Ni muhimu kuwa na subira.Haya mambo ndo huwa yanafanya sisomi story za watunzi wa bongo sasa hapo kaishia kati mtu huelewi kam ndo mwisho ama inaendelea.. halafu kuendelea kwenyewe hakujulikani lini.. unakuwa mtumwa wa hiyari
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimeshapita babe tuko pamoja,shukrani nyingi zimuendee bibie shunieMambo si ndio haya.
Cc moneytalk huko makaburini umepita[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama bado twende
Haya ngoja mie nipite huko...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimeshapita babe tuko pamoja,shukrani nyingi zimuendee bibie shunie
[emoji15] [emoji15]Mkweee, viatu vimekuenea vizuri Sana mama!!
Endelea mkuuDuuu
sa hv umeshika usukani wewe?
sa hv unatupia wewe
Nahisi mjukuu wa chifu aliitwa tena kuzimu kwenda kuchukua episode nyingine bado hajarejea, tuvute subra.endelea