Chubby a.k.a lanlan nimekaa paleeee nakusubiri[emoji16]kwa grup tunaelekea 400[emoji23][emoji23] aloooh mambo ni moto huko mbelee achaa kabisaa
Asamehewe[emoji23]Kuna mtu kakilAzimisha kusomaa?
to be honest wewe una roho mbaya sana.Singano fupisha hii hadithi.umeivuta sana inakosa mvuto.nnachokiona utaishia njiani.utatuacha kwenye mataa.tukio moja la Roma kuwa Japan limechukua hadithi yote.
Mimi siku hizi akituma huwa nasoma sehemu za Edna na Roma peke yake. Sehemu zingine hazisisimui!!!!!to be honest wewe una roho mbaya sana.
Hii nayo ni sampuli mpya nimekutana nayo! Anatamani stori iwahi kuisha wakati sisi wengine tukikutana na stori yenye creativity kubwa kama hii tunatamani iendelee tu. Maana kila tukio linashawishi kusubiri kitakachofuata. Characters wamekaa vizuri sana. Kwangu ndo kwanza mvuto unazidi.Singano fupisha hii hadithi.umeivuta sana inakosa mvuto.nnachokiona utaishia njiani.utatuacha kwenye mataa.tukio moja la Roma kuwa Japan limechukua hadithi yote.
hapo husomi Ili kuelewa Bali kupoteza muda.Mimi siku hizi akituma huwa nasoma sehemu za Edna na Roma peke yake. Sehemu zingine hazisisimui!!!!!
Upo sahihi kakahapo husomi Ili kuelewa Bali kupoteza muda.
si ajabu hata malengo ya Yan Buwen huyajui.
hapa hata sishangai usipojua kuwa huyo dogo anayependwa na Edina ni moto wa Roma na Edina ni mamake mdogo.
Mbn ameshamla kule mwanzo wa story[emoji848]Kitu cha kusikitisha ndugu wapenzi wasomaji ni kuwa mpaka mwisho wa stori Roma hata mtia Edna mpaka mwenye mali atakaporudi seventeen
Ile siyo ya hiyari jamaa alibeba mzogaMbn ameshamla kule mwanzo wa story[emoji848]
Chubby a.k.a lanlan nimekaa paleeee nakusubiri[emoji16]
[emoji848]Kitu cha kusikitisha ndugu wapenzi wasomaji ni kuwa mpaka mwisho wa stori Roma hata mtia Edna mpaka mwenye mali atakaporudi seventeen
Amle mara ngap masta[emoji23]Kitu cha kusikitisha ndugu wapenzi wasomaji ni kuwa mpaka mwisho wa stori Roma hata mtia Edna mpaka mwenye mali atakaporudi seventeen
If you know, you know[emoji23][emoji23]uje paleee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
If you know, you know[emoji23][emoji23]uje paleee
Amle mara ngap masta[emoji23]
Ile mara moja yenyewe hadi Edna aliomba ndoa ile mwamba aligusa masaa mawili mfululizo, uyu Roma ni mimi mtupu[emoji23]kamla mara moja ile ya kiwizii tunatakaa mahaba ya kukubalianaa[emoji23][emoji112] hata na ivoo mpaka sasa dalili hakuna tho mambo yapo bul bul[emoji39][emoji39] nyiee nunueni muenjoy mnapitwa na mengi mjuee