Simulizi ya Mwinyi vita ya ‘Magabachori’


Acha mbio mbio kama vile tupo vitani tunashindana majibu.
Majibu yako tu inaonekana hata hujaelewa nilichoandika ila unapenda vita vya maneno visivyo na maana.

Nimesapoti ulichosema kwa kuponda kutumia uhuru wa RUKSA ya biashara vibaya. Uhuru ulitolewa kwa raia wote. Raia wanastahili lawama kwa upumbavu wa kutumia uhuru vibaya. Wakati wa JK pia kulikuwa na uhuru wa maoni akaitwa dhaifu.
 
Hiki kitabu ni kama mipasho vile kina utofauti mkubwa na kitabu cha marehemu uncle Ben.
 
Si wanasema alikua anauza maji barabaran
Kamba hizo ..waarabu na wahindi ndio wamemaliza faru na Tembo wetu...hata alivyokuja Magu bandari kavu yake ilikuwa hailipi Kodi..alafu jitu unalisikia nyie waswahili wavivu tupeni hizo fursa Kama atujamiliki private jets..shubamit
 
Sema wewe kiazi, mimi mhogo nitaambiwa nina mizizi! Eti nini? Mageuzi ya kiuchumi? Wanatutania hawa! Kuachia nchi ijiendee yenyewe kama hakuna uongozi ndiyo wanaita mageuzi ya kiuchumi? Hatujasahau!
Labda tukuuliza maana ya mageuzi ya kiuchumi ni nn??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…