Simulizi za the Bold

Simulizi za the Bold

Nisameheni,
Nilitumia mda mwingi kumrudisha katika hali yake na pia ukizingatia zimetokea misiba miwili kwa mpgo,
hata mimi nilikuwa shocked kwa kweli,

so nilishindwa kujigawa maana si kwa kudekewa kule[emoji23] [emoji23] [emoji23],
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naona hili ni dongo kwa vile vyama pinzani mkuu.
Hongera kwa kuwa na bibie bega kwa bega,bila shaka umejizolea asilimia zote zilizokuwa zinagombewa na wapinzani wako [emoji12]
Poleni sana.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naona hili ni dongo kwa vile vyama pinzani mkuu.
Hongera kwa kuwa na bibie bega kwa bega,bila shaka umejizolea asilimia zote zilizokuwa zinagombewa na wapinzani wako [emoji12]
Poleni sana.
Ahhhhhh wale nilishawapiga kanzu kitambo sana, Na goli kipa hakuwa na hiyana aliniachia goli nishinda kirahisi kabisa!!!
Alafu wale vijana waharibifu next time usiwalinganishe na mm,
[emoji444] Mi mtu na heshima zangu nilisha achaga zamani usela[emoji444]
 
Ahhhhhh wale nilishawapiga kanzu kitambo sana, Na goli kipa hakuwa na hiyana aliniachia goli nishinda kirahisi kabisa!!!
Alafu wale vijana waharibifu next time usiwalinganishe na mm,
[emoji444] Mi mtu na heshima zangu nilisha achaga zamani usela[emoji444]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Johnsoooooon
[emoji119] [emoji119] heshima kwako Mkuu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Johnsoooooon
[emoji119] [emoji119] heshima kwako Mkuu.
[emoji23] [emoji23] Hujui tu jinsi gani comments zako za dizaini hii zinavoniachaga hoi kwa kicheko
 
[emoji23] [emoji23] Hujui tu jinsi gani comments zako za dizaini hii zinavoniachaga hoi kwa kicheko
Hahahahahaaaaa hata mimi huwa nacheka sana wakati nazituma.

Tucheke bhana tuongeze siku za kuishi,maisha yenyewe yako wapi na kwa nchi gani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahahahaaaaa hata mimi huwa nacheka sana wakati nazituma.

Tucheke bhana tuongeze siku za kuishi,maisha yenyewe yako wapi na kwa nchi gani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Maisha haya haya nchi hii hii,,,
Asante jf kwa kuniongezea familia, sijutii kuingia humu
 
Hahahahahaaaaa hata mimi huwa nacheka sana wakati nazituma.

Tucheke bhana tuongeze siku za kuishi,maisha yenyewe yako wapi na kwa nchi gani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mambo nifah,


Kuna muendelezo.?! I mean sehemu ya 9.?!
 
Bora tu mods mlivyounganisha hyo minyuzi yake maana story zake si kazihamishia watsup group humu povu linawatoka la nini tulieni mkunwe wananazi
 
Ahhhhhh wale nilishawapiga kanzu kitambo sana, Na goli kipa hakuwa na hiyana aliniachia goli nishinda kirahisi kabisa!!!
Alafu wale vijana waharibifu next time usiwalinganishe na mm,
[emoji444] Mi mtu na heshima zangu nilisha achaga zamani usela[emoji444]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa bhana naona unampiga fix Nifah juu yetu dhidi ya Clkey
Cc fakalava
 
Back
Top Bottom