Simuulizi/documentari nzima ya kusisimua kwenye harakati za kuzima moto mlima Kilimanjaro na nilivyoshuhudia kifo mbele yangu lakini nikapona

bado tunasubiri, umepotelea wapi we mjamaa
 
Kuna mengi hukubahatika kusimuliwa/kukutana nayo katika moto ule. Watu tumetembea siku mbili usiku na mchana bila kula chochote na hii ni baada ya kuchoka kubeba mikate na vile visoda vidogodogo vya coca tulivyogawiwa kipindi tunaanza safari pale kilema gate.
 
Mwenyewe sikula mzeeeeew



JE MLILIPWA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…