fakalava
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 4,459
- 6,027
Jamaa kakesha msibani bila hata kumuona Clkey, kumbe Clkey alindoka jana yake bila kumuaga Johnson na simu akazima.unamnyima raha johnson eb muache jamaan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa kakesha msibani bila hata kumuona Clkey, kumbe Clkey alindoka jana yake bila kumuaga Johnson na simu akazima.unamnyima raha johnson eb muache jamaan
kwahyo ww ndio ulisababisha mpk simu kazimaJamaa kakesha msibani bila hata kumuona Clkey, kumbe Clkey alindoka jana yake bila kumuaga Johnson na simu akazima.
Nitumie meseji whtasapp - 0718 096 8118 na 9 hizi ni best kwa uapande wangu.. hongera mkuu..
Naskia una group kama ni whatsapp naomba ni add mkuu Cc The Bold
Siyo tu kusababisha kuzima, niliizima na kuifungia kabatini hili malofa wasisumbue.kwahyo ww ndio ulisababisha mpk simu kazima
sawa mzee wa makamo we kazi yako si kulea na kuiba mababy za watuSiyo tu kusababisha kuzima, niliizima na kuifungia kabatini hili malofa wasisumbue.
Hahahaaa! Haka kazee katakuja kufa kifuani kwa watoto wa watu [emoji28][emoji28][emoji28]sawa mzee wa makamo we kazi yako si kulea na kuiba mababy za watu
Ngoja Clkey ajifungue ndo utaelewa nini kinaendelea...Jidanganye tu
hahaahhhHahahaaa! Haka kazee katakuja kufa kifuani kwa watoto wa watu [emoji28][emoji28][emoji28]
Nimesoma biashara Shem...[emoji6]Naona unawatia hasira [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Niaje shemela 1Hongera kwa kupata chombo kipya!
Clkey yuko hapa anaangalia ninavyocomment tuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaaa! Wengine ni in-born enterpreneur kabisa...sio man-made...Nimesoma biashara Shem...[emoji6]
Am okey mkuu! Vipi umepona?Shemela 2
She is doing alright mkuu..!Niaje shemela 1
Nimepona mkuu ,nimemmis shemela yangu ..Am okey mkuu! Vipi umepona?
She is doing alright mkuu..!
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] mkuu una ndoto kama kala JeremiahNgoja Clkey ajifungue ndo utaelewa nini kinaendelea...
Pua! Masikio ! Macho kama ya Transcend [emoji23][emoji23][emoji23]
Na asili haipotei [emoji23][emoji23][emoji23]Nimesoma biashara Shem...[emoji6]
Shemela yupo mkuu! Majukumu tuu kazini yanamfanya asiwe online kila maraNimepona mkuu ,nimemmis shemela yangu ..
Naona jirani baada ya kupata ya kibarua kajitosa tena
Wee endelea kusema ndoto! Mwisho tutajua nani anaota kati yako na mimi[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] mkuu una ndoto kama kala Jeremiah
Kwakweli mimi ni in-born entrepreneur chuo nilienda kupigwa brush tu [emoji4]Hahaaaa! Wengine ni in-born enterpreneur kabisa...sio man-made...
Looh hadi nimekumbuka chuo! [emoji23][emoji23]
Hamjamalizaga tu bifu lenuWee endelea kusema ndoto! Mwisho tutajua nani anaota kati yako na mimi