The Boldly
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,377
- 5,147
- Thread starter
-
- #381
Hapo ingekuwa sawa kama angeandika hivi; "I and the president" yaani "Mimi na Rais" na siyo alivyoandika ambapo katumia subjective pronoun "I", ambazo zingine ni kama; We,he,she, they.etc. Objective pronoun ni kama; them, him, her,me.
Hizo nilijifunza nikiwa primary darasa la tano miaka hiyo wewe hujazaliwa. Nyie Watoto wa siku hizi ni bure kabisa vichwani.😁😁😁😁
Anarekebisha nini sijui huyuMkuu, yeye sio mtunzi amekopi na kupaste shida nini??? Upewe source ya habari bas ukamrekebishe huko, hata hivo sio busara kumuita mwenzio mjinga ina mana nawe wajua vyote chini ya jua hili??? Kama hataki kuelekezwa si basi kulazimishana huko kueleweshana vipi?
Kichwa cha habari chenyewe hakiko vizuri; "The president and I" badala ya "I" ingekuwa "Me", na ingekuwa na maana ya "Rais na mimi".
Kwanza Kajifunze matumizi ya objective na subjective pronouns katika sentensi.
Tufanye umeshinda, ni hilo tu au kuna kingine unachokitafuta?Wewe ni mjinga mara 2, kwanza hujui na ,pili hutaki kujifunza.
Nimekuambia katika Lugha ya kiingereza kuna pronouns zinazohusiana nazo ni subjectives na objectives, sasa wewe hutoi hoja za kielimu kunipinga bali unaniita mimi mjinga!!, sasa nani mjinga kati yangu na wewe katika suala hili??.
I==me
He===him
She===her
They===them
Na hata katika moja ya "possessive pronoun" kuna mfanano wa aina hiyo, mfano My====mine.
Mkuu, yeye sio mtunzi amekopi na kupaste shida nini??? Upewe source ya habari bas ukamrekebishe huko, hata hivo sio busara kumuita mwenzio mjinga ina mana nawe wajua vyote chini ya jua hili??? Kama hataki kuelekezwa si basi kulazimishana huko kueleweshana vipi?
Tufanye umeshinda, ni hilo tu au kuna kingine unachokitafuta?
the Legend☆
Anarekebisha nini sijui huyu
Mjue nawapenda ebu achananeni na mabishano hii story nyie sio watunzi nyie mmeicopy na kuipaste ebu tuwekeeni story bwanaSijataka kuendelea kubishana na wewe sababu najua anaebishana na mjinga ndo huonekana mjinga zaidi
the Legend☆
Anarekebisha nini sijui huyu
Tufanye umeshinda, ni hilo tu au kuna kingine unachokitafuta?
the Legend☆
Sio wewe ambae ulianza kwa kusema mimi ni mtoto wa juzi, tena ni bure kabisa kichwani? We unanifahamu mimi au unaropoka tuu?Yeye angesema amekopi, wala isingekuwa shida.
Na nani aliyeanza kumwita mwenzake mjinga kati yangu na yake??, yeye ndiye aliyeanza.
Na mimi sijasema wala sitawahi kusema kwsmba najua kila kitu, ilavkwa kile ninachojua ni wajibu wangu kuwajuza watu. Sasa kosa langu ni lipi hapo??.
Sio wewe ambae ulianza kwa kusema mimi ni mtoto wa juzi, tena ni bure kabisa kichwani? We unanifahamu mimi au unaropoka tuu?
the Legend☆
Hii hadithi nilitokea kuipendas ana ila hii ya kuja unakuta sehemu ya kumi na sita mara ya tisa, imenifanya niachane nayo
Yaan we mwarabu kila story ni kulalamika tu mbona sisi tumesoma episode zote hivyohivyo soma tu utaelewa vizuri
Huo sasa ndo uungwana. Pamoja na kua jf hatuonani ila ni vyema kuheshimiana, hata inapotokea watu mkipishana kwa hoja ni vyema kuwekana sawa kiungwana, bila kuvunjiana heshima. Samahani sana pia kama nlikukwaza in one way or anotherSamahani sana, naomba unisamehe kwa hilo, haikua nia yangu "kukutusi" bali ilikuwa ni katika kukutania na ndiyo maana pale kwenye ile post niliweka gestures hizi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
unajua shida mi nachanganya devices situmii cm pekee sasa nakuta na mambo meusi tuu, alafu wewe mwarabu wamekutag, vitu vinashuka kwako auto, mimi kaka kuku wa kienyeji mpaka nichakue chakue
Sent using Jamii Forums mobile app
Anarekebisha nini sijui huyu
Ebu katuwekee story uko ya mkono wa chuma mnalipwa na haya mabishanoHuo sasa ndo uungwana. Pamoja na kua jf hatuonani ila ni vyema kuheshimiana, hata inapotokea watu mkipishana kwa hoja ni vyema kuwekana sawa kiungwana, bila kuvunjiana heshima. Samahani sana pia kama nlikukwaza in one way or another
the Legend☆
Sio sawa kusema "The president and I," inatakiwa kusema "I and the president" au inatakiwa kusema "The president and me."
Chukua huu mfano, Kama jinsi ni kosa kusema; "The president and he" badala ya kusema "The president and him".
Hizo tag zenyewe hata notification sipati shida ni hapo unapochanganya devices pole mno mwarabu
Yeye angesema amekopi, wala isingekuwa shida.
Na nani aliyeanza kumwita mwenzake mjinga kati yangu na yake??, yeye ndiye aliyeanza.
Na mimi sijasema wala sitawahi kusema kwsmba najua kila kitu, ilavkwa kile ninachojua ni wajibu wangu kuwajuza watu. Sasa kosa langu ni lipi hapo??.
Samahani sana, naomba unisamehe kwa hilo, haikua nia yangu "kukutusi" bali ilikuwa ni katika kukutania na ndiyo maana pale kwenye ile post niliweka gestures hizi 😁😁😁😁