Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
Tupo kama the bold na simuliziBest couple mpooo?
Best couple mpoo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo kama the bold na simuliziBest couple mpooo?
Best couple mpoo?
Kwanini mkuu unatikisika kwa challenge kidogo hivyo?Kwenda zakoo
Nawajua nyie hasa wajina make anatapatapa pa kujishikisha ulimuovatakeKwanini mkuu unatikisika kwa challenge kidogo hivyo?
Nishampiga kata funua mimi!Nawajua nyie hasa wajina make anatapatapa pa kujishikisha ulimuovatake
tupooBest couple mpooo?
Best couple mpoo?
we si ndio chanzoMkuu mbona unataka kutetereka?
Hako katoto kanakojiita mgaya ndo kanakupanikisha?
[emoji23][emoji23][emoji23]Tupo kama the bold na simulizi
Sawa mkuu! Nitakutag bila shaka..Mkuu Samahani naomba namimi unitag pindi unapotoa Uzi mpya
Lini sehemu ya kumi bro?Sawa mkuu! Nitakutag bila shaka..
Tupo pamoja mkUuSawa mkuu! Nitakutag bila shaka..
dah nawewe pia BANNED.. why?Daaahh.! Mods naona mmefuta uzi wangu alafu mmenianzishia wa kwenu..
Aya bhana.. Ila sio poa! Mngekuwa mnatupa na sababu za kuubadili/kufuta..
Shukrani sana mkuu..dah nawewe pia BANNED.. why?
mi napenda simulizi zako vile kiswahili kinavyo tiririka humo...
Mi kukaa nchi ya wasojua kiswahili vizuri imeni cost ...so nikipita hapa nasikia raha sana.
Keep up the bold!
Salute mkuu.. ShukraniDaah #vipepeo_weusi umetisha @the_bold kama movie vile ...heshima kwako mkuu [emoji3] [emoji3]
Kwangu mm sjaona matusi makubwa aloyatumia bwana Bold.... ninachokiona ni kwamba anajaribu kuonesha vitu vya msingi ambavyo vinaifanya story kuwa hivi ilivo..... and by the way humu hamna mtoto, tuliopo wote watu wazimaKWAKO THE BOLD,
Hii story ya vipepeo weusi ni nzuri mno inavutia, nikupe hongera sana!
Nikiwa kama mfuatiliaji wa muda mrefu
(tokea imeanza)
Mpaka hapa tulipofikia, kuna mambo ya kimaadili ambayo unatakiwa kufanya juhudi za makusudi kuyarekebisha ili story hii iwe bora na yenye kufundisha na ambayo, inaweza somwa na watu wa rika zote.
MATUSI,
Kaka, hakuna ufahari au ujanja wa mtu kua anatukana. Hakuna ujanja kabisa wa kutukana, matusi hushusha thamani ya kitu au mtu.
Nakushauri the bold, usitumie lugha za matusi kwenye kuweka vionjo vya story hii, maana matusi yanaondoa utamu wote kabisa.
Tafadhari, fikiria namna nyingine nzuri ya kuweka kionjo ambacho sio matusi ili hadithi hii iwe bora zaidi na yenye kuelimisha na kusomwa na watu wote vijana kwa wazee wenye heshima zao.
Naamini ushauri wangu huu utaufanyia kazi.
Ahsante.