Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Kule kwenye group umetupiga pini hatuwezi kuchangia chochote kama vile tumelipiwa kujiunga.
 
Kule kwenye group umetupiga pini hatuwezi kuchangia chochote kama vile tumelipiwa kujiunga.
Grupu ni la Simulizi lile mkuu kuna watu hawapendi meseji za kila saa ..pia messji zikiwa nyingi watu hawataona mwendelezo kwani wanaingia kusoma tu na kutoka ..Naomba uchangie hapa mkuu ..LEO nashusha mzigo kule ni wa Moto Asante
 
NICHEKI WATSAPP NIKUINGE GRUPU NAMBA NK 0687151346
 
Nikiitaka mwanzo mpaka mwisho naweza kuipata?
Haijafika mwisho ila inaendelea kwenye grupu kwa spidi ya 4G lipa 2000 nikuunge namba ni 0687151346 Airtel Au 0657195492 Tigo Au 0623367345 Halopesa Ukilipa nitumie message ya muamala watsapp kwa namba 0687151346
 
Tukutane baadae naweka vipande wiwili hapa
 
SEHEMU YA KUMI NA SABA

Kwa jinsi Roma alivyokuwa anaendesha gari , kila mtu alishangazwa na uwezo huo , Roma alikuwa akikwepa magari kama chizi kitendo ambacho wengi walidhania ni kama Muvi , dakika chache mbele alikuwa akiingia Mbagala , Roma aliendesha ndani ya mtaa huu uliokuwa na baadhi ya viwanda na kampuni za usafirishaji , lakini ile anakaribia nyumba anayoishi Najma , Alimuona Juma akiwa nje , alisimamisha Gari na kushuka haraka haraka.

“Niambie nini kimetokea?”Aliongea Roma huku akiona baadhi ya watu wakiwasogelea na walionekana kujua nini kimetokea.

“Kuna majambazi ambayo siyafahamu , yamekuja na kunitishia na bunduki na kisha wakamkamata Najma na kuondoka nae , huku wakiniachia maagizo kuwa nikitaka kumpata dada yangu akiwa mzima , niwasiliane na wewe na uende sehemu watakayo niambia”

“Sasa wamekuambia ni sehemu gani?”.

“Hawajaniambia wamesema watapiga simu ndani ya lisaa limoja”Aliongea Juma aliekuwa na wasiwasi huku wapangaji wakiwa wamewazunguka , kuna waliokuwa wakimwangalia Roma kwa wasiwasi ili kuona kama atakuwa na njia ya kumuokoa Najma , ila kuna wale waliokuwa wakishangaa mabadiliko ya Roma.

Baaada ya lisaa ni kweli simu ya Juma iliita na alipokea haraka haraka huku akiweka Loudspeaker na hata Roma kusikia.

“Dogo nadhani ushamwambia muhusika?”

“Ndio yuko hapa”

“Mpatie simu”Ilisikika sauti na Roma aliinyakua kutoka kwenye mikono ya Juma na kuweka silence huku akiiingia kwenye Gari yake na kufunga mlango.

“Ongea”.

“Roma hakikisha unakuja mahali ambapo tunakuambia kwa sasa na uje peke yako , ukifanya ujinga wa aina yoyote kama kutaarifu polisi Najma atakufa kifo cha kikatili sana”Ilisikika sauti hio.

“Nipe simu kwanza niongee na Najma siwezi kuja kabla sijasikia sauti yake mimi sio mjinga kiasi hiko”Aliongea Roma na dakika chache sauti ilisikika kwenye masikio yake.

“Najma uko salama?”

“Roma usije watakuua , wana siraha usifanye wanach..”Alipokonywa simu.

“Sikia Roma eneo ni Vikindu , hakikisha unakuja peke yako”Ilisikika sauti na kumfanya Roma akasirike na hio ni baada ya simu ile kukatwa na Roma hakujiuliza sana alitoa gari eneo hilo kwa spidi kiasi cha kufanya watu watumbue macho.

Roma alikuwa na hasira mno , kwanza kilichomkasirisha ni kwamba watu hao wamemuambia kwenda Vikindu lakini hawakuwa wameeleza Vikindu sehemu gani.

Roma baada ya kuingia ndani ya barabara ya Kongowe , alizidi kuendesha gari hio kwa spidi na ilikuwa na spidi kweli kwani zilikuwa zile gari za gharama ya hali ya juu , alikuwa akiyapita magari kama mwehu kiasi kilichofanya kuwanyanyua polisi wa barabarani.

“Shi**t huyu mpuuzi ni nani huyu anaendesha gari kwa spidi hivi kama hii nchi ya baba yake?”Alionekana mwanamke trafiki akiwa amekasirika mara baada ya kuisimamisha gari ya Roma lakini ilimpita bila ya kusimama na kumuachia upepo tu.

“Huyu hanijui vizuri ngoja nitamkamata tu”Aliongea mwanadada huyu mrembo huku wenzake wakiwa ni wenye kushangazwa na spidi ya gari iliowapita ndani ya eneo hili la Kongowe.

“Mage unaenda wapi?”

“Namfukuzia yule mshenzi, wasiliana na Trafiki wa mbele yetu uwape taarifa juu ya hio gari waizuie “Aliongea mrembo huyu mwenye kalio kubwa huku akikimbilia Pikipiki yake kubwa ya kijapani Kawasaki Ninja H2/R hii ni moja ya pikipiku ya kifahari sana na ni chache sana Tanzania , inaupiga mwingi sana hii pikipiki kwenye spidi , ina Zaidi ya 322bhp na imeingia kwenye kumi bora ya pikipiki zenye spidi sana duniani , thamani yake sio chini ya milioni 100 za kitanzania. .

Haikueleweka ni kivipi mtembo huyu Trafiki anaimiliki vipi kwani ni ya bei kubwa mno.

“Unafikiri ataifikia ile gari?”Aliuliza Trafiki wa kiume mweupe.

“Hio pikipiki ina upiga mwingi sana hio anaweza kuifikia ila inategemea na uwezo wake wa kuendesha”Aliongea Trafiki maji ya kunde.

Ni dakika chache tu Roma alikuwa ashafika Vikindu na kusimamisha gari huku akijiuliza ni uelekeo gani aelekee, alikuwa akiangalia daladala zilizokuwa zikiingia ndani ya stendi , lakini ile anajiuliza simu yake ilianza kuita tena.

Simama kwenye bango kubwa la Tigo hapo Stendi na kuna mtu atakufuata hapo”Roma aliangalia mahali sahihi pakuweka gari yake na kulisimamisha na kisha alishuka na kwenda kusimama chini ya Bango kubwa la Tigo.

“Hey! Brazaaa mambo ni vipi , kuna wana wameniambia nije nikuchukue nadhani wewe ndio Roma”Roma aliitikia kwa kichwa huku akimwangalia huyu kijana ambaye anaonekana kuharibiwa na madawa ya kulevya.

Baada ya dakika chache za kukata kona hatimae walivuka kiwanda kimoja amacho Roma hakukitambua kilikuwa cha nini , walipita upande wa kushoto na kusimama kwenye geti kubwa jeusi na mlango ukafunguliwa na Roma akaingia na hapa ndipo alipojua eneo hili ni la kuhifadhia nondo , kwani zilikuwa nyingi upande wa kulia , ni kama ghala.

Alitembea kwa kuongozwa na kijana huyo huku akiangalia baadhi ya mabaunsa waliokuwa wameshikilia bunduki za SMG wakilinda eneo hili kitendo ambacho kilimshangaza Roma , inakuwaje nhi yenye Amani kama hii kuna watu wanamiliki Siraha kiholela ila hakutaka kujisumbua maaana sio kazi yake, aliingia ndani na hapa ndipo alipomshuhudia Najma aliekuwa amefungwa kwenye nguzo, na kitambaa mdomoni , alionekana kuchoka kweli kweli alikuwa akitoa jasho kiasi kwamba baadhi ya Sehemu za Hijabu yake zimeloana.

Roma alimuonea huruma mrembo huyo kwa mateso aliokuwa akipitia , aligeuza macho na kuangalia mabaunsa haya Zaidi ya matano yakiwa na bastora na kisha aligeuka upande mwingine akimuangalia jamaa ambae alionekana kuwa ndio bosi kwani yeye hakushika siraha yoyote na alikuwa amekaa kwenye kiti na sigara yake mkononi.

“Roma unaonekana sana kumjali huyu mrembo, cheupe dawa mpaka ukajileta mwenyewe”Aliongea jamaa hili huku likionekana kutafuna bablishi.

“Nishafika mfungulieni Najma aondoke , ili tuongee shida yenu na mimi”Aliongea Roma kwa hasira.

“Acha upuuzi wewe , yaani unaniona mimi joka la kibisa , nimlete mrembo kama huyu ndani ya hili eneo halafu nimuache bila hata ya kumuonja”Aliongea Jambazi huyu huku akimshia kidevu Najma na kumuangalia kisha akaanza kumnusa usoni na shingoni.

“Kananukia vizuri na vijdomo vyake vidogo nadhani hata ka ‘K’ kake ni kadogo”Aliongea huyu jambazi mkuu na kumfanya Roma azidi kupandwa na hasira , ila hakutaka kufanya jambo lolote la kijinga kwani alihofia usalama wa Najma kwani watu hawa walikuwa wengi na wote walikuwa na siraha,Najma muda wote alikuwa mwenye kutokwa na machozi , alishindwa kuongea ila alionekana kumhurumia Roma kwani walikuwa wamemziba na matambala.

“Mfungeni kwanza , nataka nimfanye demu wake mbele yake”Aliamrisha na Roma alifungwa na yeye kwenye nguzo .

“Unajua kwanini nina shida na wewe fala?”.

“Wewe ndio umeniita hapa , naona unaanza kuuliza maswali ya kipuuzi”Aliongea Roma lakini alijikuta akianza kupigwa ngumi za Tumbo nyingi za haraka haraka na kisha akamaliziwa na Teke, kiasi cha kukohoa na kutema damu.

“Ulifanya kosa kubwa sana kulala na Rose,Mwanamke ambaye nimemhangaikia tokea anaingia ndani ya hili jiji , na wewe na hako kamashine kako ukajiona kidume, sasa leo nitahakikisha namto**mba huyu demu mbele yako , halafu nitahakikisha hautoki na hiko kibolo chako hapa ndani”Aliongea bwana huyu huku akionekana hakuwa ni mwenye utani kabisa.

“Hahaha .. sasa kama umemhangaikia ulishindwa nini kumpata , acha kuudhihirisha ubwege wako kwangu bwana , wewe ni fala tu”Aliongea Roma kwa hasira na kumfanya bwana huyo awaambie vijana wake wamsulubu Roma , kitendo ambacho kwa Najma kilimuumiza mno kwani ni kama alikuwa akipigwa yeye.

Roma alitema damu kwa mara nyingine na bwana huyu aliridhshwa na kipondo hiko na sasa kazi iliokuwa inafuata ni kukamilisha jambo lake kwa Najma.

“Ukimgusa huyo mwanamke nakuhakikisha nitakufanya kitu ambacho hutokisahau katika maisha yako”Aliongea Roma, kwani licha ya kupewa kichapo cha uhakika lakini alionekana kama hajapigwa vile.

“Ila lile jambazi kuu halikujali sana alimfungua Najma na kisha alimshika mkono kwa nguvu na akaanza kumvuta upande mwingine uliokuwa na maboksi.

“Kitendo kile kilimuuzi sana Roma kiasi kwamba mboni za macho yake zilianza kubadilika na kuwa za kijani na hata wale majambazi wengine walishuhudia hilo.

“Boss!”Aliita jambazi mmoja aliekuwa karibu na Roma , lakini kabla hajajibiwa alijikuta akiwa hewani na hakujua ni kwa namna gani , alipigwa na hapa Roma alikuwa amekata Kamba zote zilizokuwa zimemfunga .

“Mpige Risasi mbona mnamuangalia”Aliongea yule Jambazi kuu , lakini katika hali ambayo hata yeye hakujua imetokea vipi , aliskia sauti ‘Shwaa.. Shwaaa tiii …Aiii, Shwaa… Aiii..’ na mabodigai wote walikuwa chini huku wakiugulia maumivu.

Jambazi kuu alishangazwa na uwezo huo wa Roma na kuanza kutetemeka kwa woga , lakini sio yeye hata Najma alishangaa .

Wakati Jambazi hili kuu likiwa linashangaa , lilijikuta limefikiwa na Roma na kishikwa shingoni na kuning`inizwa hewani kwa mkono mmoja kitendo ambacho Najma ni kama alikuwa akiangalia Muvi za kihindi zile zenye uongo mwingi , yaani unakuta steringi kabeba gari na mkono mmoja.

“Sipendagi kutishiwa kwenye maisha yangu , pili Onyo mara moja ukirudia ni kifo, tatu sipendi watu wanaotumia watu wangu wa karibu kupambana na mimi Sababu hizo tatu zinanipa uhalali wa kukuondoa duniani maana wewe ni takataka”Ilikuwa sauti nzito kama ya Roboti.

“Najma Fumba macho mpaka nikwambie fumbua ”Aliongea Roma kwa sauti nzito na Najma alifumba kweli na ndani ya dakika mbili alimwambia fumbua na hapo ndipo Najma alipopigwa na mshangao , kwani majambazi yote manne yalikuwa yamelala chini huku yakiwa yamefunikwa na maboksi kwenye uso huku Roma akilipapasa lile jambazi kuu , lakini hakuambulia cha maana Zaidi ya pakiti ya sigara za SM na kuzichukua na kuweka mfukoni.

“Hawa wote ni maiti , ndugu zao watakuja kuchukua miili na sijui kama wanasafirisha au wanazika hapa hapa”Aliongea Roma bila wasiwasi na kumsogelea Najma ili amshike mkono , lakini Najma alirudi nyuma kwani alikuwa ni mwenye kutetemeka mno na alimuogopa Roma , hakumuona kama yule Roma aliekuwa akimjua na kumpenda ila huyu ni Roma mwinginekabisa mkatili na muuaji.

“Nifuate nyuma kama unaiogopa”Aliongea Roma na kuanza kupiga hatua na Najma japo alikuwa akimuogopa Roma ila alimkimbilia kwani aliogopa kukaa na maiti na isitoshe ilikuwa ni usiku.

Roma baada ya kukatiza kona ya chumba hiki alimwambia Asubiri kwa dakika chache lakini Najma hakusubiri , aitoka na kuangalia nje na hapo ndipo aliposhuhudia kwani alimuona Roma akitembea kama upepo flani hivi ulioambatana na kivuli cha mtu , na alichoweza kusikia ni ‘Crak shwaa..Aiii, Crak .. Shwaa ..Aii Crak.. Aiii Crak Crack;’.

Majambazi yote yalikuwa chini Roma akiwa ashayavunja shingo , yaani ni kitendo cha dakika moja tu , Roma ashamaliza kazi na aligeuka nyuma na kumuona Najma na kumuita kwa ishara ila Najma alizidi kumuogopa Roma.

“Najma nisamehe sana kwa kufanya mambo haya mbele yako , ila sikuwa na jinsi , sahau kabisa kilichotokea leo na nitahakikisha hakuna mtu anaekugusa tena”Aliongea Roma ila Najma hakujibu kitu aliishia kutoa machozi tu na kutangulia mbele.

Roma na yeye hakutaka kumuongelesha , alijuwa mwanake huyo atakuwa kwenye mshituko mkubwa sana , hivyo aliona muda pekee ndio utakao weza kumuweka sawa.

Baada ya kutembea kwa dakika kadhaa hatimae , walifika barabarani, alimuona kijana ambaye alikuja kumchukua akiendelea na upiga debe na Roma hakumjali sana , lakini ile anakaribia gari lake , aliona matrafiki wawili watatu wameegamia gari yake wawili wakiwa wanawake na mwingine akiwa ni mwanaume.

Na wakati huu macho yake yalikuwa yasharudi kwenye hali yake ya kawaida , na alikuwa Roma ambaye Najma alikuwa amemzoea , sio yule muaaji wa kutisha.

“Jamani habari zenu “Alisalimia Roma kama kawaida yake huku akitabasamu na Mage polisi aliekuwa akimfukuzia , aligeuza macho yake na kumwangalia Roma juu hadi chini, kwa muonekano wa Roma hakuonesha kuweza kumiliki ndinga kama hio na ndio maana baada ya kumuangalia kwa sekunde aligeuka na kuendelea kupiga stori na trafiki mwenzake wa kike huku akimuacha trafiki wa kiume akidili na Roma.

“Jamani mmesimama kwenye gari yangu nataka nikampumzishe huyu mrembo si , mnaona jinsi alivyochoka na pia giza kali hili”Hapo ndipo Mage aligeuka tena na kumwangalia Roma.

“Wewe ndio mwenye hii gari?”

“Ndio mrembo”

“Uko chini ya ulinzi kwanzia sasa , kwa kukiuka sheria za barabarani lakini pia kwa kuidharau serikali”.Aliongea Mage huku akiweka uso wa usiriasi.

“Mrembo nilikuwa na dharula ndio maana”

“Mpuuzi sana wewe , hata kama unadharula gani hii nchi sio ya baba yako kuendesha gari kama kichaa , unataka kusababisha ajali na usiku huu na mipombe yako”Aliongea Mage kwa hasira.

Roma aliona hana cha kujitetea , alimwangalia Najma alivyokuwa amechoka na kumuonea huruma.

“Utaenda na sisi mpaka polisi , usituletee shida kisa unaendesha gari la kuazima, Edwin endesha gari yake mpaka kituoni”Aliongea Mage na kumuamrisha trafiki wa kiume achukue funguo kwa Roma.Trafiki yule alitabasamu meno yote nje .

“Leo naenda kuonja kuendesha huu mchuma , Mungu anipe nini mimi nikimfikisha kituoni hata nikifa nitakuwa na Amani”Alijiwazia huyu trafiki kichwani mwake baada ya kupokea ufunguo

Najma , Roma waliingia kwenye gari na safari ya kuelekea kituoni ikaanza

SEHEMU YA KUMI NA NANE

Unaambiwa hakuna Trafiki aliekuwa akiwasumbua watu waliokuwa wakipita barabara ya Kongowe kama Mage, huyu Trafiki waendesha daladala na boda boda walikuwa wamembadilisha jina na kumuita ‘Mnaaa’, Mage alikuwa mzuri mno lakini hakuwa akifanania na usiriasi wake akiwa eneo lake la kazi , aliwanyoosha watu kisawasawa.

Mage anamiezi miwili tu tokea aanze kufanya kazi hii ya utrafiki na kilichomfanya kuwa trafiki ni adhabu aliokuwa amepewa , kwani Mage alikuwa ni Koplo polisi ndani ya kituo cha Osterbay jijini Dar es salaam , lakini kutokana na kumpiga mtuhumiwa mpaka kuzimia wakati akifanya nae mahojiano ndio kilichomfanya kupewa adhabu ya kufanya kazi kama Trafiki na kutolewa katika cheo chake.

Mwanzoni mkuu wa polisi alitaka amfukuze Mage lakini alishindwa kutokana na nguvu iliokuwa nyuma ya mrembo huyu , kwani inasemekana baba yake ni mtu mkubwa sana ndani ya ulingo wa siasa.

“Jina nani?”

“Roma Ramoni”

“Umri?”

“Miaka 24”

“Kabila”

“Mhehe”

“Uraia wako” Roma kimya .

“Jinsia yako?”

“Mwanamke”Jamaa yule wa kipolisi alimwangalia Roma kwa hasira na kisha kuendelea kuandika na baada ya dakika chache aliingia kwenye kijiofisi hiki afande mwingine.

“ Afande Dulla ,Mage amesema atadili mwenyewe na mtuhumiwa”Jamaa alionekana kukasirishwa sana jambo hili , kwani kwanza baada ya afande Dulla kuona gari kali ya Roma V8 aliamini huo ni mchongo Mungu amempatia usiku huo na aliona akiacha mchongo huo upite atakuwa fala.

“Huyu Mage ni mnoko sana tokea apangwe ukanda huu hakuna Amani na michongo imepungua”Aliongea Afande Dulla huku akitoka kwa hasira nje,hakuwa na cha kumfanya Mage kwani alikuwa akizijua tetesi kwamba Mage sio mtu wa kuwa nae adui.

Najma alikuwa asharudi nyumbani kwani hakuwa akihusika baada ya kutoa maelezo yake , aliekuwa amebaki kituoni alikuwa ni Roma , lakini jambo ambalo lililomkasirisha Roma ni kwamba Mage alichelewa sana , yaani alifika kituoni baada ya saa moja na Nusu.

“Kwanza huna leseni , pili nilivyokusimamisha ukajifanya mjuaji na kunipita , tatu spidi ya gari yako kwenye barabara hii yenye magari mengi ni kinyume na sheria , mpaka hapo una makossa matatu”Aliongea Mage , lakini wakati huu Roma alikuwa anamwangalia tu mrembo huyu huku akitafakari inakuwaje pisi kama hii ni Trafiki.

“Inakuwaje mrembo kama wewe ukawa polisi ,halafu unaonekana umeanza mzunguko wako wa mwezi jana”.Mage alizidi kukasirika.

“Huyu fala kajuaje nipo kwenye Period na nimeanza jana?

“Wewe Nguruwe unadhani upo mtaani hapa, au kwasababu unaendesha V8 unataka kujiona upo kwenu hapa?”

“Hehe…Inaonekana nimepatia”Aliongea Roma na ilikuwa kitendo cha dakika tu alisikilizia maumivu kwenye mguu wake maana Mage alirusha buti yake yenye kisigino kirefu na kutua kwenye mguu wa Roma kiasi cha kumfanya Roma ainame huku akisikilizia maumivu.

Baada ya kupishana kwa muda hatimae Mage alimpa adhabu ya Roma kulipa faini milioni moja kwa makossa yake yote matatu.

*****

Ni usiku muda wa saa saba Edna hakuwa amelala, haikueleweka kwanini alikuwa hajalala , ila alionekana ameshikilia kitabu cha kingereza kilichokuwa na Title ‘HOW TO THINK POSITIVE akiwa anasoma , ni dakika chache pekee alizosoma alisikia simu yake ikiianza kuita mfululizo kiasi cha kuichukua haraka haraka ila alipoangalia jina ni ‘Mbakaji’Alikuta akiendelea kuangalia ikiendelea kuita.

Ilikatika na ikaita mara ya pili na hapa hakuwa na jinsi na kuipokea kisha akaweka sikioni.

“Unataka nini?”

“Bebi ,Usiniambie ulikuwa umelala mumeo sijarudi”

“Sema shida yako nina usingizi mimi?”.

“Kuna polisi mrembo hapa anataka kuongea na wewe”Aliongea Roma .

“Hellow! habari za Kiza kinene, nadhani huyu mlevi ni mumeo , basi hapa ni kituo cha polisi Chalambe tunamshikiria mumeo kwa kukiuka sheria za barabarani na kuidharau Mamlaka na atatoka iwapo atalipa kiasi cha milioni moja za kitanzania kama faini”.

“Sawa”Aliongea Edna na kukata simu.

Baada ya kukata simu ile alionekna ni mwenye kukasirishwa na jambo hilo , ila alifikiria kwa dakika na kuona ni jukumu lake kutatua matatizo ya ndoa , kwani licha ya wawili hao kutokuoana kwa mapenzi , ila walikuwa ni wanandoa kihalali na walikuwa na wajibu wa kusaidiana.

Edna alitafuta jina kwenye simu na kisha alipiga , japo muda ulikuwa umeenda sana , lakini simu hio iliopokelewa.

“Nataka aachiwe kwa sasa nadhani unakumbuka nilikusaidia kupandishwa cheo , sasa hivi ni usiku sana sitaki aendelee kuwa kituoni”Sentensi ya mwisho Edna alioongea na kisha akakata simu.

Upande wa huku Mbagala chalambe ,Mage alionekana kuwa ndani ya maliwato huku akiwa ameshusha jezi yake ya kitrafiki huku mkononi akiwa ameshikilia pedi , Alitoa ile aliokuwa amejifunga na kisha akachukua ile nyingine mpya na kuiweka vizuri na kisha akajivalisha vyema nguo yake ya ndani na kupandisha jezi yake hio nyeupe na akanawa mikono na kutupia ile pedi iliotumika kwenye dustibin.

“Hivi huyu choko kajuaje mimi niko kwenye period”Alijiongelesha huku akijigeuza geuza kwenye kioo kuangalia kama ana alama yoyote ya damu inayomuonesha yuko kwenye Period, alijikagua kwenye mpododo wake ambao ni ugonjwa wa wanaume wengi lakini hakuona kitu.

“Au hapa mbele pametuna sana ,Mh! Lakini panaonekana kawaida”Baada ya kumaliza alichukua mkoba wake na kutoka kwenye maliwato.

“Mage kuna simu yako kutoka kwa mkuu”Aliongea Edwin na Mage alipokea .

“Mkuu haiwezekani huyu ni muhalifu na sheria inapaswa kuchukua mkondo wake , kwanini tumuachie”

“Mage nakuambia muachie sasa hivi , huyo mtu uliemshikiria ana koneksheni na wenye nchi, sitaki kuhatarisha kibarua changu ninasomesha bado , muachie haraka , halafu acha ubishi mkuu wako wa kazi akikuambia achia , wewe achia ,nikikuambia jamba jikakamue jamba hio ndio maana ya mwanajeshi kutii amri Ala”Huku simu ikikatwa na Mage alitoa sonyo.

“Edwin mrudishie yule choko vitu vyake aondoke”Edwin alishangaa ila hakuwa na cha kuongea Zaidi ya kufanya hivyo.

“Hey!Mrembo usicheze na wenye nchi”Aliongea Roma ilimradi tu kumkasirisha Mage aliesimama karibu na barabara.

“Siku nyingine nikikukamata nakuapia lazima uozee jela”.

“Hehehe..Sawa bibie , ila naona ushabadilisha”

“Nishabadilisha nini?”Aliongea Mage kwa mshangao na Roma hakujibu aliingia kwenye gari lake na kuondoka kwa spidi huku Edwin akiliangalia gari kwa matamanio .

“Huyu choko ukute mchawi huyu kajuaje nimebadilisha pedi huyu”Alijiwazia Mage huku akijionea aibu , alikiri katika maisha yake ya kibabe kama mwanamke ashawahi kukutana na watu wengi ila hakuwahi kuyumbishwa kama alivyoyumbishwa usiku huo,alikasirika maradufu na alijiapiza siku atakayo mkamata Roma hata kama ana koneksheni atamtia kwanza ukilema na mengine yataendelea.

Ilikuwa ni asubuhi saa kumi na moja Roma alikuwa akikata kiuno huku mwanadada Rose akitoa miguno ya kimahaba ya kila aina , mwanadada huyu mrembo alikuwa mwekundu kama nyanya , kwani alikuwa anakunjwa , aligeuzwa geuzwa kama andazi linalokaangwa huku likirukaruka , alikuwa akibonyezwa bonyezwa kama embe huku ametoa ulimi kama anakata moto ni Zaidi ya dakika sabini zimepita Roma hajafunga goli hata moja huku yeye akipoteza hesabu ya idadi ya magoli aliokuwa ametupia.

“Roma tupumzike kwanza , kuna waka moto”.

“Tulia bebi namalizia chenga ya mwisho nitupie wavuni kama Mayele”Aliongea Roma na ndani ya dakika kumi alikuwa ametupia wavuni na kujitupa pembeni ya Rose.

“Bebi sidhani kama kuna mwanaume anajua kuto**mba kama wewe?”.

“Rose mpenzi usiniambie unawaza kufanya utafiti na ushapata idea”.

“Hahah.. yaani wewe , mimi nimeongea tu”Roma alitabasamu huku akimfinya Rose mashavu na muda huu wote wakiwa uchi.

“Halafu bebi ulitokea wapi jana , mbona ilikuwa usiku sana”.

“Halafu umenikumbusha , hebu kalete kwanza kiberiti nina sigara zangu kwenye suruali”Aliongea Roma na Rose alinyanyuka bila ya nguo na kwenda kuchukua kiberiti , alikuja nacho na kisha alipekua mfuko wa suruali ya Roma na kisha alitoa pakiti ya sigara na kuchomoa moja na kisha akampatia na kisha akawasha moto na kuunguza sigara ile na akaweka kiberiti pembeni na kurudi kwenye kitanda hiki kikubwa , huku Rose akiwa ameshikilia sahani flani ya udongo ,Roma alikuwa akivuta kidogo anaweka majivu kwenye ile sahani.

Ungemuona kitendo anachofanya Rose ungedhania ni wanawake wanaotumika kuwafurahisha wafalme kwenye majumba yao(maids) , hakuwa yule Rose ambae anaongoza kundi la Tembo na kuogopwa na walio chini yake.

“Kuna mpuuzi jana amemteka Najma , na kunitishia Amani huku akijinadi kwamba wewe ni wake na mimi nilikosea sana kulala na wewe”Rose alishangaa lakini pia aliwaza ni mtu gani mwenye uwezo wa kufanya jambo hilo na hapo hapo jibu alilipata.

“Unataka kuniambia Karimu ndio aliefanya hivyo?”

“Sitaki hata kumjua jina ni mpuuzi mmoja hivi mwenye nywele za kisomali”Huku akitoa moshi wa sigara na kufanya chumba kijae harufu ila Rose hakujali.

“Ni karimu bebi huyo , unakumbuka ile siku zile bia za ofa kwenye bethidei yangu , basi yeye ndioe alielipia gharama zote”Roma alielewa.

“Kwa hio ilikuwaje mpenzi?”

“Jibu unalo Rose”Alitoa macho.

“Unamaanisha..”

“Ndio nimemuua na vifaranga vyake vyote nadhani ndugu zake watakuwa wanaomboleza kwasasa kama wamepata taarifa”.

“Ila mpenzi ikijulikana wewe ndio umemuua inaweza ikakuletea shida , baba yake Karim ni meya , lakini pia ni mmiliki wa kundi la Black Mamba ni kundi kubwa sana kuliko la kwangu na linajihusisha na mambo mengi , kama kuuza viungo vya binadamu nje ya nchi , usafirishaji wa meno ya Tembo , Madawa na mengine mengi ambayo si halali katika ulimwengu unaonekana, na huyo Karimu ndio mkuu wa kundi hilo ila maagizo yote anapokea kwa baba yake , lakini pia inasemekana, baba yake Larim na The Doni wanaukaribu ambao unahisiwa kuwa ni undugu”Aliongea Rose kwa kirefu na kumshangaza Roma.

“The Doni?” Alishangaa Roma

ITAENDELEA
JAMANI KWENYE GRUPU INAENDELEA KWA SPIDI YA 4G NJOO NIKUUNGE , NICHEKI KWA NAMBA 0687151346 KILA ISKU NAPOSTI VIPANDE VITATU.


Sema Mwamba Roma anakula maisha ni balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…