Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Alikuwa anatuchangamsha hatariiiiii [emoji24]Wifi cjamuona
Labda naweza kuwa wakat niko msibani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anatuchangamsha hatariiiiii [emoji24]Wifi cjamuona
Labda naweza kuwa wakat niko msibani
Anajificha sasa hivi.Mm ndo hola hata sijamjua
Ikawaje ssAlikuwa anatuchangamsha hatariiiiii [emoji24]
Mwenzangu na mimi nimewaza hivyohivyo.[emoji108]Ikawaje ss
Ama wifi aliiba cm akampiga mkwara wa kuchati
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wana JF wamezoea kujificha fichaAnajificha sasa hivi.
Possibly alileft kwa namba ile kaja kivingine.
WanaJF wamezoea kujifichaficha kupita maelezo [emoji13]
Tumpe pole tuMwenzangu na mimi nimewaza hivyohivyo.[emoji108]
Lazima uchukiwe na jamii [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa fikiria asili + professional
Ni hatari.
pole kwa kuumwa vip unaendeleajeNiaje shemela 1
huyo ndio el marido eenhKwakweli mimi ni in-born entrepreneur chuo nilienda kupigwa brush tu [emoji4]
Vipi mbona umepotea kule?Nimeshtuka jana sijakuona muda sana [emoji24]
mababy zako wote wapo kuleWifi kule nakufaham ww tu
Mai kaka ,Johnson na Shunie wengine holaaa
Niko vizur mama bite [emoji8] [emoji8] misng upole kwa kuumwa vip unaendeleaje
Hata mimi naumwa [emoji85]pole kwa kuumwa vip unaendeleaje
hapa mmenichanganyaHumkumbuki huyu mla bata? Au itakuwa ndio kipindi ulikuwa msibani.
Yule anayetuwekea vituko pia humjui?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jirani wazzup man!Niko vizur mama bite [emoji8] [emoji8] misng u
Hahahhh aliyeleft sio yy ila alirud tenaNdio hukohuko... Sijui ndio wewe uliyeleft juzi?
Nilikusemaje sasa?
Uwiiii usiwe wewe tu [emoji85]
Hahahahahaaaaa
Jamani namuonaga John tu wengine holamababy zako wote wapo kule
Hata mimi nitabadili jina na picha niwe missed khaa!!! hadi naona wivu [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji15] kwanini umebadili sasa? Sikuelewi ujue? [emoji24]
Unatufanyia vibaya Tony,jana nimekuulizia ukauchuna [emoji17]
Jamii intelligenceHizi simulizi zinapatikana jukwaa gani?
Muulize mama Bold mwenzanghapa mmenichanganya