Simulizi: Zawadi - Sehemu ya 1-7

kwa hii kazi uliyoifanya, nakupongeza sana Lizzy! mtafute Mzee Mwanakijiji mfanye kazi! nyie ni watunzi wazuri sana! HONGERA SANA LIZZY!
 
lizzy nakuvutia pumzi lazima uwe mpenzi wangu such a wise talented woma siwezi kumuachia mtu ,asee uko sayari nyingine juuu juu sana my dada
 
Th e Long wait......
Lakini nini lizzy? mbona hivyo?
 
lizzy nakuvutia pumzi lazima uwe mpenzi wangu such a wise talented woma siwezi kumuachia mtu ,asee uko sayari nyingine juuu juu sana my dada

Hahahahah TO comment yako imenirudisha kwenye mstari....thanks a lot man!!

Guys poleni na samahanini kwa kuwasubirisha muda mrefu....majukumu kidogo yalikua yanabana ila tuko sambamba sasa.
Enjoy....
 
Bravo.! Unajua nin Lizzy ktk maisha yangu sikuwahi kuamini kama kuna mwanamke anaweza kushika hisia zangu hasa ktk sanaa ya uandishi, HONGERA.. Sema nimepata shida ktk kusoma coz kisa chake kimefanana na cha dada yangu wa 2mbo moja! Yani mwenzenu Mungu anisamehe I hate teacherz, amemfanya dada yangu akimbie nyumbani.. Dah so painful kwakweli.
 


M asante kwa kunikubali and i‘m sorry kuhusu dada yako.I hope anajua kwamba mko upande wake...hiyo hua inasaidia mtu kukabiliana na kilichomkuta!!
 
ehehehehehehehehe umenifurahisha ukaona ujipe shavu''hyu doctor wasifu wake si kama wewe kabisa??safi sisemi ila hyu doctor jinsi alivyosemwa ni mtu ninayemjua'.
 
ahsante saaana lizzy,mimi ni mpenzi mkubwa sana wa hadithi.za shigongo,huwa hazinipiti.naisubiri kwa hamu

Mhhhhhhhhhh! Na jinsi yalivyojaa umbea nadhani haupendi hadithi zake tu hata stori zenyewe
 
Kwa moyo mkujunfu na wenye upendo napenda kwakweli mpendwa muadhim kile kinusu macho imemebidi nikichunguze sana nakugundua kumbe huwa ni mkweli sikuzote nadhani umenifaha. hongera nakutakia mafanikio mema
 
Mhhhhhhhhhh! Na jinsi yalivyojaa umbea nadhani haupendi hadithi zake tu hata stori zenyewe
Kasema anapenda hadithi bana!!!

ehehehehehehehehe umenifurahisha ukaona ujipe shavu''hyu doctor wasifu wake si kama wewe kabisa??safi sisemi ila hyu doctor jinsi alivyosemwa ni mtu ninayemjua'.

Hehehehehe acha uzushi wewe!!!

View attachment 37836

Your very clever my baby, una akili kama mimi mama yako, good.

WOW...yani hii sentensi imenifanya nijisikie vipi sijui! Thank you dearest....just what I needed.

Kwa moyo mkujunfu na wenye upendo napenda kwakweli mpendwa muadhim kile kinusu macho imemebidi nikichunguze sana nakugundua kumbe huwa ni mkweli sikuzote nadhani umenifaha. hongera nakutakia mafanikio mema

Mhhhh!!!
Asante mtu wangu!!
 
Da nimei enjoy sana tuu kwa hadithi hii................. songa mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…