Asili Yaani Ya Kikabila "Mjukuu Wangu Nataraji Utaisoma Barua Hii,Nilitambua Itakuja Kutokea Tusionane Na Ndio Mana Nikaandikaga Barua Hii.Nina Machache Ya Kukuhimiza Mjukuu Wangu.Nakuomba Sana Na Kukusihi Sana Umwangalie Luyange Pamoja Na Mwanae Aliyenaye Usije Ukamwacha Peke Yake Hata Kidogo.Ameishi Maisha Ya Kama Mjane Na Ya Upweke Kwa Muda Mrefu Sana Tafadhali Mpe Faraja Binti Huyo Kwani Mmetoka Mbali Nae Sana Na Anakupenda Sana Kama Unaweza Ukawa Na Kumbukumbu .Kumbuka Aliweza Kutaka Kumuangamiza Bibi Yake Aliyekuwa Kama Mama Yake Kwa Ajili Yako Baada Ya Kutaka Kukutoa Sadaka.Mjukuu Wangu Binti huyo Amekuwa Akiishi Kama Mgonjwa Wa Ukimwi Akiwa Na Matumaini Yakuwa Ipo Siku Atakuona Hata Kama Sio Katika Maisha Haya Ya Dunia Hii Hata Yajayo Mbinguni.Naomba Umlinde Na Kumtunza Ni Mimi Bibi Yako Kipenzi Likande".Wakati Ketaro Anasoma Barua Hiyo Machozi Yalikuwa Yakimtiririka Hadi Anamaliza kusoma Barua Hiyo.Maimuna Alikuwa Akimshangaa Sana Ketaro Kwanini Analia Lakini Alipomtazama Vyema Katika Macho Yake Alipata Kugundua Kinacho Msibu Kutokana Na Uweza Wa Kichawi Aliokuwa Nao.Ketaro Aliona Sasa Yupo Katika Mtihani Mgumu Sana Kwani Maimuna Nae Alikuwa Ni Mke Wake Na Mke Wake Luyange Na Aliwaza Mengi Je Mke Wake Akijuwa Yakuwa Anamke Mwingine Itakuwaje.Aliamuwa Kupotezea Jambo Hilo Kwani Lilimuumiza Kichwa Sana.Muda Mchache Tu Luyange Akawa Ameleta Chakula Ili Wapate Kula .Luyange Alimwita Maimuna.
LUYANGE:Wifi Wifi.Maimuna Aligeuka Na Kumtazama Luyange.
LUYANGE:Njoo Ule Basi Wifi Yangu Nimewaandalia Chakula.Muda Huo Ketaro Alikuwa Akinawishwa Mikono Ili Apate Kula.Kwa Kweli Maimuna Alikuwa Hali Vyakula Tunavyokula Sisi Wanadamu Kama Vile Ugali,Wali Na Mboga Mboga Bali Alikuwa Anakunywa Damu Za Watu Pamoja Na Nyama Mbichi Kwahiyo Alipokuwa Akikaribishwa Kula Kwake Alikuwa Anaona kama Vile Ni Mtihani Wa Chuo Kikuu Kwani Yeye Ni Mgeni Na Ndio Mara Ya Kwanza Kufika Mahali Hapo Isingependeza Endapo Angekataa Chakula.Maimuna Alikuwa Yupo Kimya Akimtazama Luyange Kwani Alikosa La Kumjibu.Ndipo Ketaro Akasema.
KETARO:Aaah Mke Wangu Huyo Huko Tulipotoka Mda Sio Mrefu Tulipata Chakula Na Wala Huyo Si Mlaji Kama Mimi Siunanijuwa Tena Mumeo.Yaani Huyo Dada Yangu Hapendi Kula sana Hapo Anaweza Akala Kwasababu Ya Aibu Na Ugeni Lakini Ameshiba Vibaya.
LUYANGE:Aaah Basi Usijali Wifi Yangu Kama Umekula Kuwa Na Amani Tu Usijali.Lakini Maimuna Kwake Ulikuwa Ni Mtihani Sasa Kwani Kama Endapo Atakaa Mahali Hapo Atakuja Kugundulika Tu Kama Ni Jini Kwani Itakapofika Usiku Hatoweza Kumdanganya Tena Na Hata Akimdanganya Siku Zijazo Hatoweza Kumdanganya.Aliwaza sana Kuhusu Jambo Hilo.Muda Mchache Tu Ketaro Akawa Amekwisha Maliza Kula.Muda Ulienda Na Jioni Iliyoelekea Usiku Ilitimu.Wakiwa Wameketi Ketaro,Luyange,Maimuna Pamoja Na Mtoto Wa Ketaro Wakiwa Wanazungumza .Luyange Aliomba Ruhusa Na Kwenda Kuoga Na Kuwaacha Ketaro,Maimuna Pamoja Na Mtoto Wa Ketaro.Maimuna Alianza Kumsemesha Ketaro Akisema.
MAIMUNA:Ketaro Mimi Naona Umenileta Kwenye Majaribu Hivi Hauoni Mimi Sitofaidi Ndoa Yangu Na Mwanamke Huyu Atakuja Kunigundua Kama Mimi Si Binadamu Wa Kawaida Kwani Nitamdanganya Hadi Lini Na Nitakuwa Na Mdanganya Danganya Vipi?.
KETARO:Kusema Kweli Maimuna Mimi Hata Sijuwi lakufanya Yaani Wewe Acha Tu.
MAIMUNA:Mimi Ketaro Kuna Vitu Ambavyo Ninataka Kukufanyia Au Kukusaidia Ili Tuweye Kuishi Vizuri Mahali Hapa Na Tufurahie Ndoa Yetu.
KETARO:Mmmhh Jambo Gani Hilo Jamani.
MAIMUNA:Ninataka Kukupa Uweza Na Nguvu Za Kijini Au Kichawi Kwa Kiasi Flani.Uwezo Huo Nikwamba Utakuwa Unaweza Kukiacha Kivuli Kitandani Pamoja Na Mke Wako Na Kisha Wewe Ukaja Chumbani Kwangu Tukala Raha Na Hatoweza Kujuwa Kabisa.Ketaro Alishangaa Sana Baada Ya Kuambiwa Ivyo Kwani Alijuwa Si Tendo Zuri Kwa Mke Wake Lakini Hakuwa Na Jinsi Kwani Pia Maimuna Angeweza Kufanya Mengine kwani Yeye Mwenyewe Alimwahidi.
KETARO:Mmmhh Akija Kujuwa Je?.
MAIMUNA:Hatojua Nakuhakikishia Na Tutakuwa Na Uwezo Wakuzungumza Kimoyo Moyo Hata Kama Hatupo Pamoja.Basi Ketaro Hakuwa Na Lakusema Alibaki Akimsikiliza Tu.
MAIMUNA:Sasa Na Omba Unitizame Kwenye Macho Yangu.Ketaro Alimtazama Maimuna.Maimuna Alimmulika Ketaro Na Macho Yake Yaliyokuwa Yakitoa Miale Ya Moto Nakumhamishia Ketaro Nguvu Hizo.Mtoto Alishangaa Sana Tendo Lile Kwani Hakuelewa Kinachoendelea Alinyanyuka Kwa Uwoga Na Kuanza Kumwita Mama.Muda Mfupi Tu Kama Dakika Mbili(2) Baada Ya Kumaliza Kumrithisha Nguvu Luyange Akawa Amekwisha Fika.
LUYANGE:Vipi Mwanangu Kuna Nini Mbona Unalia.
MTOTO:Baba Na Mama Mdogo Wanawasha Moto.
LUYANGE:Wanawasha Moto.
MTOTO:Ndio.
LUYANGE:Mwanangu Bwana Eti Wanawasha Moto Hebu Njoo Ukae Tule Hapa.Ghafla Maimuna Alinyanyuka...
ITAENDELEA.....
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.

MTUNZI:LAMECK PETER.

SEHEMU YA 27.
...Tulipoishia...Ghafla Maimuna Aliomba Kwenda Zake Ndani Kwani Tumbo Lilimuuma Ghafla.Basi Wote Akiwemo Luyange Hawakuwa Na Budi Kumruhusu Akapumzike.Luyange Alinyanyuka Nakumsaidia Wifi Yake Huyo Kwenda Ndani Huku Akimpeleka Katika Chumba Kilichokuwa Cha Bibi Yake Na Ketaro Huku Maimuna Akiwa Amejikunja Kwa Kuinama Hali Iliyoonyesha Kweli Anauguliwa Na Tumbo.Alipofika Mlangoni Maimuna Alimwambia Luyange Ambaye Alikuwa Kama Wifi Yake Kwa Alivyo Jitambulisha.Luyange Hakuwa Na Budi Alimwacha Na Kurejea Kwa Mumewe.Alipofika Aliandaa Chakula Na Kuanza Kula.
LUYANGE:Sasa Mume Wangu Itakuwaje Mgeni Wetu Maimuna Na Mchana Hakula Na Usiku Tena Hapana Ngoja Nimuwekee Ugali Wake Atakula Hata Baadae Atakapo Pata Nafuu.
KETARO:Mmmhh Mke Wangu Unajisumbuwa Tu Huyo Hilo Tumbo Halijaanza Kumsumbua Leo Wala Jana Ni La Muda Mrefu Na Huwaga Likimpata Huwa Anahisi Kichefu Chefu Sana Kwahiyo Hatoweza Kula Hata Kidogo Na Utakapo Kiacha Chakula Kitaharibika Tu.Basi Luyange Hakuwa Na Lakusema Aliurudisha Ugali Ule Na Mboga Na Wakaendelea.Baada Ya Muda Walimaliza Kula Kisha Wakaenda Kulala Huku Luyange Akimwaga Wifi Yake Na Kumtakia Usiku Wenye Baraka.Luyange Na Mume Wake Ketaro Walilala Wote Pamoja Na Mtoto Wao Mdogo Wa Kiume.Mida Ilianza Kusogea Lakini Ketaro Alikuwa Amekwisha Kupewa Uweza Wa Kijini Wakuweza Kuzungumza Na Maimuna Pasipo Hatakuwa Karibu Na Pia Uwezo Wakuweza Kuacha Kivuli Mahali Na Kisha Yeye Kuondoka.Akiwa Amelala Yapata Saa Saba(7) Za Usiku Ketaro Alisikia Akiitwa Na Maimuna Aliogopa Sana Lakini Alikumbuka Yakuwa Alikuwa Amepewa Uweza Wa Kuzungumza Pia Kumsikia Jini Yeyote Anacho Zungumza.Ketaro Nae Alimjibu Katika Ulimwengu Huo Huo.
KETARO:Ndio Maimuna Unasemaje?.
MAIMUNA:Mume Wangu Mimi Nimeshindwa Kuvumilia Kabisa Ninakuomba Uje Muda Huu Tena Sasahivi Lasivyo Mimi Nitakufuata Huko.Baada Ya Kusikia Ketaro Yakuwa Atafuatwa Aliona Mambo Yataharibika Aliamuwa Kufanya Kama Inavyotakiwa.Ketaro Aliondoka Kimiujiza Aliweza Kuacha Kama Gogo Limelala Na Mke Wake Kisha Yeye Kwenda Kwa Maimuna.Baada Ya Kufanya Ivyo Ketaro Alikuwa Anauwezo Hata Wakupita Kwenye Mlango Bila Hata Ya Kuufungua.Alikwenda Nakumkuta Maimuna Akiwa Amelala Amevua Nguo Zote Akimsubili Ketaro.Ketaro Hakujuwa Kama Alichoitiwa Ndicho Anacho Kiona.
KETARO:Maimuna Kuna Nini Mke Wangu Mbona Uko Ivyo.
MAIMUNA:Unauliza Swali Gani Hilo Mume Wangu.Ghafla Maimuna Alimsogelea Ketaro Na Kujitupa Nae Kwenye Kitanda Chao Cha Asili.Maimuna Alimfanya Ketaro Wakashiriki Tendo La Ndoa.Ketaro Hakuwa Na Uwezo Wa Kukataa Walijikuta Wakilala Wote.Katika Kulala Kwao Walijikuta Wakijisahau Mbaka Inafika Saa 11 Alfajiri.Ketaro Alishtuka Nakukuta Ni Saa 11 Alfajiri Alivaa Nguo Haraka Haraka Nakumuaga Maimuna Huku Akimwacha Maimuna Bado Amelala.Ketaro Aliporejea Alimkuta Mke Wake Akiwa Anavaa Nguo Za Kwenda Shamba.Ketaro Aliogopa Sana Kwani Alihisi Au Mke Wake Atakuwa Amekwisha Ujuwa Ukweli Wote .Ketaro Alipita Mbele Ya Mke Wake Luyange Lakini Luyange Hakuweza Kumuona Kwani Ketaro Kwa Wakati Huo Alikuwa Kama Roho.Ketaro Alikwenda Na Kuuvaa Mwili Wake Na Kuamka Kwa Kujifanya Alikuwa Kwenye Usingizi Mzito Sana.
LUYANGE:Ndio Unaamka Mume Wangu.
KETARO:Kwani Kuna Nini?.Ketaro Aliuliza Kwa Hali Ya Mashaka.
LUYANGE:Hapana Nimeuliza Tu.Ketaro Alishusha Pumzi Tena Mbele Ya Mkewe Luyange Isivyo Kawaida.
LUYANGE:Ila Nilikuamsha Sana Zaidi Ya Mara Tano Ila Niligundua Yakuwa Utakuwa Umeshoshwa Na Safari Nikaamuwa Kukuacha.
KETARO:Ndio Mke Wangu Yaani Safari Imenichosha Sana.
LUYANGE:Basi Ngoja Mimi Niende Hapo Shamba Nijirani Tu Na Hapa ila Ubaki Na Mtoto.
KETARO:Sawa Mke Wangu.Luyange Alitoka Na Kuelekea Shamba Na Kumwacha Ketaro Na Mwanae.Asubuhi Palikucha Ketaro Alikuta Mke Wake Alikuwa Amekwisha Muandalia Chai Ya Asubuhi Pamoja Na Mgeni Lakini Mgeni Ambaye Ni Maimuna Hakunywa Chai Hiyo.Masaa Yalisogea Na Jioni Ikatimu Na Luyange Akarejea .Masaa Yalizidi Kusogea Luyange Aliingia Kwenye Upishi Na Akapika Chakula Cha Jioni.Baada Ya Muda Alimaliza Kupika Na Kuwakaribisha Chakula Watu Wote.Siku Hiyo Ya Pili Maimuna Aliona Aibu Kukataa Tena Chakula Aliomba Chakula Chake Na Kusema Ataenda Kula Chumbani Kwake.Luyange Hakuwa Na Budi Alimpatia Chakula Kile Lakini Maimuna Hakukila Alikiweka Ili Atakapopata Upenyo Aende Kukitupa.Masaa Yalizidi Kwenda Na Baada Ya Muda Kila Mmoja Alienda Kulala.Na Asubuhi Paka Kuchwa Kama Kawaida Yake Luyange Alfajiri Na Mapema Alienda Shamba Lakini Palipokuchwa Ikiwa Ni Mapema Sana Kwenye Saa 12 Asubuhi Maimuna Alimfuata Chumbani Kwake Nakumtaka Watoke Mara Moja.
KETARO:Lakini Mbona Itakuwa Ngumu Kwani Siwezi Nikamuacha Mtoto Peke Yake Hata Mama Yake Endapo Akarudi Ghafla Akanikuta Sipo Itakuwa Sio Vizuri.
MAIMUNA:Mbona Tulipokuja Tulimkuta Mtoto Huyu Akiwa Peke Yake.Wewe Twende Basi Ketaro Hakuwa Na Budi Kumfuata Maimuna Lakini Cha Ajabu Maimuna Alikuwa Akimpeleka Porini Ketaro Tena Alikuwa Hazungumzi Chochote....
ITAENDELEA
 
Back
Top Bottom