Simulizi: Nyuma ya mlango wa adui

Simulizi: Nyuma ya mlango wa adui

NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA MIA MOJA NA AROBAINI NA SITA
MTUNZI: Mbogo EDGAR
WHATSAPP: 0743632247 (KWAMATUMIZI YA OFISI TU)
TULIPOISHIA SEHEMU YA MIA MOJA NA AROBAINI NA TANO: "sasa huku walikuwa wanafwata nini, wakati hawakuwa wanakimbizwa na polisi yoyote, maana polisi walikuwa busy na dereva wa gari jeusi?" aliuliza Nyambibo, "inawezekana walikuwa windo lao lipo maeneo ya karibu, nadhani unakumbuka ujumbe tuliopewa kuwa popote atakapoonekana Deus Nyati asishambuliwe, maana jeshi la ulinzi linamuhitaji akiwa hai" alikumbusha RPC kinondoni….ENDELEA…..

Ambae baada ya hapo akamgeukia Othman, "ok! koplo askari wengine wapo wapi?" aliuliza nyambibo, huku anamtazama Othmani ambae kama wange mtazama vyema alikuwa amejawa na wasi wasi, maana alijua kuwa wanachokifanya hakikuwa sahihi, "wameelekea huko mbele, walikuwa wanawafatilia wenzetu waliokuwa wanawakimbiza maadui" alijibu Othman.

Baada ya jibu hilo, ikatolewa amri ya kusonga mbele na magari yakaendelea kusonga mbele, ambapo hatua chache mbele wakakutana na miili mingine ya askari ikiwa imelala barabarani, hii iliwashtua sana, hasa kamanda Nyambibo, ambae alitoa amri ya kusonga mbele, huku wakiacha gari moja lenye askari watano waipakie miili kwenye gari.

Magari yalisonga kwa kasi ya ajabu, pasipo kujua kuwa walikuwa wamesha karibia eneo la tukio, huku askari wakiwa na tahadhari kubwa sana, maana hawakujua adui yao yupo upande gani na ana uwezo kiasi gani, ukichukulia ndani ya usiku mmoja tayari wenzao kadhaa walisha poteza maisha.

Naam magari yanaibukia kwenye eneo la wazi, lenye nyumba ambayo ilikuwa haijamaliza ujenzi wake, ambapo gari la mbele lilisimama kwa brake za ghafla baada ya kuona magari mawili mbele, huku magari mengine ya nyuma yakisimama kwa mtindo huo huo, hali iliyozuwa taharuki na askari wakianza kuruka hovyo hovyo toka kwenye magari na kukimbilia vichakani kutafuta maficho sambamba na wakuu wao wakidhania kuwa adui ameonekana huko mbele, lakini wakashangaa kuona waliokuwa kwenye gari la mbele, wakishuka toka kwenye gari na kuanza kutembea kuyafuata magari ya mbele, ambayo yalikuwa yameeshambuliwa na risasi chache.

Hiyo haikuwa shangazo kwao, ila walishangaa na roho zao sekunde chache baadae, baada ya kuona miili ya watu wanne waliokuwa wamelala chini pembeni ya magari yao, huku wakiwa wanachuruzika damu toka kwenye matundu ya risasi, kabla hawaja maliza kushangaa na kunung'unika wanaona miili mingine mbele yao, ina washangaza zaidi, hasa pale wanapo tazama mbele ya ile nyumba chakavu, ambapo waliona askari wengi walikuwa wamelala chini pembeni ya silaha zao, "mama yangu, nini hiki?" ilimtoka Nyambibo aliekuwa anatazama jinsi askari wake walivyo uwawa kama kuku waliotiliwa sumu, hakika alisahau hata kutoa amri ya kufanya msako eneo, kitu ambacho kilifanywa na RPC temeke, "zunguka eneo haraka, chochote utakacho kuta halali yetu" alisema RPC Temeke, na hapo askari wakaanza kuzunguka ile nyumba kwa tahadhari kubwa, huku wengine wakiwa wanatazama ile miili kwa maana ya kuikagua wakisaidiana na wakuu wao.********

Yaaap sasa turudi, #mbogo_land, pale Treanch Town City, kwenye nyumba ya siri ya MLA, katika chumba kilichopo chini ya jengo hilo kubwa la kisasa, ambako kila tunapo zidi kukisogelea chumba hicho tuna sikia sauti za mvumo wa upepo wa vuuuup!, ukifuatiwa na kishindo cha waaap!, ikimaliziwa na kelele za maumivu makali.

Tunapata hamu ya kuona kinachotokea, tunaingia ndani na sasa tunamuona bwana Chitopela akiwa uchi kabisa, amelala juu ya lile sanamu mfano wa mgongo wa ng'ombe, lenye kima cha mbuzi, huku akiwa amefungwa kwa vibanio vya chumba, shingoni, kiunoni, mikononi na miguuni, huku wale jamaa wawili wenye miili mikubwa na vinyago vya kutisha wakiwa wamesimama kushoto na kulia mwa Chitopela, huku wameshika mijeredi mirefu iliyotengenezwa kwa waya wa kopa.

Walichokuwa wanakifanya ndio kilitisha sana, maana mmoja alitulia mjeredi ukiwa chini, wakati mwenzie akiwa ameinua mjeredi kwa kiwango cha nyuma ya mgongo wake kisha anaushusha kwa kasi ya mia mbili kilomita kwa saa, vuuuuup nakukita mgongoni kwa Chitpela, waaap "mtaniuwa jamaniiii heeeee!" ilikuwa ni kelele ya kilio cha Chitopela, kilicho ambatana na maumivu makali kupita kiasi, lakini kama vile hawakuwa wanasikia kilio cha Chitopela, mtu ambae masaa machache yaliyopita alikuwa anasimama kama waziri wao, mwingine tayari alikuwa ameshainua mjeredi wake na kuhushusha kwa Chitopela, kama alivyofanya mwenzie ambae pia sasa alishainua mjeredi na kuushusha, na kila mjeredi uliposhuka mgongoni uliacha alama ya mchirizi ambao ulianza kutoa damu.

Mizunguko sita ya mijeredi ilitosha kukomesha kilio cha Chitopela, sio kwamba hakusikia tena maumivu, ila ni kwamba alishapoteza fahamu hapo kipigo kikasitishwa, "mfungueni mfungeni kwenye kiti cha mapenzi" alisema mmoja kati ya wale wachapaji, na hapo wale askari wawili kati ya wale wanne waliomleta chitopela wakamfungua chitopela toka kwenye mgongo wa ng'ombe, wakimnyakuwa juu juu, mpaka kwenye kiti chenye uwazi chini na kumfunga mikono na miguu usawa wa mapaja na kumuacha akiwa amezimia korodani zikiwa zina ning'inia kwa chini pale kwenye uwazi wa kiti sehemu ya kukalia.*******

Sasa turudi misegese, kule porini nje ya jiji la dar es salaam tanzania, ambako sasa Deus aliekuwa na mwanadada Veronica mita kadhaa, toka kwenye ile nyumba yake wamejificha wana watazama polisi waliokuwa wanachachalika kukuzunguka na kuikagua ile nyumba, huku wakipeana report, waliweza kusikia kila kitu na kuona baadhi ya matendo yao, "mkuu kuna watu wengine huku ndani" ilisikika sauti ya askari wa jeshi la polisi, "afande mmoja ni muhalifu mkubwa anaefahamika, ni bwana Uled Songoro alisema mwingine.

Wakati huo huo ikasikika report nyingine, "afande kuna chumba kinaonyesha kuwa kuna mtu anaishi humu" kwakuona hivyo Deus akaona kuwa atachelewa mpango wa wake wa kumpeleka Veronica kwa wazazi wake, hivyo akaachana nao na kuanza kujipanga na Veronica wake, "sikia Vero nitaenda kukuacha pale mbele, utanisubiri hapo mpaka nitakaporudi, usiondoke atakikitokea nini, lazima nitarudi kukuchukua" alisema Deus na Veronica akaitikia kwa kichwa, kukubaliana na mpenzi wake huyu.********

Naaaam, nusu saa baadae Chitopela anashtuliwa na maji ya baridi yaliyomwagwa mwilini mwake, anashtuka na kujikuta akiwa amekaa kwenye kiti ambacho ile sehemu ya kukalia ilikuwa wazi, kama vile yupo chooni huku korodani zake zina ning'inia, anatamani aziweke vizuri lakini anashindwa maana alikuwa amefungwa mikono na miguu, anainua macho yake anawaona wale jamaa wawili wakiwa mbele yake, "haya muheshimiwa raisi, nadhani sasa unaweza kujibu maswali yetu, kundi la askari lipo wapi?" aliuliza mmoja wao na hapo Chitopela, akatulia kidogo akitafakari kwamba akitoa jibu lazima atakuwa ameshapoteza uwezekano wa yeye kutoka mahali hapa, na pengine kuuwawa kabisa, hata hivyo ukweli halisi ni kwamba hapa kuwa na kundi lililosalia, baada ya wote kuuwawa kule kambini kwao na wengine wapo tanzania wakimsaka Deus wachukue fedha za kununulia silaha.

Ukweli hakuwa na ujanja zaidi ya kuleta kiburi ili waamini kuwa anacho anachojivunia, "mnadhani nikifa mimi peke yangu ni hasara kwa mapinduzi tunayo yatarajia, tena mapindu ambayo yataleta mauwaji makubwa hapa nchini" alijibu Chitopela kwa sauti iliyojawa na uchovu mkubwa wa maumivu, "tunakuuliza tena bwana Chitopela, kabla hatujakuletea mrembo akunyonye korodani, kama walivofanya wale warembo kule porini, kundi lako liko wapi na lipo na nani?" aliuliza tena yule jamaa, "ni vyema mkitambua kuwa sito wajibu chochote mpaka niongee na Sixmund, nimuambie kuwa hakuna kitu zaidi ya UMD kukaa meza moja na serikali na kuongea juu ya amani ya nchi hii" alijibu Chitopela, na hapo ni kama alifungulia kile kicheko cha kukera toka kwa miamba hii miwili.

"kaka nadhani mheshimiwa anahitaji mrembo wa kumburudisha" alisema mmoja wao, huku anafuata bakuri lililokuwepo juu ya meza ya chuma, kisha akasogea nalo pale alipokwepo chitopela na kufamnya bwana Chitopela aisikie harufu ya samaki wabichi, ni kweli ilikuwa ni shombo la samaki wabichi, aligundua ilo, mara baada ya yule jamaa, kuanza kupakaza ile shombo kwenye korodani za Chitopela zilizokuwa zinaning'inia uvunguni mwa kiti kile, "unafanya nini wewe" aliuliza Chitopela, huku akiwa mwenye wasi wasi na uoga mkubwa, maana hakujua maana ya kitendo kile, "subiri uone bwana Chitopela" alisema yule aliekuwa amesimama, huku anatembea kuelekea kwenye banda dogo la kisasa lenye paka wawili wakubwa wasio na meno, akafungua kidogo na kumtoa paka mmoja kisha akamuachia.

Hapo yule paka akunusa mara mbili, moja kwa moja akakimbilia kwenye vungu ya kiti alicho kalia Chitopela, hapo chitopela alishtuka nyanya zake zikizama mdomoni kwa paka, ambae sijui alikuwa anawaza nini, maana alipozidumbukiza mdomoni tu, akaanza kuzivuta kwa nguvu kwa kutumia fizi zake, lakini zikateleza na kutoka mdomoni, paka hakukubali kushindwa akadumbukiza tena zile kengere na kuzibana kisawa sawa, hapo maumivu makali aliyasikia bwana Chitopela, ambae alipiga kelele kama mtoto kwa maumivu aliyo yasikia, lakini hakuna aliemsikia wala kumuonea huruma, na yeye hakukata tamaa, hakuwa tayari kueleza chochote maana hakuwa na ukweli wowote wa kueleza.

Kiminyo cha paka kibogoyo, kilikoma baada ya chitopela kuzimia kwa mara ya nyingine, ikiwa ni mzimio wa tatu kwa usiku huu mmoja, wale jamaa wakatoa paka na kumrudisha bandani huku wakiwarushia chakula maalumu chenye radha na harufu ya samaki, "huyo muacheni hapo hapo, wewe andaa mtomolelo alisema yule mmoja.**********

Naaaam! makundi matatu ya UMD katika mwendo wa msambao, yani walitawanyika mwanzo mwisho mwa eneo ambalo walikusudia kulichunguza, katika mpango wa mbili juu, waliendelea kusonga mbele huku wakiwa makini kuangalia pande zote kuona kama kuna sehemu Deus Nyati atakuwa amejificha baada ya kuwaona maana walijuwa lazima angekimbilia upande waliopo wao.

Lakini wakiwa wanazidi kutembea mbele, mara ghafla wakashtuka kusikia "pah! pah! pah" ilikuwa ni milio ya risasi iliyoshambulia kundi la kulia mbele, "tumepigwa shambuliaaaa" alipiga kelele Kobwe na hapo ikasikika milimo mingi ya risasi toka kwa UMD makundi yote matatu, askari walishambulia huku wanakimbilia mbele kule ziliko tokea risasi, ambako ni kule walikokuwa wanaelekea wakiamini kuwa alieashambulia alikuwa mita chache mbele, hawakujua kuwa kuna kitu wanakiita hawakujua kama Deus anawachonganisha na askari polisi

Milio ya risasi ilisikika eneo lote la msitu, na kuwafikia jeshi la polisi ambalo lilikuwa kilomita kama mbili mbele yao, pamoja na special force Marine waliokuwa kule relini, "sikiliza toka kwangu, hao washenzi wanashambulia huku wanakuja huku kwetu, lazima na sisi tupambane nao, umakini wa hali ya juu unahitajika, sitaki kuona askari mwingine anapoteza maisha" alisema kamanda nyambibo, ambae mwisho akatoa amri ya askari kusonga mbele.

Wakati huo huo Special force wa pale relini, ambao lengo lao lilikuwa ni kumpata Deus Nyati akiwa hai, wakaona itakuwa vyema kama wataingilia kati mapambano yale, isije kuwa mtu wao ndie yupo kwenye matatizo, hivyo wakaingia porini na kusonga mbele, kwa njia ya pembeni lengo lao ni kuwa piga shambulio la upande.********

Naaam turudi TTCity, kwenye nyumba ya siri, ambako sasa Chitopela alikuwa amesha zinduka na kumuona mmoja kati ya ile mijamaa miwili, akiwa anaunguza kitu mfano wa spook ya baiskeri kwenye jiko lile la moto, kama vile anaechoma nyama, mwanzo alielewa kile kifimbo cha chuma kinakazi gani katika mwili wake, lakini dakika moja baadae akamuona yule jamaa akitoa kile kichuma kilichokuwa kimebadirika rangi na kuwa nyekundu, akikichukua na kumsogelea, kisha akashika dudu ya mzee huyu, ambae sasa alianza kulia kama mtoto, maana tayari alisha tabiri kinacho fuata, ni kwamba kile chuma kilikuwa kinaenda kupitishwa kwenye tundu la mkojo, ikiwa na moto wake, hakika moyo unasisimka, hii ndio mtomolelo, ambao sasa ulikuwa unasongezwa taratibu kuelekea kwenye kichwa cha dudu usawa wa tobo la mkojo, "niachieni nitasemaaaa" alipigalele Chitopela, na hapo yule jamaa akaacha kufanya alichotaka kufanya, "ok! ongea sasa, kundi lipo wapo na lipo na nani" alisema yule mmoja wao, huku mwingine akiwa anarudisha mtomolelo kwenye jiko.

Hapo bwana Chitopela, aliesema kuwa atasema, iliaachiwe, akawaza kidogo namna ya kuepuka kuwatia ghazab wawili hawa, aliwaza kidogo kisha akapata jibu, nitaongea na Sixmund, nita mueleza kila kitu, naomba msiningize mtomolelo" alisema Chitopela kwa sauti yenye kuombeleza, baada ya hapo wawili hawa wakakutana pembeni kujadili ombi la bwana Chitopela.**********

Naaam misegese wanaonekana UMD wakizidi kusonga mbele, mbio mbio, lakini wakiwa kati kati ya sambali yao, eneo lenye wanda wa juu, ghafla wanashtuka wakianza kushambuliwa kwa risasi, ambazo zinaonyesha wazi kuwa ni kutoka kwa kundi kubwa la watu na sio kijana Deus kama walivyo tegemea, hapo na wao wanaanza kujibu mashambulizi kwa kutumia silaha zote walizo nazo, mabomu na makombora, eneo linageuka mchana kwa mianga ya mabomu na makombora, watu wanajeruhiwa na wengine wanapoteza maisha, vita ni kubwa kupita kiasi, wakati UMD wanakaribia kulishinda jeshi la polisi, mara wanaanza kushambuliwa toka upande wa kushoto nao ni marine Special force, ambao kazi yao sio ndogo na hainakujaribu

UMD wanaona mambo magumu, Kobwe anapoteza maisha katika mapambano, lakini Kadumya na Kafulu wakiwa wameishiwa risasi wanatokomea porini, na kuutafuta uelekeo wa mjini ili wakafanye mpango wa kusafiri kurudi kambini kwao kule mpakani mwa tanzania na mbogo land, ndio wakati ambao Deus na Veronica walikuwa wanajaribu kusogelea nyumba yao ya maficho ili wakachukue gari na kuondoka zao wakiamini kuwa polisi wata kuwa kwenye mapigano na ndipo walipo waona watu wawili wanakuja upande wao, nao wakajificha na kuwatazama vyema.

Wakiwa wamejificha wanawatazama watu wale waliokuwa wanakuja kwa mwendo wa haraka bila tahadhari wakawasikiwa wanaongea, "nivyema ukamweleza mkuu kilichotokea" hii ilikuwa ni sauti ya JJ, yani Kafulu sauti ambayo Vero aliitambua kwa haraka sana, hapo Deus alichomoa kisu chake na kukaa tayari ni kweli walikuwa Kadumya na Kafulu, ambao walikubariana wapige simu kwa Chitopela, ili amueleze kilichotokea, nayo inapokelewa na general sixmund, ambae alikuwa ofisini anajaribu kuikagua ile simu, "hallow bwana Kadumya, unaongea na General sixmund, vipi unalolote la kumueleza ndugu yako, Chitopela?" ilimshtua sana Kadumya, ambae anashindwa kuogea na kubakia ameshika simu akitazama Kafulu, huku wakipunguza mwendo na kuwa kama wameshiwa nguvu za miguu.

Akiwa hajui lakufanya wala kuongea, mara ghafla wote wawili wakashtuka kuona kitu kama mnyama simba au chui kikiwavamia na kupita na na shingo ya Kadumya, ile kutahamaki kuwa ni binadamu tayari kafulu alikuwa amesha dungwa kisu cha tumbo na kuganda akisikilizia maumivu, huku anatazama yule mtu wa ajabu, "dereva" alisema kwa shida Kafulu, huku anatazama Deus Nyati, "yupo na mimi JJ, nadhani hicho ndicho unachostahili wewe mshenzi kwa yale yote uliyo yafanya na uliyotaka kunifanyia" Kafulu anageuka kumtazama mtu wa pili kuongea ambae sauti yake haikuwa ngeni masikioni mwake, alimuona Veronica aliekuwa amejawa na hasira kari sana, ambae hakusubiri kuambiwa alichukuwa na kumpokonya kisu toka kwa mpenzi wake Deus na kukishidilia tena tumboni kwa Kafulu, "hufaikuishi we mshenzi jambazi mbakaji" alisema Veronica huku anazidi kushindilia kisu mara kadhaa tumboni kwa Kafulu, hata alipo anguka chini alimfuata na kuendelea mpaka Deus alipomzuia, "Vero tayari amesha kufa, tunahitaji kuondoka hapa" alisema Deus, huku anatoa Veronica kwa Kafulu.******

Naaaam, Sixmund anapeleka ujumbe kwa mfalme kuwa kadumya amesha uwawa na Deus Nyati, maana aliskia maongezi ya tukio kuipitia simu ya Chitopela na Chitopela aliposikia kuwa kundi lake limeangamizwa alilia kama mtoto, akijua kuwa mwisho wake utakuwa mbaya kuliko ule wa sajent samuel doe.

Kijana Deus Nyati anafanikiwa kumfikisha Veronica kwa baba yake na yeye akakamatwa na Special Force kwa njia ya amani, nae akakubari kuongozana nao mpaka makao makuu ya jeshi la ulinzi, huku TSA wakishindwa kumpata, japo faida ilikuwa kwa Caroline, ambae anakutana kwa mara ya pili na kijana Deus, lakini safari hii kama shemeji yake, Deus anakabidhi ushaidi kwa TSA, ikiwa ni simu mbili yaani ya Songoro na Cheleji, ambazo zote zikaenda kutumika kama ushaidi kwa Ulenje, huku yeye mwenyewe akifikishwa katika mahakama kuu ya kijeshi, ambako anashinda kesi kwa kutolewa ushahidi na bwana Simba mdogo na binti Zamda mtoto wa kaka yake Simba, pia Veronica nae alitoa ushahidi, kwamba Deus hakuwa muhalifu ila alisaidia kuokoa watu katika njia ngumu, mwisho akaachiwa huru kwa maelekezo kwamba arudi jeshini, kitu ambacho Deus alikifanya, lakini baada ya mwezi mmoja aliandika barua ya ombi la kuacha kazi, huku akiwa amepokea ujumbe toka kwa king Elvis ambae alitaka aende nchini mbogo land.

Ulenje na wafuasi wake waliobakia kama wakina Othmani, walifikishwa mahakamani na kuhukumiwa kifungo cha maisha jela, huku bwana James akienda kukamilisha ushaidi wa kwamba Chitopela ndie mpangaji wa mipango yote ya mapinduzi, ambapo Chitopela alipatikana na hatia na kuhukumiwa kifo cha tumbo la ng'ombe wa chuma, alilia sana Chitopela akiomba msahama lakini haikuisaidia kitu, zaidi ni kwamba bwana Frank Nyati alipewa heshima zake kama kanali wa MLA, na serikali kumtaka yeye na familia yake kurudi Mbogo Land, kitu ambacho hakukipinga, alirudi nchini akiwa kama shujaa yani yeye na kijana wake Deus, na hii ilikuwa kwa bwana James, ambae sasa anavibari vya kuishi katika nchi mbili, huku binti yake Veronica akiwa ameolewa na kijana Deus, na sasa Veronica ni doctor wa Malikia Vaselisa, huku Deus akiwa ndani ya MLA mwenye cheo cha luten Kanali, na mkufunzi wa mbinu za mapigano na utumiaji wa silaha ndogo ndogo.

MWISHO HAKUWA MZURI SANA, HII NI KUTOKANA NA WAKATI MGUMU NILIONAO KWA UPANDE WA VIFAA VYA KUZALISHIA HADITHI, NAOMBA ISIJIRUDIE KWENYE KIAPO CHA DAMU KWA DAMU YA CAPTAIN CHUI... ASANTENI KWA KUWA NAMI MWANZO MPAKA MWISHO, MWISHO WA SIMULIZI HII NDIO MWANZO WA SIMULIZI NYINGINE, TUKUTANE KWENYE SIMULIZI IJAYO.
RAMADAN MUBAARAK ........
Shukrani tuko pamoja hakika tumefurahi na utunzi wako kila la heri katika maandiko yako
 
Hongera kwa utunzi bora na kurekebisha makosa ya kiuandishi yaliyojitokeza kwenye(Asali haitiwi kidole).
Bila kusahau juhudi zote za kuweka hii simulizi kwa wakati pasipo kuwaachia wasomaji arosto.
Shukran mkuu
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA MIA MOJA NA AROBAINI NA SITA
MTUNZI: Mbogo EDGAR
WHATSAPP: 0743632247 (KWAMATUMIZI YA OFISI TU)
TULIPOISHIA SEHEMU YA MIA MOJA NA AROBAINI NA TANO: "sasa huku walikuwa wanafwata nini, wakati hawakuwa wanakimbizwa na polisi yoyote, maana polisi walikuwa busy na dereva wa gari jeusi?" aliuliza Nyambibo, "inawezekana walikuwa windo lao lipo maeneo ya karibu, nadhani unakumbuka ujumbe tuliopewa kuwa popote atakapoonekana Deus Nyati asishambuliwe, maana jeshi la ulinzi linamuhitaji akiwa hai" alikumbusha RPC kinondoni….ENDELEA…..

Ambae baada ya hapo akamgeukia Othman, "ok! koplo askari wengine wapo wapi?" aliuliza nyambibo, huku anamtazama Othmani ambae kama wange mtazama vyema alikuwa amejawa na wasi wasi, maana alijua kuwa wanachokifanya hakikuwa sahihi, "wameelekea huko mbele, walikuwa wanawafatilia wenzetu waliokuwa wanawakimbiza maadui" alijibu Othman.

Baada ya jibu hilo, ikatolewa amri ya kusonga mbele na magari yakaendelea kusonga mbele, ambapo hatua chache mbele wakakutana na miili mingine ya askari ikiwa imelala barabarani, hii iliwashtua sana, hasa kamanda Nyambibo, ambae alitoa amri ya kusonga mbele, huku wakiacha gari moja lenye askari watano waipakie miili kwenye gari.

Magari yalisonga kwa kasi ya ajabu, pasipo kujua kuwa walikuwa wamesha karibia eneo la tukio, huku askari wakiwa na tahadhari kubwa sana, maana hawakujua adui yao yupo upande gani na ana uwezo kiasi gani, ukichukulia ndani ya usiku mmoja tayari wenzao kadhaa walisha poteza maisha.

Naam magari yanaibukia kwenye eneo la wazi, lenye nyumba ambayo ilikuwa haijamaliza ujenzi wake, ambapo gari la mbele lilisimama kwa brake za ghafla baada ya kuona magari mawili mbele, huku magari mengine ya nyuma yakisimama kwa mtindo huo huo, hali iliyozuwa taharuki na askari wakianza kuruka hovyo hovyo toka kwenye magari na kukimbilia vichakani kutafuta maficho sambamba na wakuu wao wakidhania kuwa adui ameonekana huko mbele, lakini wakashangaa kuona waliokuwa kwenye gari la mbele, wakishuka toka kwenye gari na kuanza kutembea kuyafuata magari ya mbele, ambayo yalikuwa yameeshambuliwa na risasi chache.

Hiyo haikuwa shangazo kwao, ila walishangaa na roho zao sekunde chache baadae, baada ya kuona miili ya watu wanne waliokuwa wamelala chini pembeni ya magari yao, huku wakiwa wanachuruzika damu toka kwenye matundu ya risasi, kabla hawaja maliza kushangaa na kunung'unika wanaona miili mingine mbele yao, ina washangaza zaidi, hasa pale wanapo tazama mbele ya ile nyumba chakavu, ambapo waliona askari wengi walikuwa wamelala chini pembeni ya silaha zao, "mama yangu, nini hiki?" ilimtoka Nyambibo aliekuwa anatazama jinsi askari wake walivyo uwawa kama kuku waliotiliwa sumu, hakika alisahau hata kutoa amri ya kufanya msako eneo, kitu ambacho kilifanywa na RPC temeke, "zunguka eneo haraka, chochote utakacho kuta halali yetu" alisema RPC Temeke, na hapo askari wakaanza kuzunguka ile nyumba kwa tahadhari kubwa, huku wengine wakiwa wanatazama ile miili kwa maana ya kuikagua wakisaidiana na wakuu wao.********

Yaaap sasa turudi, #mbogo_land, pale Treanch Town City, kwenye nyumba ya siri ya MLA, katika chumba kilichopo chini ya jengo hilo kubwa la kisasa, ambako kila tunapo zidi kukisogelea chumba hicho tuna sikia sauti za mvumo wa upepo wa vuuuup!, ukifuatiwa na kishindo cha waaap!, ikimaliziwa na kelele za maumivu makali.

Tunapata hamu ya kuona kinachotokea, tunaingia ndani na sasa tunamuona bwana Chitopela akiwa uchi kabisa, amelala juu ya lile sanamu mfano wa mgongo wa ng'ombe, lenye kima cha mbuzi, huku akiwa amefungwa kwa vibanio vya chumba, shingoni, kiunoni, mikononi na miguuni, huku wale jamaa wawili wenye miili mikubwa na vinyago vya kutisha wakiwa wamesimama kushoto na kulia mwa Chitopela, huku wameshika mijeredi mirefu iliyotengenezwa kwa waya wa kopa.

Walichokuwa wanakifanya ndio kilitisha sana, maana mmoja alitulia mjeredi ukiwa chini, wakati mwenzie akiwa ameinua mjeredi kwa kiwango cha nyuma ya mgongo wake kisha anaushusha kwa kasi ya mia mbili kilomita kwa saa, vuuuuup nakukita mgongoni kwa Chitpela, waaap "mtaniuwa jamaniiii heeeee!" ilikuwa ni kelele ya kilio cha Chitopela, kilicho ambatana na maumivu makali kupita kiasi, lakini kama vile hawakuwa wanasikia kilio cha Chitopela, mtu ambae masaa machache yaliyopita alikuwa anasimama kama waziri wao, mwingine tayari alikuwa ameshainua mjeredi wake na kuhushusha kwa Chitopela, kama alivyofanya mwenzie ambae pia sasa alishainua mjeredi na kuushusha, na kila mjeredi uliposhuka mgongoni uliacha alama ya mchirizi ambao ulianza kutoa damu.

Mizunguko sita ya mijeredi ilitosha kukomesha kilio cha Chitopela, sio kwamba hakusikia tena maumivu, ila ni kwamba alishapoteza fahamu hapo kipigo kikasitishwa, "mfungueni mfungeni kwenye kiti cha mapenzi" alisema mmoja kati ya wale wachapaji, na hapo wale askari wawili kati ya wale wanne waliomleta chitopela wakamfungua chitopela toka kwenye mgongo wa ng'ombe, wakimnyakuwa juu juu, mpaka kwenye kiti chenye uwazi chini na kumfunga mikono na miguu usawa wa mapaja na kumuacha akiwa amezimia korodani zikiwa zina ning'inia kwa chini pale kwenye uwazi wa kiti sehemu ya kukalia.*******

Sasa turudi misegese, kule porini nje ya jiji la dar es salaam tanzania, ambako sasa Deus aliekuwa na mwanadada Veronica mita kadhaa, toka kwenye ile nyumba yake wamejificha wana watazama polisi waliokuwa wanachachalika kukuzunguka na kuikagua ile nyumba, huku wakipeana report, waliweza kusikia kila kitu na kuona baadhi ya matendo yao, "mkuu kuna watu wengine huku ndani" ilisikika sauti ya askari wa jeshi la polisi, "afande mmoja ni muhalifu mkubwa anaefahamika, ni bwana Uled Songoro alisema mwingine.

Wakati huo huo ikasikika report nyingine, "afande kuna chumba kinaonyesha kuwa kuna mtu anaishi humu" kwakuona hivyo Deus akaona kuwa atachelewa mpango wa wake wa kumpeleka Veronica kwa wazazi wake, hivyo akaachana nao na kuanza kujipanga na Veronica wake, "sikia Vero nitaenda kukuacha pale mbele, utanisubiri hapo mpaka nitakaporudi, usiondoke atakikitokea nini, lazima nitarudi kukuchukua" alisema Deus na Veronica akaitikia kwa kichwa, kukubaliana na mpenzi wake huyu.********

Naaaam, nusu saa baadae Chitopela anashtuliwa na maji ya baridi yaliyomwagwa mwilini mwake, anashtuka na kujikuta akiwa amekaa kwenye kiti ambacho ile sehemu ya kukalia ilikuwa wazi, kama vile yupo chooni huku korodani zake zina ning'inia, anatamani aziweke vizuri lakini anashindwa maana alikuwa amefungwa mikono na miguu, anainua macho yake anawaona wale jamaa wawili wakiwa mbele yake, "haya muheshimiwa raisi, nadhani sasa unaweza kujibu maswali yetu, kundi la askari lipo wapi?" aliuliza mmoja wao na hapo Chitopela, akatulia kidogo akitafakari kwamba akitoa jibu lazima atakuwa ameshapoteza uwezekano wa yeye kutoka mahali hapa, na pengine kuuwawa kabisa, hata hivyo ukweli halisi ni kwamba hapa kuwa na kundi lililosalia, baada ya wote kuuwawa kule kambini kwao na wengine wapo tanzania wakimsaka Deus wachukue fedha za kununulia silaha.

Ukweli hakuwa na ujanja zaidi ya kuleta kiburi ili waamini kuwa anacho anachojivunia, "mnadhani nikifa mimi peke yangu ni hasara kwa mapinduzi tunayo yatarajia, tena mapindu ambayo yataleta mauwaji makubwa hapa nchini" alijibu Chitopela kwa sauti iliyojawa na uchovu mkubwa wa maumivu, "tunakuuliza tena bwana Chitopela, kabla hatujakuletea mrembo akunyonye korodani, kama walivofanya wale warembo kule porini, kundi lako liko wapi na lipo na nani?" aliuliza tena yule jamaa, "ni vyema mkitambua kuwa sito wajibu chochote mpaka niongee na Sixmund, nimuambie kuwa hakuna kitu zaidi ya UMD kukaa meza moja na serikali na kuongea juu ya amani ya nchi hii" alijibu Chitopela, na hapo ni kama alifungulia kile kicheko cha kukera toka kwa miamba hii miwili.

"kaka nadhani mheshimiwa anahitaji mrembo wa kumburudisha" alisema mmoja wao, huku anafuata bakuri lililokuwepo juu ya meza ya chuma, kisha akasogea nalo pale alipokwepo chitopela na kufamnya bwana Chitopela aisikie harufu ya samaki wabichi, ni kweli ilikuwa ni shombo la samaki wabichi, aligundua ilo, mara baada ya yule jamaa, kuanza kupakaza ile shombo kwenye korodani za Chitopela zilizokuwa zinaning'inia uvunguni mwa kiti kile, "unafanya nini wewe" aliuliza Chitopela, huku akiwa mwenye wasi wasi na uoga mkubwa, maana hakujua maana ya kitendo kile, "subiri uone bwana Chitopela" alisema yule aliekuwa amesimama, huku anatembea kuelekea kwenye banda dogo la kisasa lenye paka wawili wakubwa wasio na meno, akafungua kidogo na kumtoa paka mmoja kisha akamuachia.

Hapo yule paka akunusa mara mbili, moja kwa moja akakimbilia kwenye vungu ya kiti alicho kalia Chitopela, hapo chitopela alishtuka nyanya zake zikizama mdomoni kwa paka, ambae sijui alikuwa anawaza nini, maana alipozidumbukiza mdomoni tu, akaanza kuzivuta kwa nguvu kwa kutumia fizi zake, lakini zikateleza na kutoka mdomoni, paka hakukubali kushindwa akadumbukiza tena zile kengere na kuzibana kisawa sawa, hapo maumivu makali aliyasikia bwana Chitopela, ambae alipiga kelele kama mtoto kwa maumivu aliyo yasikia, lakini hakuna aliemsikia wala kumuonea huruma, na yeye hakukata tamaa, hakuwa tayari kueleza chochote maana hakuwa na ukweli wowote wa kueleza.

Kiminyo cha paka kibogoyo, kilikoma baada ya chitopela kuzimia kwa mara ya nyingine, ikiwa ni mzimio wa tatu kwa usiku huu mmoja, wale jamaa wakatoa paka na kumrudisha bandani huku wakiwarushia chakula maalumu chenye radha na harufu ya samaki, "huyo muacheni hapo hapo, wewe andaa mtomolelo alisema yule mmoja.**********

Naaaam! makundi matatu ya UMD katika mwendo wa msambao, yani walitawanyika mwanzo mwisho mwa eneo ambalo walikusudia kulichunguza, katika mpango wa mbili juu, waliendelea kusonga mbele huku wakiwa makini kuangalia pande zote kuona kama kuna sehemu Deus Nyati atakuwa amejificha baada ya kuwaona maana walijuwa lazima angekimbilia upande waliopo wao.

Lakini wakiwa wanazidi kutembea mbele, mara ghafla wakashtuka kusikia "pah! pah! pah" ilikuwa ni milio ya risasi iliyoshambulia kundi la kulia mbele, "tumepigwa shambuliaaaa" alipiga kelele Kobwe na hapo ikasikika milimo mingi ya risasi toka kwa UMD makundi yote matatu, askari walishambulia huku wanakimbilia mbele kule ziliko tokea risasi, ambako ni kule walikokuwa wanaelekea wakiamini kuwa alieashambulia alikuwa mita chache mbele, hawakujua kuwa kuna kitu wanakiita hawakujua kama Deus anawachonganisha na askari polisi

Milio ya risasi ilisikika eneo lote la msitu, na kuwafikia jeshi la polisi ambalo lilikuwa kilomita kama mbili mbele yao, pamoja na special force Marine waliokuwa kule relini, "sikiliza toka kwangu, hao washenzi wanashambulia huku wanakuja huku kwetu, lazima na sisi tupambane nao, umakini wa hali ya juu unahitajika, sitaki kuona askari mwingine anapoteza maisha" alisema kamanda nyambibo, ambae mwisho akatoa amri ya askari kusonga mbele.

Wakati huo huo Special force wa pale relini, ambao lengo lao lilikuwa ni kumpata Deus Nyati akiwa hai, wakaona itakuwa vyema kama wataingilia kati mapambano yale, isije kuwa mtu wao ndie yupo kwenye matatizo, hivyo wakaingia porini na kusonga mbele, kwa njia ya pembeni lengo lao ni kuwa piga shambulio la upande.********

Naaam turudi TTCity, kwenye nyumba ya siri, ambako sasa Chitopela alikuwa amesha zinduka na kumuona mmoja kati ya ile mijamaa miwili, akiwa anaunguza kitu mfano wa spook ya baiskeri kwenye jiko lile la moto, kama vile anaechoma nyama, mwanzo alielewa kile kifimbo cha chuma kinakazi gani katika mwili wake, lakini dakika moja baadae akamuona yule jamaa akitoa kile kichuma kilichokuwa kimebadirika rangi na kuwa nyekundu, akikichukua na kumsogelea, kisha akashika dudu ya mzee huyu, ambae sasa alianza kulia kama mtoto, maana tayari alisha tabiri kinacho fuata, ni kwamba kile chuma kilikuwa kinaenda kupitishwa kwenye tundu la mkojo, ikiwa na moto wake, hakika moyo unasisimka, hii ndio mtomolelo, ambao sasa ulikuwa unasongezwa taratibu kuelekea kwenye kichwa cha dudu usawa wa tobo la mkojo, "niachieni nitasemaaaa" alipigalele Chitopela, na hapo yule jamaa akaacha kufanya alichotaka kufanya, "ok! ongea sasa, kundi lipo wapo na lipo na nani" alisema yule mmoja wao, huku mwingine akiwa anarudisha mtomolelo kwenye jiko.

Hapo bwana Chitopela, aliesema kuwa atasema, iliaachiwe, akawaza kidogo namna ya kuepuka kuwatia ghazab wawili hawa, aliwaza kidogo kisha akapata jibu, nitaongea na Sixmund, nita mueleza kila kitu, naomba msiningize mtomolelo" alisema Chitopela kwa sauti yenye kuombeleza, baada ya hapo wawili hawa wakakutana pembeni kujadili ombi la bwana Chitopela.**********

Naaam misegese wanaonekana UMD wakizidi kusonga mbele, mbio mbio, lakini wakiwa kati kati ya sambali yao, eneo lenye wanda wa juu, ghafla wanashtuka wakianza kushambuliwa kwa risasi, ambazo zinaonyesha wazi kuwa ni kutoka kwa kundi kubwa la watu na sio kijana Deus kama walivyo tegemea, hapo na wao wanaanza kujibu mashambulizi kwa kutumia silaha zote walizo nazo, mabomu na makombora, eneo linageuka mchana kwa mianga ya mabomu na makombora, watu wanajeruhiwa na wengine wanapoteza maisha, vita ni kubwa kupita kiasi, wakati UMD wanakaribia kulishinda jeshi la polisi, mara wanaanza kushambuliwa toka upande wa kushoto nao ni marine Special force, ambao kazi yao sio ndogo na hainakujaribu

UMD wanaona mambo magumu, Kobwe anapoteza maisha katika mapambano, lakini Kadumya na Kafulu wakiwa wameishiwa risasi wanatokomea porini, na kuutafuta uelekeo wa mjini ili wakafanye mpango wa kusafiri kurudi kambini kwao kule mpakani mwa tanzania na mbogo land, ndio wakati ambao Deus na Veronica walikuwa wanajaribu kusogelea nyumba yao ya maficho ili wakachukue gari na kuondoka zao wakiamini kuwa polisi wata kuwa kwenye mapigano na ndipo walipo waona watu wawili wanakuja upande wao, nao wakajificha na kuwatazama vyema.

Wakiwa wamejificha wanawatazama watu wale waliokuwa wanakuja kwa mwendo wa haraka bila tahadhari wakawasikiwa wanaongea, "nivyema ukamweleza mkuu kilichotokea" hii ilikuwa ni sauti ya JJ, yani Kafulu sauti ambayo Vero aliitambua kwa haraka sana, hapo Deus alichomoa kisu chake na kukaa tayari ni kweli walikuwa Kadumya na Kafulu, ambao walikubariana wapige simu kwa Chitopela, ili amueleze kilichotokea, nayo inapokelewa na general sixmund, ambae alikuwa ofisini anajaribu kuikagua ile simu, "hallow bwana Kadumya, unaongea na General sixmund, vipi unalolote la kumueleza ndugu yako, Chitopela?" ilimshtua sana Kadumya, ambae anashindwa kuogea na kubakia ameshika simu akitazama Kafulu, huku wakipunguza mwendo na kuwa kama wameshiwa nguvu za miguu.

Akiwa hajui lakufanya wala kuongea, mara ghafla wote wawili wakashtuka kuona kitu kama mnyama simba au chui kikiwavamia na kupita na na shingo ya Kadumya, ile kutahamaki kuwa ni binadamu tayari kafulu alikuwa amesha dungwa kisu cha tumbo na kuganda akisikilizia maumivu, huku anatazama yule mtu wa ajabu, "dereva" alisema kwa shida Kafulu, huku anatazama Deus Nyati, "yupo na mimi JJ, nadhani hicho ndicho unachostahili wewe mshenzi kwa yale yote uliyo yafanya na uliyotaka kunifanyia" Kafulu anageuka kumtazama mtu wa pili kuongea ambae sauti yake haikuwa ngeni masikioni mwake, alimuona Veronica aliekuwa amejawa na hasira kari sana, ambae hakusubiri kuambiwa alichukuwa na kumpokonya kisu toka kwa mpenzi wake Deus na kukishidilia tena tumboni kwa Kafulu, "hufaikuishi we mshenzi jambazi mbakaji" alisema Veronica huku anazidi kushindilia kisu mara kadhaa tumboni kwa Kafulu, hata alipo anguka chini alimfuata na kuendelea mpaka Deus alipomzuia, "Vero tayari amesha kufa, tunahitaji kuondoka hapa" alisema Deus, huku anatoa Veronica kwa Kafulu.******

Naaaam, Sixmund anapeleka ujumbe kwa mfalme kuwa kadumya amesha uwawa na Deus Nyati, maana aliskia maongezi ya tukio kuipitia simu ya Chitopela na Chitopela aliposikia kuwa kundi lake limeangamizwa alilia kama mtoto, akijua kuwa mwisho wake utakuwa mbaya kuliko ule wa sajent samuel doe.

Kijana Deus Nyati anafanikiwa kumfikisha Veronica kwa baba yake na yeye akakamatwa na Special Force kwa njia ya amani, nae akakubari kuongozana nao mpaka makao makuu ya jeshi la ulinzi, huku TSA wakishindwa kumpata, japo faida ilikuwa kwa Caroline, ambae anakutana kwa mara ya pili na kijana Deus, lakini safari hii kama shemeji yake, Deus anakabidhi ushaidi kwa TSA, ikiwa ni simu mbili yaani ya Songoro na Cheleji, ambazo zote zikaenda kutumika kama ushaidi kwa Ulenje, huku yeye mwenyewe akifikishwa katika mahakama kuu ya kijeshi, ambako anashinda kesi kwa kutolewa ushahidi na bwana Simba mdogo na binti Zamda mtoto wa kaka yake Simba, pia Veronica nae alitoa ushahidi, kwamba Deus hakuwa muhalifu ila alisaidia kuokoa watu katika njia ngumu, mwisho akaachiwa huru kwa maelekezo kwamba arudi jeshini, kitu ambacho Deus alikifanya, lakini baada ya mwezi mmoja aliandika barua ya ombi la kuacha kazi, huku akiwa amepokea ujumbe toka kwa king Elvis ambae alitaka aende nchini mbogo land.

Ulenje na wafuasi wake waliobakia kama wakina Othmani, walifikishwa mahakamani na kuhukumiwa kifungo cha maisha jela, huku bwana James akienda kukamilisha ushaidi wa kwamba Chitopela ndie mpangaji wa mipango yote ya mapinduzi, ambapo Chitopela alipatikana na hatia na kuhukumiwa kifo cha tumbo la ng'ombe wa chuma, alilia sana Chitopela akiomba msahama lakini haikuisaidia kitu, zaidi ni kwamba bwana Frank Nyati alipewa heshima zake kama kanali wa MLA, na serikali kumtaka yeye na familia yake kurudi Mbogo Land, kitu ambacho hakukipinga, alirudi nchini akiwa kama shujaa yani yeye na kijana wake Deus, na hii ilikuwa kwa bwana James, ambae sasa anavibari vya kuishi katika nchi mbili, huku binti yake Veronica akiwa ameolewa na kijana Deus, na sasa Veronica ni doctor wa Malikia Vaselisa, huku Deus akiwa ndani ya MLA mwenye cheo cha luten Kanali, na mkufunzi wa mbinu za mapigano na utumiaji wa silaha ndogo ndogo.

MWISHO HAKUWA MZURI SANA, HII NI KUTOKANA NA WAKATI MGUMU NILIONAO KWA UPANDE WA VIFAA VYA KUZALISHIA HADITHI, NAOMBA ISIJIRUDIE KWENYE KIAPO CHA DAMU KWA DAMU YA CAPTAIN CHUI... ASANTENI KWA KUWA NAMI MWANZO MPAKA MWISHO, MWISHO WA SIMULIZI HII NDIO MWANZO WA SIMULIZI NYINGINE, TUKUTANE KWENYE SIMULIZI IJAYO.
RAMADAN MUBAARAK ........
R.I.P UMD😱😱😭😭
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA MIA MOJA NA AROBAINI NA SITA
MTUNZI: Mbogo EDGAR
WHATSAPP: 0743632247 (KWAMATUMIZI YA OFISI TU)
TULIPOISHIA SEHEMU YA MIA MOJA NA AROBAINI NA TANO: "sasa huku walikuwa wanafwata nini, wakati hawakuwa wanakimbizwa na polisi yoyote, maana polisi walikuwa busy na dereva wa gari jeusi?" aliuliza Nyambibo, "inawezekana walikuwa windo lao lipo maeneo ya karibu, nadhani unakumbuka ujumbe tuliopewa kuwa popote atakapoonekana Deus Nyati asishambuliwe, maana jeshi la ulinzi linamuhitaji akiwa hai" alikumbusha RPC kinondoni….ENDELEA…..

Ambae baada ya hapo akamgeukia Othman, "ok! koplo askari wengine wapo wapi?" aliuliza nyambibo, huku anamtazama Othmani ambae kama wange mtazama vyema alikuwa amejawa na wasi wasi, maana alijua kuwa wanachokifanya hakikuwa sahihi, "wameelekea huko mbele, walikuwa wanawafatilia wenzetu waliokuwa wanawakimbiza maadui" alijibu Othman.

Baada ya jibu hilo, ikatolewa amri ya kusonga mbele na magari yakaendelea kusonga mbele, ambapo hatua chache mbele wakakutana na miili mingine ya askari ikiwa imelala barabarani, hii iliwashtua sana, hasa kamanda Nyambibo, ambae alitoa amri ya kusonga mbele, huku wakiacha gari moja lenye askari watano waipakie miili kwenye gari.

Magari yalisonga kwa kasi ya ajabu, pasipo kujua kuwa walikuwa wamesha karibia eneo la tukio, huku askari wakiwa na tahadhari kubwa sana, maana hawakujua adui yao yupo upande gani na ana uwezo kiasi gani, ukichukulia ndani ya usiku mmoja tayari wenzao kadhaa walisha poteza maisha.

Naam magari yanaibukia kwenye eneo la wazi, lenye nyumba ambayo ilikuwa haijamaliza ujenzi wake, ambapo gari la mbele lilisimama kwa brake za ghafla baada ya kuona magari mawili mbele, huku magari mengine ya nyuma yakisimama kwa mtindo huo huo, hali iliyozuwa taharuki na askari wakianza kuruka hovyo hovyo toka kwenye magari na kukimbilia vichakani kutafuta maficho sambamba na wakuu wao wakidhania kuwa adui ameonekana huko mbele, lakini wakashangaa kuona waliokuwa kwenye gari la mbele, wakishuka toka kwenye gari na kuanza kutembea kuyafuata magari ya mbele, ambayo yalikuwa yameeshambuliwa na risasi chache.

Hiyo haikuwa shangazo kwao, ila walishangaa na roho zao sekunde chache baadae, baada ya kuona miili ya watu wanne waliokuwa wamelala chini pembeni ya magari yao, huku wakiwa wanachuruzika damu toka kwenye matundu ya risasi, kabla hawaja maliza kushangaa na kunung'unika wanaona miili mingine mbele yao, ina washangaza zaidi, hasa pale wanapo tazama mbele ya ile nyumba chakavu, ambapo waliona askari wengi walikuwa wamelala chini pembeni ya silaha zao, "mama yangu, nini hiki?" ilimtoka Nyambibo aliekuwa anatazama jinsi askari wake walivyo uwawa kama kuku waliotiliwa sumu, hakika alisahau hata kutoa amri ya kufanya msako eneo, kitu ambacho kilifanywa na RPC temeke, "zunguka eneo haraka, chochote utakacho kuta halali yetu" alisema RPC Temeke, na hapo askari wakaanza kuzunguka ile nyumba kwa tahadhari kubwa, huku wengine wakiwa wanatazama ile miili kwa maana ya kuikagua wakisaidiana na wakuu wao.********

Yaaap sasa turudi, #mbogo_land, pale Treanch Town City, kwenye nyumba ya siri ya MLA, katika chumba kilichopo chini ya jengo hilo kubwa la kisasa, ambako kila tunapo zidi kukisogelea chumba hicho tuna sikia sauti za mvumo wa upepo wa vuuuup!, ukifuatiwa na kishindo cha waaap!, ikimaliziwa na kelele za maumivu makali.

Tunapata hamu ya kuona kinachotokea, tunaingia ndani na sasa tunamuona bwana Chitopela akiwa uchi kabisa, amelala juu ya lile sanamu mfano wa mgongo wa ng'ombe, lenye kima cha mbuzi, huku akiwa amefungwa kwa vibanio vya chumba, shingoni, kiunoni, mikononi na miguuni, huku wale jamaa wawili wenye miili mikubwa na vinyago vya kutisha wakiwa wamesimama kushoto na kulia mwa Chitopela, huku wameshika mijeredi mirefu iliyotengenezwa kwa waya wa kopa.

Walichokuwa wanakifanya ndio kilitisha sana, maana mmoja alitulia mjeredi ukiwa chini, wakati mwenzie akiwa ameinua mjeredi kwa kiwango cha nyuma ya mgongo wake kisha anaushusha kwa kasi ya mia mbili kilomita kwa saa, vuuuuup nakukita mgongoni kwa Chitpela, waaap "mtaniuwa jamaniiii heeeee!" ilikuwa ni kelele ya kilio cha Chitopela, kilicho ambatana na maumivu makali kupita kiasi, lakini kama vile hawakuwa wanasikia kilio cha Chitopela, mtu ambae masaa machache yaliyopita alikuwa anasimama kama waziri wao, mwingine tayari alikuwa ameshainua mjeredi wake na kuhushusha kwa Chitopela, kama alivyofanya mwenzie ambae pia sasa alishainua mjeredi na kuushusha, na kila mjeredi uliposhuka mgongoni uliacha alama ya mchirizi ambao ulianza kutoa damu.

Mizunguko sita ya mijeredi ilitosha kukomesha kilio cha Chitopela, sio kwamba hakusikia tena maumivu, ila ni kwamba alishapoteza fahamu hapo kipigo kikasitishwa, "mfungueni mfungeni kwenye kiti cha mapenzi" alisema mmoja kati ya wale wachapaji, na hapo wale askari wawili kati ya wale wanne waliomleta chitopela wakamfungua chitopela toka kwenye mgongo wa ng'ombe, wakimnyakuwa juu juu, mpaka kwenye kiti chenye uwazi chini na kumfunga mikono na miguu usawa wa mapaja na kumuacha akiwa amezimia korodani zikiwa zina ning'inia kwa chini pale kwenye uwazi wa kiti sehemu ya kukalia.*******

Sasa turudi misegese, kule porini nje ya jiji la dar es salaam tanzania, ambako sasa Deus aliekuwa na mwanadada Veronica mita kadhaa, toka kwenye ile nyumba yake wamejificha wana watazama polisi waliokuwa wanachachalika kukuzunguka na kuikagua ile nyumba, huku wakipeana report, waliweza kusikia kila kitu na kuona baadhi ya matendo yao, "mkuu kuna watu wengine huku ndani" ilisikika sauti ya askari wa jeshi la polisi, "afande mmoja ni muhalifu mkubwa anaefahamika, ni bwana Uled Songoro alisema mwingine.

Wakati huo huo ikasikika report nyingine, "afande kuna chumba kinaonyesha kuwa kuna mtu anaishi humu" kwakuona hivyo Deus akaona kuwa atachelewa mpango wa wake wa kumpeleka Veronica kwa wazazi wake, hivyo akaachana nao na kuanza kujipanga na Veronica wake, "sikia Vero nitaenda kukuacha pale mbele, utanisubiri hapo mpaka nitakaporudi, usiondoke atakikitokea nini, lazima nitarudi kukuchukua" alisema Deus na Veronica akaitikia kwa kichwa, kukubaliana na mpenzi wake huyu.********

Naaaam, nusu saa baadae Chitopela anashtuliwa na maji ya baridi yaliyomwagwa mwilini mwake, anashtuka na kujikuta akiwa amekaa kwenye kiti ambacho ile sehemu ya kukalia ilikuwa wazi, kama vile yupo chooni huku korodani zake zina ning'inia, anatamani aziweke vizuri lakini anashindwa maana alikuwa amefungwa mikono na miguu, anainua macho yake anawaona wale jamaa wawili wakiwa mbele yake, "haya muheshimiwa raisi, nadhani sasa unaweza kujibu maswali yetu, kundi la askari lipo wapi?" aliuliza mmoja wao na hapo Chitopela, akatulia kidogo akitafakari kwamba akitoa jibu lazima atakuwa ameshapoteza uwezekano wa yeye kutoka mahali hapa, na pengine kuuwawa kabisa, hata hivyo ukweli halisi ni kwamba hapa kuwa na kundi lililosalia, baada ya wote kuuwawa kule kambini kwao na wengine wapo tanzania wakimsaka Deus wachukue fedha za kununulia silaha.

Ukweli hakuwa na ujanja zaidi ya kuleta kiburi ili waamini kuwa anacho anachojivunia, "mnadhani nikifa mimi peke yangu ni hasara kwa mapinduzi tunayo yatarajia, tena mapindu ambayo yataleta mauwaji makubwa hapa nchini" alijibu Chitopela kwa sauti iliyojawa na uchovu mkubwa wa maumivu, "tunakuuliza tena bwana Chitopela, kabla hatujakuletea mrembo akunyonye korodani, kama walivofanya wale warembo kule porini, kundi lako liko wapi na lipo na nani?" aliuliza tena yule jamaa, "ni vyema mkitambua kuwa sito wajibu chochote mpaka niongee na Sixmund, nimuambie kuwa hakuna kitu zaidi ya UMD kukaa meza moja na serikali na kuongea juu ya amani ya nchi hii" alijibu Chitopela, na hapo ni kama alifungulia kile kicheko cha kukera toka kwa miamba hii miwili.

"kaka nadhani mheshimiwa anahitaji mrembo wa kumburudisha" alisema mmoja wao, huku anafuata bakuri lililokuwepo juu ya meza ya chuma, kisha akasogea nalo pale alipokwepo chitopela na kufamnya bwana Chitopela aisikie harufu ya samaki wabichi, ni kweli ilikuwa ni shombo la samaki wabichi, aligundua ilo, mara baada ya yule jamaa, kuanza kupakaza ile shombo kwenye korodani za Chitopela zilizokuwa zinaning'inia uvunguni mwa kiti kile, "unafanya nini wewe" aliuliza Chitopela, huku akiwa mwenye wasi wasi na uoga mkubwa, maana hakujua maana ya kitendo kile, "subiri uone bwana Chitopela" alisema yule aliekuwa amesimama, huku anatembea kuelekea kwenye banda dogo la kisasa lenye paka wawili wakubwa wasio na meno, akafungua kidogo na kumtoa paka mmoja kisha akamuachia.

Hapo yule paka akunusa mara mbili, moja kwa moja akakimbilia kwenye vungu ya kiti alicho kalia Chitopela, hapo chitopela alishtuka nyanya zake zikizama mdomoni kwa paka, ambae sijui alikuwa anawaza nini, maana alipozidumbukiza mdomoni tu, akaanza kuzivuta kwa nguvu kwa kutumia fizi zake, lakini zikateleza na kutoka mdomoni, paka hakukubali kushindwa akadumbukiza tena zile kengere na kuzibana kisawa sawa, hapo maumivu makali aliyasikia bwana Chitopela, ambae alipiga kelele kama mtoto kwa maumivu aliyo yasikia, lakini hakuna aliemsikia wala kumuonea huruma, na yeye hakukata tamaa, hakuwa tayari kueleza chochote maana hakuwa na ukweli wowote wa kueleza.

Kiminyo cha paka kibogoyo, kilikoma baada ya chitopela kuzimia kwa mara ya nyingine, ikiwa ni mzimio wa tatu kwa usiku huu mmoja, wale jamaa wakatoa paka na kumrudisha bandani huku wakiwarushia chakula maalumu chenye radha na harufu ya samaki, "huyo muacheni hapo hapo, wewe andaa mtomolelo alisema yule mmoja.**********

Naaaam! makundi matatu ya UMD katika mwendo wa msambao, yani walitawanyika mwanzo mwisho mwa eneo ambalo walikusudia kulichunguza, katika mpango wa mbili juu, waliendelea kusonga mbele huku wakiwa makini kuangalia pande zote kuona kama kuna sehemu Deus Nyati atakuwa amejificha baada ya kuwaona maana walijuwa lazima angekimbilia upande waliopo wao.

Lakini wakiwa wanazidi kutembea mbele, mara ghafla wakashtuka kusikia "pah! pah! pah" ilikuwa ni milio ya risasi iliyoshambulia kundi la kulia mbele, "tumepigwa shambuliaaaa" alipiga kelele Kobwe na hapo ikasikika milimo mingi ya risasi toka kwa UMD makundi yote matatu, askari walishambulia huku wanakimbilia mbele kule ziliko tokea risasi, ambako ni kule walikokuwa wanaelekea wakiamini kuwa alieashambulia alikuwa mita chache mbele, hawakujua kuwa kuna kitu wanakiita hawakujua kama Deus anawachonganisha na askari polisi

Milio ya risasi ilisikika eneo lote la msitu, na kuwafikia jeshi la polisi ambalo lilikuwa kilomita kama mbili mbele yao, pamoja na special force Marine waliokuwa kule relini, "sikiliza toka kwangu, hao washenzi wanashambulia huku wanakuja huku kwetu, lazima na sisi tupambane nao, umakini wa hali ya juu unahitajika, sitaki kuona askari mwingine anapoteza maisha" alisema kamanda nyambibo, ambae mwisho akatoa amri ya askari kusonga mbele.

Wakati huo huo Special force wa pale relini, ambao lengo lao lilikuwa ni kumpata Deus Nyati akiwa hai, wakaona itakuwa vyema kama wataingilia kati mapambano yale, isije kuwa mtu wao ndie yupo kwenye matatizo, hivyo wakaingia porini na kusonga mbele, kwa njia ya pembeni lengo lao ni kuwa piga shambulio la upande.********

Naaam turudi TTCity, kwenye nyumba ya siri, ambako sasa Chitopela alikuwa amesha zinduka na kumuona mmoja kati ya ile mijamaa miwili, akiwa anaunguza kitu mfano wa spook ya baiskeri kwenye jiko lile la moto, kama vile anaechoma nyama, mwanzo alielewa kile kifimbo cha chuma kinakazi gani katika mwili wake, lakini dakika moja baadae akamuona yule jamaa akitoa kile kichuma kilichokuwa kimebadirika rangi na kuwa nyekundu, akikichukua na kumsogelea, kisha akashika dudu ya mzee huyu, ambae sasa alianza kulia kama mtoto, maana tayari alisha tabiri kinacho fuata, ni kwamba kile chuma kilikuwa kinaenda kupitishwa kwenye tundu la mkojo, ikiwa na moto wake, hakika moyo unasisimka, hii ndio mtomolelo, ambao sasa ulikuwa unasongezwa taratibu kuelekea kwenye kichwa cha dudu usawa wa tobo la mkojo, "niachieni nitasemaaaa" alipigalele Chitopela, na hapo yule jamaa akaacha kufanya alichotaka kufanya, "ok! ongea sasa, kundi lipo wapo na lipo na nani" alisema yule mmoja wao, huku mwingine akiwa anarudisha mtomolelo kwenye jiko.

Hapo bwana Chitopela, aliesema kuwa atasema, iliaachiwe, akawaza kidogo namna ya kuepuka kuwatia ghazab wawili hawa, aliwaza kidogo kisha akapata jibu, nitaongea na Sixmund, nita mueleza kila kitu, naomba msiningize mtomolelo" alisema Chitopela kwa sauti yenye kuombeleza, baada ya hapo wawili hawa wakakutana pembeni kujadili ombi la bwana Chitopela.**********

Naaam misegese wanaonekana UMD wakizidi kusonga mbele, mbio mbio, lakini wakiwa kati kati ya sambali yao, eneo lenye wanda wa juu, ghafla wanashtuka wakianza kushambuliwa kwa risasi, ambazo zinaonyesha wazi kuwa ni kutoka kwa kundi kubwa la watu na sio kijana Deus kama walivyo tegemea, hapo na wao wanaanza kujibu mashambulizi kwa kutumia silaha zote walizo nazo, mabomu na makombora, eneo linageuka mchana kwa mianga ya mabomu na makombora, watu wanajeruhiwa na wengine wanapoteza maisha, vita ni kubwa kupita kiasi, wakati UMD wanakaribia kulishinda jeshi la polisi, mara wanaanza kushambuliwa toka upande wa kushoto nao ni marine Special force, ambao kazi yao sio ndogo na hainakujaribu

UMD wanaona mambo magumu, Kobwe anapoteza maisha katika mapambano, lakini Kadumya na Kafulu wakiwa wameishiwa risasi wanatokomea porini, na kuutafuta uelekeo wa mjini ili wakafanye mpango wa kusafiri kurudi kambini kwao kule mpakani mwa tanzania na mbogo land, ndio wakati ambao Deus na Veronica walikuwa wanajaribu kusogelea nyumba yao ya maficho ili wakachukue gari na kuondoka zao wakiamini kuwa polisi wata kuwa kwenye mapigano na ndipo walipo waona watu wawili wanakuja upande wao, nao wakajificha na kuwatazama vyema.

Wakiwa wamejificha wanawatazama watu wale waliokuwa wanakuja kwa mwendo wa haraka bila tahadhari wakawasikiwa wanaongea, "nivyema ukamweleza mkuu kilichotokea" hii ilikuwa ni sauti ya JJ, yani Kafulu sauti ambayo Vero aliitambua kwa haraka sana, hapo Deus alichomoa kisu chake na kukaa tayari ni kweli walikuwa Kadumya na Kafulu, ambao walikubariana wapige simu kwa Chitopela, ili amueleze kilichotokea, nayo inapokelewa na general sixmund, ambae alikuwa ofisini anajaribu kuikagua ile simu, "hallow bwana Kadumya, unaongea na General sixmund, vipi unalolote la kumueleza ndugu yako, Chitopela?" ilimshtua sana Kadumya, ambae anashindwa kuogea na kubakia ameshika simu akitazama Kafulu, huku wakipunguza mwendo na kuwa kama wameshiwa nguvu za miguu.

Akiwa hajui lakufanya wala kuongea, mara ghafla wote wawili wakashtuka kuona kitu kama mnyama simba au chui kikiwavamia na kupita na na shingo ya Kadumya, ile kutahamaki kuwa ni binadamu tayari kafulu alikuwa amesha dungwa kisu cha tumbo na kuganda akisikilizia maumivu, huku anatazama yule mtu wa ajabu, "dereva" alisema kwa shida Kafulu, huku anatazama Deus Nyati, "yupo na mimi JJ, nadhani hicho ndicho unachostahili wewe mshenzi kwa yale yote uliyo yafanya na uliyotaka kunifanyia" Kafulu anageuka kumtazama mtu wa pili kuongea ambae sauti yake haikuwa ngeni masikioni mwake, alimuona Veronica aliekuwa amejawa na hasira kari sana, ambae hakusubiri kuambiwa alichukuwa na kumpokonya kisu toka kwa mpenzi wake Deus na kukishidilia tena tumboni kwa Kafulu, "hufaikuishi we mshenzi jambazi mbakaji" alisema Veronica huku anazidi kushindilia kisu mara kadhaa tumboni kwa Kafulu, hata alipo anguka chini alimfuata na kuendelea mpaka Deus alipomzuia, "Vero tayari amesha kufa, tunahitaji kuondoka hapa" alisema Deus, huku anatoa Veronica kwa Kafulu.******

Naaaam, Sixmund anapeleka ujumbe kwa mfalme kuwa kadumya amesha uwawa na Deus Nyati, maana aliskia maongezi ya tukio kuipitia simu ya Chitopela na Chitopela aliposikia kuwa kundi lake limeangamizwa alilia kama mtoto, akijua kuwa mwisho wake utakuwa mbaya kuliko ule wa sajent samuel doe.

Kijana Deus Nyati anafanikiwa kumfikisha Veronica kwa baba yake na yeye akakamatwa na Special Force kwa njia ya amani, nae akakubari kuongozana nao mpaka makao makuu ya jeshi la ulinzi, huku TSA wakishindwa kumpata, japo faida ilikuwa kwa Caroline, ambae anakutana kwa mara ya pili na kijana Deus, lakini safari hii kama shemeji yake, Deus anakabidhi ushaidi kwa TSA, ikiwa ni simu mbili yaani ya Songoro na Cheleji, ambazo zote zikaenda kutumika kama ushaidi kwa Ulenje, huku yeye mwenyewe akifikishwa katika mahakama kuu ya kijeshi, ambako anashinda kesi kwa kutolewa ushahidi na bwana Simba mdogo na binti Zamda mtoto wa kaka yake Simba, pia Veronica nae alitoa ushahidi, kwamba Deus hakuwa muhalifu ila alisaidia kuokoa watu katika njia ngumu, mwisho akaachiwa huru kwa maelekezo kwamba arudi jeshini, kitu ambacho Deus alikifanya, lakini baada ya mwezi mmoja aliandika barua ya ombi la kuacha kazi, huku akiwa amepokea ujumbe toka kwa king Elvis ambae alitaka aende nchini mbogo land.

Ulenje na wafuasi wake waliobakia kama wakina Othmani, walifikishwa mahakamani na kuhukumiwa kifungo cha maisha jela, huku bwana James akienda kukamilisha ushaidi wa kwamba Chitopela ndie mpangaji wa mipango yote ya mapinduzi, ambapo Chitopela alipatikana na hatia na kuhukumiwa kifo cha tumbo la ng'ombe wa chuma, alilia sana Chitopela akiomba msahama lakini haikuisaidia kitu, zaidi ni kwamba bwana Frank Nyati alipewa heshima zake kama kanali wa MLA, na serikali kumtaka yeye na familia yake kurudi Mbogo Land, kitu ambacho hakukipinga, alirudi nchini akiwa kama shujaa yani yeye na kijana wake Deus, na hii ilikuwa kwa bwana James, ambae sasa anavibari vya kuishi katika nchi mbili, huku binti yake Veronica akiwa ameolewa na kijana Deus, na sasa Veronica ni doctor wa Malikia Vaselisa, huku Deus akiwa ndani ya MLA mwenye cheo cha luten Kanali, na mkufunzi wa mbinu za mapigano na utumiaji wa silaha ndogo ndogo.

MWISHO HAKUWA MZURI SANA, HII NI KUTOKANA NA WAKATI MGUMU NILIONAO KWA UPANDE WA VIFAA VYA KUZALISHIA HADITHI, NAOMBA ISIJIRUDIE KWENYE KIAPO CHA DAMU KWA DAMU YA CAPTAIN CHUI... ASANTENI KWA KUWA NAMI MWANZO MPAKA MWISHO, MWISHO WA SIMULIZI HII NDIO MWANZO WA SIMULIZI NYINGINE, TUKUTANE KWENYE SIMULIZI IJAYO.
RAMADAN MUBAARAK ........
Asante sana mkuu
 
Nashukuru kwa hilo burudani.Angusha lingine la mbogo land kiongozi. Kama vile kiapo cha maskini,kumbe ni choo na zingine pia
 
Back
Top Bottom