Simulizi: Zawadi - Sehemu ya 1-7

Simulizi: Zawadi - Sehemu ya 1-7

Don't Sleep baby, naleta Burrito from chipotle Mexican Grill.

Mimi Matola ni msikivu. By Lizzy

Kumbe Matola ni msikivu kweli ehh? I'm proud of you!
:clap2:
 
Daah hii ngoma ni classic. We mtoto unakipaji kikubwa sana!

You have an uncanny ability to put things into perspective and communicate a msg with the mass. It is indeed a truly marvelous talent. I am impressed and very proud of you Lizzy!
 
Daah hii ngoma ni classic. We mtoto unakipaji kikubwa sana!

You have an uncanny ability to put things into perspective and communicate a msg with the mass. It is indeed a truly marvelous talent. I am impressed and very proud of you Lizzy!

Thanks NK...endelea kunipa moyo niendelee kuchangamsha akili.
 
lizzy bwana malizia, kama unatunga mwenyewe, aisee hiki ni kipaji
 
neno kwa neno, mstari kwa mstari, sentensi kwa sentansi...
Good,
Ninapo sema you are didi great,
nina maanisha; at the same time, u didi and u are ......
 
Mimi Matola ni msikivu. By Lizzy

Kumbe Matola ni msikivu kweli ehh? I'm proud of you!
:clap2:
Ndio ni msikivu saaaaana. ebu tuonane lunch time leo nataka kukupa offer ya lunch ili nikuume sikio.
 
Big up lizy,
umeiteka akili yangu asubuhi asubuh afu j3 lol...
 
Ndio ni msikivu saaaaana. ebu tuonane lunch time leo nataka kukupa offer ya lunch ili nikuume sikio.

Niume kwanza ndo nijue kama hiyo lunch inakua au la...
 
Shantel asante dearest...ntamalizia muda sio mrefu.

Eli I IS HAPPY kwakweli...

Samito asante mwaya,...alafu natumai utaendelea kua mateka wangu mpaka mwisho...lolz

MM ummm ahsante!!!
 
Kukuruhusu uniume sikio ni bora kuliko hata kukununulia lunch...trust me!!!
Haya bana ngoja tusubili ule muda wetu wa bootying time, saa hizi watoto wote wameshaamka. si unajuwa sisi ndio tunakuwaga wa mwisho kufunga mlango.
 
Du hii kali inakaribia ukweli unao wapata dada zetu kila deile mitaani yaani usipime
 
Haya bana ngoja tusubili ule muda wetu wa bootying time, saa hizi watoto wote wameshaamka. si unajuwa sisi ndio tunakuwaga wa mwisho kufunga mlango.

Nimebadilisha ratiba yangu...siku hizi nalala usiku kama wengine!!
 
Back
Top Bottom