Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Nipe namba yake nimkanyeHabari.
Nimejikuta namchukia mke wangu.
Nimejikuta simpendi tena.
Kufupisha story kuna mwanamke niliibahatika kuzaa nae hivyo nikaamua niendelee kuishi nae na kutoa mahari kwao.
Ila kwa sasa tuna miaka 2 ila tabia alizoluwa nazo mwanzo tofauti na leo.
Amekuwa ni mtu wa matusi tena ya nguoni ,dharau ,kiburi ana matumizi mabaya ya hela ambayo yamenipelekea niwe mtu wa madeni maana mshahara wangu ni wakaiwada.
Mwanamke Mwenye kujinunisha,kukasirika na gubu na asiyekuwa na muda na ndugu zangu.
Kiukweli mambo ni mengi lakini naomba nifupishe nataka nimuache.
Ninavyoongea hivi Tuna wiki 2 hakuna anayeongea na mwenzake na tuna lala kitanda kimoja.
Ila anadai nikimuacha ataniua
😂😂😂Ila anadai nikimuacha ataniua
Masikini Mimi na roho ndogo yangu ,uwa sisubiri kufika huko naachia ngazi mapema ili kesho nibaki kufurahia kukaa na wazee vijiweni kwa amaniHabari.
Nimejikuta namchukia mke wangu.
Nimejikuta simpendi tena.
Kufupisha story kuna mwanamke niliibahatika kuzaa nae hivyo nikaamua niendelee kuishi nae na kutoa mahari kwao.
Ila kwa sasa tuna miaka 2 ila tabia alizoluwa nazo mwanzo tofauti na leo.
Amekuwa ni mtu wa matusi tena ya nguoni ,dharau ,kiburi ana matumizi mabaya ya hela ambayo yamenipelekea niwe mtu wa madeni maana mshahara wangu ni wakaiwada.
Mwanamke Mwenye kujinunisha,kukasirika na gubu na asiyekuwa na muda na ndugu zangu.
Kiukweli mambo ni mengi lakini naomba nifupishe nataka nimuache.
Ninavyoongea hivi Tuna wiki 2 hakuna anayeongea na mwenzake na tuna lala kitanda kimoja.
Ila anadai nikimuacha ataniua
Atakuua kweli, namjua vizuri sana.Habari.
Nimejikuta namchukia mke wangu.
Nimejikuta simpendi tena.
Kufupisha story kuna mwanamke niliibahatika kuzaa nae hivyo nikaamua niendelee kuishi nae na kutoa mahari kwao.
Ila kwa sasa tuna miaka 2 ila tabia alizoluwa nazo mwanzo tofauti na leo.
Amekuwa ni mtu wa matusi tena ya nguoni ,dharau ,kiburi ana matumizi mabaya ya hela ambayo yamenipelekea niwe mtu wa madeni maana mshahara wangu ni wakaiwada.
Mwanamke Mwenye kujinunisha,kukasirika na gubu na asiyekuwa na muda na ndugu zangu.
Kiukweli mambo ni mengi lakini naomba nifupishe nataka nimuache.
Ninavyoongea hivi Tuna wiki 2 hakuna anayeongea na mwenzake na tuna lala kitanda kimoja.
Ila anadai nikimuacha ataniua
Mabiti yao tu hayo.Kuishi nae ni hatari na ukimuacha anakuua, Du! Ukikimbia Nchale ukichimama Nchale
Habari.
Nimejikuta namchukia mke wangu.
Nimejikuta simpendi tena.
Kufupisha story kuna mwanamke niliibahatika kuzaa nae hivyo nikaamua niendelee kuishi nae na kutoa mahari kwao.
Ila kwa sasa tuna miaka 2 ila tabia alizoluwa nazo mwanzo tofauti na leo.
Amekuwa ni mtu wa matusi tena ya nguoni ,dharau ,kiburi ana matumizi mabaya ya hela ambayo yamenipelekea niwe mtu wa madeni maana mshahara wangu ni wakaiwada.
Mwanamke Mwenye kujinunisha,kukasirika na gubu na asiyekuwa na muda na ndugu zangu.
Kiukweli mambo ni mengi lakini naomba nifupishe nataka nimuache.
Ninavyoongea hivi Tuna wiki 2 hakuna anayeongea na mwenzake na tuna lala kitanda kimoja.
Ila anadai nikimuacha ataniua
Ila sisi wanawake 🙆🏽♀️Pole kaka usimuache! Au mrudishe tu kidogo nyumbani. Atajifunza.Habari.
Nimejikuta namchukia mke wangu.
Nimejikuta simpendi tena.
Kufupisha story kuna mwanamke niliibahatika kuzaa nae hivyo nikaamua niendelee kuishi nae na kutoa mahari kwao.
Ila kwa sasa tuna miaka 2 ila tabia alizoluwa nazo mwanzo tofauti na leo.
Amekuwa ni mtu wa matusi tena ya nguoni ,dharau ,kiburi ana matumizi mabaya ya hela ambayo yamenipelekea niwe mtu wa madeni maana mshahara wangu ni wakaiwada.
Mwanamke Mwenye kujinunisha,kukasirika na gubu na asiyekuwa na muda na ndugu zangu.
Kiukweli mambo ni mengi lakini naomba nifupishe nataka nimuache.
Ninavyoongea hivi Tuna wiki 2 hakuna anayeongea na mwenzake na tuna lala kitanda kimoja.
Ila anadai nikimuacha ataniua
Mmh we huogopiii..?Habari.
Nimejikuta namchukia mke wangu.
Nimejikuta simpendi tena.
Kufupisha story kuna mwanamke niliibahatika kuzaa nae hivyo nikaamua niendelee kuishi nae na kutoa mahari kwao.
Ila kwa sasa tuna miaka 2 ila tabia alizoluwa nazo mwanzo tofauti na leo.
Amekuwa ni mtu wa matusi tena ya nguoni ,dharau ,kiburi ana matumizi mabaya ya hela ambayo yamenipelekea niwe mtu wa madeni maana mshahara wangu ni wakaiwada.
Mwanamke Mwenye kujinunisha,kukasirika na gubu na asiyekuwa na muda na ndugu zangu.
Kiukweli mambo ni mengi lakini naomba nifupishe nataka nimuache.
Ninavyoongea hivi Tuna wiki 2 hakuna anayeongea na mwenzake na tuna lala kitanda kimoja.
Ila anadai nikimuacha ataniua
Nione ndugu pembeni nikwambie jambo kama hutojaliHabari.
Nimejikuta namchukia mke wangu.
Nimejikuta simpendi tena.
Kufupisha story kuna mwanamke niliibahatika kuzaa nae hivyo nikaamua niendelee kuishi nae na kutoa mahari kwao.
Ila kwa sasa tuna miaka 2 ila tabia alizoluwa nazo mwanzo tofauti na leo.
Amekuwa ni mtu wa matusi tena ya nguoni ,dharau ,kiburi ana matumizi mabaya ya hela ambayo yamenipelekea niwe mtu wa madeni maana mshahara wangu ni wakaiwada.
Mwanamke Mwenye kujinunisha,kukasirika na gubu na asiyekuwa na muda na ndugu zangu.
Kiukweli mambo ni mengi lakini naomba nifupishe nataka nimuache.
Ninavyoongea hivi Tuna wiki 2 hakuna anayeongea na mwenzake na tuna lala kitanda kimoja.
Ila anadai nikimuacha ataniua