Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Sehenu ya 1.
Kwa jina naitwa Lucia Bakande, ni binti wa baba msukuma na mama mnyarwanda, mtu anaponichimba kutaka kujua kabila huwa nashindwa nitaje ni kabila gani maana sijui kuongea kisukuma wala kinyarwanda, nilizaliwa na kukulia Dar pahali ambapo wazazi walikuja miaka mingi iliyopita wakiwa watumishi na wakanunua kiwanja kikubwa na kujenga nyumba nzuri Mbezi (kibamba) Luguruni, baba alikuwa mtumishi wa serikali na mama akiwa ni mtumishi wa taasisi ya kimataifa.
Elimu yangu ya msingi hadi chuo kikuu niliipatia hapa hapa Dar ambapo kitaaluma ni mwanasheria mwenye shahada niliyojipatia pale UDSM Mlimani 2009.
Kwetu tulizaliwa watoto wakike tupu na tupo watano mie nikiwa ni wa mwisho kuzaliwa. Wazazi wetu walitulea katika misingi mizuri walijali sana elimu na walihakikisha sote tunapata elimu ya juu na tuliipata.
Mchanganyiko wa damu ya kinyarwanda na kisukuma ulileta mabinti warembo sana mie nikiwa kitinda mimba miongoni mwa hao warembo, na nilikuwa mrembo haswaa
Nilipojiunga na chuo pale Mlimani ndio nilijua kuwa kuna wanaume wengi sana wanaovutiwa na urembo wangu. Wanaume hao wakware wakaanza Kupishana kila uchwao wakinivutia pumzi kila siku kila saa ili wanipate kama wanavyowapata kirahisi mabinti wengi wa chuo.
Binafsi nilikuwa na malengo niliyojiwekea kwamba sitaingia kwenye mahusiano hadi pale nitakapohitimu masomo na kupata kazi. Nilijijengea heshima yangu kwa kuwa msichana mwenyewe msimamo nisiyejihusisha na makundi yoyote hapo chuoni na mara nyingi nilikuwa nazingatia kilichonipeleka chuo, kwa kiasi kikubwa niliwakatisha sana tamaa wakware wa chuo.
**************************************
Sehemu ya 2.
MAHUSIANO YA KWANZA YALIVYOANZA HADI KUVUNJIKA.
Nikiwa nafanya research katika taasisi ya LHRC nilikutana na kaka mmoja hivi mtanashati mcheshi named Jacob, huyo mkaka alikuwa mtu wa heshima yake, mtumishi katika Public Organization akiwa chief accountant katika hiyo public organization kubwa hapa bongo. Mwamba Jacob alianza kujenga ukaribu na mie siku hadi siku hadi tukawa marafiki wa faida.
Mwamba Jacob alinivutia sana kutokana na ucheshi wake kwangu na vile alivyokuwa anani treat alionekana wazi kunipenda kimapenzi. Kwa wakati huo nikiwa bado binti nisie na uzoefu wowote katika tasnia ya mapenzi nilijikuta navutiwa na mwamba Jacob na hadi nahitimu chuo tulikuwa wapenzi tuliokubaliana tuwe familia siku zijazo.
Baada ya graduation nilianza kupambana kutafuta kazi sehemu mbali mbali ndani na nje ya nchi. Ni wakati huo pia nikawa nakuwa karibu sana na mwamba Jacob maana Ilitokea mara nyingi sana akawa anakuja kunichukuwa tunaenda kuvinjali beach yaani mwamba Jacob alinifanya nikazijua beach zote hapa bongo,alinifundisha jinsi ya ku swim beach hadi nikawa mzoefu wa ku swim. Kadri siku zilivyo endelea tulijiachia sana hadi ikafika wakati tukasex.
Ilitokea siku moja mwamba alinichukua na kunipeleka pahali tulivu maeneo ya Kigamboni ambapo siku hiyo tulikula na kunywa kwa utulivu kabisa. Sikujua kuwa siku hiyo mwamba alikuwa na plan yake kichwani. Ni siku hiyo ndiyo mwamba aliniingiza katika ulimwengu mpya, Jacob alinibikiri, nilisikia maumivu lakini niusikia pia utamu .
Nilikuwa katika hali ya ulevi lakini nakumbuka jinsi mwamba alivyokuwa ananifundisha na kuniongoza how to make love, he kiss my cheeks, bosom, throat, lips, breasts, and forehead hadi nikapoteza fahamu kwa kuhamia katika sayari nyingine. Jacob alinifundisha how to kiss, na kwa kupitia huyu mwamba I knew all types of kisses like The upper lip kiss, Clasping kiss , Bent kiss, Pressed kissing, Straight kiss, French kiss etc.
Mpaka wa leo hii nimesalia ktk uraibu wa mabusu, niliyapenda sana kwa sababu ya darasa la mwamba Jacob.
Nilifanya sex na Jacob baada ya kuwa amenishawishi kwa muda mrefu sana bila mafanikio hadi siku hiyo aliponipeleka huko pahali tulivu yakatokea yaliyotokea. Nilionja mvinyo na akili ikakaa kando akaninyandua pasipo upinzani wowote, na hatukutumia kinga kabisa.
Baada ya mnyanduano kumalizika ndipo akili ikarudi nikaanza kumlaumu Jacob kwa kunitenda hivyo, jamaa aliniambia nimentesa siku nyingi hivyo aliamua kukomesha mateso na alinitaka nisihofu kitu hata ikitokea nikawa mjamzito atanioa, mimi ni wake wa kufa na kuzikana . Basi tangu siku hiyo tukawa tunakutana sehemu tulivu tunapeana(hasa mabusu)na kunyanduana kwa raha zetu.
**************************************
Sehemu ya 3
KUVUNJIKA KWA MAHUSIANO YANGU NA JACOB.
Baada ya mwezi kupita tangu tukio lile la mnyanduano kwa mara ya kwanza lifanyike na tukaendelea kufanya, nilianza kuhisi hali isiyo ya kawaida, kichefu chefu kikaniandama na kunifanya niwe mtu wa kupenda kulamba ndimu heeeeh kumbe nilikuwa nimenasa ujauzito. Nilijilaumu kwa kujiachia kizembe hadi kupata ujauzito katika njia isiyofaa.
Nilimpigia simu Jacob na kumjulisha kuwa mimi ni mama kijacho na nilimtaka tuonane ili tuweke sawa mambo.
Kiukweli nilimfahamu Jacob kijuu juu tu wala sikuwahi kufika maskani yake na wala yeye hakuwahi kunishawishi nifike aishipo Ila yeye alipafahamu kwetu na alikuwa anakuja kunichukua tutokapo out na kunirudisha home kwa usafiri wake (private car). Na tuliendelea kuwa watu wa kukutana sehemu tulivu tu hadi nilipopata ujauzito.
Mwamba Jacob alinielekeza tuonane sehemu tulivu jioni kwa mazungumzo kuhusu mimi na ujauzito.
Jioni ilipofika tulikutana na kuzungumza na katika mazungumzo hayo ndio siku hiyo nikajua kuwa Jacob ni married man ambapo mkewe alikuwa masomoni huko UK.
Jacob aliniambia kuwa atanitunza kwa kila hali mimi na mtoto Ila hataweza kunioa kwa sababu dini yake hauruhusu ndoa ya wake wengi.
Nilichukia sana siku hiyo na nilimchukia sana Jacob kiasi kwamba nilikatisha mazungumzo na kuamua kuondoka pasipo hata kumuaga.
Nilibaki nikijiuliza sana alimaanisha nini kila mara aliponiambia kuwa atanioa mimi ni wake wa kufa na kuzikana ilhali ana mke. Nilipata jibu moja tu "alinidanganya".
Sikuwa na jinsi niliamua nisonge kivyangu japo nilikuwa na maumivu makali mno. Na japokuwa jamaa aliniahidi kunitunza mimi na mwanangu mimi nilisimama kivyangu nikalea ujauzito hadi nikajifungua my first born prince Caleb. Dogo alimfanana sana baba yake, nilimlea hadi akakua nikiwa naishi home. Kuhusu kuzaa kabla ya ndoa hili halikunifurahisha mimi na hata wazazi ila tulilimaliza na maisha yakasonga.
Maisha yalisonga baadaye nilipata kazi katika advocate company moja huko Arusha, maisha yalikuwa mazuri sana nikiwa huko na nilioneka kama mdada ambaye hajawahi zaa mtoto. My prince Caleb nilimwacha na bibi yake na alikuwa anazidi kukua na kunawili vizuri sana.
Arusha nilipanga Kaloleni katika nyumba zinazomilikiwa na AICC. Ilitokea siku moja mwamba Jacob alinifuata huku Arusha, huyu mwamba nilikataga kabisa mawasiliano naye ili nijijenge upya ila jamaa hakuacha kunifatilia kwa sababu ya prince Caleb mwanaye.
Sasa alipokuja Arusha alinifuata ili tuongee kuhusu prince Caleb kwamba anataka amchukue akae naye na atamlea na kumsomesha hadi elimu ya juu. Sikumpinga kwa hilo namjua mwamba yupo vizuri kiuchumi na nilijua alimaanisha alichosema. Pamoja na hayo sikumpa jibu la ndiyo papo kwa papo bali nilimwambia tutamalizana kuhusu hilo jambo ila sio kwa sasa hivyo asubiri nitakapokuja Dar.
Baada ya mazungumzo hayo mwamba alionesha dalili zote za kutaka kulala kwangu japo alikuwa kafikia Naura spring hotel aliniomba alale kwa usiku wa leo tu. Nilimjibu kistaarabu kabisa kuwa hakuna nafasi kwa yeye kulala kwangu.
Jamaa alikaza shingo baada ya kumwambia hivyo, na ilibidi niwe mkali hasa baada ya kukumbuka yaliyopita na nikamwambia kamwe haitatokea tena kwa mimi na yeye kulala pamoja ni vyema aondoke vinginevyo nitaita walinzi wamtoe kinguvu. Jamaa alielewa na aliaga akaondoka.
Jacob ninamtambua na kumheshimu kama baba wa my first born prince Caleb na si kama mpenzi wangu, msimamo huo nilimpa mara tu baada mahusiano yetu kufikia tamati
Nilimpa ruhusa ya kumchukua Caleb aishi naye na anamlea hadi leo my prince anaendelea na masomo now yupo kidato cha pili, mimi na mwamba Jacob huwa tunawasiliana sana ila zaidi ni kwa sababu ya Caleb.
Baada ya kuishi na kufanya kazi huko Arusha kwa takribani miaka mitatu niliamua kubadili mazingira baada ya kuona nafasi ya kazi huko lake zone so nilichangamkia hiyo nafasi na nikaipata.
**************************************'
Sehemu ya 4.
KUHAMIA LAKE ZONE NA MAISHA YA AWALI YALIVYOKUWA
Baada ya kuipata ile nafasi ya kazi kule Lake zone nilireport na nilianza rasmi kufanya kazi huko mnamo April, 2013.
Kwa ile miaka mitatu niliyoishi na kufanya kazi huko Arusha kiukweli ilibadilisha sana muonekano wangu na kunifanya nionekane mrembo zaidi ambaye sina viashiria vyovyote vya kuwa mama niliyenyonyesha, japo nilikuwa tayari nimemzaa mtoto Caleb ambaye alishafikisha age ya 4 years.
Nilibadilika na kuwa msupuuu, pisi kali mwenye kuvutia, black flan hivi mrefu wastani💃.
Nilivutia sana na nilipendelea kuvaa viatu vya high heel kwa suit za kimini zenye heshima kila niendapo ofisini, binti nang'aa alafu nanukia muda wote, nilikuwa napaka kitu ya ambitions mixer na body spray ya seduction toka kampuni ya rasasi.
Hapo ofisini tulikuwa vijana kama watatu hivi pamoja na boss wetu na karani..
Nikiwa bado mgeni mgeni ikawa kila nikiingia job asubuhi ninapofungua tu mlango kila mtu anageuka kunitazama, na mie nawapa smile bomba na hug mradi tu niwanukishe na kuwafanya watulie kwa kusikilizia manukato mazuri.
Ukifika muda wa kukaa na boss ofisini kwake nilikuwa naingia kwa mikogo naisogelea ofisi ya boss naruhusiwa kuingia, nikifika namsalimia boss kwa adabu huku nikiwa nimepiga goti mpaka chini kama wafanyavyo mabinti og wa kisukuma, yaani nilikuwa napiga goti utadhani siyo mimi yule Lucia mtoto wa Dar.
Boss hakuwa anapenda nimfanyie hivyo so baada ya siku chache tangu nianze kumpa salamu huku nimepiga goti boss alianza mtindo wa kuwa ananiinua na kunihug then ananinong'oneza sikioni... "nooo mtoto mzuri usisumbuke kiivyo". Nami nikawa namwambia... "hapana you deserve it you are my boss unayenifanya ning'are hapa mjini na kuyamudu maisha... Wacha nikupe heshima yako baba".
Basi boss akaishia kutabasamu tu ila akaniomba niwe namfanyia hivyo tukiwa wawili tu ofisini na si zaidi ya hapo, nikamwambia poa baba.
Nilianza kuyazoea mazingira ya kazi hapo Lake zone. Sasa basi kama ujuavyo wanaume walivyo waroho kumbe yule boss naye alikuwa ni miongoni mwa wanaume waroho. Boss akaanza kunitongoza serious na ana mke na mkewe huwa anakuja ofisini mara kwa mara kwa sababu ofisi yake ipo jirani na ilipo ofisi yetu.
Madam mke wa boss alikuwa mwajiriwa wizara ya afya,
Kiukweli tulikuwa tunafanana mno na madam mke wa boss, yeye naye alikuwa chotara wa kisukuma kwa mama wa kinyarwanda kama nilivyo mimi ila yeye alikuwa mkubwa kama 15 yrs mbele yangu.
Cha ajabu yule madam hakuwa akinipenda kabisa na sikujua sababu ni nini, na hadi staff wengine waligundua hilo.
Pamoja na boss kuwa mtu wa kwanza kunitongoza hapo Lake zone binafsi sikupenda kabisa kujihusisha kimapenzi na mwanaume yeyote aliye mume wa mtu hivyo nikawa nampotezea tu.
Na kama ijulikanavyo katika ofisi za uwakili watu huwa hawaishi, tulikuwa tunapokea watu wengi wa aina mbalimbali na sometimes mabosi wa nguvu walikuwa wanakuja kwa wingi sana kuhitaji huduma, hivyo kero za kutongozwa na kila mtu miongoni mwa hao mabosi wa nguvu zikawa haziishi na wengi walikuwa wananitongoza kwa mahitaji ya kiwafurahisha ngono tu naliwapotezea tu kwa kuwakatalia, na ilikuwa kila ninayemkataa akawa hanielewi kabisaaa na kuendelea kunipa full usumbufu.
Kwa upande wa boss wangu Nathan aliendelea kunitongoza kwa kunipa mazawadi kama yote, akawa ananilipa mshahara mzuri mno ili nimkubalie, ila mi nilimwambia nooo coz sipendi kuwa na mume wa mtu na nikizingatia by the time nilikuwa nishapigwa na bonge la tukio na mwamba Jacob baba wa mtoto wangu kisha tukaachana kabisa, na nikawa nimeona kabisa nahitaji kuwa makini, hivyo nikajiwekea msingi kuwa nitulize komwe langu tu nitafute hela kwa ajili ya mwanangu na future yetu hadi hapo Mungu atakaponipa mume wangu wa kufanana naye. Boss akawa kama ananielewa kila nilipomkatalia japo alikuwa na kaubishi fulani hivi.
**************************************''
Sehemu ya 5
KAUBISHI KA BOSS NATHAN KALIVYOKUWA
Pale ofisini kulikuwa na kitchen na tulikuwa tunaingia humo kula, wakati mwingine kupasha chakula na hata Kunawa mikono.
Basi muda wa lunch kila niwapo ofisini nilikuwa naenda kitchen kwa ajili ya mlo, kumbe buana boss kisha nisoma siku nyingi, ikawa kila nikiingia kitchen boss anakuja kisha analock mlango, ananikumbatia wee, ananikiss sana hadi nikawa nasisimka na kumpa ushirikiano. Boss akaniomba nisiwe mchoyo wa kumnyima hata mabusu tu nami sikuona shida kwa hilo na kwa kuwa nilikuwa mraibu wa kisses nilikwenda naye hivyo hivyo nampa naye ananipa hivyo tukawa tunapeana tu yaani ilikuwa ndiyo mchezo wetu na alikuwa anapenda sana hiyo kitu nilimpagawisha zaidi nilipotumia ujuzi kwa kumfanyia all types of kisses nilizofundwa na mwamba Jacob.
Boss alivutiwa mno na macho yangu ya kuchambua mchele na mara nyingi alikuwa ananiambia wazi kuwa anashindwa kuvumilia anaponiangalia usoni na kuwaza tu kiss letu tamuu😋😋
Nilikisi naye mara nyingi sana huko kitchen na hata ofisini kwake ila sikuwahi kabisa kumvulia chupi . Alikuwa na kaubishi ka kutokubali kushindwa na akawa na bidii kwenye kukiss nami Ila hakuwahi nikula kabisa.
**************************************
Sehemu ya 6.
KUIBUKA KWA MSHINDANI WA BOSS NATHAN.
Sasa basi kati ya watu waliokuwa wanakuja ofisini Kuna mwamba mmoja hivi alikuwa captain mkuu wa meli, huyo mwamba alikuwa ni mchanganyiko wa msukuma na mnyakyusa named Erick.
Mwamba Erick alikuwa tall and black flan hivi smart mno romantic and very carering. Muda mwamba Erick alikuwa ananukia manukato ghali kuliko hata ninukiavyo mimi. Ilitokea kila tukutanapo akija ofisini mwamba alionekana kunielewa kinoma, tulibadilisha hadi namba za simu na na tukawa unawasiliana kila mara, akawa ananitumia kwa simu pesa ya lunch hata laki na nusu, yaani ananitext kuwa..... "nimetuma pesa kidogo kwa ajili ya lunch...." ninapocheck kwa simu bwaaana eeh nakuta katuma 150k wakati lunch letu la ofisini liligharimu 15k tu yaani nilikuwa nachanganyikiwa kabisaa... Ananiandikia sms.. "This is for lunch my princess 🥰🥰".
Nikawa najisemea huenda mwamba kavutwa na swaga langu la kichokozi kiuchokozii. Yaani Lucia nimekuwa mwenye kumfanya mtu tutafutane kila mara simuni na kutumiwa hela ya lunch?
Nilizoeana na huyo mwamba akawa anakuja hadi nyumbani kwangu tunapiga mastory ya kupagawishana. Yaani tulipagawishana hadi mwamba akanitongoza Ila sikukubali kabisa kuwa naye katika uhusiano wa kimapenzi maana nilimchimba kuhusu maisha yake kimahusiano akaniambia ukweli kuwa yeye ni married man, na nilimpongeza kwa kuwa muwazi
Hapa ofisini sikutaka kabisa mtu yeyote ajue kama jamaa tulikuwa marafiki mnoo wa kutongozana. Ilikuwa kila mara mwamba Erick atiapo nanga bandarini route za kuja ofisini kwetu haziishi mpaka boss Nathan akaanza kunishtukia kuwa huenda naliwa na Erick. Sikujua kama Erick aliwahi kuteta lolote kuhusu mimi na yeye ila nilijua baadae kumbe jamaa alishamwambia boss kuwa "nampenda Lucia kupita kiasi". Erick, pasipo kujua akajitangaza wazi yeye mpinzani wa boss.
Ilitokea siku moja bosi akaniuliza nina uhusiano gani na Erick, nikamwambia "is just friends na kama inavyoona ni mwanaume mwenye ndoa yake so I am not interested with such guy na ukizingatia nimekuja huku kufanya kazi". Baada ya kumjibu hivyo boss alielekea kunielewa maana yeye na Erick wote ni married men na hawapaswi kujitangazia ufalme kwamba "ni wapenzi wangu" so jibu langu kwa swali lake lilimnyamazisha mazima.
**************************************
Sehemu ya 7.
JINSI NILIVYOSHINDA JARIBU NDANI YA MELI.
Ofisi yetu ilikuwa sometimes Inapata case za kwenda mahakama kuu huko Rock city na niliwahi kwenda huko na boss kama mara mbili hivi.
Ilikuwa tukifika Rock city napewa posho yangu ya kula na kulala Ila binafsi nilikuwa napokea posho ya kula na kulala hotelini kisha naenda kufikia kwa mama mdogo mwenye house yake kubwa tu hapo city center, then asubuhi na mapema namfata boss Nathan tunajdili mambo machache kabla ya kuanza issues za mahakamani.
Mpaka wakati huo boss Nathan hakuwahi kunisumbua sana coz alishajua tabia zangu na msimamo wangu, japo hakukata tamaa kujaribu kunifukuzia Ila sio kwa kunisumbua hivyo hata tukiwa wawili tu safari kikazi hakuwa msumbufu kwangu.
Tukiwa Rock city kikazi kumbe buana hata mwamba Erick naye alikuwa ndani ya hilo jiji. Ilikuwa kawaida tukiwa jijini halafu na yeye akawemo ndani ya jiji anatutafuta tunapiga mastory na kunywa then tunasambaratika, hivyo tukiwa jijini na tumebakisha siku moja tumalize shughuli zetu kisha uondoke mwamba alijua na alitutafuta na kutushawishi tusafiri naye kwa meli yake na tulimkubalia.
Kesho yake usiku tulisafiri kwa hiyo meli ya mwamba Erick, mara nyingi meli zilisafiri usiku. Sikuwa nimewahi panda meli ila kwa ushawishi wa Erick nilipanda meli kwa mara ya kwanza kabisa.
Safari ilianza, tukiwa melini boss Nathan alikuwa busy na marafiki zake wengine wakijadili mambo yao. Erick alinichukua na akanitembeza kuvinjali ili kujua zaidi Mandhari ya melini. Nilijifunza mambo mengi mnoo.
Niliona melini kuna club nzuri, bar na mgahawa wenye kuandaa vyakula vzr sana.
Room yangu ya kulala ilikuwa ni first class chumba kizuri mno. Pia Ericck alinionesha room yake kama mwongozaji mkuu iko vzr mnoo na nikaoneshwa sehemu ya kuongozea Meli.
Baada ya kuzungushwa kila kona ndani ya meli, Erick alinipeleka hadi kule alipo boss Nathan na marafiki zake tukajumuika pamoja nao huku safari ya meli ikiendelea usiku huo.
Nilikaa pamoja nao na nilipochoka nilimuaga boss kuwa naenda kupumzika na alikuja kuiona room yangu sababu vyumba vyetu vilipakana.
Usiku mida flan hivi Erick.alinitumia text kuwa anahitaji Kuzungumza nami, nikamruhusu aingie na kwa sababu by the time nilikuwa nachat na Nathan basi nikamwambia boss Nathan kuwa nipo na Erick na kuna jambo anahitaji Kuzungumza nami.
Basi Erick alipokuja room kwangu alikaa karibu yangu kitandani kisha akaanza kujieleza namna anavyonipenda na masababu kibao. Nilimtazama kwa makini nikagundua mwamba anachotaka kwangu ni kunikula tu melini na nikuzubaa atanikula kabisa.
Nilimsikiliza alivyokuwa akitililisha mashairi na alipomaliza nilimjibu the same to siku zote kuwa mimi siwezi kuwa mpenzi wake, na sina chochote cha kumsaidia zaidi ya mimi na yeye kuwa friends.
Wakati huo tunazungumza hapo ghafla nilianza kuhisi akili kupotea kiroho kikawa kinadunda maana muda huo nilikuwa nimekaa kitandani beneti na mwamba halafu yuko romantic sana mwenye mwili wa mazoezi alafu ndani ya room mwanga ukiwa wa uhafifu flani hivi wenye kuchochea mnyanduano, mapigo ya moyo yaliongeza kasi.
Nilianza kuwaka tamaa ya kufanya sex huku naelea juu ya maji ya Lake Victoria ili nami niandike history kwamba nilinyanduliwa nikielea juu ya maji. Kuwaka huko kulinipelekea kupata unyevunyevu mwingi kwa uke wangu, lakini kwa ghafla akili ikarudi nikawaza "mwamba Erick ni mume wa mtu na siwezi kuwa nae maishani mwangu", hapo hapo moyo ukagoma kabisa na akili ikawa imerudi mahali pake.
Hapo kitandani tulikaa zero distance na mwamba Erick, kwa ghafla tena akili zikapotea kisha nikajisema "huyu jamaa labda hanijui vizuri".
Nikamshika kidevu nikaanza kuzungumza nae kwa kujibebisha huku nachezea ndevu zake na kumtazama usoni kwa macho yaliyolegea . Nikampamba kinoma namna alivyo handsome na attractive kwa mwanamke yeyote mwenye upwiru wake anayejua utamu wa mapenzi.
Mwamba Erick si akazubaa kwa namna flan hivi.
Hapo hapo nikaanza kumpa Ile kiss straight kiss with non stop, mwamba akanipa ushirikiano. Huyu jamaa naye alikuwa mbobezi wa mabusu, alinipiga turned kisses matata sana hadi nikanyegeka. Nikacheck kwa tango nikaona kumetuna kisawasawa basi nikafungua zip nikalichomoa kuliona weweeeh mamaa eeeeh nilipigwa shoti moja ya hatari baada ya kulishika tango zuuri lililosimama kama mara wa voda, wakati niko na tango lake naliminyaminya nilistukia mwamba akiingiza mkono wake kwa kisimi changu huku ananinyonya masikio weeeeh aaaassh nilijikuta tu naachia miguno maana alinigusa kunako kwa mguso flan hivi lainiii na mtamu mnoo.
Nikiwa nimevaa night dress tu nyepesi bila kuvaa chupi mwamba alipigusa tu kisimi akawa ameamsha vilivyo lala nikawaka tamaa ya kuingiziwa tango ukeni
Nikiwa nimelishika tango la mwamba Erick nilizidi kulipenda baada ya kulitazama kwa ukaribu zaidi, jamaa ana tango zuuri limenyoka na lipo size ya kati hapo akili yangu ikapotea kabisa.
Nikiwa nimewaka tamaa, mwamba naye akiwa kawaka tamaa alinigeuza haraka kanidirect nikae mkao wa kifo cha mende ili aninyandue . Kufikia muda huo nilikuwa hoi na nishakojozwa vijibao vidogo vidogo kama viwili hivi wakati tunakiss huku anacheza kisimi.
Baada ya kuvibanjua hivyo vibao viwili na wakati huo huo mwamba akitafuta nafasi ya kuzamisha tango akili ikarudi pahali pake nikainuka na kukaa kando mbali naye. Akili ya kukataa kusex na mume wa mtu ikashika hatamu, ikawa akinisegelea namkwepa kwa kujisogeza pembeni.....
Baadae mwamba alitulia akawa anitazama huku akiomba nimpe angalau apige goli moja......
Nikamcheki mwamba na kumuona anatia huruma kwa jinsi anavyoomba mzigo kwa kubembeleza.
Kwa upande wangu nilichoka hasa kifikra nikiwaza kuhusu yaliyotokea miaka ya nyuma nikiwa na Jacob.
Nilijiwekea nadhiri ya kutosex na mwanaume mwenye ndoa yake, pia nilijiwekea msimamo wa kutosex before marriage.
Baada ya tafakari hiyo nikapata jibu la "hapana sipo tayari kusex na mume wa mtu".
Mwamba kwa kumwangalia tu alitia huruma, nilikumbuka alivyonikiss na kuchezea kisimi hadi nikapiga vijibao viwili, mara kwa ghafla likaja wazo nikavuta mkoba wangu uliokuwa pembeni nikafungua na kutoa kichupa cha mafuta (olive oil) nikamfata hapo kitandani nikamuelekeza mwamba alale chali kitandani. Baada ya hapo nililowanisha mikono kwa hayo mafuta na kulipaka tango na kulikanda taratibu nikammassage dusherere mpaka akaejaculate manii zikiruka kwa fujo.
Baada ya hapo mwamba akanikumbatia kwa nguvuuu na kunibusu kusiko na mwisho. Nilimfuta manii kwa mtandio wangu then akanishukuru sana nikamvalisha then akasepa na nikawa nimeepuka mnyanduano melini.
Ulikuwa ni usiku mgumu sana kwangu kuumaliza Ila kulikucha tukawa tumefika nikashuka melini na kwenda kuendelea na ratiba zangu.
Tangu kushinda mtihani ule wa kusex na mwamba handsome Erick kule melini nilijiona nimeanza kukomaa kimsimamo, niliweza kusimama na kumkatalia kusex naye japo kwa upande mwingine nikamuonea huruma na kuamua kumsaidia kwa kumfanyia massage hadi akashusha wazungu pasipo kusex nami.
Nilimfanyia hivyo sababu alikuwa kawaka tamaa ya ngono, aliposhusha mzigo kule kuwaka kwake tamaa kulifikia tamati nikawa nimejiokoa na hatari ya kuliwa na mume wa mtu melini.
Kwa upande wangu haikuwa rahisi kabisa kujicontrol, muda ule wa akili yangu kupotea nilijikuta nafanya naye mahaba na alinifanya niwe wet na nilikuwa wet kabisa hadi nikakojoa vigoli viwili vya chap chap kwa kushikwa kisimi tu ambapo akili isingerudi tu ningempa mzigo.
Maisha yalisonga nikiwa hapo Lake zone nikiendelea na majukumu yangu niliendelea kuwa nawasiliana na Erick kwa njia ya simu akiwa popote , na pale alipokuja kunitafuta ofisini kwa lengo la kuomba mtoko wa faragha sikumpa nafasi hiyo ili kuepuka kuwakiana tamaa .
Nilifaulu katika hilo maana mwamba Erick aliacha kabisa kunirequest tuonane faragha maana kila aliponipigia nilimwambia...... "sina nafasi ya kukutana pahali pa faragha" na alinielewa kabisa.
**************************************
Sehemu ya 8.
KUHAMA LAKE ZONE NA JINSI NILIVYOVURUGWA DAR.
Dec, 2015 niliamua kuacha kazi kwa kwa boss Nathan na kurudi Dar.
Wakati naacha kazi Erick alinijulisha kuwa amepata mchongo Sweden na atahamia huko.
Alihamia Sweden ambapo anaishi huko hadi leo na huwa tunawasiliana naye sana as a friend.
Niliondoka Lake zone baada ya kuacha kazi na nilirudi Dar nakuanza maisha mengine katika mji wangu niliokulia.
***********
Nikiwa hapa Dar nikiendelea na majukumu yangu ya siku ilitokea siku moja nikakutana na mkaka mmoja hivi handsome named David. Huyu mkaka alikuwa ni mhandisi, Msanifu wa majengo, basi tukawa tumezoeana sana hadi mazoea yakazaa mahusiano yasiyo rasmi akawa ananialika kwa mitoko mbalimbali, tulikuwa na siku flan flan hivi za kwenda kupata lunch ama dinner pamoja, mwamba alikuwa vizuri pia hakuwa mwanaume bahili. Katika kuzoeana kwetu nilijaribu kumchimba kama yupo katika mahusiano na mwanamke yeyote ndani ama nje ya nchi mwamba aliniambia kuwa hana, yeye yupo single hajaoa japo ana watoto wawili.
Sikupenda kumchimba zaidi ya hapo, nilijua tu walisha korofishana na mzazi mwenzie na kwa sababu hiyo kila mmoja alikuwa na maisha yake. Niliwaza kama ilivyo kwa upande wangu nimezaa na mwamba Jacob baba wa mtoto wangu ila hatukai pamoja na wala hatutambuliki kama Mr & Mrs .
Sasa basi nikiwa mdada single mwenye uhitaji wa kupata mume nikawa nimemuelewa vizuri sana huyu mwamba engineer, tukadate for a long time ila hatukuwahi kusex na nilikuwa nimempa msimamo wangu wa no sex before marriage, mwamba alinielewa vizuri sana kwa huo msimamo wangu na hakuwa msumbufu kwangu japokuwa kila tulipokuwa pamoja maeneo tulivu kulikuwa na viashiria vingi vya kuwakiana tamaa ya ngono, hatukufanya lolote zaidi kepeana mabusu tu.
Mwaka mmoja baadae mwamba akatangaza nia ya kunioa. nilimkubalia na taratibu za kutambulishana pande zote zikafanyika mahari ikapangwa na mchakato wa kulipa ukafanyika na ukakamilika baada ya mwamba kulipa mahari yote, na tulikwenda hadi hospital kupima na majibu yalikuwa tupo safi sabisa.
Mara nyingi mwamba David alikuwa na safari za mara kwa mara mikoani na wakati mwingine nje ya nchi hasa South Africa hivyo alikuwa na muda mchache wa kuwepo Dar, muda mwingi aliutumia nje ya Dar.
Ikawa akiwepo Dar anakuja kwangu ili tupange mipango namna itakavyokuwa siku ya harusi, mara nyingi sana alikuwa anakuja kwangu jioni na tunapiga story za mipango yetu, kisha tunakiss then anaondoka.
Sasa basi ilitokea jioni moja nikiwa naye kwangu baada ya kumaliza kupiga soga kabla hajaondoka mwamba alinifuata akani kiss nami nikatoa ushirikiano.
Sasa basi nikiwa mraibu wa kisses siku hiyo nilijikuta nikifufua yale mambo ya mwamba Jacob kwa kutumia all types of kisses....
Tulianza na pressed kiss la sekunde 30 likazaa dakika moja kisha ikaongezeka na kufika dakika mbili baadae tatu kisha nne kuelekea dakika ya tano nikahisi kama mwili wote unatambaliwa na sisimizi huku mapigo ya moyo yakiongeza kasi kisha akili zikapotea so nikawa nashika mkono wake na kuuongoza uguse na kupapasa kila pahali mwilini ninapohisi kuna sisimizi wanatambaa. Sijui hata ilikuwaje tulijikuta tunavulishana hadi mavazi na kuwa naked.
Mwamba David alikuwa na utundu wake katika kupapasa na kukiss ila hakumfikia mwamba Jacob.
David aliendelea kunipapasa taratibu, alinipapasa masikio kisha akashuka kifuani.. he rubs and kisses my nipples and gently squeeze my breasts then move on to my spine, he rub my spine huku tukiwa tuna kiss... Baadae mwamba akashuka hadi kwenye makalio na kuyachapa vikofi fulani hivi vitatu visivyoumiza...
he slapped my butt and squeeze hadi raha, wakati huo mnara wa mwamba ulisoma 5G huku nami nikiwa tepetepe tukiwa tumesimama wima nikaona mwamba kama ananichelewesha tu na kwa vile tulikuwa tumesimama naked nika chukua hatua moja kwenda mbele... so I placed my right foot to his left foot and I raise my thigh up to his waist, papo kwa hapo mwamba David akani support kwa ku hold my thighs and upper back nikaanza kucheza naye kwa mtindo wa climbing a tree waooh mwamba alinishika vizuri muda huo huo tango likazama ndani nikawa napanda juu na kushuka polepole napanda tena na kushuka hadi nikahisi nimepaa na kufika mbingu ya tisa. haikuchukua muda mrefu nikatangaza nia nikiwa nakwea mti, yaani lilikuwa bao tamu sana ambalo sikuwahi kulipata popote chini ya jua.
Hiyo ndiyo siku ambayo mwamba alivunjilia mbali nadhiri yangu ya kutosex kabla ya ndoa.
Nilikubali kusex nilikuwa nimezidiwa na upwiru mwingi Ila nilifanya nikiwa na uhakika kwamba mwamba David ndiye mume wangu mtarajiwa na nilizingatia kuwa alishalipa hadi mahari na tupo katika mchakato wa kula kiapo madhabahuni,so niliamua nilifanye naye tu huku mipango ya kula kiapo cha ndoa ikiendelea.
Mwamba David alikuwa vizuri sana na alinifikisha kunako na kunifanya niwe natamani tufanye sex kila mara.
Nilifanya naye naye kwa mara ya kwanza, tukarudia tena kesho yake ikawa kila mara akija tunajadili mipango yetu ya kula kiapo cha ndoa kisha tunajiachia kwa sex bila masharti.
Baada ya miezi tangu nianze kusex na mwamba David nilipata ujauzito kabla hatujafunga ndoa, sikuwa na hofu maana mwamba keshakubaliwa kunioa na alishalipa hadi mahari na mipango ya ndoa inaendelea so sikuwa na hofu kabisa.
Sasa basi baada ya kupata ujauzito ndipo nikaanza kugundua mambo ya mwamba David yaliyofichwa. Mwamba alianza kutokupatikana mara kwa mara, safari zikawa nyingi kuliko awali, kumbe buana David alikuwa married man.
Mwamba David hakuwa mkweli kwangu, alinidanganya kuwa hana mke japo tulipoanza kudate aliwahi kuniambia kuwa ana watoto wawili ambao alizaa na mwanamke ambaye hakuwahi kuishi naye.
David alinidanganya, jamaa alikuwa na mke na alikuwa na hao watoto wawili .
Nilimbana kulikoni kunidanganya! akadai alizaa nae yule mdada na ilikuwa amuoe kwa sharti la mdada kubadili dini atoke kwenye uislam awe mkristo ambapo mdada aligoma kubadili dini na hawakuoana. So mdada aliishi kivyake naye David aliishi kivyake....
Hayo yote niliyagundua nikiwa tayari mjamzito, niliumia sana baada ya kugundua kumbe mwamba David ni muongo! alinidanganya kuwa hayupo katika ndoa, akanitambulisha kwa familia yao na kujitambulisha kwa familia yetu kisha akalipa hadi mahari na kumbe ana mke wa ndoa na huyo mwanamke yupo hapa hapa mjini. Kwa kweli niliumia sana kwa KUANGUKA MARA YA PILI.
Baada ya miezi kadha mke wa David alipata habari kuhusu mahusiano yangu na mumewe, sijui hata ni wapi alipata namba yangu ya simu Ila nilianza kupokea sms zisizo na ujumbe mzuri kutoka kwa mtu aliyejitambulisha kuwa ni mke wa mwamba David na zilinivuruga sana hizo jumbe sikuwa nazijibu so nilichofanya ni kuweka hiyo namba katika blacklist .
Kuhusu mwamba David kuwa na mke, niliujua ukweli wote baada ya kuongea kwa undani na kaka yake , maana nilijaribu kuwasiliana na mwamba David wakati ule akiwa safarini South Africa nikamuuliza lakini hakukili wazi coz alikuwa safari, ikabidi nimshirikishe bro wake mkubwa ndipo bro akaniambia ukweli kwamba jamaa ana ndoa ila wakati wa mchakato wa kutambulishana uchumba wetu mwamba aliwaambia ndugu zake kwamba mimi nilikubaliana nae niwe mke wa pili.
Daah! nilichoka, sikuwahi kukubaliana naye kwa hilo wala hakuwahi kuniambia lolote kuhusu yeye kuwa na mke.
**************************************
Sehemu ya 9
David aliporudi kutoka South Africa nikambana anieleze ukweli kulikoni anitendee huo uhuni?
Jamaa alikiri kosa na kuomba msamaha, akajitetea kuwa alinipenda sana na aliujua msimamo wangu so Ilibidi atumie njia hiyo ya kunidanganya ili anipate kiurahisi , alijua bila uongo asingeweza kunipata.
Na kwa kuwa kipindi hicho cha uchumba wetu nilikuwa naomba Sana Mungu aniwezeshe kufahamu vizuri zaidi kuhusu mwamba David na kufanikisha ndoa yetu nilianza kuamini kuwa Mungu alinipa majibu sahihi kwa kuniepusha nisiingie katika kabisa kwenye migogoro ya kugombea mume.
By the time Mimba ilikuwa na 7 months, jambo hili lilinichanganya Sana, nikapata sonona kubwa mnoo .
Baada ya kujua kila kitu kuhusu mwamba David, nilikata mizizi yote inayoweza kutukutanisha kama wapenzi, ndoa ndoa ikawa imeyeyuka rasmi. na tangu hapo sikuwahi kukubali kusex nae, alijaribu kunishawishi na hata alinibembeleza sana tuwe tunasex nilimkatalia na nilimpa msimamo wangu kwamba... "aliponipa ujauzito kwa kunilaghai atabaki kuwa baba wa mtoto na sio mpenzi wangu".
Nimesimama katika msimamo huo mpaka Leo, tumebaki tu wazazi na sio wapenzi.
Ilitokea baada ya kujifungua nikapata hali ya mshutuko wa misuri nusu ya stroke, wakati hali hiyo imenipata baba wa mtoto alianza kubadilika na kutojali kuhusu mimi na mtoto, nilipambana kivyangu ili maisha yasonge.
Baada ya kama mwaka mmoja hivi tangu nijifungue David alinitelekezs kiaina yake, alianza kwa kukataa kuwa anatoa mahitaji kisa simpagi nyumba , sikutishwa na huo mtelekezo wake NILISIMAMIA msimamo wangu wa kutosex naye na nilimwambia wazi kuwa yeye ni baba tu wa mtoto Ila sio mpenzi wangu.
***************************'***********
Sehemu ya 10
Niliendelea kupambana huku nikiomba Mungu anisaidie nivuke katika hili tatizo maana kwa kipindi hicho sikuwa na kazi. Mungu alinisaidia badae nikamalizia ujenzi wa nyumba yangu na kuhamia, nikawa NIMESIMAMA kabisa na kuanza maisha mapya nikiwa kwangu.
Mwamba David alijifanya mjanja sana kwa kunitendea hivyo, but now ananywea kikombe chake kwa afya yake kuwa na mgogoro, figo na pressure vinamsumbua mno, kila mwezi .
Nilimove on na kusimama nikiwa nimepona majeraha yote ya kuanguka na kujisamehe. Namshukuru Mungu mtoto wangu amekua, afya yangu imeimarika na nipo mzima kabisa nikifanya kazi kwa organization moja ya kimataifa yenye ofisi zake Arusha.
Mwamba Jacob anasonga mbele na maisha yake na hatusumbuani kabisa maana nilimruhusu ishi pamola na mwanaye prince Caleb. Kwa sasa dogo yupo form two kesha kuwa mubaba huwa tunakutana wakati wa visiting day na likizo.
Kwa upande wa David ipo shida ya huo mgogoro wake wa kiafya na ninaona kama anakinywea kikombe chake, ila namuombea apone namtambua kuwa ni baba wa my second born prince Joel.
Nilinufaika sana na pesa nilizopata kwa ile kazi kule Lake zone na niliweka akiba nikanunua kiwanja na ndipo nimejenga nyumba yangu ya Kwanza na bado naamini nitajenga nyumba nyingine na nyingine tena for the good future of my children maadam neema ingalipo. Naamini Sana ktk ushindi kuliko kukata tamaa.
Msimamo wangu wa sasa ndio umenivusha sana kuepuka yale yalionitokea kipindi cha nyuma yasijirudie kwa kipindi cha sasa.
Hata leo ninasumbuliwa sana na wanaume waroho na waonjaji wasio na future yoyote kwa maisha yangu, nami nimesimama katika msimamo huu.. "kamwe sitarudi Misri".
Bado sijaolewa na sitashiriki tena sex kabla ya ndoa.
THIS IS MY TRUE STORY NA NILISHAJISAMEHE KWA KUWA NA WATOTO WAWILI WA BABA TOFAUTI AMBAPO NILIKWENDA KINYUME NA MALENGO NA MATARAJIO YANGU NILIYOJIWEKEA TANGU UJANA WANGU.
NILIKUWA BINTI MAKINI SANA NA ASIYE NA MAKUNDI ILA KUNA WANAUME WAWILI WALINIHAMISHA KATIKA RELI, NILIKWISHA WASAMEHE WOTE.
NILIANGUKA MARA MBILI NIKASIMAMA MARA TATU.
MWISHO.
Kwa jina naitwa Lucia Bakande, ni binti wa baba msukuma na mama mnyarwanda, mtu anaponichimba kutaka kujua kabila huwa nashindwa nitaje ni kabila gani maana sijui kuongea kisukuma wala kinyarwanda, nilizaliwa na kukulia Dar pahali ambapo wazazi walikuja miaka mingi iliyopita wakiwa watumishi na wakanunua kiwanja kikubwa na kujenga nyumba nzuri Mbezi (kibamba) Luguruni, baba alikuwa mtumishi wa serikali na mama akiwa ni mtumishi wa taasisi ya kimataifa.
Elimu yangu ya msingi hadi chuo kikuu niliipatia hapa hapa Dar ambapo kitaaluma ni mwanasheria mwenye shahada niliyojipatia pale UDSM Mlimani 2009.
Kwetu tulizaliwa watoto wakike tupu na tupo watano mie nikiwa ni wa mwisho kuzaliwa. Wazazi wetu walitulea katika misingi mizuri walijali sana elimu na walihakikisha sote tunapata elimu ya juu na tuliipata.
Mchanganyiko wa damu ya kinyarwanda na kisukuma ulileta mabinti warembo sana mie nikiwa kitinda mimba miongoni mwa hao warembo, na nilikuwa mrembo haswaa
Nilipojiunga na chuo pale Mlimani ndio nilijua kuwa kuna wanaume wengi sana wanaovutiwa na urembo wangu. Wanaume hao wakware wakaanza Kupishana kila uchwao wakinivutia pumzi kila siku kila saa ili wanipate kama wanavyowapata kirahisi mabinti wengi wa chuo.
Binafsi nilikuwa na malengo niliyojiwekea kwamba sitaingia kwenye mahusiano hadi pale nitakapohitimu masomo na kupata kazi. Nilijijengea heshima yangu kwa kuwa msichana mwenyewe msimamo nisiyejihusisha na makundi yoyote hapo chuoni na mara nyingi nilikuwa nazingatia kilichonipeleka chuo, kwa kiasi kikubwa niliwakatisha sana tamaa wakware wa chuo.
**************************************
Sehemu ya 2.
MAHUSIANO YA KWANZA YALIVYOANZA HADI KUVUNJIKA.
Nikiwa nafanya research katika taasisi ya LHRC nilikutana na kaka mmoja hivi mtanashati mcheshi named Jacob, huyo mkaka alikuwa mtu wa heshima yake, mtumishi katika Public Organization akiwa chief accountant katika hiyo public organization kubwa hapa bongo. Mwamba Jacob alianza kujenga ukaribu na mie siku hadi siku hadi tukawa marafiki wa faida.
Mwamba Jacob alinivutia sana kutokana na ucheshi wake kwangu na vile alivyokuwa anani treat alionekana wazi kunipenda kimapenzi. Kwa wakati huo nikiwa bado binti nisie na uzoefu wowote katika tasnia ya mapenzi nilijikuta navutiwa na mwamba Jacob na hadi nahitimu chuo tulikuwa wapenzi tuliokubaliana tuwe familia siku zijazo.
Baada ya graduation nilianza kupambana kutafuta kazi sehemu mbali mbali ndani na nje ya nchi. Ni wakati huo pia nikawa nakuwa karibu sana na mwamba Jacob maana Ilitokea mara nyingi sana akawa anakuja kunichukuwa tunaenda kuvinjali beach yaani mwamba Jacob alinifanya nikazijua beach zote hapa bongo,alinifundisha jinsi ya ku swim beach hadi nikawa mzoefu wa ku swim. Kadri siku zilivyo endelea tulijiachia sana hadi ikafika wakati tukasex.
Ilitokea siku moja mwamba alinichukua na kunipeleka pahali tulivu maeneo ya Kigamboni ambapo siku hiyo tulikula na kunywa kwa utulivu kabisa. Sikujua kuwa siku hiyo mwamba alikuwa na plan yake kichwani. Ni siku hiyo ndiyo mwamba aliniingiza katika ulimwengu mpya, Jacob alinibikiri, nilisikia maumivu lakini niusikia pia utamu .
Nilikuwa katika hali ya ulevi lakini nakumbuka jinsi mwamba alivyokuwa ananifundisha na kuniongoza how to make love, he kiss my cheeks, bosom, throat, lips, breasts, and forehead hadi nikapoteza fahamu kwa kuhamia katika sayari nyingine. Jacob alinifundisha how to kiss, na kwa kupitia huyu mwamba I knew all types of kisses like The upper lip kiss, Clasping kiss , Bent kiss, Pressed kissing, Straight kiss, French kiss etc.
Mpaka wa leo hii nimesalia ktk uraibu wa mabusu, niliyapenda sana kwa sababu ya darasa la mwamba Jacob.
Nilifanya sex na Jacob baada ya kuwa amenishawishi kwa muda mrefu sana bila mafanikio hadi siku hiyo aliponipeleka huko pahali tulivu yakatokea yaliyotokea. Nilionja mvinyo na akili ikakaa kando akaninyandua pasipo upinzani wowote, na hatukutumia kinga kabisa.
Baada ya mnyanduano kumalizika ndipo akili ikarudi nikaanza kumlaumu Jacob kwa kunitenda hivyo, jamaa aliniambia nimentesa siku nyingi hivyo aliamua kukomesha mateso na alinitaka nisihofu kitu hata ikitokea nikawa mjamzito atanioa, mimi ni wake wa kufa na kuzikana . Basi tangu siku hiyo tukawa tunakutana sehemu tulivu tunapeana(hasa mabusu)na kunyanduana kwa raha zetu.
**************************************
Sehemu ya 3
KUVUNJIKA KWA MAHUSIANO YANGU NA JACOB.
Baada ya mwezi kupita tangu tukio lile la mnyanduano kwa mara ya kwanza lifanyike na tukaendelea kufanya, nilianza kuhisi hali isiyo ya kawaida, kichefu chefu kikaniandama na kunifanya niwe mtu wa kupenda kulamba ndimu heeeeh kumbe nilikuwa nimenasa ujauzito. Nilijilaumu kwa kujiachia kizembe hadi kupata ujauzito katika njia isiyofaa.
Nilimpigia simu Jacob na kumjulisha kuwa mimi ni mama kijacho na nilimtaka tuonane ili tuweke sawa mambo.
Kiukweli nilimfahamu Jacob kijuu juu tu wala sikuwahi kufika maskani yake na wala yeye hakuwahi kunishawishi nifike aishipo Ila yeye alipafahamu kwetu na alikuwa anakuja kunichukua tutokapo out na kunirudisha home kwa usafiri wake (private car). Na tuliendelea kuwa watu wa kukutana sehemu tulivu tu hadi nilipopata ujauzito.
Mwamba Jacob alinielekeza tuonane sehemu tulivu jioni kwa mazungumzo kuhusu mimi na ujauzito.
Jioni ilipofika tulikutana na kuzungumza na katika mazungumzo hayo ndio siku hiyo nikajua kuwa Jacob ni married man ambapo mkewe alikuwa masomoni huko UK.
Jacob aliniambia kuwa atanitunza kwa kila hali mimi na mtoto Ila hataweza kunioa kwa sababu dini yake hauruhusu ndoa ya wake wengi.
Nilichukia sana siku hiyo na nilimchukia sana Jacob kiasi kwamba nilikatisha mazungumzo na kuamua kuondoka pasipo hata kumuaga.
Nilibaki nikijiuliza sana alimaanisha nini kila mara aliponiambia kuwa atanioa mimi ni wake wa kufa na kuzikana ilhali ana mke. Nilipata jibu moja tu "alinidanganya".
Sikuwa na jinsi niliamua nisonge kivyangu japo nilikuwa na maumivu makali mno. Na japokuwa jamaa aliniahidi kunitunza mimi na mwanangu mimi nilisimama kivyangu nikalea ujauzito hadi nikajifungua my first born prince Caleb. Dogo alimfanana sana baba yake, nilimlea hadi akakua nikiwa naishi home. Kuhusu kuzaa kabla ya ndoa hili halikunifurahisha mimi na hata wazazi ila tulilimaliza na maisha yakasonga.
Maisha yalisonga baadaye nilipata kazi katika advocate company moja huko Arusha, maisha yalikuwa mazuri sana nikiwa huko na nilioneka kama mdada ambaye hajawahi zaa mtoto. My prince Caleb nilimwacha na bibi yake na alikuwa anazidi kukua na kunawili vizuri sana.
Arusha nilipanga Kaloleni katika nyumba zinazomilikiwa na AICC. Ilitokea siku moja mwamba Jacob alinifuata huku Arusha, huyu mwamba nilikataga kabisa mawasiliano naye ili nijijenge upya ila jamaa hakuacha kunifatilia kwa sababu ya prince Caleb mwanaye.
Sasa alipokuja Arusha alinifuata ili tuongee kuhusu prince Caleb kwamba anataka amchukue akae naye na atamlea na kumsomesha hadi elimu ya juu. Sikumpinga kwa hilo namjua mwamba yupo vizuri kiuchumi na nilijua alimaanisha alichosema. Pamoja na hayo sikumpa jibu la ndiyo papo kwa papo bali nilimwambia tutamalizana kuhusu hilo jambo ila sio kwa sasa hivyo asubiri nitakapokuja Dar.
Baada ya mazungumzo hayo mwamba alionesha dalili zote za kutaka kulala kwangu japo alikuwa kafikia Naura spring hotel aliniomba alale kwa usiku wa leo tu. Nilimjibu kistaarabu kabisa kuwa hakuna nafasi kwa yeye kulala kwangu.
Jamaa alikaza shingo baada ya kumwambia hivyo, na ilibidi niwe mkali hasa baada ya kukumbuka yaliyopita na nikamwambia kamwe haitatokea tena kwa mimi na yeye kulala pamoja ni vyema aondoke vinginevyo nitaita walinzi wamtoe kinguvu. Jamaa alielewa na aliaga akaondoka.
Jacob ninamtambua na kumheshimu kama baba wa my first born prince Caleb na si kama mpenzi wangu, msimamo huo nilimpa mara tu baada mahusiano yetu kufikia tamati
Nilimpa ruhusa ya kumchukua Caleb aishi naye na anamlea hadi leo my prince anaendelea na masomo now yupo kidato cha pili, mimi na mwamba Jacob huwa tunawasiliana sana ila zaidi ni kwa sababu ya Caleb.
Baada ya kuishi na kufanya kazi huko Arusha kwa takribani miaka mitatu niliamua kubadili mazingira baada ya kuona nafasi ya kazi huko lake zone so nilichangamkia hiyo nafasi na nikaipata.
**************************************'
Sehemu ya 4.
KUHAMIA LAKE ZONE NA MAISHA YA AWALI YALIVYOKUWA
Baada ya kuipata ile nafasi ya kazi kule Lake zone nilireport na nilianza rasmi kufanya kazi huko mnamo April, 2013.
Kwa ile miaka mitatu niliyoishi na kufanya kazi huko Arusha kiukweli ilibadilisha sana muonekano wangu na kunifanya nionekane mrembo zaidi ambaye sina viashiria vyovyote vya kuwa mama niliyenyonyesha, japo nilikuwa tayari nimemzaa mtoto Caleb ambaye alishafikisha age ya 4 years.
Nilibadilika na kuwa msupuuu, pisi kali mwenye kuvutia, black flan hivi mrefu wastani💃.
Nilivutia sana na nilipendelea kuvaa viatu vya high heel kwa suit za kimini zenye heshima kila niendapo ofisini, binti nang'aa alafu nanukia muda wote, nilikuwa napaka kitu ya ambitions mixer na body spray ya seduction toka kampuni ya rasasi.
Hapo ofisini tulikuwa vijana kama watatu hivi pamoja na boss wetu na karani..
Nikiwa bado mgeni mgeni ikawa kila nikiingia job asubuhi ninapofungua tu mlango kila mtu anageuka kunitazama, na mie nawapa smile bomba na hug mradi tu niwanukishe na kuwafanya watulie kwa kusikilizia manukato mazuri.
Ukifika muda wa kukaa na boss ofisini kwake nilikuwa naingia kwa mikogo naisogelea ofisi ya boss naruhusiwa kuingia, nikifika namsalimia boss kwa adabu huku nikiwa nimepiga goti mpaka chini kama wafanyavyo mabinti og wa kisukuma, yaani nilikuwa napiga goti utadhani siyo mimi yule Lucia mtoto wa Dar.
Boss hakuwa anapenda nimfanyie hivyo so baada ya siku chache tangu nianze kumpa salamu huku nimepiga goti boss alianza mtindo wa kuwa ananiinua na kunihug then ananinong'oneza sikioni... "nooo mtoto mzuri usisumbuke kiivyo". Nami nikawa namwambia... "hapana you deserve it you are my boss unayenifanya ning'are hapa mjini na kuyamudu maisha... Wacha nikupe heshima yako baba".
Basi boss akaishia kutabasamu tu ila akaniomba niwe namfanyia hivyo tukiwa wawili tu ofisini na si zaidi ya hapo, nikamwambia poa baba.
Nilianza kuyazoea mazingira ya kazi hapo Lake zone. Sasa basi kama ujuavyo wanaume walivyo waroho kumbe yule boss naye alikuwa ni miongoni mwa wanaume waroho. Boss akaanza kunitongoza serious na ana mke na mkewe huwa anakuja ofisini mara kwa mara kwa sababu ofisi yake ipo jirani na ilipo ofisi yetu.
Madam mke wa boss alikuwa mwajiriwa wizara ya afya,
Kiukweli tulikuwa tunafanana mno na madam mke wa boss, yeye naye alikuwa chotara wa kisukuma kwa mama wa kinyarwanda kama nilivyo mimi ila yeye alikuwa mkubwa kama 15 yrs mbele yangu.
Cha ajabu yule madam hakuwa akinipenda kabisa na sikujua sababu ni nini, na hadi staff wengine waligundua hilo.
Pamoja na boss kuwa mtu wa kwanza kunitongoza hapo Lake zone binafsi sikupenda kabisa kujihusisha kimapenzi na mwanaume yeyote aliye mume wa mtu hivyo nikawa nampotezea tu.
Na kama ijulikanavyo katika ofisi za uwakili watu huwa hawaishi, tulikuwa tunapokea watu wengi wa aina mbalimbali na sometimes mabosi wa nguvu walikuwa wanakuja kwa wingi sana kuhitaji huduma, hivyo kero za kutongozwa na kila mtu miongoni mwa hao mabosi wa nguvu zikawa haziishi na wengi walikuwa wananitongoza kwa mahitaji ya kiwafurahisha ngono tu naliwapotezea tu kwa kuwakatalia, na ilikuwa kila ninayemkataa akawa hanielewi kabisaaa na kuendelea kunipa full usumbufu.
Kwa upande wa boss wangu Nathan aliendelea kunitongoza kwa kunipa mazawadi kama yote, akawa ananilipa mshahara mzuri mno ili nimkubalie, ila mi nilimwambia nooo coz sipendi kuwa na mume wa mtu na nikizingatia by the time nilikuwa nishapigwa na bonge la tukio na mwamba Jacob baba wa mtoto wangu kisha tukaachana kabisa, na nikawa nimeona kabisa nahitaji kuwa makini, hivyo nikajiwekea msingi kuwa nitulize komwe langu tu nitafute hela kwa ajili ya mwanangu na future yetu hadi hapo Mungu atakaponipa mume wangu wa kufanana naye. Boss akawa kama ananielewa kila nilipomkatalia japo alikuwa na kaubishi fulani hivi.
**************************************''
Sehemu ya 5
KAUBISHI KA BOSS NATHAN KALIVYOKUWA
Pale ofisini kulikuwa na kitchen na tulikuwa tunaingia humo kula, wakati mwingine kupasha chakula na hata Kunawa mikono.
Basi muda wa lunch kila niwapo ofisini nilikuwa naenda kitchen kwa ajili ya mlo, kumbe buana boss kisha nisoma siku nyingi, ikawa kila nikiingia kitchen boss anakuja kisha analock mlango, ananikumbatia wee, ananikiss sana hadi nikawa nasisimka na kumpa ushirikiano. Boss akaniomba nisiwe mchoyo wa kumnyima hata mabusu tu nami sikuona shida kwa hilo na kwa kuwa nilikuwa mraibu wa kisses nilikwenda naye hivyo hivyo nampa naye ananipa hivyo tukawa tunapeana tu yaani ilikuwa ndiyo mchezo wetu na alikuwa anapenda sana hiyo kitu nilimpagawisha zaidi nilipotumia ujuzi kwa kumfanyia all types of kisses nilizofundwa na mwamba Jacob.
Boss alivutiwa mno na macho yangu ya kuchambua mchele na mara nyingi alikuwa ananiambia wazi kuwa anashindwa kuvumilia anaponiangalia usoni na kuwaza tu kiss letu tamuu😋😋
Nilikisi naye mara nyingi sana huko kitchen na hata ofisini kwake ila sikuwahi kabisa kumvulia chupi . Alikuwa na kaubishi ka kutokubali kushindwa na akawa na bidii kwenye kukiss nami Ila hakuwahi nikula kabisa.
**************************************
Sehemu ya 6.
KUIBUKA KWA MSHINDANI WA BOSS NATHAN.
Sasa basi kati ya watu waliokuwa wanakuja ofisini Kuna mwamba mmoja hivi alikuwa captain mkuu wa meli, huyo mwamba alikuwa ni mchanganyiko wa msukuma na mnyakyusa named Erick.
Mwamba Erick alikuwa tall and black flan hivi smart mno romantic and very carering. Muda mwamba Erick alikuwa ananukia manukato ghali kuliko hata ninukiavyo mimi. Ilitokea kila tukutanapo akija ofisini mwamba alionekana kunielewa kinoma, tulibadilisha hadi namba za simu na na tukawa unawasiliana kila mara, akawa ananitumia kwa simu pesa ya lunch hata laki na nusu, yaani ananitext kuwa..... "nimetuma pesa kidogo kwa ajili ya lunch...." ninapocheck kwa simu bwaaana eeh nakuta katuma 150k wakati lunch letu la ofisini liligharimu 15k tu yaani nilikuwa nachanganyikiwa kabisaa... Ananiandikia sms.. "This is for lunch my princess 🥰🥰".
Nikawa najisemea huenda mwamba kavutwa na swaga langu la kichokozi kiuchokozii. Yaani Lucia nimekuwa mwenye kumfanya mtu tutafutane kila mara simuni na kutumiwa hela ya lunch?
Nilizoeana na huyo mwamba akawa anakuja hadi nyumbani kwangu tunapiga mastory ya kupagawishana. Yaani tulipagawishana hadi mwamba akanitongoza Ila sikukubali kabisa kuwa naye katika uhusiano wa kimapenzi maana nilimchimba kuhusu maisha yake kimahusiano akaniambia ukweli kuwa yeye ni married man, na nilimpongeza kwa kuwa muwazi
Hapa ofisini sikutaka kabisa mtu yeyote ajue kama jamaa tulikuwa marafiki mnoo wa kutongozana. Ilikuwa kila mara mwamba Erick atiapo nanga bandarini route za kuja ofisini kwetu haziishi mpaka boss Nathan akaanza kunishtukia kuwa huenda naliwa na Erick. Sikujua kama Erick aliwahi kuteta lolote kuhusu mimi na yeye ila nilijua baadae kumbe jamaa alishamwambia boss kuwa "nampenda Lucia kupita kiasi". Erick, pasipo kujua akajitangaza wazi yeye mpinzani wa boss.
Ilitokea siku moja bosi akaniuliza nina uhusiano gani na Erick, nikamwambia "is just friends na kama inavyoona ni mwanaume mwenye ndoa yake so I am not interested with such guy na ukizingatia nimekuja huku kufanya kazi". Baada ya kumjibu hivyo boss alielekea kunielewa maana yeye na Erick wote ni married men na hawapaswi kujitangazia ufalme kwamba "ni wapenzi wangu" so jibu langu kwa swali lake lilimnyamazisha mazima.
**************************************
Sehemu ya 7.
JINSI NILIVYOSHINDA JARIBU NDANI YA MELI.
Ofisi yetu ilikuwa sometimes Inapata case za kwenda mahakama kuu huko Rock city na niliwahi kwenda huko na boss kama mara mbili hivi.
Ilikuwa tukifika Rock city napewa posho yangu ya kula na kulala Ila binafsi nilikuwa napokea posho ya kula na kulala hotelini kisha naenda kufikia kwa mama mdogo mwenye house yake kubwa tu hapo city center, then asubuhi na mapema namfata boss Nathan tunajdili mambo machache kabla ya kuanza issues za mahakamani.
Mpaka wakati huo boss Nathan hakuwahi kunisumbua sana coz alishajua tabia zangu na msimamo wangu, japo hakukata tamaa kujaribu kunifukuzia Ila sio kwa kunisumbua hivyo hata tukiwa wawili tu safari kikazi hakuwa msumbufu kwangu.
Tukiwa Rock city kikazi kumbe buana hata mwamba Erick naye alikuwa ndani ya hilo jiji. Ilikuwa kawaida tukiwa jijini halafu na yeye akawemo ndani ya jiji anatutafuta tunapiga mastory na kunywa then tunasambaratika, hivyo tukiwa jijini na tumebakisha siku moja tumalize shughuli zetu kisha uondoke mwamba alijua na alitutafuta na kutushawishi tusafiri naye kwa meli yake na tulimkubalia.
Kesho yake usiku tulisafiri kwa hiyo meli ya mwamba Erick, mara nyingi meli zilisafiri usiku. Sikuwa nimewahi panda meli ila kwa ushawishi wa Erick nilipanda meli kwa mara ya kwanza kabisa.
Safari ilianza, tukiwa melini boss Nathan alikuwa busy na marafiki zake wengine wakijadili mambo yao. Erick alinichukua na akanitembeza kuvinjali ili kujua zaidi Mandhari ya melini. Nilijifunza mambo mengi mnoo.
Niliona melini kuna club nzuri, bar na mgahawa wenye kuandaa vyakula vzr sana.
Room yangu ya kulala ilikuwa ni first class chumba kizuri mno. Pia Ericck alinionesha room yake kama mwongozaji mkuu iko vzr mnoo na nikaoneshwa sehemu ya kuongozea Meli.
Baada ya kuzungushwa kila kona ndani ya meli, Erick alinipeleka hadi kule alipo boss Nathan na marafiki zake tukajumuika pamoja nao huku safari ya meli ikiendelea usiku huo.
Nilikaa pamoja nao na nilipochoka nilimuaga boss kuwa naenda kupumzika na alikuja kuiona room yangu sababu vyumba vyetu vilipakana.
Usiku mida flan hivi Erick.alinitumia text kuwa anahitaji Kuzungumza nami, nikamruhusu aingie na kwa sababu by the time nilikuwa nachat na Nathan basi nikamwambia boss Nathan kuwa nipo na Erick na kuna jambo anahitaji Kuzungumza nami.
Basi Erick alipokuja room kwangu alikaa karibu yangu kitandani kisha akaanza kujieleza namna anavyonipenda na masababu kibao. Nilimtazama kwa makini nikagundua mwamba anachotaka kwangu ni kunikula tu melini na nikuzubaa atanikula kabisa.
Nilimsikiliza alivyokuwa akitililisha mashairi na alipomaliza nilimjibu the same to siku zote kuwa mimi siwezi kuwa mpenzi wake, na sina chochote cha kumsaidia zaidi ya mimi na yeye kuwa friends.
Wakati huo tunazungumza hapo ghafla nilianza kuhisi akili kupotea kiroho kikawa kinadunda maana muda huo nilikuwa nimekaa kitandani beneti na mwamba halafu yuko romantic sana mwenye mwili wa mazoezi alafu ndani ya room mwanga ukiwa wa uhafifu flani hivi wenye kuchochea mnyanduano, mapigo ya moyo yaliongeza kasi.
Nilianza kuwaka tamaa ya kufanya sex huku naelea juu ya maji ya Lake Victoria ili nami niandike history kwamba nilinyanduliwa nikielea juu ya maji. Kuwaka huko kulinipelekea kupata unyevunyevu mwingi kwa uke wangu, lakini kwa ghafla akili ikarudi nikawaza "mwamba Erick ni mume wa mtu na siwezi kuwa nae maishani mwangu", hapo hapo moyo ukagoma kabisa na akili ikawa imerudi mahali pake.
Hapo kitandani tulikaa zero distance na mwamba Erick, kwa ghafla tena akili zikapotea kisha nikajisema "huyu jamaa labda hanijui vizuri".
Nikamshika kidevu nikaanza kuzungumza nae kwa kujibebisha huku nachezea ndevu zake na kumtazama usoni kwa macho yaliyolegea . Nikampamba kinoma namna alivyo handsome na attractive kwa mwanamke yeyote mwenye upwiru wake anayejua utamu wa mapenzi.
Mwamba Erick si akazubaa kwa namna flan hivi.
Hapo hapo nikaanza kumpa Ile kiss straight kiss with non stop, mwamba akanipa ushirikiano. Huyu jamaa naye alikuwa mbobezi wa mabusu, alinipiga turned kisses matata sana hadi nikanyegeka. Nikacheck kwa tango nikaona kumetuna kisawasawa basi nikafungua zip nikalichomoa kuliona weweeeh mamaa eeeeh nilipigwa shoti moja ya hatari baada ya kulishika tango zuuri lililosimama kama mara wa voda, wakati niko na tango lake naliminyaminya nilistukia mwamba akiingiza mkono wake kwa kisimi changu huku ananinyonya masikio weeeeh aaaassh nilijikuta tu naachia miguno maana alinigusa kunako kwa mguso flan hivi lainiii na mtamu mnoo.
Nikiwa nimevaa night dress tu nyepesi bila kuvaa chupi mwamba alipigusa tu kisimi akawa ameamsha vilivyo lala nikawaka tamaa ya kuingiziwa tango ukeni
Nikiwa nimelishika tango la mwamba Erick nilizidi kulipenda baada ya kulitazama kwa ukaribu zaidi, jamaa ana tango zuuri limenyoka na lipo size ya kati hapo akili yangu ikapotea kabisa.
Nikiwa nimewaka tamaa, mwamba naye akiwa kawaka tamaa alinigeuza haraka kanidirect nikae mkao wa kifo cha mende ili aninyandue . Kufikia muda huo nilikuwa hoi na nishakojozwa vijibao vidogo vidogo kama viwili hivi wakati tunakiss huku anacheza kisimi.
Baada ya kuvibanjua hivyo vibao viwili na wakati huo huo mwamba akitafuta nafasi ya kuzamisha tango akili ikarudi pahali pake nikainuka na kukaa kando mbali naye. Akili ya kukataa kusex na mume wa mtu ikashika hatamu, ikawa akinisegelea namkwepa kwa kujisogeza pembeni.....
Baadae mwamba alitulia akawa anitazama huku akiomba nimpe angalau apige goli moja......
Nikamcheki mwamba na kumuona anatia huruma kwa jinsi anavyoomba mzigo kwa kubembeleza.
Kwa upande wangu nilichoka hasa kifikra nikiwaza kuhusu yaliyotokea miaka ya nyuma nikiwa na Jacob.
Nilijiwekea nadhiri ya kutosex na mwanaume mwenye ndoa yake, pia nilijiwekea msimamo wa kutosex before marriage.
Baada ya tafakari hiyo nikapata jibu la "hapana sipo tayari kusex na mume wa mtu".
Mwamba kwa kumwangalia tu alitia huruma, nilikumbuka alivyonikiss na kuchezea kisimi hadi nikapiga vijibao viwili, mara kwa ghafla likaja wazo nikavuta mkoba wangu uliokuwa pembeni nikafungua na kutoa kichupa cha mafuta (olive oil) nikamfata hapo kitandani nikamuelekeza mwamba alale chali kitandani. Baada ya hapo nililowanisha mikono kwa hayo mafuta na kulipaka tango na kulikanda taratibu nikammassage dusherere mpaka akaejaculate manii zikiruka kwa fujo.
Baada ya hapo mwamba akanikumbatia kwa nguvuuu na kunibusu kusiko na mwisho. Nilimfuta manii kwa mtandio wangu then akanishukuru sana nikamvalisha then akasepa na nikawa nimeepuka mnyanduano melini.
Ulikuwa ni usiku mgumu sana kwangu kuumaliza Ila kulikucha tukawa tumefika nikashuka melini na kwenda kuendelea na ratiba zangu.
Tangu kushinda mtihani ule wa kusex na mwamba handsome Erick kule melini nilijiona nimeanza kukomaa kimsimamo, niliweza kusimama na kumkatalia kusex naye japo kwa upande mwingine nikamuonea huruma na kuamua kumsaidia kwa kumfanyia massage hadi akashusha wazungu pasipo kusex nami.
Nilimfanyia hivyo sababu alikuwa kawaka tamaa ya ngono, aliposhusha mzigo kule kuwaka kwake tamaa kulifikia tamati nikawa nimejiokoa na hatari ya kuliwa na mume wa mtu melini.
Kwa upande wangu haikuwa rahisi kabisa kujicontrol, muda ule wa akili yangu kupotea nilijikuta nafanya naye mahaba na alinifanya niwe wet na nilikuwa wet kabisa hadi nikakojoa vigoli viwili vya chap chap kwa kushikwa kisimi tu ambapo akili isingerudi tu ningempa mzigo.
Maisha yalisonga nikiwa hapo Lake zone nikiendelea na majukumu yangu niliendelea kuwa nawasiliana na Erick kwa njia ya simu akiwa popote , na pale alipokuja kunitafuta ofisini kwa lengo la kuomba mtoko wa faragha sikumpa nafasi hiyo ili kuepuka kuwakiana tamaa .
Nilifaulu katika hilo maana mwamba Erick aliacha kabisa kunirequest tuonane faragha maana kila aliponipigia nilimwambia...... "sina nafasi ya kukutana pahali pa faragha" na alinielewa kabisa.
**************************************
Sehemu ya 8.
KUHAMA LAKE ZONE NA JINSI NILIVYOVURUGWA DAR.
Dec, 2015 niliamua kuacha kazi kwa kwa boss Nathan na kurudi Dar.
Wakati naacha kazi Erick alinijulisha kuwa amepata mchongo Sweden na atahamia huko.
Alihamia Sweden ambapo anaishi huko hadi leo na huwa tunawasiliana naye sana as a friend.
Niliondoka Lake zone baada ya kuacha kazi na nilirudi Dar nakuanza maisha mengine katika mji wangu niliokulia.
***********
Nikiwa hapa Dar nikiendelea na majukumu yangu ya siku ilitokea siku moja nikakutana na mkaka mmoja hivi handsome named David. Huyu mkaka alikuwa ni mhandisi, Msanifu wa majengo, basi tukawa tumezoeana sana hadi mazoea yakazaa mahusiano yasiyo rasmi akawa ananialika kwa mitoko mbalimbali, tulikuwa na siku flan flan hivi za kwenda kupata lunch ama dinner pamoja, mwamba alikuwa vizuri pia hakuwa mwanaume bahili. Katika kuzoeana kwetu nilijaribu kumchimba kama yupo katika mahusiano na mwanamke yeyote ndani ama nje ya nchi mwamba aliniambia kuwa hana, yeye yupo single hajaoa japo ana watoto wawili.
Sikupenda kumchimba zaidi ya hapo, nilijua tu walisha korofishana na mzazi mwenzie na kwa sababu hiyo kila mmoja alikuwa na maisha yake. Niliwaza kama ilivyo kwa upande wangu nimezaa na mwamba Jacob baba wa mtoto wangu ila hatukai pamoja na wala hatutambuliki kama Mr & Mrs .
Sasa basi nikiwa mdada single mwenye uhitaji wa kupata mume nikawa nimemuelewa vizuri sana huyu mwamba engineer, tukadate for a long time ila hatukuwahi kusex na nilikuwa nimempa msimamo wangu wa no sex before marriage, mwamba alinielewa vizuri sana kwa huo msimamo wangu na hakuwa msumbufu kwangu japokuwa kila tulipokuwa pamoja maeneo tulivu kulikuwa na viashiria vingi vya kuwakiana tamaa ya ngono, hatukufanya lolote zaidi kepeana mabusu tu.
Mwaka mmoja baadae mwamba akatangaza nia ya kunioa. nilimkubalia na taratibu za kutambulishana pande zote zikafanyika mahari ikapangwa na mchakato wa kulipa ukafanyika na ukakamilika baada ya mwamba kulipa mahari yote, na tulikwenda hadi hospital kupima na majibu yalikuwa tupo safi sabisa.
Mara nyingi mwamba David alikuwa na safari za mara kwa mara mikoani na wakati mwingine nje ya nchi hasa South Africa hivyo alikuwa na muda mchache wa kuwepo Dar, muda mwingi aliutumia nje ya Dar.
Ikawa akiwepo Dar anakuja kwangu ili tupange mipango namna itakavyokuwa siku ya harusi, mara nyingi sana alikuwa anakuja kwangu jioni na tunapiga story za mipango yetu, kisha tunakiss then anaondoka.
Sasa basi ilitokea jioni moja nikiwa naye kwangu baada ya kumaliza kupiga soga kabla hajaondoka mwamba alinifuata akani kiss nami nikatoa ushirikiano.
Sasa basi nikiwa mraibu wa kisses siku hiyo nilijikuta nikifufua yale mambo ya mwamba Jacob kwa kutumia all types of kisses....
Tulianza na pressed kiss la sekunde 30 likazaa dakika moja kisha ikaongezeka na kufika dakika mbili baadae tatu kisha nne kuelekea dakika ya tano nikahisi kama mwili wote unatambaliwa na sisimizi huku mapigo ya moyo yakiongeza kasi kisha akili zikapotea so nikawa nashika mkono wake na kuuongoza uguse na kupapasa kila pahali mwilini ninapohisi kuna sisimizi wanatambaa. Sijui hata ilikuwaje tulijikuta tunavulishana hadi mavazi na kuwa naked.
Mwamba David alikuwa na utundu wake katika kupapasa na kukiss ila hakumfikia mwamba Jacob.
David aliendelea kunipapasa taratibu, alinipapasa masikio kisha akashuka kifuani.. he rubs and kisses my nipples and gently squeeze my breasts then move on to my spine, he rub my spine huku tukiwa tuna kiss... Baadae mwamba akashuka hadi kwenye makalio na kuyachapa vikofi fulani hivi vitatu visivyoumiza...
he slapped my butt and squeeze hadi raha, wakati huo mnara wa mwamba ulisoma 5G huku nami nikiwa tepetepe tukiwa tumesimama wima nikaona mwamba kama ananichelewesha tu na kwa vile tulikuwa tumesimama naked nika chukua hatua moja kwenda mbele... so I placed my right foot to his left foot and I raise my thigh up to his waist, papo kwa hapo mwamba David akani support kwa ku hold my thighs and upper back nikaanza kucheza naye kwa mtindo wa climbing a tree waooh mwamba alinishika vizuri muda huo huo tango likazama ndani nikawa napanda juu na kushuka polepole napanda tena na kushuka hadi nikahisi nimepaa na kufika mbingu ya tisa. haikuchukua muda mrefu nikatangaza nia nikiwa nakwea mti, yaani lilikuwa bao tamu sana ambalo sikuwahi kulipata popote chini ya jua.
Hiyo ndiyo siku ambayo mwamba alivunjilia mbali nadhiri yangu ya kutosex kabla ya ndoa.
Nilikubali kusex nilikuwa nimezidiwa na upwiru mwingi Ila nilifanya nikiwa na uhakika kwamba mwamba David ndiye mume wangu mtarajiwa na nilizingatia kuwa alishalipa hadi mahari na tupo katika mchakato wa kula kiapo madhabahuni,so niliamua nilifanye naye tu huku mipango ya kula kiapo cha ndoa ikiendelea.
Mwamba David alikuwa vizuri sana na alinifikisha kunako na kunifanya niwe natamani tufanye sex kila mara.
Nilifanya naye naye kwa mara ya kwanza, tukarudia tena kesho yake ikawa kila mara akija tunajadili mipango yetu ya kula kiapo cha ndoa kisha tunajiachia kwa sex bila masharti.
Baada ya miezi tangu nianze kusex na mwamba David nilipata ujauzito kabla hatujafunga ndoa, sikuwa na hofu maana mwamba keshakubaliwa kunioa na alishalipa hadi mahari na mipango ya ndoa inaendelea so sikuwa na hofu kabisa.
Sasa basi baada ya kupata ujauzito ndipo nikaanza kugundua mambo ya mwamba David yaliyofichwa. Mwamba alianza kutokupatikana mara kwa mara, safari zikawa nyingi kuliko awali, kumbe buana David alikuwa married man.
Mwamba David hakuwa mkweli kwangu, alinidanganya kuwa hana mke japo tulipoanza kudate aliwahi kuniambia kuwa ana watoto wawili ambao alizaa na mwanamke ambaye hakuwahi kuishi naye.
David alinidanganya, jamaa alikuwa na mke na alikuwa na hao watoto wawili .
Nilimbana kulikoni kunidanganya! akadai alizaa nae yule mdada na ilikuwa amuoe kwa sharti la mdada kubadili dini atoke kwenye uislam awe mkristo ambapo mdada aligoma kubadili dini na hawakuoana. So mdada aliishi kivyake naye David aliishi kivyake....
Hayo yote niliyagundua nikiwa tayari mjamzito, niliumia sana baada ya kugundua kumbe mwamba David ni muongo! alinidanganya kuwa hayupo katika ndoa, akanitambulisha kwa familia yao na kujitambulisha kwa familia yetu kisha akalipa hadi mahari na kumbe ana mke wa ndoa na huyo mwanamke yupo hapa hapa mjini. Kwa kweli niliumia sana kwa KUANGUKA MARA YA PILI.
Baada ya miezi kadha mke wa David alipata habari kuhusu mahusiano yangu na mumewe, sijui hata ni wapi alipata namba yangu ya simu Ila nilianza kupokea sms zisizo na ujumbe mzuri kutoka kwa mtu aliyejitambulisha kuwa ni mke wa mwamba David na zilinivuruga sana hizo jumbe sikuwa nazijibu so nilichofanya ni kuweka hiyo namba katika blacklist .
Kuhusu mwamba David kuwa na mke, niliujua ukweli wote baada ya kuongea kwa undani na kaka yake , maana nilijaribu kuwasiliana na mwamba David wakati ule akiwa safarini South Africa nikamuuliza lakini hakukili wazi coz alikuwa safari, ikabidi nimshirikishe bro wake mkubwa ndipo bro akaniambia ukweli kwamba jamaa ana ndoa ila wakati wa mchakato wa kutambulishana uchumba wetu mwamba aliwaambia ndugu zake kwamba mimi nilikubaliana nae niwe mke wa pili.
Daah! nilichoka, sikuwahi kukubaliana naye kwa hilo wala hakuwahi kuniambia lolote kuhusu yeye kuwa na mke.
**************************************
Sehemu ya 9
David aliporudi kutoka South Africa nikambana anieleze ukweli kulikoni anitendee huo uhuni?
Jamaa alikiri kosa na kuomba msamaha, akajitetea kuwa alinipenda sana na aliujua msimamo wangu so Ilibidi atumie njia hiyo ya kunidanganya ili anipate kiurahisi , alijua bila uongo asingeweza kunipata.
Na kwa kuwa kipindi hicho cha uchumba wetu nilikuwa naomba Sana Mungu aniwezeshe kufahamu vizuri zaidi kuhusu mwamba David na kufanikisha ndoa yetu nilianza kuamini kuwa Mungu alinipa majibu sahihi kwa kuniepusha nisiingie katika kabisa kwenye migogoro ya kugombea mume.
By the time Mimba ilikuwa na 7 months, jambo hili lilinichanganya Sana, nikapata sonona kubwa mnoo .
Baada ya kujua kila kitu kuhusu mwamba David, nilikata mizizi yote inayoweza kutukutanisha kama wapenzi, ndoa ndoa ikawa imeyeyuka rasmi. na tangu hapo sikuwahi kukubali kusex nae, alijaribu kunishawishi na hata alinibembeleza sana tuwe tunasex nilimkatalia na nilimpa msimamo wangu kwamba... "aliponipa ujauzito kwa kunilaghai atabaki kuwa baba wa mtoto na sio mpenzi wangu".
Nimesimama katika msimamo huo mpaka Leo, tumebaki tu wazazi na sio wapenzi.
Ilitokea baada ya kujifungua nikapata hali ya mshutuko wa misuri nusu ya stroke, wakati hali hiyo imenipata baba wa mtoto alianza kubadilika na kutojali kuhusu mimi na mtoto, nilipambana kivyangu ili maisha yasonge.
Baada ya kama mwaka mmoja hivi tangu nijifungue David alinitelekezs kiaina yake, alianza kwa kukataa kuwa anatoa mahitaji kisa simpagi nyumba , sikutishwa na huo mtelekezo wake NILISIMAMIA msimamo wangu wa kutosex naye na nilimwambia wazi kuwa yeye ni baba tu wa mtoto Ila sio mpenzi wangu.
***************************'***********
Sehemu ya 10
Niliendelea kupambana huku nikiomba Mungu anisaidie nivuke katika hili tatizo maana kwa kipindi hicho sikuwa na kazi. Mungu alinisaidia badae nikamalizia ujenzi wa nyumba yangu na kuhamia, nikawa NIMESIMAMA kabisa na kuanza maisha mapya nikiwa kwangu.
Mwamba David alijifanya mjanja sana kwa kunitendea hivyo, but now ananywea kikombe chake kwa afya yake kuwa na mgogoro, figo na pressure vinamsumbua mno, kila mwezi .
Nilimove on na kusimama nikiwa nimepona majeraha yote ya kuanguka na kujisamehe. Namshukuru Mungu mtoto wangu amekua, afya yangu imeimarika na nipo mzima kabisa nikifanya kazi kwa organization moja ya kimataifa yenye ofisi zake Arusha.
Mwamba Jacob anasonga mbele na maisha yake na hatusumbuani kabisa maana nilimruhusu ishi pamola na mwanaye prince Caleb. Kwa sasa dogo yupo form two kesha kuwa mubaba huwa tunakutana wakati wa visiting day na likizo.
Kwa upande wa David ipo shida ya huo mgogoro wake wa kiafya na ninaona kama anakinywea kikombe chake, ila namuombea apone namtambua kuwa ni baba wa my second born prince Joel.
Nilinufaika sana na pesa nilizopata kwa ile kazi kule Lake zone na niliweka akiba nikanunua kiwanja na ndipo nimejenga nyumba yangu ya Kwanza na bado naamini nitajenga nyumba nyingine na nyingine tena for the good future of my children maadam neema ingalipo. Naamini Sana ktk ushindi kuliko kukata tamaa.
Msimamo wangu wa sasa ndio umenivusha sana kuepuka yale yalionitokea kipindi cha nyuma yasijirudie kwa kipindi cha sasa.
Hata leo ninasumbuliwa sana na wanaume waroho na waonjaji wasio na future yoyote kwa maisha yangu, nami nimesimama katika msimamo huu.. "kamwe sitarudi Misri".
Bado sijaolewa na sitashiriki tena sex kabla ya ndoa.
THIS IS MY TRUE STORY NA NILISHAJISAMEHE KWA KUWA NA WATOTO WAWILI WA BABA TOFAUTI AMBAPO NILIKWENDA KINYUME NA MALENGO NA MATARAJIO YANGU NILIYOJIWEKEA TANGU UJANA WANGU.
NILIKUWA BINTI MAKINI SANA NA ASIYE NA MAKUNDI ILA KUNA WANAUME WAWILI WALINIHAMISHA KATIKA RELI, NILIKWISHA WASAMEHE WOTE.
NILIANGUKA MARA MBILI NIKASIMAMA MARA TATU.
MWISHO.