Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana kagundulika sijui itakuajee?Mmh ... kiungo mshambuliaji ....kakuta vijeba wanne kwenye mlango wa ofisi yake... ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari, ajabu hata saruti hatapigiwa [emoji3][emoji3][emoji3]Mmh ... kiungo mshambuliaji ....kakuta vijeba wanne kwenye mlango wa ofisi yake... ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Pius sio wa kuhurumia hata kidogo.Namhurumia Pius, wakina h
Joe tayari wameshamzidi ujanja wakati huo huo kajiharibia kwa kuseha hakukubaliana na suala la silaha.
Ukiwa na furaha Sana ni rahisi kufanya upumbavu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba hicho cha Roho ya PakaView attachment 1028069
View attachment 1028070
Wakati tunasubiria mwendelezo mm namalizia huku riwaya za zamani hapa..
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Kama upo chugamaican tunaweza panga nikakuletea leoNaomba hicho cha Roho ya Paka
Waoooh leo nmeamka na bahati, twaweza chekiana leo basi jioni unipatieKama upo chugamaican tunaweza panga nikakuletea leo
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Pm me..Waoooh leo nmeamka na bahati, twaweza chekiana leo basi jioni unipatie
Hahahahaha vitabu vikubwa kuliko biblia.E.J. Shigongo hua simwelewi kabisa wakuu..Nimeshindwa kuvimaliza hivyo vitabuView attachment 1028693
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Hahaaa ila mm nasoma haraka sana sijawahi kuona.. labda kiwe kitabu kinachohitaji uchambuzi kama vy falsafa na Tech... Biblia nilipokua form one niliisoma yoooote kwa siku tano. Niliisoma kama hadithi tu ili nijue visa vyake.Hahahahaha vitabu vikubwa kuliko biblia.
Unasoma mwaka mzima hivi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee we kiboko. biblia kwa siku tano?Hahaaa ila mm nasoma haraka sana sijawahi kuona.. labda kiwe kitabu kinachohitaji uchambuzi kama vy falsafa na Tech... Biblia nilipokua form one niliisoma yoooote kwa siku tano. Niliisoma kama hadithi tu ili nijue visa vyake.
Kuna kama hivi hapa
Inatakiwa uende slow slow huku ukitafakari lasivyo utatoka mtupu au kitakuboa..
View attachment 1028731View attachment 1028733
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Napenda sana kusoma ila sio kwa speed hiyo. Na kitabu pekee kilichonishinda kusoma kuanzia mwanzo hadi mwisho bila kuruka page ni biblia. Huwa nakisoma kwa kuruka ruka tu.Hahaaa ila mm nasoma haraka sana sijawahi kuona.. labda kiwe kitabu kinachohitaji uchambuzi kama vy falsafa na Tech... Biblia nilipokua form one niliisoma yoooote kwa siku tano. Niliisoma kama hadithi tu ili nijue visa vyake.
Kuna kama hivi hapa
Inatakiwa uende slow slow huku ukitafakari lasivyo utatoka mtupu au kitakuboa..
View attachment 1028731View attachment 1028733
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Namshukuru Mungu kwa hili nasoma speed mno..Napenda sana kusoma ila sio kwa speed hiyo. Na kitabu pekee kilichonishinda kusoma kuanzia mwanzo hadi mwisho bila kuruka page ni biblia. Huwa nakisoma kwa kuruka ruka tu.