glory to yhwh
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 1,026
- 1,401
Nifah umeme umesharudi na story unaweza kuwekwa leo au nilale tuYeah,nimeipenda personality yake.
Veeeeery gentleman [emoji4]
Hapana. Mimi ni ke. Ma ni title ya mama halafu naunganisha na la The Bold. Hahaha @ Nifah na The Bold.Hivi mahoza ni ke?
Nilikuwa nadhani ni me jamani [emoji85]
HahahaaaaHapana. Mimi ni ke. Ma ni title ya mama halafu naunganisha na la The Bold. Hahaha @ Nifah na The Bold.
Afternoon Mr/Mrs/Ms Transcend. Utanieleza title yako tafadhali. Nashukuru kwa salam mkuu. Ila sasa udije ukaacha watu wakarusha nyavu. Hahaha. Wajukuu zaidi ya 5 bado ni Miss kweli. Ni kigagula eti. Lol. Weekend njema na sslam kwa fsmilia na @ Nifah.Morning miss mahoza!
Sorry nimeshaona hiyo picha hapo. Very sorry Mr Transcend. Labda kwa kuwa sijanywa chai.Morning miss mahoza!
Nashukuru dada yangu. Nakutakia weekend njema. Niko nimefurahi The bold hajaweka bado na hivyo sitasoma ndaza. Happy weekend sis.Hahahaaaa
Asante mwaya kwa kunijuza,you such a darling.
Nakupendaga sana kusikia ni mdada mwenzangu nimefurahi zaidi.
[emoji8]
KAma kaka ako mie [emoji23] [emoji23]Yeah,nimeipenda personality yake.
Veeeeery gentleman [emoji4]
Sema kabisa ! Ma ni mariamHapana. Mimi ni ke. Ma ni title ya mama halafu naunganisha na la The Bold. Hahaha @ Nifah na The Bold.
Picha ipi mkuu?Sorry nimeshaona hiyo picha hapo. Very sorry Mr Transcend. Labda kwa kuwa sijanywa chai.
Tupo msibani hajakuambia?Kabisaaaa
Wewe mtu poa bhana [emoji122] [emoji122]
Halafu nilitaka kukuulizia wewe na Clkey sijawaona muda.
Ila tupo tumehama tu site kuwapisha wapambe wanaotaka ku overtake chama tawala[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kabisaaaa
Wewe mtu poa bhana [emoji122] [emoji122]
Halafu nilitaka kukuulizia wewe na Clkey sijawaona muda.
Anamaanisha avatar broh [emoji12]Picha ipi mkuu?
Aniambie wapi?Vibaya hivyo jamani.Tupo msibani hajakuambia?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimeipenda hii.Ila tupo tumehama tu site kuwapisha wapambe wanaotaka ku overtake chama tawala[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Niko Dom nakuja kwa Lissu hapo mkuu!Tupo msibani hajakuambia?