Tajiri Sinabay
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 1,333
- 3,619
- Thread starter
- #41
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhakika mwamba
Pamoja kiongozi, acha nimalize hii simulizi ni pumzike maana mtu mwenyewe ambae naandika kwa ajili yake juzi tu hapa kabadilika, kwenye ule uzi wa wanaume mabandidu kasema yeye anapenda wanaume wa Arusha.Uhakika mwamba
poa pacha.Tupo pamoja mkuu
Swafi sana MkuuSimulizi: My family
Sehemu ya tatu
Mtunzi: KIjana Masikini
ILIPOISHIA
'Mh naanzia wapi kumtafuta huyu mtu, najuwa tu kwao ni moshi, sijuwi ni Mtaa gani kata wala wilaya, sijuwajui wazazi wake wala ndugu yake mmoja, isivyo bahati pia hana rafiki wa kudumu. mh nitaanzia wapi? nadhani teknolojia ndiyo inaweza kunisaidia kwenye hili, Ahaa ngoja nikamshirikishe Joanah pengine anaweza kunisaidia, ni mambo mengi huwa ananisaidia tena mengine huwa ananilaumu kwanini sikumwambia mapema. Joanah anaweza kuwa msaada kwenye hili sina cha kupoteza'
Mwili wangu ukapata nishati mpya baada ya kumkumbuka rafiki yangu Joanah ambae anafanya kazi TIFFANY DIAMOND HOTEL iliyopo karibu kabisa na soko kubwa la mtwara.
ENDELEA
Nikaita pikipiki ambayo ilikuwa imepaki kwenye eneo la gereji.
"Nipeleke Tiffany bro"
Kijana huyu muendesha pikipiki akaitikia na kuindoa pikipiki kwa mwendo wa taratibu, tukaingia kwenye barabara ya lami inayoelekea bima mataa.
"Bro nakuuliza unashuka kwenye jengo lenyewe la Tiffany au unashuka pembeni yake"
sauti ya bodaboda huyu ikanitoa katika dimbwi la mawazo.
"Ni Tiffany penyewe mkuu, nilikuwa sijakusikia"
Baada ya muda mfupi tukawa nje ya jengo hili la Tiffany hotel.
Nikamlipa boda hela yake, nikaanza kupiga hatua kuelekea kwenye mlango wa jengo hili.
"Karibu bosi"
Aliongea jamaa mmoja ambae alikuwa anatoka nje, aina yake ya mavazi na usmart wake ulinijulisha kuwa ni miongoni mwa wafanya kazi wa hapa.
"Asante kaka habari yako"
"Salama tu karibu nikusaidie"
"Asante ninashida na dada mmoja anaitwa Joanah"
"Ahaa sawa, ingia hapo ndani kuna dada yupo atakusaidia hilo"
"Poa"
Nikaingia ndani ya jengo hili ambalo sio mara yangu ya kwanza kuingia.
Nikamkuta mdadaa anaeshughulika na kupokea wageni akiwa kwenye kiti ambacho mbelevyake kuna meza kubwa kiasi. Mdada huyu huwa namkuta mara kadhaa ninapofika hapa ila sijalifahamu jina lake.
"Habari za jioni"
"Salama habari yako kaka"
"Nzuri tu nina shida na Joanah"
"Hayupo amesafiri"
"Ameondoka lini na amekwenda wapi"
" No Ushiled mwambie nakuja hapo sasa hivi namkuta, dakika moja"
Niliisikia sauti ya Joanah ambayo nilijua tu kwamba imetoka katika kifaa kama simu au radio lakini sikujua kifaa hiko kipo wapi kwani Mdada huyu anaeitwa Ushiled hana kifaa chochote mkononi mwake.
"Sawa Dada"
Ushiled aliitikia kwa sauti ya juu kidogo, huku akigeukia upande wake wa kulia ikanifanya nigundue kuna kifaa cha mawasiliano katika ukuta.
"Kaa hapo kwenye kiti umsubiri"
Sikutaka kumuuliza Ushiled kwamba kwanini alinijibu Joanah kasafiri wakati inaonekana wazi kuwa yupo ndani ya hili hili jengo.
Nikakaa kwenye kiti ambacho nielekeza huku kila aina ya sauti nikiisikia kichwani mwangu kutokana na mgongano wa mawazo.
"Kaka unaoneksna una tatizo"
"Hapana, kwa nini umeniuliza hivyo?"
"No sio kwa ubaya lakini mara chache unapofika hapa naona unakuwaga mchangamfu sana"
"Ahaa kumbe unanifahamu vizuri tu, sasa kwa nini ulikuwa unanikazia kumuona Joanah"
"Ni maelekezo yake, ana mgeni leo ndio maana alihitaji muda mwingi wa kupumzika, ila pole nakuona unajitahidi sana uonekane upo sawa lakini mwili wako tu unakukataa"
"Ah haya tufanye ndiyo umeyajua matatizo yangu una nini cha kunisaidia?"
"Hahaha! Ninaweza kuwa na cha kukusaidia pengine umeachwa je"
Kauli hii ikanifanya nitabasamu kidogo huku nikimtazama mwanadada ambae chini amevalia sketi fupi nyeusi, juu amevaa shati jeupe lililomkaa vizuri huku kifuani pake pakiwa dede haswa.
Kwa kumtazama tu Ushiled umri wake haupungui miaka ishirini na miwili na wala hauzidi miaka ishirini na mitano.
"Yaani umeaminiwa kupewa ofisi kubwa hivi na bado muda wa kazi unawaza ngono"
"Ha! Mtu anawaza ngono wakati yupo kwenye sala itakuwa kwenye kazi, hivi mna mahusiano gani na Sister Nah nje ya kumuuzia samaki?"
"Kwanini unaniuliza hivyo?"
"Sister hapendi kabisa ukaribu na vijana wa mtaani nashangaa mmekuwa na mazowea sana"
"Kwahiyo mimi ni kijana wa mtaani siyo"
"No sijamaanisha hivyo ambavyo wewe unataka kutafsi.."
"Ila umemaanisha nini?"
"Hahaha.. Jamani, em niachie namba yako kwanza nataka siku tukae mahali tuongee"
"Sina simu hapa na siikumbuki kichwani"
"Ok ningekuandikia namba yangu ila Sister anakuja"
Nikatazama upande ambao Ushiled alitazama kwa jicho la kuibia, nikamuona Joanah akiwa amevalia gauni refu jekundu.
"Karibu Kim"
Alinisalimu Joanah huku akisogea nilipo.
"Asante mambo vipi?"
"Poa tu, nashukuru umekuja mwenyewe maana nimekutafuta kwenye simu sijakupata, nina mgeni wangu nataka nimpikie supu flani matata ya Samaki, ili akirudi kwao abaki kuikumbuka mtwara na pia kunikumbuka mimi. twende hivi basi tukaongee maana naona wewe pia kuna shida imekuleta"
Tukatoka na kuelekea kwenye chumba kidogo ambacho mara nyingi huwa naingia nikiwa na mazungumzo na Joanah.
" mh Kim vipi za masiku"
Aliongea Joanah huku tukikaa kwenye viti ambavyo katikati yake kuna meza ndogo ya kioo.
"Mimi namshujuru mungu naendelea kupumua, lakini kuna jambo linanitafuna mno na ndio maana nimekuja kwako"
"Jambo gani hilo"
Nikamsimulia Joanah kila kitu kilichotoke kuanzia kutoweka kwa Qashy Lilith dukani kwake, laini za watu wake wa karibu kufungiwa, hadi habari ya ujauzito ambayo amenipa Mama Edina
Mwisho nikamuomba anisaidie kumpata Qashy au kujwa alipo.
Haikuwa shida kumpa maelezo kumhusu Qashy maana anamjua kwa sura kwani nilishawahi kumtambulisha kwake.
"Mh huyo kijana anaefanya kazi dukani kwa Qashy yupo wapi sasa hivi"
Aliniuliza Joanah baada ya kumsimulia mkasa mzima.
"Amekwenda kwao"
"Ahaa huyu nitamuhitaji asubuhi ya saa mbili najuwa huyu nitaweza kumuuliza baadhi ya mambo ambayo yanaweza kunisaidia katika kujuwa Qashy alipo. Pia ngoja nikupe karatasi uandike namba za simu za Qashy"
"Sawa nitamleta hapa hiyo asubuhi"
"Hapana hupaswi kumleta wewe wala kwao hupaswi kwenda, kwakuwa umesema wote mmepoteza mawasiliano mtafute bodaboda anaepajuwa kwao ndiyo amfuate hiyo asubuhi na asimlete hapa kuna mahali nitamwambia ampeleke.
Pia yule bodaboda wako ambae nae amefungiwa laini usimtumie chochote kuanzia sasa hadi pale tutakapo pata majibu ya hili. Sidhani kama kuna jambo lolote la kutisha kwenye hili ila ni vizuri tukaweka kinga kwenye baadhi ya mambo pengine kukawa na mengine ambayo hatuyawazii"
"Sawa nitashukuru sana Joanah"
"Usiwaze Kim kitu kikubwa cha kuzingatia usitoke kwenye mfumo wako wa kawaida wa maisha hili umeshaliweka kwenye mikono yangu igiza kama limekwisha, japo najuwa ni ngumu lakini utalazimika kuishinda hii hali"
"Sawa swahiba, najua hujawahi kufeli Kwenye jambo langu. nitafosi niwe katika hali ya kawaida hapa itabidi niingie hapo sokoni kwanza ili nidake laini kwa ajili ya mawasiliano maana hapa kila kitu kitasimama bila ya mawasiliano"
"Sawa lakini hiyo laini utakayo sajili usiongelee taarifa yoyote ya ndani kumhusu Qash, pia nitakupa laini kwaajili ya kuongea na mimi tu hadi pale tutakapopata majibu ya kueleweka"
"Sawa"
Joanah akatoka na kuniacha, baada ya kama dakika mbili hivi akarudi akiwa ameshika peni, karatasi nyeupe pamoja na simu.
Nikamwachia namba ya Qashy nae akanikavmbidhi simu huku akisisitiza nisiwasiliane na mtu yoyote kupitia laini aliyonipa.
Tukaongea kidogo kisha tukaagana.
Nikatoka chumbani na kuanza kutembea kuelekea nje. Nikapita kwenye sebule ya jengo hili ila sikumkuta tena Ushiled kwenye kiti chake.
Nikatoka nje na kuelekea sokoni kwa miguu.
Nikafika ndani ya muda mfupi tu kwani ni jirani tu.
Kwa kutumia kitambulisho changu nikasajili laini mpya.
Nikasogea sehemu ambayo duka la Qashy lipo, nikamsogelea bodaboda ambae anapajuwa vizuri nyumbani kwa Mshamba hachekwi nikampa maelekezo na kuchukua namba zake za simu ili tufanye mawasiliano hiyo asubuhi nikampa hela aliyohitaji nikaanza kuondoka kuelekea nyumbani.
Wakati huo kiza ishaanza kuingia nikatazama saa kwenye simu aliyonipa Joanah na kukuta ni saa kumi na mbili na dakika ishirini na nane.
"Dah hapa sasa niende wapi kwa wazee? au kwa Edo kissy lakini ngoja niende kwa wazee Edo nitamwendea nikirudi"
Nilijiongelesha huku nikikaribia nyumbani nilifika nyumbani na kuwakita wapangaji wenzangu wakiwa na habari zao nikawasalimia na kuingia chumbani kwangu, nikaenda mbele ya kioo na kujitazama.
"Mh! Kweli wanaume tumeumbwa mateso"
Niliongea huku nikiutazama mkufu wa Qashy ambao upo kwenye nakshi ya uwa la mbao ya fremu iliyozunguka kioo.
"KIIM.."
Niliisikia sauti ya kenzi ikiniita ikabidi niongeze umakini ili kuhakiki kama ananiita kweli.
"KIIM.."
"naam kaka"
"Kuna mgeni wako"
"Poa nakuja"
Nikatoka chumbani na kuelekea sebuleni ambako nimesikia sauti ya KENZI ikitokea.
Nikamkuta Mallerina mdogo wangu wa kike mwenye miaka 19 akiwa kwenye sofa huku kenzi akiwa akipiga piga kisabufa chake ambacho kinakeroma tu badala ya kutoa sauti ya kueleweka.
"Habari dada"
"Nzuri kaka habari za tangu jana"
"Salama, vipi Bimkubwa ndiyo kakutuma uje unicheki?"
"Eee maana tume kutafuta kwenye simu wanasema namba haipo, lakinipia namba za Mama na Baba zote zimefungiwa, ndiyo maana Mama akasema nije kukutazama. vipi laini zako na wewe zimefungiwa?"
"Ndiyo zimefungiwa, nyumbani kuna mpya gani?"
"Sisi wala hatuna mpya tulikuwa na hofu na wewe tu, ila Baba aligomea mimi kuja kukuona hii jioni ila Mama ndiyo akalazimisha"
"Hahaha! Mzee nae mbele ya bimkubwa ni jimbwa koko tu halina makali, ila ana point za msingi usije ukaanza kuitwa singo maza wakati hata twenty hujafikisha"
"Hahahah! Ngoja niwahi kurudi, hapo nikimwambia nimekukuta na uko poa ataanza kujitutumua MIMI NIMEWAAMBIA KILE KIDUME CHANGU NAKIAMINI.. SIJUWI NINI NA NINI.."
Tukaangua kicheko kwa pamoja baada ya Mallerina kuigiza sauti ya Baba.
" Hahaha! mimi niko sawa tu, nilipanga kuja kwenu huu usiku lakini basi nitakuja kesho, mwambie bimkubwa aniandalie ugali wa muhogo na ng'onda nikirudi bichi mida ya saa tisa hivi au kumi sitakula popote breki ya kwanza itakuwa kwenu"
"Sawa mimi acha niende"
Nikazama mfukoni na kutoa vichench kadhaa na kumkabidhi Mallerina kwa ili akawapatie wazee.
Tukaagana kisha akatoka ndani.
"Mbona usiku Sister kwa Salama?"
Niliisikia sauti ya Edo kwa nje bila shaka nikajua anamuongelesha Mallerina kwani nae humwita Dada kama nimwitavyo mimi.
"Eee kwa Salama nilikuja kumwona kaka ila hapa"
"Ahaa yupo lakini?"
"Ndiyo"
"Sawa safari njema"
"Hodii"
"Karibu Edo"
"Poa mwanangu"
Tukatoka sebuleni na Edo tukaelekea chumbani kwangu.
"Dah mwanangu ishakuwa jau zile laini si hazifanyi kazi na ninejaribu kurenew hazikubali pia, nimesajili laini mpya"
Aliongea Edo huku akijitupa kwenye sofa ambalo nilimumuliwa na Qashy Lilith.
"Ah mwenyewe hivyo hivyo nina laini nyingine vipi chambo umekipata?"
"Eee nimekipata sema jamaa siku hizi wana tamaa, wanakutajia tu bei kubwa kisa tu wavuvi wanaohitaji chambo Kipindi hiki ni wengi"
"Ahaa sawa ila kesho tuondoke mapema zaidi kwa sababu maji kupwa ya mapema ndio yana nema, basi sijuwi utalala wapi leo!"
"Ah nilale wapi zaidi ya hom! Lile Toto nililobonganalo kule pwani linatimba huu usiku"
"Duh!"
"Eee wewe si unawachekea chekea tu wakina ephen_ wanakuchuna samaki kama zuzu halafu utamu wanaenda kula wajomba huko majuu"
"Sawa bhana nishakuzoea kila ukipata demu mpya lazima unichambe, ila shida ni kwamba hujuwi unachokitafuta kwa wanawake"
"Si utelezi nitafute nini? Au wewe huwa unatafuta nini kwa mwanawake"
"Hahaha! Sawa bhana tufanye umeshin.."
"Sio tufanye nimeshinda, ukweli ndiyo huo hakuna cha kukipata kwa dem zaidi ya ganda la ndizi"
"Hahaha! Sawa Edo"
"Eee mimi sikulazii damu kwenye mambo kama haya"
Tukaongea stori sana na Edo hadi ilipofika mida ya saa tatu Edo akaniaga na kuniambia anaenda kumpokea mgeni wake dada ambae alimuaprochi pwani mchana.
Nikabeba maji na kwenda bafuni kuoga
Nikarudi na kuvaa suruali kubwa nyeusi ya mpira ambayo huwa naivaa wakati wa kulala.
Nikajilaza chali kitandani huku nikiuwazia mchana wa leo jinsi ulivyokuja na vitendawili.
Nikahisi njaa inautafuna utumbo wangu, nikakumbuka nilinunua vitafunwa mchana wakati tunarudi baharini.
Nikaenda kuchukua mfuko ambao nili vihifadhi, nikafungua na kuchukuwa sambusa tano nikaziweka kwenye sahani ndogo ya plastiki, nikarudi kitandani na kuiweka sahani kwenye godoro, nikajilaza tena na kuanza kutafuna sambusa huku mawazo yakiwa yanaendelea kutalii kichwani.
"Jamani hivi Kim nimemkuta"
Niliisikia sauti ya Ephen kiasi cha kunifanya nistaajabu kwani Ephen hapajuwi ninapoishi na sina mawasiliano yake.
"Eee yupo itakuwa analala sasa hivi mgongee hako chumbani kwake"
Alijibu KENZI na sekunde chache nikasikia mlango wa chumba changu ukigongwa, nikainuka kwa bashasha na kwenda kufungua.
"EPHEN!"
Niliitaa kwa mshangao huku nikitumbua macho kwani sio tu namshangaa Ephen kuwepo hapa muda huu bali pia aina ya mavazi aliyovaa sikuwahi kumuona ameyavaa hata siku moja.
"Kim ni mimi, nimekuja kwa ajili yako naomba unipe muda wako mchache kabla sijakuaga na kurudi nyumbani"
Aliongea Ephen kwa sauti ya upole mno.
Umri wa Ephen ni kati ya miaka ishirini na minne hadi sita hivi kwa kumkadiria.
Umbo lake ni mnene kiasi cha kutosha kumuita bonge pia ana urefu wa wastani tu na rangi yake ni mweusi. sura yake ni yakawaida yaani ukimweka kwenye mashindano ya kutatuta wanawake wazuri hapa mkoani mtwara hawezi kushinda. lakini pia hata ukimweka kwenye mashindano ya kutafuta wanawake wabaya atapishana mbali mno na ushindi.
Kitu kinacho kikubali zaidi kutoka kwa Ephen ni Bakery yake iliyopo uwani ambayo ina mikate miwili tu lakini kama itatokea siku mikate hiyo ikahalalishwa kuliwa basi bila shaka kila mkate mmoja unaweza kuliwa na watu wazima kumi na wawili na wote wakashiba haswa.
"Karibu Ephen karibu ndani"
Niliongea huku nikimuonyesha ishara aingie chumbani.
Akaingia huku nikimsindikiza kwa macho akiotingisha mikate yake miwili kiasi cha kufanya mnara ulio ndani ya suruali yangu ueanze kupandisha mawimbi ya kimtandao hadi kufikia 5G.
Alikuwa amevaa kigauni cha rangi ya zambarau kifupi chepesi chenye asili ya mpira.
Nilimsindikiza kwa macho hadi alipokaa kwenye sofa, nilibaki nimesimama tu mlangoni huku akili yangu ikiiwazia hii neema iliyojileta bila kuitumilia mabavu.
Nikafunga mlango na kwenda kwenye sofa alilokaa nikachuchumaa huku nikimtazama machoni.
Alikwepesha macho kwa aibu kitendo kilichonipa mafasi kubwa zaidi ya kuutazama uso wake uliumbwa kwa mashavu manene kiasi na midomo minene iliyoficha meno yake membamba.
Nikamshika kichwa na kukisogeza kwangu kwa lengo la kunywa juisi isiyo na rangi wala sukari.
"Hapana Kim mimi nimekuj.."
Sikutaka kumpa nafasi ya kuongea, nikauleta tena mdomo wake kwangu na kuanza kunywa juisi yake tamu isiyopita kiwandani.
Mara hii alitulia kabisa yaani hakuleta upinzani.
Nikaona sina muda wa kupoteza nikambeba juu juu kwa kutumia nguvu ambazo sikujuwa zimetokea wapi.
Kabla dakika haijaisha wote tukawa kama vichanga.
Sikuona haja ya kuleta mbwembwe nyingi zaidi ya kumuuwa mende tu kwasababu rungu ninayo ya kutosha.
Ndani ya dakika sita tu za mtanange huu mzito nikahisi watoto wanaanza kiherehere cha kumdai Mama, sikuwa na uwezo wa kuwazuia tena kumwona Mama yao.
Nikafumba macho na nikuanza kufyatua hovyohovyo risasi katika bunduki yangu huku nikilita ja jina la Ephen kwa nguvu.
Mwana dada huyu hakuwa na la kufanya zaidi ya kulizingusha feni lake taratibu ili kunipulizia wakati naendelea kufyatua risasi.
Nikafumbua macho yangu taratibu ila cha kushangaza sikumuona tena Ephen kitandani, kulikuwa na sahani lenye sambusa tu nikastuka sana na kuinika kisha nikakaa.
Nikahisi ubaridi katika mapaja yangu.
"nini hiki"
Niliongea huku nikiingiza mkono ndani ya suruali yangu ambayo niliivaa kwa ajili ya kulalia.
"Ah ku** la m*mae Fatuma ndoto"
Niliachia matusi baada ya mkono wangu kukutana na utelezi ambao moja kwa moja nilijuwa tu ni Manii.
ITAENDELEA
Kuna nini tena
Mkuu inamaana hujijuwi kwamba wewe ni mshiriki wa hii muvi kwenye nyanja ya uafisa usafirishaji! Na bodaboda yako umeandika 'MJINI HELA TUNAPATA TATIZO CHUPI'Kuna nini tena
Pamoja kiongozi, acha nimalize hii simulizi ni pumzike maana mtu mwenyewe ambae naandika kwa ajili yake juzi tu hapa kabadilika, kwenye ule uzi wa wanaume mabandidu kasema yeye anapenda wanaume wa Arusha.
Aaa haina kupinda hii ni lazima niimalize mkuuMalizia tuone itakuaje
Ngoja nimsome kaandika post namba ngapi nikwambie.Najikuta nacheka tu, mpaka dakika hii sijajua mlengwa haswa ni nani
Lete namba yake tumkanyePamoja kiongozi, acha nimalize hii simulizi ni pumzike maana mtu mwenyewe ambae naandika kwa ajili yake juzi tu hapa kabadilika, kwenye ule uzi wa wanaume mabandidu kasema yeye anapenda wanaume wa Arusha.
Mkuu hutomjuwa tena kwa leo mambo yameshakuwa mengi.Najikuta nacheka tu, mpaka dakika hii sijajua mlengwa haswa ni nani
Sina labda namba za viatu vyake.Lete namba yake tumkanye
Anavaa namba ngapiSina labda namba za viatu vyake.
Poa mkali hebu fanya hivyo nitakupigia debeNgoja nimsome kaandika post namba ngapi nikwambie.
Poa mkuuMkuu hutomjuwa tena kwa leo mambo yameshakuwa mengi.
Ni kama namba 36 hiviAnavaa namba ngapi
Washanipigia debe wadau kadhaa hapo wameshindwa mkuu, labda kama utapiga chuma sijuwi.Poa mkali hebu fanya hivyo nitakupigia debe