Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Ukiipata naomba unitag
Simulizi: Nyumba ya majini
Na mwandishi wetu Sehemu ya 01, NYUMBA YA MAJINI “KAMA kuna watu hawayajui haya nitakayoyaongea basi nawataka kuanzia sasa wajue kwamba, hapa Dar kuna mambo makubwa sana ambayo ukisimuliwa unaweza kusema si kweli, lakini wale wanaoyapata hayo mambo wanajua na wewe usiombe yakukute hata siku...